Tuesday, April 21, 2015

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe akiwasili kwenye Viwanja vya Shule mjini Musoma mkoani Mara jana kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wa chama.

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe akiwahutubia wananchi wa Musoma kwenye Viwanja vya Shule mkoani Mara jana.

0 comments:

Post a Comment