Tuesday, June 30, 2015

Mtangazaji wa kituo cha Radio Clouds FM, Diva Malinzi aka Diva The Boss , hivi karibuni ameachana na mwadani wake ambaye ni msanii King Crazy GK. Kuna uvumi ulionenea kitaani kuwa Diva ana date na up coming artist wa bongo fleva aitwaye Billnas anaye fanya vizuri na ngoma yake ya ”RAHA” ft TID ,Nazizi .
Billnas anayesadikiwa kudate na Diva
 Darcityceter tuliamua kumtafuta Billnas kutaka kuthibitisha kama wapo katika mahusiano ,coz mara kadha wanaonekana wakiwa pamoja na ukaribu wa hali ya juu .

”Sio kweli Diva ana mpenzi wake na mimi nina mpenzi wangu.Ila sisi ni washikaji sana na sio zaidi ya hapo ,ndio ushikaji na sio zadii ya hapo ”. Billnass

0 comments:

Post a Comment