Mtoto huyo wa kike ambaye ni wa pili katika familia hiyo alizaliwa jana Jumamosi katika Hospitali ya St Mary jijini London.
Familia hiyo mpaka sasa bado haijaamua mtoto huyo apewe jina gani.
Mtoto huyo ataendelea kubaki katika Ikulu ya Kensington ambapo leo anatarajiwa kutembelewa na Malkia wa Uingereza, Prince Charles na familia ya Kate.
0 comments:
Post a Comment