Posted by Williammalecela.com on Wednesday, June 17, 2015
Jaji mstaafu Augustini Ramadhani leo anatarajiwa kuchukua fomu ya urais na kufikisha idadi ya watu 37 waliochukua fomu ya kuwania nafasi hiyo moja ya urais.Sifa pekee ya mgombea huyu ni kuwa jaji ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu nchini Uholanzi.
0 comments:
Post a Comment