DONGO! Wakali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Emmanuel Elibariki
‘Nay wa Mitego’ wameamua kuwavua nguo waliokuwa wapenzi wao kwa kuandaa
wimbo ambao unazungumzia matendo machafu waliyowahi kutendewa na
wapenzi wao hao.
Ngoma hiyo inayofahamika kama Mapenzi Pesa ambayo inaachiwa leo katika vituo mbalimbali vya redio, mastaa hao wameimba kwa staili ya kubishana kwa kuambiana kuwa mapenzi ni pesa mwingine akisema si pesa ila ni kupetipeti.
Mashabiki
wakijiachia. Akizungumza na Risasi Vibes, mmoja wa watu wa karibu na
wasanii hao alisema kwamba, Diamond na Nay wa Mitego,
Ngoma hiyo inayofahamika kama Mapenzi Pesa ambayo inaachiwa leo katika vituo mbalimbali vya redio, mastaa hao wameimba kwa staili ya kubishana kwa kuambiana kuwa mapenzi ni pesa mwingine akisema si pesa ila ni kupetipeti.
0 comments:
Post a Comment