Dhumuni la barua hii
kwanza ni kutaka kuzungumza na wewe kuhusiana na suala zima la
kuwasomesha watoto ambao mwaka jana uliahidi kuwalipia ada katika Shule
ya East Africa International jijini Dar.Kwanza nikupongeze kwa wazo
lile. Lilikuwa zuri mno, hakuna muungwana yeyote anayeweza kubeza wazo
hilo hata kidogo. Binafsi nilifurahi kwani nilijua umetambua umuhimu wa
kurudisha fadhila kwa jamii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment