AMA
kweli Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Mama Kijacho,
Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, sasa ni wa kimataifa zaidi ambapo
wakati mwanamama huyo akijiandaa kujifungua, tayari mtoto ajaye
ameandaliwa chumba maalum cha kulala na gharama za kumuona kwa
atakayehitaji picha hasa za kwenye vyombo vya habari, itakuwa si chini
ya Sh. milioni 20.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment