Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) kata ya Malampaka wilayani Maswa Bw.Chigila Gilala (45) kwa kosa la kukutwa na viungo kadhaa vya binadamu, vikiwemo mkono wa albino na fuvu la kichwa cha binadamu.
Bw.Gilala ambaye pia ni Mjumbe wa CCM Wilaya ya Meatu, na mkazi wa kijiji cha Bukigi kata ya Malampaka wilayani Maswa atapandishwa kizim
- 34 people like this.
- Komu Valerian Babu tupia kwenye lile jukwaa mkuu
- Aneth Fredy Wanamda mrefu sana biashara yao hao ni mashetani makubwa!!
- Mwalimu Ernest Mwakaluo Moses Machali,Felix Mkosamali,David Kafulila,Zitto Kabwe ni vijana machachali kutoka mkoa wa Kigoma.Nawakubali sanaaa!
- Abubakar Bashe Malisa co kila jambo linastahili kugeuzwa propaganda kufikia malengo ya kisiasa,hii ni national isue y politicizing kila jambo?morally speaking ina ukakasi!
- Fanueli Mkisi Za arobaini ni mwizi...
- Bernard N Gosse uo ni utamaduni wao kaka!!
- Steward Mbasi Ccm ! Sasa imekuwa msiba.
- Prodius Rutaihwa Mungu atunusuru
- Burwaye Elias Kama wanatembea na fisi wataepukaje viungo vya albino
- Malisa Godlisten Abubakar Bashe sijakuelewa. Siasa inaingiaje hapa? kwani huyo jamaa kasingiziwa.? Ni kweli kuwa Bw.Gilala kakutwa na viungo vya binadamu ukiwemo mkono wa albino, na ni kweli kuwa yeye ni mwenyekiti wa CCM kata ya Malampaka. Sasa kuripoti kuna shida gani? Au ulitaka cheo chake kisiasa kisitajwe?
- Godfrey Mgaza Jr. Kamanda toka Albino waanza kuuliwa wauaji walikuwa watu wa Ccm na Serikali yake especially baada ya Jakaya Kikwete kuchukua nchi kwa mara ya kwanza.So hakuna cha ajabu sana ndio hao hao hadi Wauaji wa Tembo ni hao hao,Wang'oaji wa meno na kucha kwa watu ambao wanasena kweli kuhusu Udhaifu wa Serikali ya Ccm ni hao hao ndio washiriki wakubwa.
- Abubakar Bashe Heading!!!
- Majaliwa Kagoma Akssante jeshi la polisi mnasifiwa kwa mabaya tu
- Ringo Gasper Huyo ndo muuaji namba moja na anapaswa kuhukumiwa kunyonga @malisa
- Makey Marie Freddy @mange kimambi
- Ndabhizi Isumbicho nilishasema ck ccm ikitoka madaraka. .na albino wataishi kwa amani
- Said Hemed ccm?
- Dennis Alfred Apewe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine wenye vitendo kama vya kwake.
- Salum Luwango ss nishajua wanao wakata viungo hao ni CCM
- Charles Guke huyo ni muuaji
- Charlz Assery Uchunguzi gani tena..si wamfunge direct
- Samwel Nchagwa Magoiga Napinfa vikali mauaji ya wenzetu, japo kukutwa na viungo haimaanishi wewe ndiye muuaji untill proved guilty in the court of law
Tukianza kulipinca suala hilo kiitikadi hatutafika mbali maana itakuwa ishara kuwq hatujui adui yetu ni nani - Abuu Wenge uchunguz upi kwamba hiyo mikono ni yakwake??
- Emmanuel Sendama ANYONGWE...!!
- Malisa Godlisten Magoiga unajaribu kusemaje? Maana hoja yako ni kudai suala hilo lisiripotiwe kiitikadi. Hivi kuna utikadi gani kusema "M/kiti wa CCM Malampaka amekamatwa na viungo vya albino". Je ni uongo kuwa mtuhumiwa si m/kiti wa CCM wa eneo tajwa? Au je ni uongo kuwa hajukamatwa na hivyo viungo? Kama ni kweli yeye ni M/kiti wa CCM na ni kweli kuwa amekamatwa na viungo hivyo, itikadi inatoka wapi??
- Machemba Makiko Ndio maana Mauaji ya Ndugu zetu Maalbino hayaishi,kumbe ni walewalee.Hii haina kuthibitishwa inatakiwa afanywe kama yule waziri wa ulinzi wa korea ya kaskazn aliesinzia huku Prezdaa anatoa speech.




























0 comments:
Post a Comment