Tuesday, May 5, 2015


"Wana Ilala wanataka mabadiliko 2015. Wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. Miaka 10 kata ya Mchikichini haina hata Zahanati? Kata ya Ilala haina hata Zahanati? Kadhalika kata nyingine. Ukienda Amana unaambiwa ni hospital ya Rufaa. Afya ya watu wetu ni jambo la msingi sana!
Ilala ni yetu sote! Niko tayari."

0 comments:

Post a Comment