Mtangazaji
aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel
Mungilwa ‘Penny’ amejitabiria kuwa huenda siku za baadaye akawa
mchungaji maana amekuwa akitabiri mambo flani kisha yanatokea.
Mtangazaji
aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel
Mungilwa ‘Penny’. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Penny alisema
kwenye Tuzo za Watu zilizotolewa juzikati alipata maono kuwa Wema Sepetu
na Millard Ayo watapata tuzo na kweli siku ya tukio ikawa hivyo.
“Unajua mimi nakaribia kuwa mchungaji, nimekuwa nikipata maono mengi ambayo hatimaye hutokea. Ni kitu ambacho baadhi wanaweza kuona utani lakini naamini siku moja inaweza kuwa hivyo,” alisema Penny
“Unajua mimi nakaribia kuwa mchungaji, nimekuwa nikipata maono mengi ambayo hatimaye hutokea. Ni kitu ambacho baadhi wanaweza kuona utani lakini naamini siku moja inaweza kuwa hivyo,” alisema Penny

0 comments:
Post a Comment