
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Club .

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye pamoja na viongozi wengine na makada wa CCM wakishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi cha Tegeta Jogging and Sports Clubikiwa sehemu ya uzinduzi wa klabu hiyo ya michezo na mazoezi ya Tegeta.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akikatiza mitaa ya Tegeta shule wakati wa kuhitimisha mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioanzia Tegeta kwa ndevu kupita njia panda ya kiwanda cha saruji Wazo na kuhitimishwa kwenye viwanja vya Tegeta shule .
0 comments:
Post a Comment