Meneja
wa msanii huyo, Babu Tale, awali aliulizwa na gazeti hili juu ya
kinachoendelea kuhusiana na vijana hao waliotimuliwa shule Aprili mwaka
huu kwa kutolipiwa ada, lakini akionekana kupatwa na jazba, alisema
wanasikitishwa na jinsi wazazi wa watoto hao wanavyokiuka makubaliano,
hivyo wao hawataki tena kusema lolote kwa sasa.
BONYEZA HAPA KUJUA KISA CHOTE KUHUSU DIAMOND
BONYEZA HAPA KUJUA KISA CHOTE KUHUSU DIAMOND
0 comments:
Post a Comment