Akizungumza
na gazeti hili, Penny alisema mastaa wengi wanapenda kujiona ni matawi
ya juu na kufikia hatua ya kudharau watu wengine kiasi kwamba hata wenye
mapenzi ya dhati kwao hujikuta wakijiweka pembeni hivyo kuwafanya
‘kuchina’ wakati wakitafuta ndoa.
“Unajua kuna vitabia fulani hivi mastaa tunavyo, ya kisista duu ambayo inatufanya tuchine, maana wengi si wanatuogopa wakidhani sisi ni matawi ya juu wakati ni wa kawaida sana,” alisema Penny
“Unajua kuna vitabia fulani hivi mastaa tunavyo, ya kisista duu ambayo inatufanya tuchine, maana wengi si wanatuogopa wakidhani sisi ni matawi ya juu wakati ni wa kawaida sana,” alisema Penny
0 comments:
Post a Comment