Posted by Williammalecela.com on Wednesday, April 08, 2015
Hawa
Mohammed Adan Surow, Osman Abdi Dakane, Mohammed Abdi Abikar, Hassan
Aden Hassan na Sahal Diriye Hussien,watuhumiwa watano wa shambulizi
katika chuo kikuu cha Garissa ambapo watu mia moja na arobaini na nane
walipoteza maisha,hapa wakiwa mahakamani.
Yaani hao wanyongwe hadi kufa "as the judge say" ni wabaya kuliko baba yao shetani... watoto wadogo wamebeba roho za Lucifer..
ReplyDelete