Bob Junior rais wa masharobaro amezidisha kujiremba na kurembua macho baada ya kupiga picha na kumzidi Recho Kizunguzungu mvuto wa ngozi na macho kulegea.Bob Junior ambaye akiwa jukwaani ukata mauno ya kukata na shoka kuliko hata baadhi ya madensa na waimbaji wa kike nchini.Sifa ya ushombe shombe na usafi akiwa kama raisi wa wawasafi na watanashati anautendea haki hadi kupitiliza.
Sunday, June 21, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment