Wema Sepetu akiwa kwenye gari.
MAJANGA!
Wasanii wawili mahasimu katika tasnia ya filamu, Kajala Masanja na Wema
Sepetu ‘Madam’ wametengeneza tena vichwa vya habari baada ya kukutana
ndani ya klabu ya usiku ya Maisha iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam
mwishoni mwa wiki iliyopita na kuzua minong’ono miongoni mwa wadau wengi
wa burudani, Risasi Mchanganyiko linakupa hatua kwa hatua.
0 comments:
Post a Comment