Thursday, May 21, 2015


Nilikuwa nasikiaga tu kuwa kuna watu wananyanyapaa albino mpaka mitandaoni nilikuwa sijawahi kuona aisee...hivi binadamu unaanzaje kumwambia hivi mwenzio??khe!.....au ndio hawa wanaokata wenzao viungo??maana kapanic vibaya

Jamani huyu ndio leyla aliyemkashfu na kumnyanyapaa yule albino kwa comment zake hizo hapo chini...kweli uzuri wa makubwa haya blog binadamu upo ndani....mrembo hivi yaani hafanani na alichokifanya....ila bahati yake kafuta acc maana kachambwa na acc zaidi ya 20 wakati bado mapemaa....WANA IG CHUNGA COMMENT YAKO NI NOMAA! Usipojipangantakupanga J

0 comments:

Post a Comment