Friday, June 5, 2015

LISTI YA NILIOGOMBANA NAO …. YUPI NAWEZA KUELEWANA NAE??????


HILI GAZETI NI LA KUSOMA KWA WIKI NZIMA……. SOMA TARATIBU USIJE FUKUZWA KAZI HUKO..NIPO BUSY SI UDATE BLOG MPAKA FRIDAY AU SATURDAY SOO HII TOPIC IWA KEEP BUSY

Haya wadau mmedai kuwa nisijifanye kupatanisha watu wakati mie mwenyewe yangu yamenishinda..hahahahhaha
Mmmedai na list ya niliogombana nao then nyie mtanipatanisha nao…
OKEEEEYYY, HERE IS THE LIST…..UWIIIIII NDEFUJE SASA…
1. Rachel Temu – Huyu naweza kupatana nae any time na kusameheana nae anytime ila kwa mbali as in sitaki hata kikao cha kuongea yani tusameheane as in tusahay yaliyopita, tuheshimiane ,tukionane habari njema kila mtu aendelee na maisha yake… She is not a bad person ila kuna fuse moja kwenye kichwa yake imeungua so ni problem, Alafu ni yule rafiki ambae she can kill for you as in she is loyal ikija issue ya ugomvi atapigana ugomvi sio wake but also ni the kind of friend ambae if your husband is rich akamtaka basi andika maumivu…… I have always felt like money comes first to her….Dont get me wrong ukiwa rafiki na Rachel uta enjoy sana maana anajua kula bata ila ni rafiki ambae inabidi uwe unamwangalia kwa macho manne all the time…. Yani usimwamini. Na mie rafiki wa hivyo ataniumizaaaaa maana mie ni jingaaa yani nikiwa close na wewe nakutrust na kila kituuuu maisha yangu yanakuwa mikononi mwako. And I cant control this ndo maana huwa nakaa mbali na wabongo maana najijui jinsi nilivyo fala.
2. Julieth Johnson – Huyu ni mtu ambae kama ningekuwa naishi TZ ni mtu ambae ningeweza kusameheana nae. Hajawahi kunikosea kitu cha maana sanaa na mimi sijawahi kumkosea kitu kikubwa. Ilitokeaga tu akanichukia mpaka kesho bado kitendawili kwangu nilimfanyaga nini. Kulikuwa na bridal shower ya Adeline ya mwanae huyu wa mdogo ilifanyika kwa Julieth, yani mwanamke aligoma kata kata kunialika mpaka Adeline anashangaa why, mie nijikalia kimya….hahaha….Huyu ni wale marafiki ambao ni very loyal especially kwenye bad times, personally sijawahi kuwa nae very close ila alikuwa kwenye lile group na nilimuona alivyo loyal kwa marafiki ambao yuko nao close ila pia ni yule rafiki ambae inabidi umpende kwa yoote mazuri na mabaya. Huwa anasali sana ila pia ni mtu wa chuki sana na fitna sana….. So yes, ni mtu ambae naweza ku hang out nae tena huko mbeleni bila mimi kuomba sorry au yeye kuomba sorry……. Yani in short ni mtu ambae mpaka leo sijawahi kumuelewa why alinichukiaga…
3. Adeline Mushi – This might come as shock to many ,Adeline ni mtu mzuri mnooooooooooooo kama rafiki yupo very loyal. Kusema ukweli nilimpenda sana Adeline and yes ni mtu ambae naweza kurudiana nae urafiki anytime tena ukawa urafiki mzuri kama wa zamani maana kusema ukweli the only reason sasa hivi siongei na Adeline ni vile tu anafata mkumbo ila mimi na yeye hatuna beef. Jamani Adeline ni mtu poa sana, mcheshi sana and very real,she is not fake. She is crazy anachekesha ukikaa nae utacheka mpaka ukojoee sometimes huwa namiss vituko vyake…hahahaa… Ila ukiwa rafiki na Adeline uwe na pesa zako mambo ya offer au kuomba kukopa elfu 10 ukome, huyu ni mchaga ni mbahili hujapata kuona. Kama ni mtu wa kutegemea marafiki kipesa kwa Adeline mtashindwana siki mbili tu…hahahahahah….. Ila I like her alot na ana roho nzuri sana ni mtu wa kujitoa kwa marafiki ila tu usiwe mtu wa kuomba omba ovyo. Kwa kweli sidhani kama I owe Adeline an apology au kama yeye anatakiwa kuniomba sorry. Hata kipindi kile nilichombonda huku nna mimba haki ya nani tulidundana  sababu tu mie nilikuwa mjamzito + nna kigugumizi so hasira zilikuwa usoni. Alikuwa anaongea sana alafu hanipi chance hata ya kumjibu ananisuta tuuu alafu watu wamejaa, tulikuwa dukani kwa Kiki tena. Also yeye hakuja pale kupigana, alikuja kunipa a piece of her mind ila hakujua kuwa hasira za mimba + kushindwa kuongea hata sentensi moja kungetufikisha pale…
4. Cynthia Masasi – Huyu aisee nilishapatana nae tena kwa kibahati mbaya tu au labda Ledi Peti alituchezea mchezo ila sijui ni nguvu za yesu ila ledi peti kama alituchanganya hivi tukajikuta tunachat whatsapp… Yani we were more than cool mpaka nimeondoka Bongo nimekuja Marekani tuko poa kishenzi ,mara kanichunia out of nowhere, ha!! Ndo nakuja kuambiwa kawa rafiki na kina Kiki so na yeye akajoin mkumbo, hahahahaha….. Then later on nikaja kuambiwa kuwa sio kama alifata mkumbo ila Nacky  alimwambia  Cynthia na Doreen Njuwa kuwa mimi nilikuwaga nawasema sana…. Jamani sijakataa kuwasema ila sasa sikuwa naongea peke yangu mimi na Nacky tulikuwa tunawateta pamoja eti kaenda kunisemea mimi yeye hajajisemea. Na pia nilimsema kipindi cha beef im sure hata yeye alinisema. Anyways, i didnt bother kumuuliza kwa nini kanichunia maana nilimuona ni mtu feki tu nae kama kweli angekuwa mtu mzuri angeniuliza kwanza. So na mie nikasema kama hakuniuliza why mie nimuulize. So huyu sina beef nae na mtu ambae huko mbeleni  naweza peana nae hie and I dont  think either of us anatakiwa kuomba sorry ila pia ni mtu wa kupeana nae hie basi maana  I think   ni mtu wa kukurupuka sana.
5. Sinta – Huyu kusema ukweli ni mtu ambae I feel like she need to apologize to me if ever nitakaa kusameheana nae. Mimi ni mtu wa kuomba msamaha pale napokosea. So huyu siku akijiskia yupo tayari kuomba msamaha nitasameheana nae na tutaheshimiana. Huyo aliingia kwenye unafki wa mama sembe na kumpampiwa akaanza kunitusi , sijui alidhani yeye ndo angeninyoosha,hahaha. Mimi sina problem na blogging yake maana blogging yake alikuwa anajaribu kuni copy mimi exactly. Yani alitaka awe kama Mange kila kituuu mpaka kabila… Hahhhahahha….. Ila nilimwambia wewe hiyo blogging kama ya Mange kwa TANZANIA itaku cost, hutoolewa ,hutokuwa na BF na ni hayo mpaka leo hii yupo single. Hakuna mwanaume wa kibongo anaweza kuoa mwanamke controversial , hawaweziiii. Na matokeo yake ndo hayo anajizeekea mwenyewe kwa mambo ya kuiga tembo kunya…hahahhaa…Ila Sinta mtu poa hana shida ni vile  alidhani anamfurahisha mama sembe kwa kuanzisha balaa na mimi….
5. Eve Collections – Huyu dada , I think nilimkosea and I do need to apologize to her someday. Kupewa mahela na baba yake haimfanyi yeye kuwa fisadi. Pale nilichemka na siku moja ntamuomba msamaha. By the way sijuani na Eve ,sidhani hata kama nishawahi muona Live so hata nisipomuomba sorry its not like Im missing kitu ila ni ile  kibinadamu , nilimkosea na natakiwa kumuomba msamaha.
6. Sophy Byanaku – Sophy yupo poa, last time nilivyokuwa Dar, Nov 2014  nilikutana nae Hyatt na tulipooNana tena kwa kupishana uso kwa uso tukajikuta wote tumesimama na kuanza kusalimiana yani hakuna aliemgonja mwenzie amuanze yani tulijikuta tu tunahamu ya kusalimiana na kuongea kidogo. It was genuine,yani We didnt even need to discuss nini kilichowahi kutokea , in short tulivyonana face face tulijuwa although we might not keep in touch or follow each other on IG sisi  hatujawahi kugombana ni vile tu mambo ya magroup……
7. Chaya Shelukindo – For some reason nilikuwa naamini kuwa Chaya ana bonge la beef na mimi. Ila pia nilikutana nae Hyatt  same day nilivyokutana na Sophie last time nilivyokuwa TZ , uwiii alinichangamkia as if nothing ever happened, kwanza nilikuwa in shock maana siku expect Chaya kunichangamkia vile, mpaka tuka hug,yani nilikuwa nimesikia maneno mengi mno kiasi kwamba siku expect Chaya kuniongelesha much less kunichangamkia  ,tena alikuja hadi kwenye meza yetu….Dah, Chaya ni mwanamke aiseee. Maana kwa vitu Chaya alivyojazwa na Nacky Nyange alitakiwa anichukie mpaka anakufa,ila Mungu anajua jinsi ya kuumbua wachawi…. Basi kipindi kile tulivyogombana si mnakumbuka Blog ya chargabarbie bado ilikuwa hewani basi kuna posti Chaya alitukanwa sana pamoja na Nacky can you imagine Nacky alimwambia Chaya eti Mange ndo anaandika zile comments zote. Yani Nackie nyie. Imagine kina Chaya ni rafiki zangu  mimi ndo nimemu introduce  na anatuchochea hivyo ugomvi uzidi kuwaka moto. Na sasa imagine nani aliniletea habari? ushoga shogani.Ila Chaya nimemweshimu sana maana sikutegemea. So Chaya ni mtu ambae sihitaji hata kupatanishwa nae tuko powaaaaaa sana tu…… Although we dont follow each other on IG ila moyoni tunajua hatuna matatizo at all…..
8. Kiki Zimba – Kiki ndo alikuwa besti yangu kati ya watu wooote hawa. Problem is urafiki wangu na Kiki ulikuwa very one sided yani mimi kama nilikuwa nna force ule urafiki, yani kila siku watu walikuwa wananiambia Mange mbona wewe unampenda sana Kisa ila yeye anakusema vibaya all the time? Nimevumilia mengi mnooo kwa Kiki Mungu ndo anajua.  Hakuna mtu anaejua ups and downs za urafiki wetu kama mumewe na kama sio mumewe kuwa anatupatanisha all the time labda tungekuwa tumeshagombana enzi zileeee…. Kutokana na damage iliyokwisha fanyika tena publicly , i mean both sides tulipitiliza vipimo vyoote  difference is mimi nilikuwa nafanya kama Mange yeye alikuwa anafanya kwa kujificha ficha nyuma ya computer. So yes kibinadamu ni mtu ambae naweza kusameheana nae ila kwa msahama toka kwake yeye. Yani lazma aniombe sorry ndo nweza kupatana na KIKI. Yaliyotokea yoote yalitokea sababu ya yeye kuanza kunisema vibaya kisa tu eti nimeanza kuuza nguo kama yeye uwiii ila sasa nauza nipo marekani sikuwa hata Dar na kipindi naanza sikuwa hata nna plan ya kufungua business Dar ni baada ya uadui na yeye ndo nikaona why not. So huyu yes moyoni mwangu one day kama maajabu yakitokea yes naweza kusameheani nae ila labda aniombe msamaha tena msamaha very sincere. Ila pia namjua vizuri mnoooo ni Mnyakusya yule ,uwiii hata angewekewa bastola kichwani hatokaaa kuniomba msamaha, so lets just say mie na Kiki hakuna hope. So wapatanishi hapa ni mission impossible…. …
9. Nackitie Nyange – Oh lord   I HATE  this woman. Sijui ntafanyaje Mungu anitoe hii roho ya chuki juu ya huyu mwanamke…. Jamani huyu mwanamke nyie. Dah, no wonder huyu  dada hata relationship na wadogo zake ni kazi haswaaaaa…… Jamani huyu dada ni mchonganishi nyie sijui nisemeje, yani the day nilivyowekaga ile post on fb kuhusu kugombana na rafiki zangu nikaona kaniblock IG, nikashangaa nikam contact kumwambia kuwa hapana mimi na yeye tuko cool hausiki.OMG, yani na kumuelezea kote huyu ndo alikuwa kichocheo cha moto mpaka kuwaambia kina Cynthia nilikuwa nawasema kwake, kumwambia Chaya Mange ndo anamtukana kwenye hiyo blog jamani hii ya Chaya iliniumaaaa nakumbuka 2 yrs ago nilikuwa naongea na Mwamvita niko Las Vegas nilimlalamikia about hili kidogo nilie maana nilishangaa Chaya kanikosea nini mpaka nikamtukane kwenye blog jamani…. Iliniuma sana ,unajua Nacky mpaka akamwambia mume wake yule mIHAYO eti Mange ndo anakutukana kwenye blog mumewe akanipigia akaniuliza vibaya nikaishia kumtukana matusi kibaooo… Kilichoniuma kati ya vyote, Nacky was my friend, hao kina Kiki, Adeline woooote walikuwa hawamtakiii kwenye group mimi ndo namuombea aingie,  Nacky alikuwa ananililia nimu introduce kwa dada wa sauzi kipindi hiko yuko marekani. Ananiomba nimuombee aende New York aka hang out na huyo dada eti kampenda kwenye picha na mie namuombea, akarudi TZ akafanyiwaga welcome home dinner na rafiki zake jamani alinisumbua nimwalike dada wa sauzi aje, imagine anataka mtu ambae hata kumwalika yeye mwneyewe hawezi aje kwenye dinner yake, jamani mbona nilimake sure huyo dada kavaa kaja kwenye dinner jinsi niliyokuwa nampenda Nacky nataka afurahi,akawa ananiomba nimuite zile branch zetu za Hyatt jamani group zima linanuna especially Adeline, Ade alikuwa hafichi alikuwa ananisema kabisa Nacky usimlete sio mtu mzuri mie mbiiishi jamani hata mkitafuta picha za nyuma za branch za Hyatta mtaona Nacky lazma akae next to me maana mie ndo shogake ,basi akija hizo branchi atabeba zawadi ampe dada wa sauzi yani dada wa sauzi akimsifia hiko kbanio kizuri uwii next sunday atakuja brucnh na hicho kitu kama zawadi ampe…hahahah jamani  dada ali fight kumjua dada wa sauth utadhani ana fight kujuana na mwanaume. Na mie ndo namuita kila mtoko awazoeee, jamani imagine siku mimi nimegombana na rafiki zangu yeye ndo akaingia kati kuwatia utambi vizuri badala awe side yangu maana mie ndo shogake au awe netral… DUH KWELI kutaka kujuana na watu wenye status mjini ni shida mtu anakosa hata utu…. Huyu dada sidhani kama nitakaa kuweza kumsamehe hata akiniomba msamaha maana ni muongooooooooooooooooo, mchonganishiiiiii,mnafkiiiiiiiiiiiiii. In short sijashangaa kuachwa na mume wake hakuna mwanaume anaweza kuishi na huyu dada ni mtu mbaya sana an very fake.  Kaachwa basi kajikondeshaa sasa hivi madai yake anatafuta bwana mpya..hahahahaha…..Yani nyie nikiwawekea chat alizokuwa anaomba nimuombee kwa dada wa sauzi aende kumeet new york mtachokaaaaaaa…. Yani nilimshangaaa maana mimi niliamua mwenyewe siwezi kuwa kwenye kundi la fake friends wanaonisema behind my back na nikaamua kuwa blast on facebook. Maana niliumia sana yani just 2 days before nilitoka kumuona mtoto wa KiKI huyu mdogo s na picha nikarusha insta kumbe nimetoka kumuona mtoto wake na kaenda kunisema  vibaya? eti wala sikumualika kwangu kaja mwenyewe, jamani niliumia,imagine alivyojifanya kufurahi nimeenda kumbe ndo anaeenda kunisema,mamaaa niliumiaaaa nikasema basi acha niwe peke yangu ndo nikatapika facebook… Ila sasa imagine mimi niliamua kutoka kwenye group sababu niliona halina faida kwangu Nacky yeye ndo alikuwa anaweza kufa kuingia kwenye hilo group mpaka kunigeuka mimi rafiki yake for the sake of watu ambao hata hajawazoea ,yani that day nimeweka ile posti facebook ya kusononeka that day ndo the first day Nacky kakutana na wale wadada bila mimi au bila kuitwa na mimi. Ila akajiweka yeye ndo kiranja wa ugomvi.Yule mwanamke jamani ni nyoka nyie hamuwezi kuelewa. Na kuna comment mtu aliweka about huyu dada kuwa close na mke wa Luca and now kahamia kwa Nacky its so true, Nacky is a snitch yeye ni about status and money basi. Alikuwaga very close friends wa mke wa Luca na alikuwa anamchukia Nancy kufaaa kwa kuiba mume wa shogake yani nilipokuja kumuona eti yeye ndo kawa official mpambaaji wa mtoto wa NANCY and Luca kisa Nancy kawa na status nilichokaaaaaaaaaa….. Yani yule dada kuna siku mtakuja kuniambia mimi……One day tutakuja kuongea topics ya huyu Nacky humu na nitawaambia mmeona allivyo snitch… she is by far the worst firiend I have ever had maana she ditched me when I needed her most maana nilikuwa nimewablast marafiki woote facebook nikijua yeye is with me ,uiii kumbe mwenzangu keshahanihama,that means she was just using me kujuana na wale wadada yani hakuwahi kunipenda alikuwa ananitumia tu especially kujuana na dada wa south and thats it. Huyu mwanamke naomba muwe mnanisalia niweze kupata nguvu ya kumsamehe ili niondokane na huu uzito rohini mwangu, hating someone is a full time job jamani. Ni utumwaaaa asikwambie mtu… I need to stop hating her mniombeeee. Ila kwa kusameheana nae siweziiiiiiiiiii, dah!!!
10. Nafue /Glam Madam – Huyu anytime akiwa ready mie niko nae poa, we dont even need to apologize to each other, tuligombana viugomvi vya kijinga jinga. Glam madam anavitu anaboa sana mkiwa close, she means well ila hajui kum complement rafiki yake atakutoa kasoro morning till evening.Yani ukishinda nae siku nzima utajikuta una stress za kufa mtu. Ila sio mtu mbaya at all, she is an amazing person ni vile I think hana communication skills basi. Like anawezakukwambia “we mange  una viguu vibaya jamani” like 5 times a day ila anasema kama utani but after a fews time unaanza kuumia… Not just me marafiki zake wengi lalamiko lao ni hili hili….Ila kwingine kote she is amazing na sio back stabber kama dadake. Ila huyu nae mgomvi kama mimi na mbishi kama mimi so mimi na yeye tukispend muda mwingi pamoja lazma tuvaane.Ila ukweli ni kwamba sometimes I miss her kwa kweli, especially coz hatujawahi kukoseana kivile yani ni vimambo vya kitoto toto tu.Nafue ni vile yupo bossy like me  but she is really harmless nachekaga wateja wake wanavyo complain kuwa  anawagombeza  saloon kwake, ndo alivyo Nafue yani mwenzenu hata besti friend anamuongelesha hivyo hivyo na hapo ndo anampenda and its hard ndo maana mimi pia nilikuwa nashindwa tunagombana na kurudiana ,ila ndo anavyoongea hivyo…hahahaha,na kukutoa kasoro ndo alivyo anapenda kuhighlight vitu vyako vyooote vibaya It doesnt means she hates you ila anapenda tu kusema vitu vya kumuuzi mtu….lol…  Na mie nimesha muaccept kama alivyo maana na mie nna matatizo yangu ambayo ilibidi Nafue anivumilie….. No one is perfect……..
11. Ikumbo NYANGE -Huyu aliuvaa ugomvi wa dadake bila sababu. Ofcourse I had to understand dada ni dada tu. Ikumbo yuko protective sana na ndugu zake. PRIMARY school mie ndo nilikuwaga bully la shule,yani nilishindikana kwa uonevu shule nilikuwa nabutua watoto wa watu jamani. Ila ikumbo alinikomesha, nilikuwaga nikimbully Nafue weeeeeee ananifata  utadhani ananiweza maana kalikuwa kembamba kama kijiti ila alikuwa anani challenge na ubully wangu. So nilielewa why ikUMBO ushoga na mimi ulikufa baada ya ugomvi na Nacky, although huyu nae nilimpigia simu akiwa minnesotta na kujaribu ku expplain kuwa mimi sielewi why dada ake anadhani tuna ugomvi nikajiongelesha kwenye simu eeeeh ili kuokoa urafiki wetu wa miaka karibia miaka 20 sasa ila blood is blood . So yes huyu sina tabu nae siku akiamua tuwe poa kama zamani yani ntamkumbatia coz I do miss her sometimes tumeshare mambo mengi toka tuko 7yrs old… But again dadake ni namchukiiiiiiaaaaa balaa so i guess mimi na Ikumbo na Nafue kueleewana ni mission impossible..hahahahahha…. Kati ya the 3 sisters huyu ndo mwenye busara zaidi ya wooote, huko very grounded and very easy to get along with. Yani huyu mtu ukigombana nae ujue wewe ndo problem. Ila Nafue na Nacky ni problem…hahahahahhahahahah..Though Nafue ni harmless problem ila Nacky will kill you with a smile on her face….
12. Mwamvita Makamba – Unlike what most think me and Mwamvita are actually good friends yani. Sio kama zamani but we are good. Nahisi hamjui ila baada ya  like balaa nilijirudi na kumuomba Mwamvita msahamaha kwa  kumblast on facebook vile and she forgave me instantly wala sio ya kusema let me think about it, nope pale pale. Why did I apologize to Mwamvita? Nilivyowekaga ile post fb YA kuwa blast mashoga zangu haki ya Mungu kati ya group lote lile hakuna hata mmoja aliejali wala kuniuliza Mange unaongelea nini maana walijua ni kweli wamesema, Yani no one bothered to reach out to me except MWAMVITA, Yeye peke yake ndo alinipigia simu tha whole night na nilikuwa sipokei,she emailed me sijibu mpaka akampigia mamangu kuuliza. Only she cared about our friendship. Na mie baadae hasira zilivyoisha na kuona kuwa haikuwa busara kuweka ile posti pale niliona the only persona alie deserve my apology is the Mwam. Maana niliona atleast she cared about saving the friendship, so nikamwambia im sorry.  We have been okay since then, sina problem na Mwam at all. Ila ofcourse labda now kutakuwa na problem sababu ya issue ya shutup law na reaction yangu kwa kaka yake, damu nzito jamani. And that was a risk I was willing to take maana hii issue iligusa maisha yangu na maisha ya watz wengine mno. So mkiweka issue ya January pembeni Mwamvita na mimi tupo poa sanaaa…. Jamani I respect this woman,  Mwamvita ana roho nzuri nyinyi hamuwezi kujua. Ana roho nzuri. Katika marafiki nilowahi kuwa nao wenye genuine good heart ni Mwamvita Makamba na Bimdo,yes BIMDO, najua watu wanaweza kupata shock hapo pa kumtaja bimdo  , alipitiwa na jini tu ila that girl has a good heart,let me tell you…..Ila guys Mwam is an angel, she is a good person I wish yeye na sio kaka yake ndo angekuwa kaingia kwenye siasa sababu ana roho nzuri sana, I think Tanzania really lacks leaders with a simple good heart. Hivi mnajua Mwanmvita ni rafiki ambae anaweza  kumpa rafiki $10,000 kama mkopo na akakusamehe? She is not rich she is simply nice like that. Kuna siku alikuja Dubai nikamsindikiza shopping akaninunulia CL ya $1,500 out of nowhere…she is just like that, like hawezi kushop peke yake anataka na wewe upendeze kama yeye,now thats a friend…,sio kwamba ana dola milioni benki haina kazi nope ana kazi nzuri yes ila sio tajiriiii but anatoa kushinda hata matajiri mnaowajua nyie, sasa dada enu Nacky nilikuwa nikimpa hizi story ndo anadata na Mwamvita, uwiii ni introduce jamani Mange uwii kakununulia CL kabisaaa uwiiii, uiii…hahaha,watu kwa kupenda vya bure….hahahhahaha…… One time Kiki aliiibiwa pesa few days before she travelled, sijui kama aliibiwa au alikuwa hana pesa anajua mwenyewe ila in short alikuwa anaadhirika akawa anahitaji $5,000 fasta aende china mie hapo nasomeshwa Masters na mzungu Dubai sina kazi nipo home, nkamwambia hapa nimekaa kama mtoto mdogo ,nasomeshwa kila kitu bure na mashauzi juu alafu niseme nataka $5000 nimkope rafiki mzungu atanitimua basi nikamwambia ngoja nikuombee kwa Mwamvita, eeh hapo yeye mwenyewe hajamzoea Mwamvita mimi ndo niko close na Mwamvita,yani hawa wote kina Kiki ,Nacky mimi ndo nimewaweka kwa Mwammy ,hahahaha…. Oh yeah mie nimejua Mwam through Bimdo back in 1999…Historia yetu ndefu mnooo…hahahhaa Basi nikamwambia usijali Mwammy wangu atakupa ,nikamzukia Mwammy, nikamwambia please mpe Kiki $5,000  anajua biashara akirudi tu atakulipa, Imagine nilivyokuwa nampenda Kiki sitaki aadhirike mjini nahangaika kutafuta hiyo dola elfu5 asafiri asichekwe mjini maana aibu yake ni aibu yangu. Mwamvita hakuwaza hata dakika mbili akasema sawa mwambie aje nyuombani leo ntampa. KIKI HAKUAMINI, maana imagine  unakopwa na mtu ambae wewe mwenyewe tu hujamzoea enough kuweza kumuomba hata hizo pesa. Same day akapewa pesa akasafiri, amerudi kauza nikamuuliza vipi ushapata pesa za mwam akasema yeah ila kulipa zote ngumu nimpe kidogo kidogo nikamzukia Mwam nikamwambia pls chukia kidogo kidogo ili asiue biashara, guess Mwamvita aliniuliza nini? wewe unaona anilipe kidogo kidogo au nimwachie tu yote? nikamwambia chief kama unaweza kumwachia yote mwachie chief plsss, akasema mwabie nimemwachia, nikamwambia Mwam tell her yourself, akasema no mwambie wewe sijamzoe . Imagine wao tu kucommunicate hawawezi mie ndo middle men leo eti Kiki anajifanya bestiiiii ya Mwam,Mange  ndo mbaya,hahahaha,jamani binadamu wanajua kusahau haraka…dah… Basi nikamzukia KIki nikamwambia Kiki mwam kakusamehe, eeeh kidogo adate , thank you mange, thank you mange, you a real friend, nkamwambia sio mimi mshukuru Mwam ndo akampigia Mwam kumshurkuku.. Jamani urafiki wa Kiki na Mwamvita ndo ulianza  kuwa serious friendship siku hiyoooooooo na chanzo ni Mange….hahahaha….Jamani Mwamvita Makamba ndo binadamu wa aina hii. Naomba niwaulize honestly nani kati yenu anarafiki wa kumpa hata milioni 1 tu bure, hata kama anautajiriiii gani nani??? Ila mwam is that kind of a friend, ndo maana kina Nacky wanageuka marafiki for Mwam ambao hata hawamjui sababu  wanajua misaada pale ni anytime huwezi kufa njaaa….hahahhahahah…… Mnajua ilifika time tunatoka out kila mtu hataki kulipa kiingilio anasubiriwa Mwamvita alipe for everyone, nikanza kumind na kusema jamani now kila mtu ajitegemeee this is unfair…. Huyu ni mwanamke mwenzetu plssss…. yani ni shidaaaaaa… In short Mwam ni generous person, na akikudai mkopo wake ujue she needs her money kwamba na yeye kabwanwa ,hhahha … Jamani mwam sio tajiri anakazi nzuri tu so hatoi because she is rich anatoa because ana moyo huo wakutoa yule mwanamke….. Kudadeki mie mwenyewe labda Mwam bado ananidai kidogo though I made sure kabla sijaondoka bongo nilimlipa every cent,hahahahah ila nahisi kuna ambazo alisahau…hahahahahhahahah…. Jamani huyu ndo mtu ambae sitokaa kumtusi ever coz I know who she is. hUYU mwanamke ni malaika. she is not perfect ila ana roho ya utu huyu dada. Wish ampe kakake roho yake aiseee……Uwiii kuna siku alini upgradia ticket nika travel business class, bila kumuomba alinipa offer tu, hivi rafiki gani anafanya hivi for friends???  Hakuna rafiki wa Mwamvita ambae hajasaidiwa kitu kikubwa na Mwamvita. Alafu katika marafiki waliomtia hasara mie wa kwanza I think. hahahhaa….Ile biashara ya nywele tulitoa wote 50% capital nikaenda bambikiwa manywele sio hayo in China,  ila still Mwanvita any busines idea tunafanya tuna invest half half tunafanya….. Jamani hiyo ni marafiki sadaka sasa? I think mashekhe wa Dar wamepokea misaada ya Mwam mpaka mwisho, Anatoka sadaka huyu dada mimi mwenywe nyuma…Na kuna mtu nilimwambia this is why Mwamvita hatokaa kushuka sababu ana roho nzuri sana na anasaidia sana. Yani hakuna rafiki wa yake amabae hajawahi kusaidiwa kitu kikubwa hakunaaaaaaaa….. Again no one is perfect problem ya mwam ni moja tu sometimes she takes people for granted and she did take me for granted na nilimwambia one time you are taking me for granted. Because mimi urafiki kwanza everything else nyuma.  Loyalty is not one of her strengths. Na mtu akikosa loyalty amekosa kitu kikubwa sana maisha yake…Mwam hana loyalty.  sio kwamba alikuwa unloyal kwangu tu a few people would say the same. She is nice,caring, loving but loyalty is not her thing. And thats huge…….Mwamvita is the first friend I have ever respected and thats because she earned my respect. Jamani nothing moves me kama mtu mwenye utu…. Sio pesa ila  utu, another friend in my life mwenye utu ni Loveness…. jamani usiombe kupata rafiki mwenye pesa omba rafiki wemnye roho nzuri,rafiki mwenye utu,hata akiwa hana loyalty ila ule utu wake can easily makeup for the other weaknesses… maana hakuna alie perfect ,najua I was a handful for her too ,watu walikuwuaga wnaamuuliza all the time hivi wewe na Mange inakuwaje mnaelewana , hahahha, its true we are totally different but we found some sort of common ground….. One thing that drew us together ni kwmba we are both driven, yani mimi na yeye most of the time tulikuwa ni tuna project za kutengeneza pesa tuuuu, au biashara  yani hiyo ilitufanya tukaelewana sana.Kama ile project ya Diamonds are forever, tulikuwa partners pia kwenye ile project ofcourse pamoja na bosi Ruge….hahahahaha
13. Joseline Kamuhanda – I wouldnt say sorry to her maana i sincerely feel like alinikosea ila pia yeye haitaji kuniomba sorry coz mimi pia nilimkosea… Joselene pia alikuwa my friend sana. Loveness ndo alini introduce kwa Joselene. And tukaelewa mnooooo. Ofcourse nikamu introudece kwa Mwamvita mpaka nao wakawa marafiki then ofcourse problem ikaja hapo. Ugomvi wangu na Joselene ulianzia hapo tuuuuu, one time something happened kwenye ile blog ya chargabarbies aliyonifunguliaga anichambe, tukawa tunaongea something me,Jo and Kiki, Joselene katoka hapo kaenda kumwambia Mwamvita kitu kingine kabisaa dah nilichukiaaaa, yani sisi watatu tumekubaliani kitu kingine kesho ntafanya hivi na vile kudeal na problem hiyo, katoka hapo kampigia Mwamvita yani Mange wala hajali mwenzio, she doesnt care at all. Mwamvita kanipigia analalamika why hujali nimesikia maneno,  yani wala sikumuuliza nani kamwambia, amekata simu tu nikamrukia Joselene nikawaka kishenziiiiii,nilimind mnoooo… I was like jamani huyu dada kasahau kuwa yeye ni rafiki yangu mimi nimemu introduce kwa Mwanvita juzi leo ananigeuka behind my back kumwambia Mwamvita something that will lead to us kugombana…Niliminddddd mnooo. And whats worse she never bothered kuniomba msahama the next day au the week after akadhani tutaendelea na maisha tu, 2 weeks later akaja kwenye diamonds are forever show akadhani atakuta nimemuwekea table ya mbele akae na sisi, weweee mbona alipata shock maana alipelekwa meza ya nyuma kabisaaa hata diamond hamuoni babake tena gizani,alafu alikuja na boyfriend wake wakajua wanakaa vip…. weeeek kumbe mpare bado nimechukia, yani yeye alidhani yameisha, imagine hata kusema sorry hajasema… Uwiiiii baada ya hiyo event ya diamonds are forver ndo Joselene akawa na chuki na mimi kama katiwa ndimu… Hahahahaha…Uwiii sasa ndo akaanza kuwajaza sumu na wengine tusipige tena picha za blog ya Mange sijui nini tutatukanwa,one day nikamuuliza wewe Jo nani kawahi kukutukana anywhere?  nilikuwa nacheka maana mie najua exactly why anahasira na mimi alafu anashindwa kuwaambia wengine anajifanya blog yangu…Basi ndo ikawa isssue ,mamaaaa mwanamke alinisema huyu jamaniiii, dah… Sasa anaonisema kwao hao kina kiki,mwam sijui nani jamani ndo kwanza kawajua 2 months mie ndo shogake tumezoeana  ila ndo hivyo labda  alikuwa  anapalilia kibarua chake…Yani in short jamani wanawake walikuwa wananitumia mimi jamani kumjua mwamvita, kha! alafu mimi mtu aliku akinifata anataka kumjua Mwamvita namwambia poa twende,maana why nimbanie mtu labda atapewa mchongo wa kazi. Ila sasa wakishamjua tu kosa,mimi mwenyewe naanza chonganishwa…AISEEEEE…… Ila still Joselene ni mtu ambae ningependa one day tu work out our issues na tuwe kama before. ila inabidi wote  tusameheane kirohoni asi expect msamaha wangu na mimi sito expect wake… Maana Jo hatujagombana kitu cha maana ni ujinga tuuuuu… Ila let me say this Jo is a good person and a great friend,anajua maana ya urafiki. Huwa sielewagi really tuligombania nini anyways,hahahaha… Hata kama tusipokuja kuelewana I wish her the best.   Huyu dada sio mmbea na hapendi umbea yani sijawahi hata kufatwa toka tugombane nikaambiwa Joselene alikuwa anakusema ….. Yani mzungu huyu dada na sometimes I miss her kwa kweli… Joselene kama kuna dhambi uliowahi kutenda ni ulivyomchunia LOveness ukidhani yeye ndo aliniambia maneno ya wewe kunisema…Dah ulimuumiza sana na ulimwonea… She never did… One day muombe Loveness msamaha ulimkosea sana na kumuumiza sana…..
14. BEDUI – UWIII mwanamke kanitukania babangu huyu jamaniiii na hachokiii daily anatukana na akitoka hapo anaenda kusali mwenzenu…hahahahahhahaha.. Bedui ana undugu na Mtume hawezi kuwa ana mtania hivi…lazma wanajuana….lol….  For some reason Bedui simchukii kivilee yani wala hafikii hata level ya Nacky….kwa vile tumetukanana sana yes naweza kusameheaana nae one day ile kibinadamu ila ni ile kama ya rachel temu tusameheane ya mbaliiiiiii, not talking or whatever yani tuheshimiane, lets not acknowledge  each other’s existence, hivyo yani……   Alafu for some reason its so easy for me kumsamehe LINDA I feel like she doesnt know any better…. Anyways, ni hayo tu sijui kwanini nimeshindwa kumchukiaaaaaa kivileee, maybe coz nimemdharau sana…..
15. Mama Sembe –  Jamani I hate fake people, uwiiii nachukia watu wanafki…Huyu dada ni mnafkiiiiiiiiii… Ila kusema ukweli I dont hate her. Ni mtu ambae naweza patana nae anytime na nilishawahi kupatanishwa nae na MH. Catherine huko whatsapp mwaka jana na wote tulisameheana tatizo ni moja tu hiyo kazi ya mume wake…. Yani huyu angekuwa hajaolewa na mtu wa kazi I think tungekuwa tushamsahau humu ila sasa sisi tuna vita ya unga alafu huyu ndo mtu tunaemjua wa mjini ambae kweli anaishi maisha hayo so hata ile sululu ya MH. Catherine haikudumu ..Sorry Mh. wangu nakupendaga sana  dadake….. Ila jamani Mama sembe ni fake person nyie hamumjui….Mnafki too much….
16. Mboni Masimba – Huyu maskini nilichofanya ni kumtetea tu kwa kuibiwa Mr. Sembe wake kumbe ndo natengeza uadui. Nikawa nimemsahau kabisa ile issue ya mwanzo kumbe yeye bado,  issue ya barbadian queen akavaa kibwebwe…Anywyas huyu anytime nasameheana nae.Mboni ni mtu poa tu hana tabu na mtu na hana wivu na mtu ushamba tu unamsumbuaga na hajiamini. Yani ni mtu wa kufosi urafiki na watu sijui why maskini. Hajiamini at all…..Pia najua hanichukii ila ndo hivyo anadhani akimshushua mange sijui mama sembe ndo atamrudia ushoga wa zamani anajua mwenyewe…..
17. JESTINA GEORGE – Huyu tumemalizana automatically tu imekuja, Jestina is cool problem yake moja tu nae ni kama Mboni hajiamini anahisi lazma ajuane na mastaa ili na yeye aonekane mtu. Kusema ukweli kajitahidi huyu dada na maisha yake  kawashinda wengi mnooooooo yani she is doing good, so sijui why bado anahitaji kuwa validated na watu wenye majina……
18. Nancy Sumari. – I love Nancy. One day atanielewa na sina hata haja ya kupatanishwa nae maana hatuna ugomvi. Kama sio mtu wa mapride one day tutakuwa poa tu.
19. Nakaaya Sumari. -Nakaaya msela na mwelewaji hakuna issue kwanza siku nikmuona ntampa hie akinichunia ndo ntajua tuna beef for now najua bado tuko poa…
20. Flavianna Matata – Huyu mtoto niligombana nae kabla hata sijaondoka Dar, kitoto kilikuwa on my case,yani nisiweke post humu hiko kishamtumia message Mwamvita au KIKI huyo rafiki yenu huyo blah blah blah nilikuwa nachukia alafu sasa imagine hapo ndo nilikuwa nacho close tunachat and everything na hakiniambii mimi kina waambia rafikizi zangu. Flavianna is a fake kama dadake mama Sembe. Very fake. Nakumbuka that time wakati Jokate anagombana na Wema over Diamond mie nikawa namchamba Jokate kiaina huyu Flavvy nachat nae anasupport  anasema yani mchambe mpaka yule shemzi sana sijui nini yanai anafurahi, sasa ikajaga ile event ya vintage chartiy ya mwamvita Jokate kaingia mie nimesimama next to Flavvy nikasema eeh Jokate huyo ataninunia na wewe flavy nakutaja tuliandika wote  yani kwa utani, weeeee alibadilika sura kama hajui naongelea nini na Jokate akaingia waka hugiana kwa furaha, uwii toka that day sina hamu na yule mtoto, kumbe Jokate shogake alafu hampendi, anashadadia nimchambe humu,,,hahahhaa,,,,gosh,in sshort Flavianna bonge la snitchi, hafai yani….Alafu ukitaka kujua ni mnafki yeye ndo alitutia sumu sisi wooooooooote kuhusu Millen eeh mpaka mimi mwenywe mnakumbuka nilipostigi ile tamko yake wakati yuko S.A about millen kutokumsaidia. Yani kina Shamim ,KIki wote wakamchunia KIKI waulize kama wana ugomvi na Millen.Muulizeni shamim kwanini hamrushi Millen hata kwa bahati mbaya kwa blog yake millen alimfanya nini ?yoote flavianna,Kiki muulizeni imekuwaje maana Millen alikuwaga rafiki yake why hamrushi? hana sababu ya msingi yote flavianna.alafu sasa alivyo mshenzi watu walivyomsema humu yeye akajirudi fastaaa kwa millen wenzake watu wazima na akili zao waliofata mkumbo kina Kiki na Shamim wamebaki hawaongei na Millen huku aliewatia sumu kajisafisha mbele ya jamii anaongea zake na Millen. She is selfish…Kanajijali kenyewe tu….I think around January   this year Mwamvita alijaribu kunipatanisha na Flaviana nilimwandika haya niliyoandika hapa kuwa ndo sababu nimempotezea na sikusoma hata her reply yake, mpaka leo I never opened the email she answered ,maana sikutaka kujua what she had to say coz she is fake. She cant help it ndo alivyo… Ila Mungu anajua kulipa hapa hapa duniani ukiwa na roho mbaya hufiki mbali ona walivyojiweka vikundi kumnyanyapaa Millen na huyo super model wao flavvy uwiii sasa millen anaenda BET, lazma kina Flavy wanaumwa homaaaaaaaa ya ndegue ila ndo hivyooo……..Jamani FLavy ni mmbea huyu mtoto nyie hamjapata kuona,mtot mchonganishi huyu….Ni hatareeeeee huyu mtoto… Siku ya kupatana na flavy inabidi nijue kuwa kweli kabadilika tabia yake maana siwezi patana na mnafki. Yani yeye anaweza kupatana na mimi hata dakika hii na huku hanipendiiiiiiii hata robo ndo alivyo yani….
21. Millen Magese- UWIII Kwanza congrats Millen kwa kushinda hiyo award you deserve it… Uwiii millen hanipendiiiii nyie hamjui…Msione vile nilikuwaga narusha na project zake za kujenga shule Tanzania ,uwiiiii pale ni kwamba najikomba, haniongeleshi wala hataki kunisikia.Kaniogopa kama Ebola. Issue iko hivi 2012 millen alikuja TZ tena hapo ndo kachuniwa na wadada wa mujini karibia wooote hana hata wa kuhang nae maskini. Nilimkuta pale lounge iko masaki nimeisahau jina, yuko  peke yake maskini ,akanitumia kinote through waiter jamani aliniandikia maneno mazuriii nyie, I will never forget aliniambia stuff like i should start a TV show coz my life is very entertaining people will pay to watch me sponsors will pay yani imagine kaniona pale 5 minuts akachukua paper akaanza kuniandikia kinote akampa waiter anipe…. Yani nilishangaa  basi tukawa tunaongea , najuana na Happy long time sio kiuzuri kivibaya lakini nilipopigwa kibuti na Baba Bhoke yeye ndo alikuwa akawa Mrs. Machozi alafu ndo katoka kuwa miss Tanzania sasa yupo hot cake, mamaaaa nilidata nilimfataga steers nataka kupimpiga eti alivyo mrefu vile jamani alafu najifanya nataka kuzipiga…hahahaha jamani nilikuwaga chizi kwa babake Bhoke…hahahahah imagine mtu hakutaki ana mtu wake eti na naenda pigana,,hahahahaha….Again that was 13 yrs ago. hhahahhaa…….anyways long story short, that night kuna mambo niliya observe kati ya Happy na mtu mwingine then mie nikapeleka umbea kwa mmoja wa rafiki zangu kwenye lile kundi….Mie siku feel kama nimembetray Happy maana she wasnt even my friend ila nilieenda kumpelekea umbea ndio alikuwa rafiki yangu…Dah basi likawa beef kati ya happy na huyo nilieenda kumpelekea umbea, uwiii Happy ndo hana hamu na mimi mpaka leo babake, I think alini trust na hakudhani ntakuwa mbea mbea labda nimekaa kizungu hakudhani nna tabia za kiswazi…Mie ni mtu mwepesi kuomba msamaha, basi nilivyofika US nikam contact happy IG, weeee alifuta comment yangu fastaa hakun block ila alidelete comment yangu tena nimesema kapendeza tu,  nikajua tuuu demu bado kamind,badi nikamtumia email ya kuomba msamaha, jamani nimeomba sorry mwenzenu ila sikusamehewa hata siku zile namsifia project zake bado hanipendiiiii…hahahhaha… Ila bado nikawa namfagili coz najua mie ndo nilikuwa nna makosa…Anyways Mama Endromiosis  embu nisamehe we mwanamke jamani, kha! roho gani hiyo lakini? BET award winners hawako hivyo wewe jamani. YANI kupeleka umbea tu ndo usinikubalie sorry yangu…
22. Diamond Platnumz – uteam Wema ndo unaoniponza ila kusema kweli ingekuwa sio mbwe mbwe zake na kunirushia roho mdogo wangu ningekuwa promoter wake wa marekani maana  namfagilia sana…hahahahhaha….
23.Chaggabarbie – Bestie ake Ledi peti Santa alijaribisha kunipatanisha na huyu mtu maaana nilinunaaaaaa….. Huyu mwanamke nilikuwa nae okay sijui ikawaje eti akajianya kununua ugomvi wa Jestina na kimbembele chake kwenye kunifungulia blog. sasa jestina tuko okay yeye na jestina wako kichina china… Sijui hajioni mjinga??? Anyways, huyu mtu naweza sameheana nae anytime tena hata nikapeana nae hie maana sidhani kama ni mtu mbaya kihivyo yani hata siku zile kama nisingekuja kujua ile blog yake bado ningekuwa nae poa nadhani…hahahaha….Huyu sijawahi mchukia kwa kweli kama kuna mtu aliewahi kuniumiza ni Chagga peke yake maana ile blog yake ndo iliyonisambaratisha mimi na kina Kiki… ile blog ndo ilileta balaa ,maana alikuwa anatuweka mmoja mmoja alafu wale wanaona mie ndo nafanya wanatukanawa pale… weeeeee,chezea marafiki wa kwenye raha and not shida mbona walianza kuniteta mpaka habari zikanifikia….So for the fact that huyu mwanamke ndo aliniletea balaa kubwa siwezi kuwa nae friends ila kusamehenae kwa mbali naweza… Ila pia isingekuwa ile blog ya Chagga nisingekaa kujua kuwa nilikuwa nna marafiki feki…Everything happens for areason….
24. FK Collection/FAUSTA – Huyu ugomvi wetu ulianzia kwa Baba BHOKE  wala sio mambo ya blog. ALAFU sasa whats funny yani wala hata nilikuwa simtaki Baba Bhoke kipindi huyu dada anatoka nae. Yani hata bureee nilikuwa simtaki ,ila nilikuwa nataka ugomvi tu, alafu sasa unadhani nilikuwa peke yangu ,mimi na yule Bimdo ndo tunagombana na huyu ndo maana nakwmabia hata huyo baba Bhoke nilikuwa sina time nae kipindi yupo na huyu maana jiulize mie na Bimdo tumejiunga kuwa harrass wanawake wa baba Bhoke for what??. Ila Bimdo nammisigi tulikuwa vichaa wasiokunya dawa… So FK uke wenza ndo uliletaga balaa…Na baadae tukaja kupatana sababu ya KIKI maana huyu dada yupogo rafiki na KIki kiaina… Sasa jiulize nilikuja gombana nae nini tena? KIKIII, Niliingilia ugomvi wake na Kiki..Huyu Aunty mwenzenu alimpa KIKI housegirl wake maana Kiki hakuwa na house girl. Basi guess what happened baadae house girl si akafunguka kuwa Huyu Fausta huwa anamuuliza mambo ya kiKI na mumewe humo ndani? Uwiii Kiki alidata, yani huyu anampigia housegirl daily anamuuliza Kiki anaishije na mumewe,,,Weeeee nikamwmabia KIKI tumkomeshee ,kiki akaenda facebook akamtukana huyuuu mpaka akajutaaa, mie nikaja kumalizia kwenye blog..Alikomaaa…ILA wameshapatana na Kiki , sijui hata ilikuwaje mimi na yeye hatukupatana wakati ugomvi haukuwa wangu…Mweeeh… Ila huyu dada ni mnafki sanaaaaaa, sana yani, hao kina KLYN, Sophie woote yani ni kaforce kuwajua kama Nacky vile ila hakuna mtu aliepigania kuwa nae close ikashindikana kama KIKI, na kiki ilishindaka sababu yangu … Ila huyu nae feki mnoooooo, hafai huyu dada navyowaambia. Alikuwa very close na Miriam Odemba now hata salam shida, wakaenda New York kwa yule Rosemary imagime ushoga hapo umenoga, hapo ni naongelea around 2013 hivi, basi Miriam akapata tajiri flani anakaa ATL, nimemsahau jina ila anajulikana mnoo anahela anasumbua kweli huko ATlanta,ni mtanzania basi Miriam akawa ana hongwa balaa na huyo jamaa ,ma dola elfu 10 anapewa kama mchezo ,wanatoka dinner miriam,jamaa na Rosemeary na huyu Fausta, sasa kilichotokea nini? Huyu Fausta asimgeuke Miriam   akambeba huyo jamaa ni nini? Uwiii MIRIAM INAMUUMAGA MPAKA LEO. Naa sio kumpoteza huyo jamaa mwanaume ni mwanaume tu ila rafiki kumchukulia alafu sasa huyu rafiki kaolewa na tajiri huko Dar hana dhiki jamani ila still akaona Miriama ana enjoy sana akamnyang’anya, tena imagine Fausta ana date na huko jamaa behind Miriam’s back na Rosemary anajua kila kitu, nilimwambia Miriam I doesnt matter  kuwa Rosemary was  the one F***  the guy herself but she is not your friend wote lao moja maana Rosemary alitakiwa kumkataza Fausta.Anayways, long story short yule dada sio mtu mzuri at all. Mnakumbuka kipindi nna beef na Devota la balaa huyu akawa matron wa Devota weeeee, me na  Devota tulivyokuja kupatana Devota alitaka kumnyonya huyu macho maana alikuja kufind out huyu kwa kujipendeza kwa Kiki alikuwa anamwambia siri Kiki siri za Devota and ofcurse habari zinanifikia mimi so nilivyopatana na Devota nikampa mastory yake yooote alichokaaaaaaaa Devota, matron kumbe anamwanika hivyo.Imagine hapo ni matron wa mtu… Huyu mtu mbaya sanaaaaa . Alimsemaga mpaka Sophy vibaya sana sophy akamchunia ila baadae akamsamehe, Sophy is very forgiving yule dad. Ila huwa sielewagi wale kina Klyn wamewezaje kuwa bestii na Fausta, she is a very bad person na kafosi mnooooooo kujuana na hao wadada wa town, na kilichomsaidia ni kuwa kaolewa na tajiri basi alikuwa na kazi ya kuwatafuta mastaa wa mjini anawaalika kwake we ukifika pale unadata mwenyewe unaanza kuwa ane rafiki. Nyumba yake ni balaaaa na anajua kukununua atakukopa sijui nini mpaka uwe nae close. Yani karibia wote ndo kawapatia hapo kwa kuwaonyesha nyumba yake….hahahhha…..Na huyu yupo kama Mama Sembe hawataki kabisa rafiki zake wa zamani hata bure hawataki na wanamsemaga sana sabbay fausta ni mzee sana yani watu wa age yake hawataki kawadaka hao watoto watown basi…Anyways,,huyu mie anytime napatana nae maana nilikuwaga namchokoza for no reason jamani…. Actually I think natakiwa kumwmabie sorry huyu maana mimi ndo nilikuwa mgovi most of the time… Nikiwa ready ntamuomba sorry….Na ubaya wake woote ila hajawahi kunichokoza mimi…
25. Aisha Senkoro – Yani huyu sijui hata alikurupukaje, eti kisa nilipatana na Cynthia Masasi basi ndo akaanza kuniwekea vijembe twitter kuniit snitch sijui nini. Akasahu kuwa mimi ugomvi wangu na Cynthia wooote ulianziaga kwake yeye. Anyways huyu yani anytime napataana nae but she need to apologize alinikosea mnoooo… Alafu hakuishia hapo akaanza kunisema kwa kina Saidi na mwanamke wake sijui nani, dah ila sijawahi kumchamba wala… I miss her crazy ass sometimes. The day akisema sorry Im game……Maana ni ujinga tu, sasa tuligombana kisa Cynthia, cynthis mwenywe huyo sijui hata yuko wapi siku hizi…hahahhahahaha… Aisha is a nice person jamani, i like her soooo much although sometimes alikuwaga too crazy even for a crazy person like me… Ili nilimpendaga sana Aisha tena nakumbuka group langu lile walikuwaga hawamtaki huyu ila mie nilikuwa nafind ime ya kuhang out na Aisha then nawale…. She is a sweet person.
26. Bella Wantong – Bella mmbea sanaaaaaaa ndo problem yake, anapenda kusema watu Bella , I think alinisemaga kwa dada flani hivi i fogot her name then huyo dada akaja kuniambia, duh hapo ndo nikanawa Bella…. Ila she is acool person akiacha umbea……HUYU ANYtime akipewa ruhusa na Aisha narudiana nae urafiki…hahaahhahahaha…..Ehh Bella mpaka apewe ruhusa na Aisha kwanza..hahahhahha…Uwiiiii., oh lorn nimekumbula mbali sana enzi za Edward…….Yani Bella na Aisha sina issue nao ni ujinga tu…. BELLA alisha apologize kwa kunisema na tukayamaliza ila sasa hana ruhusu ya Aisha ya kupatana na mimi ndo hapo kazi….hahhahahhaha
27. TEDDY KALONGA –  Teddy ugomvi ulianza kijinga tu haki ya nani, I think aliniweka on her blog tena kwa kunisifia tu nikamtumia message inbox fb nikamwambia  anitoe fastaaa kipindi hiko blogs ndo zimeingia naziogopa balaaa. Uwiii dada akaenda kuniweka post ingine alinichambaaaaaaa mpaka nilijutaaaa…. Hapo ndo sheshe langu na Teddy lilipoanzia… Tumetukaniana wazazi, familia kila kitu tulimaliza mi na TK. Alivyoanza kuokoka akawa anapata shida mara aweke status twitter nimemsamehe Mange, then after a week anarudi kwenye beef, I think forgiving me was one of the hardest things she has ever done.  Ila kwa vile ameokoka ilimbidi… Bedui alitakiwa kujifunza kwa huyu, watu walioshika dini ndo wako hivi, yule mama anaswali akimaliza tu anamwaga matusi…LOL.. Anyways, TK tumesameheana kabisaaaaa tena ya kutoka rohoni na huwa tunachat facebook sometimes.I think alinitumiaga message inbox akaniambia Mange nimekusamehe for everything na mimi nikamjibu fasta na mie nimemsamehe. And we lived happily ever after….. TK ni amepokea wokovu kweli, ugomvi wangu na TK ulikuwa wa balaaaaaa ila alivyo okoka aliokoka kweli yani…. Na mimi nilivyoona tu kuwa TK ameokoa na hataki tena ugomvi na mimi nili back down haraka sana maana ni dhambi kubwa kumtia mtu majaribuni maana unaona kabisa TK anataka kuchoose another path but anashindwa coz watu bado wanatuchochea so nilisizi mara moja nikamwacha dada wa watu akamuimbie bwana kanisani…. I wish her all the best. TK wala hatakiwi kuwa in this list maana tumesameheana muda mrefu sana, kabla hata sijahamia marekani ila naona wengi mmemuulizia….
28.NARGIS MOHAMMED – Nargis jamani nargia ugomvi wetu ulianzia kwa Adeline, baada ya mie na Adeline kudundana  tuliishia polisi basi polisi Ade anakuja na Nargis ,Nargis nae kaninua mpaka. Kha, nilikuwa namshangaa, then later on ikaja issue ya Bedui huyu ni ndugu na Bedui akawa kama anaingilia ugomvi…Yani in short sina ugomvi wa maana na Nargis. Nargis iso mtu mbaya problem ni kwamba ni mswahiliiiiiiiii basiii, yani anatabia za wanawake wa uswaziiii,thats her problem……. Nargis naweza kusameheana nae anytime maana sijui hata tuna ugomvi gani yani zaidi ya yeye kwua anadandiaga issue zangu na watu wengine….. Alafu kitchen party yake alinialika na sare akaniletea mpaka dukani kwa Kiki kwanza sis ndo tuliipa KP yake swagga….hahahahhahaha…
29. LADY JAY DEE : Huyu  shangazi yake Bhoke sijui hata ilikuwaje maana ndo alikuwa mwimbaji wa kwenye harusi yangu, hata first dance alituimbia Live. 
I think kilinuka baadae maana yeye alianza kublog before me na yeye alikuwa mmoja wa watu ambao  walinipa shavu laa kutambulisha UTURN. Then after a few months nikaanza kujifanya mie ndo” Queen of all bongo social media” hahahahaha. Tena naandika kabisa mie blog yaangu ndo number one in all of bongo wakati that time blog ya Jide ilikuwa hot kweli….I think nilimboaga hapo Jide I’m not sure yani . kuna watu hawapendi tu watu wa kujisifu sifu ovyo kujifanya number 1 mpaka waliokukaribisha mjini unajifanya umewazidi, maana mpare nilikuwa najifanya mnoo. In short sina hata beef na Jide ila hali haiko sawa  I think. Ila yule mkuria simchezei anabondaaaaaaa, hacheki na kima yule……Acha niwachezee kina Bedui wenye midomo and no action , Jide haongei anatembeza kichapo tu…. Yule nahisi ntamuomba msamaha bila hata kujua kosa langu ili mradi yaishe tukishaelewana ntamuuliza nilimkosea nini ili nisirudie….
SPECIAL CASE:
MBUTA NANGA – Hivi mnajua mbuta hawajahi hata kuniuzi…Yani Mbuta nashindwaga hata kukasikira kwa kweli…. Yani naonaga kumkasirikia Mbuta ni sawa na uwe unapita barabarani wale vichaa wakutukane then ukasirike kweli.. Mbuta ni mgonjwa serious and I FEEL Bad for her. Ndo maana namwitaga tu mtani wangu. Unajua maisha ya Mbuta ni ya mateso sana, huwa wanateseka sana na hayo mavoices in their heads.Sio utani Mbuta  ugonjwa wake ni serious kiasi kwamba hata piki piki haruhusiwi kuendesha huko UK. Ni that serous so mie ndo maana namchukuliaga kama mtoto hajui asemalo… Hivi wewe mwenyewe ukimwangalia vile anavyokatika uchi you think anafanya vile sababu anapenda? she can’t control it asipofanya vile ndo basi atadai kabakwa yani hawezi kukaa still. So Mbuta mie sina ugomvi nae I swear kwanza najua soon atanisamehe  maana kama aliweza kutangaza kamsamehe Lema aliembaka basi na mie atanisamehe. Mie nishamsamehe maana naona dhambi kutomsamehe Mbuta…
Uwiii jamani listi hiyoooo,hahahhaha…sio mbaya jamani kati ya watanzania milioni 40 kugombana na 29 sio mbaya…hahahahhaha… ila sasa nisiongeze number jamani….hahahhahaah
PS: Jamani sisemi mie ndo msafi kwenye urafiki, hapana mie pia nna problem zangu Im sure na hao hapo juu ilibidi wanivumilie . No one is perfect. Na mie nachukua responsibility  for my part kuwa hata mie nilichangia urafiki kufa kwa njia moja ama nyingine…..
275 Comments
  • DUUUU.POLENI SINA LA ZAIDI

    21

    1
  • NOMA SANA MHHH POLENI UMJINI HUU CJUI MWISHO WAKE NI WAPI WAIIII. BORA MIM NIPO MWENYEWE NDUGU ZANGU NI RAFIKI ZANGU WA KUFA AISEE

    36

    3
  • :checka: :checka: yaaani we ni mtanu kama mcharoo.nimecheka kweli. Ila waonekana ni mtu poa sana wewe ni makavu live si mnafiki ndio maana unachukiwa. Wajua watu hawapendi ambiwa ukweli haswa wakoseapo. Flaviana aonekana ni mbinafsi kweli. Na pia ku da aoneka ni mdomo tu mwingi na uswazi ila yupo poa. Jestina pia aonekana ni mtu pia na mpenda maendeleo bila chuki ila ni kujipendekeza. Nancy ni kama flaviana ila unafiki hana, ni ubinafsi. Nakaaya poaaaaa sana. Rechel mh ka snatcher ka mabuzi ya wenzake kale lkn makavu live nae. :mangeblog:

    49

    4
  • Uwiiii nimesoma nusu narudi tena baadae Mange we ni kiboko yangu. Ngoja nifanye kazi za watu mana sio gazeti ni limgazeti :lmao:

    26

    2
  • MI SIO BENDERA FATAUPEPO
    Reply
    HIVI HUWA UCHOKI KUTYPE :ongea: :ongea: :ongea: :ongea: :ongea: :ongea: UKIMALIZA CHEZEA SANKORO :michaeljackson: :michaeljackson: :michaeljackson: :michaeljackson: :michaeljackson:

    27

    71
  • Ili gazeti ni exclusive kwa kweli.ni refu ila nimelisoma kwa mapenzi yote.

    62

    2
  • Mmmh hongera mpz kwa kutuwekea hii list na maelezo juu, Mungu akupe wepesi hao wote ambao hamko vizuri muweze kuyamaliza. Duniani tunapita na hakuna mkamilifu. All the best

    63

    1
  • You are the realest person ever. I will always be your supporter number 0.5 meaning, I am ahead of your supporter no.1.
    Not easy to find on this planet earth a person of your calibre.


    105

    2
  • Ha ha ha ha ha ha :igaufe:
    You made my day


    40

    2
  • mimi mbea wa magazeti ila hpa nimekoma. Gazeti ni refuuuuu mno duh. Ila nitalimliza tu. Umbea sunna. Hivi shosti huwa unatype au machine inaprint tu. Unakaa kwa mike unasemaaaa then inajitype yenyewe na print. Kama unatype hongera mweehh. Mimi vidole vingevunjika kweli hii blog unalipwa. Akahhh. Salute :masikio: :masikio:

    97

    0
  • Mange mbona hao wachache
    Halafu urafiki na mnaojiita “wadada wa mjini” siku zote huwa feki…wanakupenda kwa sababu fulani
    Pia wanawake wanafiki sana…. heri uwe na rafiki wanawake 3 na rafiki wanaume 50 kuliko marafiki wa kike 50

    96

    1
  • :nanikanuna:

    4

    3
  • Umemsahau yule waziri alikuaga ana kipicha cha chupi nmemsahau jina. Ila wagombanao ndio wapatanao jamani. Pataneni na kwakua wote mshajua mapungufu yenu itakua easy kutozinguana tena.

    44

    6
  • umeandika dada kama kipaji tu unachooo…..kama unatukomesha vileeee….hehehee na mimi kipaji cha kusoma ninacho, sikupatiii picha na hicho kigugumizi chako ukiambiwa uongeee yote hayo utamaliza october after election.
    bora mie niliwarest in peace mashost they were with for their benefits.

    86

    3
  • jamn mange yote tisa kumi mm nmevutiwa na stor yako ww na mwamvita she is just a beautful woman jmn even moyo wake jmn duuuh ila watu wachonganishi balaa jmn, kat ya wote hao yan i wish urafk wenu ww na mwamvita urud ka zaman jmn.
    na watu wengi apo walikua wanajazana ujinga ndo wanakuchukia, ila mwsho wa cku wanazd kuaibika wao tu jmn, umekil madhaif yako n i like it loool uko soo open jmn.nmempenda sana mwamvita jmn ila cha msingi mange hata awe nan akikukosea jifunze kusamee ht usipoombwa msamaha il Mungu azd bariki biashara zako na familia zako, sometimes kua na rafk weng af uko busy nao si vzr bora kila mtu awe busy na mambo yake lkn urafk uwe palepale.
    Nakupenda Mange u such a good person samehee wote walokukosea ili upate baraka zaid.

    120

    3
  • mange nakupenda
    Reply
    :kubwa:

    15

    1
  • Hahaahahhahahahahahahahahahahahahahhaha Mange Ww Network Error Ww Khaa !Yaan Nimecheka Mwanzo Wa Gazeti Had Mwisho ,Japo Kuna Sehemu Zingine Sikuzielewa ,Unasema Fulani Ni Snitch Sijui Mchonganishi Then Mwishoni Ukasema Pia Ni Good Person ,Ila Nimecheka Ulivyoenda Steers Kupigana Na Millen Heheh Ila Inawezekana Kweli Mange Una Damu Ya Kunguni Km Ulivyosema Kwenye Interview Yako Ya Bongo Celebriety ,Maana Unajitahid Kuwa Mwema Usichukiwe Na Watu Lkn Wapi ,Nimehesabu Hiyo List Tena Nahis Km Haijakamilika ,Bado List Ya Wanaume Lol,Ila Hata Mm Pia Nahisi Nina Damu Km Yako Mange, Hivyo Nimechukua Tahadhari Mapema Kutokua Na Magroup Ya Marafiki ,Nimeamua Niwe Na Urafiki Wa Juu Juu Tu Na Watu Maana Nishajiona Sina Bahati ,Iam Very Loyal And Good Friend Na Najua Kumpenda Rafiki Kuliko Anavyojipenda Mwenyewe Ila Ndo Hivyo Bahati Cnaaa. Nimefunga Account Ya Facebook Ili Kutoongeza Idadi Ya Marafiki ,Na Huko Insta Nimewafollow Mastaa Tu Nipate Kuona Updates Zao Baasi ,Ila Ktk List Ya Marafiki Zako Woote Hapo Nimempenda Mwammy Jamani Ila Mwisho Mange Nakushauri Uwe Makini Kwenye Kublog Maana Mwisho Wa Cku Utajikuta Unagombana Na Kila Unaemuandika Km Ulivyofanya Kwa Eve Collection ,Yaan Kuanzia Sasa Tuwekee Mastory Ya Maulaya Huko Tudiscuss Km Ya Bruce Janner Kuwa Transgender Ila Ujiandae Kununiwa Na Kina Kim Kardashian Lmao

    72

    4
  • Nacheka unavyotoa na vichambo vidogo vidogo. Hebu rudieni hapo kwa mboni. Hahaaaaaaa. Wanagombana ndugu sembuse marafiki!!! Urafiki wa vikundi ndio madhara yake hayo. Kila mmoja anataka aonekane yumo na anachangia. Haijalishi ni mchango wa kujenga au kubomoa. Umujini nao kazi jamani!!!! Yote hiyo kisa kuonekana tuuu. Ok. Mange ushakifunza mengi, sasa bora upumzike tuu na wanao. Ushoga kazi eeeh!??

    70

    4
  • Nimekupenda bure mange ni mtu ambae cyo mnafiki kuanzia Leo mm ni team mange ukiona nimeandika team mange sehemu ujue ni mm….nakupenda nakupenda nakupenda

    49

    4
  • :checka: :checka: :checka: :checka: mange we nomaaa…

    23

    1
  • :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: nakupenda mange balaaa yaani kila siku unanipa kitu kinachonifanya nikupende zaidi.
    Tatizo ukiwa mkweli lazima kila mtu akuchukie :blow: :blow: :blow: :blow: love you mama Bhokenzo

    39

    2
  • :checka: :checka: :lol: :lol: :lol: :lol: nimecheka leo walahi yaani mange sikuwezi nimemaliza kusoma :blow: :blow: :blow:

    19

    1
  • mysterious girl
    Reply
    Wooooow! Mange.. you are one of a kind :igaufe: . kinachokuponza ni kuwa too much real.. u dont give a shit. i somehow admire your character but try to give a bit shit before attacking friends. My advice to you is be careful with people you call your friends coz I’m afraid they might be snitching around,they might call you friend simply because they know what you are capable off . Its difficult to fall in love with a friend of your character.
    just one question to you

    HOW DO YOU SLEEP AT NIGHT KNOWING YOU HAVE ALL THESE PEOPLE HATING ON YOU? LIKE REAL HATE???

    26

    44
  • Hahahaha Uwiiiiiiiiiiiiii Eti Kugombana Na Watu 23 Tu Kati Ya Milioni Sio Mbaya Lol,,Mange Unatakiwa Kupewa Tuzo Ya Guiness Mamaake Hhaah Nacheka Km Mazuri Jamani Ila Huu Ni Mtihani ,Mungu Akupe Subra Mange

    41

    5
  • Approximately hili gazeti linachukua si chini ya dak 40 kulimaliza kulisoma. Hapo bila kujigusa wala kuangalia pembeni we mwanamke unajua kuandika jamani. Mpk macho yanauma Ila chief una list kubwa duh hapo nahisi kuna wengine utakuwa umewasahau :crying-with-laughter: :crying-with-laughter:

    37

    1
  • :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: I love you mama watatu maana nimecheka na nimejifunza kituu…be blessed

    27

    2
  • Mange sameheana nao ila keep distance. Katika maisha shoga zako Wa ukweli ni bokhe, kenzo na keanu. Ila hata keanu na kenzo Nina mashaka sababu ya ule uzungu hawachelewi kuwa na superiority complex…. Keep this in your heard na epuka kuwa na maisha ya kiteam kama wachezaji :blow: :blow:

    44

    3
  • Uwiii Kati ya wote uliongelea mm naweza mchambua kisa na flaviana–>>kisa ni opportunist big time yaani akiwa Hana shughuli nawewe au hawezi benefit kwako sahauuuu sasa hapo kisa we mange mwenzio alikuchezea mchezo mbaya baada yakuona mwamvita yuko helpful akamake sure anakubwaga ili akae yeye mazima kwa mwamy haha kisa ni nyokaaaa!!!!nyoka mwengine flaviana asee kwanza kuacha
    Unafki demu Malaya anatiwa underground huyu and watu wanamuona mstaarabu flani hivi Hana lolote huyu anaweza fanya three some asee flavy ni mshenzi Yule councellor salah na mwana FA wanamtiaga kwa pamoja! Alafu hamna kitu kibaya Kama eti mwanamke unakuwa na ushoga na rafiki wa mumeo hiki kiflaviana bila haya kinahadithia kimeenda china basi huyo mke wa salah bila kujuwa anamwalika kwake kumbe kitoweo cha mumewe pia…unajuwa kaflaviana kalivyo kalivyo huwezi mzania Lkn ni balaaa Ana mambo ya hatari saana ….


    96

    5
  • Haaa Mange we kiboko,kweli leo nimeamini wewe ni chizi fresh, the fact umeweka mazuri yako na mabaya yako naya rafikizo duhh huko waliko wajirekebisha ilhali wewe umekubali kujirekebisha,ila sioni hata mmoja wa kurudiana naye samehe n move on…Hhuyo NACKY mmh nilishapata unafki wake na hata kundi lake wanajua,wale wote wamebaki kuuma na kupuliza

    48

    0
  • gues unamzungumzia Baby ya Mange.Kweli hajatajwa

    23

    4
  • Mange sikuwezi. Ndio hicho tu ninachoweza kusema hadi sasa
    Vipi kuhusu Nuru the Light? Hii usibane, ya Jana naona umeichimbia


    20

    18
  • mistress originali
    Reply
    ooh Lord have mercy…Mange leo nimechekaaaaaaaa haswa pale uliposema eti mlikuwa mnateta wote lakini hajajitaja kakutaja wewe!!!! wee ni mwehu jamani dar.. :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter:

    59

    0
  • Mke wa Mtu Baby west 02
    Reply
    Kha!
    Mange labda kwakuwa ndo madada wa mjini
    but as for me, sina tatizo na mtu kasoro Mume wangu tu kulazimisha kuzijua pombe akati znamzid nguvu,
    hilo ndo bifu langu amaziiiiiiiing


    53

    3
  • Mange ungekuwa unaweka list na pic za tbt kama zipo ingenogesha tor cz kunawengn hatuwajuh hapo.. Anyway mama endometriosis nampendaga bt skujua mlikuwa na issues before, yan can’t put in ur shoes unamtoto mdogo then ukala kibut, anyway that’s past wote mmekuwa skuiz n ni icons kiaina….. N skuona haja ya kumweka diamond cz sidhan kama mnabeef kiivyo only kuchambuaga music yake n that is not bad lazima apate challenges sikusifiwa tu But bibie umesahau kumweka zari miss levels

    48

    2
  • Umemsahau fausta aka fkcollection na rosemary shoga ya flaviiiiii…..ila Flavian mnafikiiiiii uwiiii huyu chembamba anakondea vingi…..ila harusi soon anaolewa….kutiwa kisiri siri kutaisha.

    49

    1
  • Hongera Mange kwa kuwa mkweli ila inabidi uelewe kuwa people come into your life for a reason na ikishatimia hiyo reason basi wengine watabaki wengine wataondoka.
    Haya mmeshaona list ya ushuhuda wa Mange, na nyie leteni list yenu hapa kujazia sio kurudia rudia alichokisema Mange kwa kuongeza chumvi au sukari, we want new things :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter:

    43

    1
  • Mange kwenye ile issue ya blog Charga barbie alikuwa bestie wa Jestina, na Jestina alikuwaga na bestie wake anaitwa Maggie Hansen sijui Hanson muke ya Muzungu wa South, huyu nae aliingia mkumbo tu kwenye ugomvi kwa sababu ya Jestina. Tena huyu Maggie alikuwa pia rafiki wa Sintah, mwanzoni nilifikiri Jestina na Sintah ni Wanyakyusa.
    Jestina where is your best friend Maggie jamani sioni hata blogu yake kuwa hewani what happened to her? Alikuwaga anarusha vijembe yule dada mpaka nikafikiri anamjua Mange personnally :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol:

    17

    0
  • Humu u turn sanity is questionable aisee..eti tena kuna wa kristu..Biblia inasema ukigombana na ndugu yako usilale hamja make peace.sas Nyie mnasupport kuwa Mange sio mnafiki..mna akili timamu?tatizo ya Mange ni hater and WIVU unamletea Mpaka bipolar depression..sasa unavyogombana na mtu unatukana Mpaka mama yake.y? Deal with issues as a grown woman.wht happened to diplomacy?nakuhurumia sana..na list ya wanaokuchukia itaendelea..wake na watoto wa kinje,January,Lowassa,Rostam,Mengi,And eventually LANCE.no one can keep with ur Dramas MLF..

    13

    77
  • Umemsahau muke ya muzungu teddy kalonga.

    2

    27
  • Huyu flaviana anaolewa na bwana ya mtu yani huyu dada fyose alikuwa anampendaje Deo wakaamia nyumba yake na deo pamoja akasaidia kulipia bili nusu nusu looh huyu dada alivyodandia basi mara been vu anaolewa…. hahahh sie tunajichekea hapa maana huyo kaka anatembea nae status tu jamaana ni balaaa let the movie continue yale machozi ya dada fyose mtoto mpole yatakurudia wewe na bwana wako tapeli… wewe flaviana wewe vaa shela kwanza tuanze cheka

    36

    1
  • At least tumejua sababu ya UGOMVI wenu ila ni vizuri kusameheana. Lile group lenu ndio lilinifanya mimi niipende hii blog zaidi. Nilikuwa nawaona Madada decent nene inshort nilikuwa nawa admire sana. Lilikuwa Group la madada wengi wasomi :graduation: , wengine wajasiliamali hicho ndio kilichokuwa kinanifanya ni wapende Zaidi.
    Ila duu imenisikitisha sana group lenu kumfanya Mwammy ndio kitega uchumi chenu daah I’m so disappointed. Huo ni urafiki wa KITU too bad. Inaonesha siku Mwammy akishuka kifedha wote wata back off. Marafiki wa hivyo niwa kuwaogopa kama UKOMA.
    Kingine Mange please edit hiyo comment yako ya Millen Magesa uliyesema “mama wa Endometriosis nisamehe mwananake jamani” Endometriosis it’s a serious disease na ni very painful sio kitu cha kubeza hata Kidogo. :nono: :nono: it doesn’t sound good to me sijui wadau wengine.

    72

    8
  • UWIIIIIIIII MANGE MAJINA YANAZIDI KUNIIIJIA TUELEZE PIA WHAT HAPPENED BETWEEN YOU AND MIRIAM ODEMBA PLEASEEEEE :crying-with-laughter: KUNA MCHUNO FULANI HIVI KATI YENU, ALSO ELIZABETH GUPTA AMBAYE ILIKUWA MUANZE NAYE BIASHARA, CAPTAIN HILDA AKAMTIA NDIMU AKAKUGOMEA :crying-with-laughter: FUNGUKA MANGEE NAKUAMINIA

    20

    3
  • Flavian ni malaya usiombe. Alikuwa anafanywa na Idd Azan. Then in the same hotel akaja kutiwa na jamaa mwingine.

    29

    0
  • Umemsahau Devota feruzi. Au mlishapatana baada ya kukusaidia kupokea mzigo dukani kwake?!

    27

    1
  • mim nataka maumbea ya fausta fkcolection please

    8

    1
  • HAHAAA, NIMEVUTA PUMZI KWANZA KABLA YA KU COMMENT KIUKWELI

    7

    0
  • Sinpendiii nacky jamani sijapata ona mdada sorry mmama anaringa na kujiona yupo juu kama yule… Ashukuru poda zinamsaidia she looks down on people… If u aint her class which is not even of the real class basi wewe ni mavi tuu… Ajitahidi kuweka smart wanae wachafu jamani… Yeye anawaka watoto wachafu ptuuuuuu…. Acha maringo bibiweeee dunia ndo hii hii hujui nani utamuhitaji baadae

    26

    1
  • madea Girl Please
    Reply
    :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: hahahaha mange hujatulia hataaa kidogo oo nimecheka na gazeti sijalimaliza nimeshia #15, halafu ulikuwa uko kikazi zaidi ilikuwa zaidi ya ushoga hahahaha well done :lol:
    Mie mahoga ndio ilinishinda urafiki wangu wa juu juu tuu kama bendera ikishushwa inakunjwa mfukoni kimyaaa

    10

    0
  • Hahaaaa nimecheka hasa part ya kwenda kumpiga Millen na ya kudelete comment yako IG.lol Mange una majanga,… part ya Flavy pia nimecheka… hanenepi na mengi
    Ninachokupendea your Open.. u let things out of your heart kama hivyoo
    unajitahidije kuandika maana Lunch hour yote nimetumia kusoma gazeti lako.


    22

    0
  • Mange nlkua kwny lecture while reading this daaah nmecheka sana esp uliposema eti nacky hakujitaja dah..na kwa miss endromisis.. Nakupenda mange maaana huna hata chembechembe ya unafki…team mange forever banange…..above all unaonekana unajua kukumbuka fadhila..mange u r waaaaaaaaay toooo loyal….. Hapa umeandika list ila umetupa funzo kuhusu marafiki…all the best on bhokes graduation..usisahauu kigelegele hata bhoke akikkataza

    32

    0
  • Mange the only thing i can say is I LOVE YOU!!!Your the bestest..One day people will understand you!!Your such a good friend..Yani hapo uliposema when you have a friend unamwambia kila kitu thats me totally na imenicost sana,i wonder why sisi wanawake hatupendani unaweza ukampenda rafiki yako kutoka ndani ya moyo wako mube yeye anakuwazia mabaya tu yote uyasemayo yeye anaumia tu hakufurahii…Halafu watu wanajisahau huyo Flavy katoka huko kijijini leo hii anajidai anajua sanaaaa,tatizo ndio hilo mtu ukitokea kwenye umaskini roho inakua ya kimaskini tu hata kama una billions of money..Hao wengine ukiacha wachache wao ni kuwatupa kule hawana lolote zaidi ya unafiki na majungu na roho mbaya achana nao Mange hawakuongezei wala kukupunguzia kitu..Tatizo watu hawapendi ukweli lakini laiti wangejua ukweli ni kitu kizuri sana.. :mangeblog: :teammange: :wakuache:

    22

    1
  • dah nimeipenda ya Mwamvita na jinsi alivyo na anavyopapatiwa na friends,kha mpatane sasa jamani

    19

    2
  • dah nazid kukupenda hiii nimesoma nusu nusu mana bosi akingia navuta chni..anyway i think mm nipo kwa mwamy nina moyo wa kujitoa sana kwa frends kuliko ndugu ila mwsho wake wakifanikiwa wanasepa, nw am all alone na ilinipa nguvu ile post ya nakaya na mdogo wake coz kuna sehemu ulisema ndugu ni ndugu tu hawez kukutupa bas from there on merudisha mapenz kwa dadaangu mana ananipenda ila mm nilikua naona frends fast coz sisy hatucopy sana yy mtu wa dini na mim sio kivile..nakupenda mange i learn a lots humu..be blessed

    27

    1
  • Shikamoo Da Mange ! wewe Mwanamke Nakusaluti wewe !
    :mangeblog:

    15

    0
  • :checka: :lol: Flaviana,Mrs Sembe,Nacky, Kiki hawa wa4 ni watu wa kuogopaaa ni WACHAWI MWANZO MWISHOOO!!!!siku nilionyeshwa txt message ya kiki akimuomba mrs sembe contact kwa babu akasafishe ndumba zake mbona nililowa kama mvua,aiseeee mjini mazingaombwe :ass-kicking: :ass-kicking:

    36

    0
  • GLAM MADAM NI MNAFIKI NA ROHO MBAYAAA :bitch: . binti anaroho mbayaa mnoo hataki kuona wenzie wanaendelea :ass-kicking:

    12

    0
  • Umemsahau yule waziri alikuaga ana kipicha cha chupi nmemsahau jina. Ila wagombanao ndio wapatanao jamani. Pataneni na kwakua wote mshajua mapungufu yenu itakua easy kutozinguana tena.
    Bi chau , acha uchochezi , waligombana Lini ??? tena anakuja sasa hivi hahahahah utashushuliwaje ??

    18

    0
  • :lol: :lol: aisee Mange wewe ni mwisho seriously nimekupendaje sasa uko so real.. Yaani ya Adeline na Millen na Nafue khaa umenichekesha mno, sipati picha Adeline ndo anakusuta na wewe kuongea shida kigugumizi hasira zake ni vichwa tu :lol: :lol: ila mtu kama flaviana hata humdhanii sura za upolee jamani Unaweza jua anasingiziwa… God bless Mwamvita jamani :masikio:

    17

    0
  • Vipi NURU THE LIGHT
    FK COLLECTION
    JOYCE KIRIA


    2

    25
  • Ukweli wako huu Mange utasababisha Magomvi mengine Freshhh hahahahhah Umetoa siri ya Ade alivyokuwa anampiga vita Nacky uwiiii! hahahahahahah we chiboko ! Nitarudia tena baadaye …….

    26

    2
  • Yaani wewe mwanamke kweli unamapungufu yako kama tulivyo binadamu wote, lakini wewe ni bonge ya mkweli. Hauna unafiki.

    18

    0
  • Mange,umemsahau Nargis na Zari,ongeza wawe 25 tu wanatosha. :lol:

    9

    14
  • call a spade a spade
    Reply
    duh..salute kwako Mange.kiroho safi hujajisukutua wala nini..umeeleza waziwazi naona huko waliko wengine kimoyomoyo aibu zinawashika. na kiubinadamu kama wanaakili watakusamehe mana wewe umesema huna tatizo na mtu japo umekataa u close…vingine huwa haviwezekani nnachojua hapa umetumia busara ili hata mkikutana mpeane hi ile ya kiaina, hiyo ni znuri mno. maisha yenye haya, kisa cha kukaa na kinyongo na mtu..yani wewe ni full peace! ila kuwa karibu sana na mwammy pia itakuwa ngumu mana wale wachonganishi amabo umewasamehe lakini hutaki ukaribu watafit vipi? lazima utakuwa unammiss sana mwammy…naye anakumisi am sure. dunia mapito tu,

    15

    0
  • Mange sasa baada ya huu ujumbe wa leo basi wamekusoma na watakua wamekuelewa bt step back rafiki yako wa kweli ni mumeo na watoto wako na ndugu zako basi.

    23

    0
  • Kuna siku mtu alicoment kama vile ulivyoandika juu ya Nackitia…kumbe ni ww mwenyewe….ha!ha!ha!ha! ulizidiwa..lol..unawamiss eeehhhhh?make peace with ur past soo it doesn’t affect ur future. Napita tuu….

    8

    58
  • shi ka moo mange

    4

    0
  • Plzzzzzz.usibanie comment

    1

    3
  • mrembo by nature
    Reply
    Mange i love u so much ur very fun lady haha mie penda mwamy ana roho nzuri sana na mie niunganishie sada wa sauzi ..mwamy keep it up..mange nimekunyooshea mikono..forever love

    10

    1
  • hakuna ushoga/urafiki wa group la watu kariba 20 au hata wa 5 tu haiwezekani urafiki mzuri ni ule wa wawili au watatu basi, na ndicho kilichowaharibia nyinyi manake mkishakuwa hivyo basi hapo ni MAJUNGU tu hakuna kingine, manake inakuwa mkikutana watano basi the rest lazima wachambuliwe au mkikutana wawili au watatu ambao mpo close zaidi lazma mchambue wenzenu, inshort ni kwamba msingi wenu ulikuwa wa majungu ndo mana mmebomoka, laiti urafiki wenu ungekuwa wewe, mwamy na kiki pekee kama ulivyokuaga unapost humu kwamba the three of you are blood sisters nazani mngedumu ila makundi ndo yamewaharibu.

    39

    0
  • sio siri flaviana anaonekana tu ni mnafiki ana wivu na ni snitch hatari.kumbe anamchukia JOKATE lol!

    23

    1
  • HA HA HA HA HA HA DAH! WE MANGE UNASEMA MBUTA CHIZI ILA WEWE NI NAMBARI ONE NIMECHEKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA…..DIAMONDI MTOE….HALAFU HAPO WENYE UGOMVI WA SABAB YA BLOG KAMA SINTA POTEZEA SIO UGOMVI….. AMBAO MNA UGOMVI WAKUITA UGOMVI NI HAO KINA FLAVIAN N.K….NA MWAMVITA PIA HUNA UGOMVI NAE KWAHIYO NI KAMA WATU 21 UKIMTOA NA DIAMOND HATA NANCY NA NAKAAYA HUNA UGOMVI NAO KWAHIYO NI KAMA WATU 19……AISEE POLE SANA ILA MWAMVITA MIE NAMPENDA PIA HATA ULPOMRIPUA KIPINDI KILE NA WALE MASHOGA BADO NILIKUWA NAMPENDA……KUHUSU JANAURY NA SHERIA YAKE MSEME KISIASA USIWE UNAMPONDA SANA YULE NI KAKA YAKO TAYARI…..

    30

    3
  • KWA KUTYPE TU :hakunaga: :hakunaga: :mangeblog:

    5

    0
  • mrembo by nature
    Reply
    Shouger usiupdate ila achia komenti maana zitakuwa za kukata ba shoka

    9

    0
  • Wallah mange you’re one of the realist person i know, i wish ningekua your age ningeforce friendship with you, am only 22 but i adore you…i swear pipo like you are hard to find and are born once in a lifetime.. :broken-heart: :broken-heart :teammange: :teammange:

    17

    2
  • JAMANI MANGE HANA UGOMVI NA C’MUM NA MSHAAMBIWA YUKO BUZY ….INA MAANA HAMJUI MAANA YA UGOMVI…..LOL…..CMUM NA MAGE WALIPISHANA MANENO TU

    13

    1
  • mwanitakiani a.k.a maimuna
    Reply
    hahahaha……sijamaliza kusoma ila umenichekesha….

    8

    0
  • MIE KILA SIKU NASEMA MTU AKIKUJUA WEWE ATAKUPENDA TU….WEWE SI MNAFIKI NA HUOGOPI WALA KUJALI PINDI KIKIKUCHARUKA…..MANA HAPO UNAWATAJA HUKU UNAWAPA KICHAMBA KIAINA SASA UWONI WAMWAGILIA TENA VIJIHASIRA JUU YAO NA WACHANGIAJI WAKIJA WANAWEKA YAO….KAMA HAPO FLAVIAN KISHAPIGWA ZA USO HA HA HA HA HA HA AISE WEWE SICHOKI KUKUPENDA NDO MANA KIKINUKA HATA HUKU MITAANII SIACHI KUKUTETEA.

    19

    0
  • :crying-with-laughter: :im_sorry:

    3

    0
  • wap huddah, miss levels, makamba, kinje, kingunge en lowasa. love u Mange! u write in black en white. kudos!

    7

    22
  • Mange, when i will be a billionaire, i will make sure unakuwa rafiki yangu afu na sisi tunawaonyesha.. yeeeaaaahhhh!! :blow: :blow: :champagne: :crying-with-laughter:

    19

    4
  • ILA MANGE DAMU YA KUNGUNI PIA UNAYO NAHISI VILE WATU HAWAKUJUI NDO WANAKUCHUKULIA HIVYO…..NA HAPA U-TURN JAMANI NI KAMA KIJIWE FLANI YANI NI KAMA KAJISEHEMU KATIKA MAISHA YETU CHA KUPUNGUZA STRESS LOL……MANGE DAMU YA KUNGUNI UNAYO MANA MIE NINA MTU WANGU WA KARIB HAPA OFISINI HATA HAKUJUI LAKIN UNAMUHISI HAYUKO HAPPY NINAPOONGELEA ISSUE ZAKO…..MANA NIKITOA STORY ZAKO UTASIKIA UNAMUHISI ANAPONDA KUNA SIKU AKAJIKAZA AKAFUNGUA BLOG YAKO AKAJAKUTANA NA PICHA ZAKO….ATI ANANIAMBIA MBONA MANGE MWENYEWE SI MZURI KIHIVYOOOOO….NIKAMSHUSHUA NILIKWAMBIA YEAH NA UBAYA HANA NA PIA HA HA HA HA DUH!! WATU WANA CHUKI HATA AKIJIULIZA ANAMCHUKIA NINI YULE HAJUI…

    33

    8
  • Mage nimezidi kukupenda kwa kuwa muwazi, u made my day pia nimejifunza kitu :blow: :blow: , Keep being real, beings like you are scarce

    11

    0
  • Ila kinachoningaza, unasema wewe na mwamy mpo poa and i biliv its true, ila tatizo mwamy ni best friend wa kiki ambae ni adui yako namba moja, imekaaje hiyo?

    15

    5
  • U need to apologise to me kwa kubana comments zangu

    12

    14
  • Sasa Wadau hapa hakuna comment za kuwakandia watu au kuongeze mabaya yao..
    Kazi yetu ni kusema sawa yalio pita yamepita Sasa ni kusamehana yani kusafisha roho ata kama hamtakuwa Mashoga kama zamani.
    Ramadan inakuja ni mwezi wa toba.
    Mange kashatoa yake ya Rohoni kwa aliokoseana nao. Na wao uko walipo watamsamhee alipo wakosea.


    16

    0
  • mange kuna watu umewaanika mmmh! nadhani watazidi kuku mind. kama huyo fau na odemba..si wana waume zao hao? sasa wanafanya huo uhuni bila hata kufikiria siri zinaweza kufichuka jamani!! kweli ukimwi hauwezi kuisha kama maisha yenyewe ndio hayo wanayoyaishi wadada wa mujini!! :broken-heart: :broken-heart:

    44

    1
  • Kama kuna mtu hapo juu walio tajwa umpendi, Usimwage mambo yake hapa nenda ktk social page yake ukamalizane nae. Hapa ni PEACE!
    :pc:
    :drinkingbeer:

    16

    1
  • Nikujue ili iweje
    Reply
    damn woman you could full up a classroom just you and your friends that was too much of them hahaa my opinion only one or two damn friends are enough fuck the rest
    Friend namba3 nimecheka sanaa too funny
    Nahuyo friend anarudia more than 5times kuhusu miguu kuwa mibaya hahaaa I will never keep such a friend for along time I will need to hear it once twice but not thrice otherwise tell me something which I don’t know rather than repeating something which I already know and besides you said it more than you shouldn’t have once is enough

    About hiyo ya Mwanvita Makama :drinkingbeer: namwona Sintah yulee anapeleka application ya ufriendship lol hao ndio watanzania I must confess I have enjoyed reading that list keep a few…… too much of everything is harmful

    27

    0
  • The Evil HR Lady
    Reply
    hahaha I enjoyed reading this but you are sincere umekubali pia na matatizo yako sio mbaya sana vikundi vina mengi sana, ndugu wenyewe wanagombana mpaka kutoleana visu itakuwa mashoga, mie mwanangu wa kwanza ameshakuwa mkubwa and we can hang out on Saturdays and I thoroughly enjoy it, mashoga pia ni Fridays nikiwa nataka kutoka and we are cool , naona mume amenibadilisha nimekuwa kidogo ila ndio nilikuwa na msururu mpaka akija home hanikuti umbea tu napiga angalau ninafanya viconsultancy vyangu vingi tu na hii full time job kwakweli na hang out kwa afya tu when I miss the crowd, na tukikutana story zetu ni kusaka hela tu, ila kwakweli wengi za mashoga zangu nimewasaidia ajira kwao au ndugu zao labda na kipesa kidogo maana kwakweli nakumbukaga how they used to look out for me tukiwa chuo

    19

    0
  • wewe ni mkweli ndiyo maana unachukiwa.
    Leo katika hii list kuna watu pia umewafungua kujua watu fulani zaidi.
    Wewe sijui ni mtu wa ngapi unamsema flavy ni mnafiki. na mama sembe ndo anajiact manager wake sijui inakuwaje wakikutana lol!!!
    duuh mtoto kaishi maisha ya shida huyo i wish angekuwa akikumbuka hayo yote.
    tusubiri harusi siye.

    ila pole sana, wewe kama mimi siku hizi rafiki yangu ni mume wangu na ndugu zangu. urafiki nimeacha kabisa na watu. maana kila siku unateswa tu why na unaweza kuishi kwa amani ukiwa mwenyewe?
    i wish you all the best.

    13

    0
  • Mange bado Diana wa American Nails umemsahau hebj tuelezee na yeye ilikuaje?

    1

    19
  • Whaoo!!! yaani very interesting…nilichojifunza hapo ww nae ulikua na msururu wa marafiki alafu wooote ulikua umewakumbatia which is bad…kwa sisi wadada unatakiwa uwe na rafki wa kushbana mmoja wakzd wa2 wengne uwe nao kawaida tu,,naona now umejifunza
    Wadada wa mujini n shida jamani wanafki mnooo kutwa kuzungukana wao kwa wao
    I WISH U all the best katika safari hii ya matumaini uliyoianzisha ya kupata na mashosti zako which s gud kwakweli Kwani tuliagizwa KUPENDANA NA KUSAMEHEANA NA KUCHUKULINA KAMA TULIVYO…..NB:Hatakama wanakukoseaga usiwage unawachamba kwa maneno makali hiyo nayo inaongeza chukiii na ww kuonekana mgomvi,una wivu.


    14

    1
  • Nimefurahi kusikia hivyo nami ba list yangu siku nitaitapika tu sitaki fake thing :broken-heart: :belly_dancer-1118:

    6

    0
  • Mange nimekupenda bureee. Your so real. Nimetamani tungekuwa friends. Hapo nimeona you had a bunch of fake people. Mwamvita is a sister not just a friend. Hao wengine tupa kule . I don’t believe in having a bunch of female friends coz they use to be sooo fake. Mimi huwa nawachenga kabisa.unakuta mtu kakugandaaa but unaona kabisa ni fake. Wa nini? Nakushauri undelee na maisha yako. Ur good.

    10

    0
  • NAKUPENDA MANGE WANGU SANA HONGERA KWA KUWA MKWELI MAMA SIO WENGINE TUNAO MNACHEKEANA KINAFIKI NAKUPENDA SANA SANA DA SIPENDI UNAFIKI MM JAMANI MAMA B NTAKUTAFUTA SIKU MOJA

    7

    1
  • yani wewe uko kama mm, mm friends ni family..ukinionesha sign yeyote ikapelekea sikuamini..nakukimbia mbio nyiingiiiii mnoooooooo :ass-kicking: :ass-kicking: :ass-kicking: :ass-kicking:

    6

    0
  • Miss ushuzi umemsahau au?

    0

    9
  • Nimecheka jamani Yani we dada duh na bora ubaki mwenyewe watanzania sisi tuna unafki sanaa utajikuta unazidi kuongeza idadi ya maadui lol ki flaviana :crying-with-laughter:

    14

    0
  • Mimi kilichonigusa ni sehemu ya Mwam nilishawahi kuandika hapa kuwa i think she isnt loyal to you hapo nilikuwa sijui hata kama hao akina kiki walimjua kupitia wewe lakini nikawa nasema mbona Mange IG anamtag lakini sijawahi ona hata picha ya Mange page yake na kutwa yupo na post za akina kiki i felt like she was chosing sides ukanishushuaaaaa,hahaaa. Ila kiukweli if Mwam came to know all these people through you then u need to work on your relationship kiukweli and she needs to know kuwa wewe ndo rafiki yake. But Mange everything happens for a good reason

    35

    0
  • Woooooote uliowataja hapo juu isipokuwa mwamvita sameheana nao ila urafiki si lazima!! Ila mwamvita is a good sister to u,so patan a nae na muwe close as before huyo pekee ndo Ana upeo zaidi na ni strong woman!!

    13

    0
  • mange ww kweli unajua sikiliz kilip cha fans wako.nmeon umeuluzwa list ya ulioosana nao na imediately umewek n producd a very entertainin story..yani u turn ni unique blog hakuna mfano…tunapat kukujua muandish ka tupo na ww vile…kweli ka usemavyo ths blog is abt u n ur life wasiotak waende jamii
    umemsahau tedy kalonga tho ine time ulisem mmesameheana…na shigongo lol…..mange urca comedian eti mtu anakuogop ka ebola…
    anyways nawaombea urafiki wenu udumu kati ya lovenes.ledi peti.mke wa mzungu mweny dimpo na yule mke wa mzungu wa dar

    15

    3
  • Mange i just like you kwakweli. You are real and you just leave life. Naelewa kwanini list yako kidogo inashtua you are just this kinda person who wants kila mtu ashine through you na kisa unacho bac unataka kila mtu apate na ndo maana imekua rahisi watu kukuzunguka coz you are so much concentrating in upgrading others which is your pride but still has costed you.
    jamani i wish hata ningekua na wadada 3 ambao nawaita marafiki. uwiiii nmimi nikiolewa nahisi kitchen party itajaa wa mama as friends of my mum. mimi ushoga wa hivi sina kabisa na siwezi. i hate to be put in competition kwakweli.
    Mange most of this peopl are of ARS eehh usijali watakula makonzi ya Mr. Sahibu soon.
    ila kweli mungu akupe amani but sidhani kama wote wanakukosesha usingizi esp hao ulikua unakula nao brunch.
    by the way nimesoma gazeti lote bila hata kupepesa macho ningeweza kusoma na Biblia hivi ningekua mbali sana.
    love you Mangenita. But learn to forgive more.

    25

    0
  • kwenye hiyo list mi nadhani mwamvita tuu ndio anakufaa.. hao wengine hamto wezana na tayari wameshaanikwa humu siri zao zote baada ya maugomvi. hivyo urafiki hauwezi kuwa wa kweli kama ilivyokuwa huko nyuma. hivyo kama kweli unampenda mwam na yeye bado anakupenda,basi malizaneni hata tuwaone mmetembeleana,maana anakuja sana huko kwa sporah, na picha japo moja uturushie nasi tuchekelee.japo anaogopa kutundikwa humu nasikia kwa sababu za kikazi zaid. :belly_dancer-1118:

    23

    5
  • MANGE nimekuelewa sana ila mimi kidogo nina vitabia kama vyako sema tu kusamehe mimi ni issue kwangu, kusema ukweli ata mimi i ussed to have group ila sitaki kulitaja jina mana kuna mtu umemzungumzia ndio alikuwa kati ya hilo group letu ila kutokana na unafki na kusengenyana mtu akikupa mia mbili yele uwiiii unatangazika wewe mpaka mipaka ya malawi, kiukweli mimi sidhani kama nitakuja tena kuwa na urafiki namtu eti wa kupeana umbeya sijui siri :broken-heart: :broken-heart: :broken-heart: rafiki yangu roho yangu kwakweli ingawa sisi wanawake mara nyingi kukaa na kitu mwenyewe huwezi ila nimeshaacha mambo ya urafiki nina ka story kidogo ila nikikaandika wahusika watajua mana kama nilivyosema wengine wapo kwenye listi uliyoitakja MANGE.. :blow: :freedom: :mangeblog:

    13

    0
  • duu! ngoja nikakojoe kwanza, leo ngoma inogile wapenda umbea full burudani

    7

    1
  • Bila kumsahau TK nae upatanenae na ukizngatia cku hzi kaokoka… mtasameheana kwa moyo m1

    4

    5
  • :blow: :blow: u are too honest I love that….. And u have guts gosh :masikio: :checka:

    10

    0
  • Umemsahau le mutuz ze mtindizz mbebs mkarez kuliko wote na bella aliyecheza growing up abroad sijui

    5

    10
  • Mange hujagombana na Irene Kiwia kweli? Sijamuona kwa list na juzi kapata tuzo ya africa hata pongezi hujampa. Lakini huyu dada haonekani mjini kabisa.. Hasomeki kabisaa!! Kumuona kwa nadra mpaka umsome daily news, au hamjawahi kuwa mashosti?

    5

    13
  • Mange dear, I love you go read ROMANS 12 verse 17-19. And do the needful hata huyo Nacky msamehe toka moyoni leave it to God he will surely deal with her.

    14

    1
  • nimechekaaaa.. uwii Mange wewe chizi,.. unafaa kwenye comedy.. eti… Hivi mnajua mbuta hawajahi hata kuniuzi…Yani Mbuta nashindwaga hata kukasikira kwa kweli….

    13

    0
  • Chief nimesomaje kwa kituo nimezidije kukupenda nahisi me and you we can cope :checka: :checka: :checka: maanaa ninavyojua kujishushaga kwa mashoga ila walikujaga kunitenda mpka nikachukia nakutomuamini shoga yoyote teeena yaani nimebaki kivyangu vyangu. Kweli umdhaniaye siyo kumbe ndiyo yaani ya Happy ness magese ndiyo imeniacha hoi..Ila mange :masikio: :masikio: :masikio: Shikamooo we Mwanamke nimwishoooooooooo :belly_dancer-1118:

    16

    0
  • Hiyo yako na Millen umenivunja mbavu
    Ila Mpare ukitoka kutype nahis uwa unaloweka vidole kwenye barafu,maana sio kwa gazeti hilo loo!! Vitakua vinawaka moto kucheza na kibod


    17

    0
  • Nacky ni mnafiki she can do anything for money. Akiwa Stanbic alitiwa na MD na wateja kibao wenye hela ni mchafu wa tabia mnoooo na kanapenda ushirikina bora Kama kaachwa.

    22

    0
  • Mange we ni noma hiyo ya kuandika riwaya ni kipaji
    sio siri umenipa raha


    8

    0
  • :muke: ndo habari ya mujini Mange lol nilikuwa sijui mengi leo ndo nimejua hadi mambo ya Flaviana kah….

    11

    0
  • Mange una kipaji cha uandishi hebu kifanyie kazi napenda sana uandishi wako hata umbea jinsi unavyoandika unasoma hadi unasikia raha…big up

    9

    0
  • List tamu sana hongera kwa kipaji cha kuandika… your problem is only one na ndio huwa inakucost kwa marafiki zako.. uko too real and too open with then and too trusting.. thats the biggest problem but huwezi kuacha because that is you and star yako iko hivyo… another problem ni you hate snitchers because you are real sasa wakiku snitch unaruka utazani unataka kumeza mawingu ..watu wanabaki wanakushangaa na hawakuelewi but in reallity unaumia sana cz all along you have been playing real kume they have been playing you its very bad… solution kwa watu wenye character yako be distant have one max 2 friends tell then everything bcs you cant help it origin yako ni kuwa close na watu thats make you happy cz you are social.. but those 2 people give them biti kali kwamba you hear anything out you strungle them that way utaishi vizuri .. blog inakusaidia sana otherwise ungecommit mirder case hahahaha…all in all i like umemuongea Mwamvita vizuri cz i so like that lady jamani sijuagi tu why namuadmire kthanks for airing it out now nimepata reason kamili.. daa make peace with her nataka muwe kama zamani.. i also pity her cz i can tell the friends hse has right now ni material friends i kifall aisee ndio atajua binadamu na colors zao.. but i know for sure Mange wewe hutaweza mtupa Mwammy as long as you are in peace with her..Nacky uwiii thanks for letting it out aisee ulichokiongea is 100% truth.. tatizo la udada wa mujini tabia zao ni open book yani i heard about her she is a cronical disease mungu amsaidie you have said it right Mange hujawa mnafiki hata chembe i hope she read this in a positive way ili abadilike aisee.. wengine by seeing their faces you can determine their characters hahaha :lol: :lol: :lol:

    14

    5
  • huyo tajiri wa ATL mnayemzungumzia ni Abdul Kimario, wala siyo tajiri sema anapenda wadada wenye majina na yuko radhi ku-spend, wadada na wamama wa hapa ATL wanapigana kwa ajili yake. na yuko generous sana na hela yake. ukikaa naye karibu tu ujue utafaidi pesa zake ila nasikia kwa bed ni mvivu sasa sijui ni ya kweli haya!

    23

    2
  • Leo foleni imekuwa fupiiiiii, ghafla niko home.Mange uko funny, unamsifia mtu then unampa cha kwake . Nobody was safe.

    15

    0
  • Jestina ni kweli anapenda watu wa majina toka tuko wadogo. yule hata ukiwa kiongozi wa kwaya kanisani atakushadadia na kujiweka close ili na yeye a-shine

    37

    0
  • CEO shenzyyy zako hili gazeti la mzalendo lahitaji maeditor watatu!!!! kunisomesha wakati wa kazi ndio nini?? bwahahaahah! Halafu hili gazeti huezi soma nusu uje kumalizia baadae walahi nimeweka kazi pembeni ntamalizia baadae!
    mi hua nahisi niko abnormal maana i have 3 friends i consider kama mabeste zangu wawili niko nao hapa Dar mmoja hayupo ila sasa hao wawili ambao tuko wote hapa inaeza pita 6months hata hatujaonana! hahahaa! na hata tukionana we only talk about our general issues only kama kazi, maendeleo na mahusiano kijuu juu tu ila sio vile vitu too personal, hapana I think we all keep our personal issues to ourselves, yaani hua siwaelewi wale watu wanaochukulia urafiki too serious kama Mange et al,…msinichambe mwee! I think we all have trust issues, hua simuamini mtu sana kwa kweli na inanisaidia kutokua disappointed.
    siaamini mtu sanaa not even my mother mfano nikihisi nikimuambia jambo fulani mama atamsimulia shosti yake walahi simuambii at all, same applies mtu akiniambia kitu akaniambia nisiseme jambo kama ni umbea sitosema kweli. Yaani hua najiuliza if I cant keep my secrets binafsi….who will???


    26

    2
  • Mama Bhokenzo mbona Nargis umemsahau ??
    Na Madine Chenge je?


    6

    9
  • Binti Mushobozi
    Reply
    Mange unanifurahishaga sana mama watatu. ila aisee Mwamvita hata bila kupewa story yake anaonekana mtu mzuri, ni mtu ambaye simfahamu lakini na huu unobody wangu natamani ningekuwa close naye, sembuse hao waliopata chance ya kujikonektisha kwake! Muhimu samehe hata kama hujaombwa msamaha, hata kati yao ninaimani kuna walio samehe tayari, kurudia urafiki wa group kama zamani siyo issue, ili mradi tu muwe poa.

    9

    1
  • jamani hiyo ya fausta imenishtua yani money doesnt buy you hapiness, ukiona mjeng wake na matrip yake ya Nyu Yoku utafikiri mtu yuko very happy kumbe analiwa na jamaa mwingine tena wakumuibia rafiki yake? daaaah hatari……sasa ngoja watoto wa mumewe wasome hizi habari huku wampelekee baba yao habari,,…..asije akarudishwa kishumundu tu

    22

    1
  • Mange mama Alaska mayai/mchele umewahi gombana naye nini na yeye jamani?

    7

    7
  • tunajifunza vingi sana kupitia wewe binafsi nimejifunza mengi sana kupitia hii posti ya maugomvi na mashosti. Ubarikiwe Mange mie naomba niwe rafiki yako tu wa kawaida i swear im loyal sana utanipenda mpaka wewe ndo utaniganda

    13

    1
  • Dada mange nr 27. Itakuwa Nuru Magram aka Nuru the light na dada Joyce Kiria. Hawa watu naona kama pia hamshirikiani as blogger. Je. Lemutuz? Au list ya wanaume inakuja??? :blow: :belly_dancer-1118:

    3

    14
  • Baba Bhoke alikuwa jembe lakufyeka wanawake wa mjini sana ….nikianza na list hapa ya hao wachache niwajuao aisee amshukuru Mungu sana kwa kumuepusha na magonjwa, ni kwa neema tu ya mwenyezi. Hivi wewe na Bimdo nani ndo alimuiba baba Bhoke kwa mwenzie??

    21

    2
  • Mange you are very right about jestina she seem to be using so much energy to make kila mtu awe rafiki yake, the girl has done really well for herself so I don’t understand kwa nini anapenda sana kulazimisha apendwe na wenye majina? Come on jestina we umekaa diaspora bwana have some self confidence.
    Ila mange una vituko sana kwa kweli Leo umenichekesha sanatorium kwa ku admit kuwa ulisengenya watu!
    On a serious note I think mtu uliyemkosea sana tena sana ni Zari, umemchafua sana for no reason whatsoever! Huyo ndio unatakiwa umuombe radhi. Diamond kuachana name Wema is not a good enough reason for you to abuse the poor woman!
    When she met Diamond he was single and free. Tena ulituandikia humu kuwa tusimtusi Diamond sababu ni Wema ndie aliyemuacha.
    Zari was just a single woman on a plane to TZ minding her own business when she met him. After coming from an abusive marriage/parterneship and a succession of wrong relationships which she entered into out of frastruation then all of a sudden this young man shows interest in her! Makes her feel valuable and special! So she fell for him sasa wewe na wema kawakosea nini?
    You could have justified your behaviour towards her if she was Wemas friend like Penny and took Diamond from wema when he was still with her. Lakini hapa uko very wrong my dear. We we night mama tena una mtoto wa kike the same as zari ni mtoto wa mtu pia na mama yake ana uchungu kama wewe ulio nao kwa bhoke, hakuna mwanamke anayependa ndoa yake ivunjike hata zari hakupenda kuachana na baba watoto wake ila mateso yalizidi ikabidi atoke. Hakupenda mu dear! So unavyomzomea hivyo sio vizuri kabisa! Unaweza kuwa mjanja sasa hivi ukamcheka na kum humiliate ila mungu akaja kumfanya bhoke a go through what zari has gone through na watu wawe wanam judge na mungu akuweke ili ushuhudie cos they say what don’t fall on you will fall on your children. Take note.


    54

    42
  • nimecheka zaidi kwa special case hahaha

    6

    1
  • Mange napenda ulivyoandikaa but ume paint picha Kama wewe ni rafiki mzuri kuliko hao uliogombana nao!! What about teddy kalonga ? You didn’t wanna be friends with her sababu alikataa kuitwa muke wa mzungu?

    7

    33
  • Jamani nimechekaaaaaaaaaa!!!!!!

    5

    1
  • Hahahahaha mange shikamoo nimecheka kwenye folen hizi za dar kha.ila nimejifunza kitu ugomvi wa mashoga zako wengi ni umbea na unafiki karibu wote ni sampuli hizo.na pia nimekusifu hapo kwa Eva collection na dada wa south.
    All n all i love u


    17

    2
  • mange samahan naomba u update hii post kwa kuweka na picha za zaman au baadhi ya matukio muhimu ya enzi zenu. itapendeza sanaaaa
    please mange natumai ombi langu litazingatiwa


    4

    12
  • Aisee huyu flaviana matata ni mnafiki jamani saaaaaana

    15

    1
  • Pia Kuna Dada anaitwa mylar yaani mpaka walichuniana ila sasa hivi wa naongea kisa unafiki tu. Jokate a nampenda ga na kumpost insta ila unafiki bado anampa duh huyu Dada hafai jamani

    10

    0
  • :crying-with-laughter: katika zote uloni maliza ni kwa Mbutananga nusu nijikojelee

    9

    2
  • Kaflav kanafikii kwanza kingereza kajua siku hz? Maana nakumbuka 2006 kulikuaga na audition ya tangazo la sigara basi nikakutana nae shooting under creative eye. .kitoto kilikua kinaongea pyeeee.
    Ila on that other hand she made it. .alikua anasemaga anataka kuwa international model. Kwa hilo kafanikiwa. Ila she has no class..

    18

    3
  • I’m glad umeona Kua you owe Eve collection an apology. Uliniboa sana that day because technically she didn’t do anything wrong, baba Kumpa pesa binti yake isn’t a crime. Ungemjua ungejua kua shes genuinly a good person. Asante kwa kukiri Kua u need to apologise to her. It takes courage kukubali pale ulipokosea.

    41

    2
  • I know you said KiKi was your best friend and I would love the two of you to still be friends. It’s my opinion tho

    2

    61
  • mange nimesoma gazeti lako mpka macho yanauma ila umejua kunifurahisha.
    Wote pale wanauma na kupuliza tu hlf design wanaogopana wale ila unafki umewajaa…
    :lol:
    :lol: :lol: :lol: mange fanya uandike kitabu aiseeeee cha maisha yako, hata hao kina mbuta wakisoma gazeti lako itabd tu wacheke sema wanajitia uwendawazimu Kama vile dozi haijawaingia
    :crying-with-laughter:
    :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter:

    19

    0
  • Mange kwa hiyo kama una update news Friday au Saturday ndio hata comments huachii umenikeraje… Comments za SAA 7 nilizoziacha hadi sasa ndio hizo hizo.
    Speaking of the devil hapo kwa Sinta blog jaman mbona kumedodaa kumedodaaa…. Siku hizi akiweka post utakuta comments 2 Mara 5, kumechuja kukachujika. Nowadays.
    Mid kuna rafiki yangu huyuuu sijui ka nitamsamehe alini embarrass mbele ya kadamnasi na kunisemea vitu vya uongo kibao… Nimemchunia tulii kaweka status whatsup hajaona sijamasemesha, sijamjibu akichungulia kwangu anaona status available akaamua kuacha, ile nimempanga nitakuja kumu embarass Mara NNE yalivyonifanyia mimi so she will see how hurt it is… Nasubiri siku tu… Otherwise marafiki zangu wooote Niko cool nae kasoro huyo bedui

    11

    6
  • U are just amazing!!!

    8

    1
  • Hahahahahaaaaa, Mange uko vizuri… Asante kwa Thorough Clarifications ya hali ya uhusiano wako na walokuwa friends zako. Urafiki wa watu wengi ni mtamu sana na pia ni mchungu sana sana, Hasa ndani yake kukiwa na watu wenye nja na wasio jali utu wao, hao ndo nuksi kwenye urafiki… Wenye njaa wanakuwa wapo kikazi zaidi so kazi yao inakuwa ni kutafuta shibe kwa njia yoyote whether itabomoa, ita ua they do not care at all mradi wamepata wanachotaka. So, Ukiwa huna njaa, una utu, unajithamini,hauko fake utakuwa unabeba msalaba mkubwa sana kukaa kwenye urafiki wa watu wengi ulio na watu wenye njaa, wasiojithamini, wasio na utu na zaidi wasio na future yoyote ya maisha.
    Kwa experience yangu, rafiki mwenye njaa hafai kukumbatiwa hata siku moja, lazima akusaliti tu coz shibe yake ni chokochoko tena chokochoko kweli zitazoweza kushawishi upande wa pili umuelewe na kumpa fursa. Pamoja na kuhitaji rafiki alio chini yako kimaisha at times but mara nyingi ni risk kubwa na lazima ujute mbele ya safari. In that case kuepuka urafiki wa karibu sana na watu wenye njaa ya maisha ni jambo jema sema. Mara nyingi mtu mwenye maisha yake mazuri ubaya wake unakuaga sio mkubwa kama mwenye njaa na mara nyingi yanakuwa ni mapungufu tu ya hapa na pale na mambo ya bahati mbaya zaidi tofauti na mwenye njaa anakuwa anapanga kabisa mikakati ya kufanya lolote linalowezekana ili atoke…


    15

    1
  • hhehehe jamani,urafiki wa magroup ni shida yaani ni shida ,kwanza ni vigumu kwa wote kupendana yaan msijidanganye hakunaga true love kwenye urafiki wa magroup,maana huyu hatampenda yule wakati mwingine hamfeel kivile mwisho wa siku kuchukiana,sasa ukatane na mwenye roho mbaya katika group weeeeeee utafurahia show maana atang”ata pote pote
    alafu mange hawezi kuongea sababu ya kigugumuzi ndio maana anaishiaga kuandika ,yaani kama mimi uwiii kubishana utanionea huruma ila kuandika aaaaa hunipati lakini me huwa naacha mwisho wa siku na kusahau lakini baada ya kutapika yote
    huwa hata sikukumbuki na sitaki kukukumbuka ,ila the truth is urafiki wa vikundi ni sumuuuuuuuuuuu pia na urafiki wa ukubwani ndio kabisaaaa hakuna rafiki ukubwani


    8

    1
  • mmh mange umenifrahisha sana BT m nilichogundua source ni mwamy woooote walitaka kukupindua kwa mwamy

    31

    2
  • Hahaha,, mange umenisahau Na mimi kidogo upoteze msomaji mahindi wa boy yako,, maana nilivyoona unagombana Na kila mtu sio siri chuki Fulani ikaniingia,,, nikawa nakuona hufai Kabisa ,,, ila for some reason nimesoma hii post,, nimekupenda ghafla,,,,,,, jamani mange hivi ilikuaje ukagombana na kale kadada kapole tena kameokoka teddy kalonga

    19

    9
  • Yani Mange nikiboko nimecheka, nimelia.nimesikitika Na mimi siyo Rafiki yako ila nimetamani ni kupigia simu tucheke wote, yani umejaliwa kuandika :champagne: :champagne: Mungu awabariki wote m same heave. ..BIG up to Dada wa Mwamvita jamani Mnaonaje CCM wakimsimamiaha Mwamvita Kuwa Mgombea Urais atasaidia Masikini kitu jeneba Mashule na hospital kila mgonjwa atakuwa na kitanda na dawa zitatolewa Bure..na wazazi wasiyo na uwezo wakusomesha watoto watasoma Bure :mangeblog: :mangeblog:

    20

    1
  • Nunua gazeti ujipepee

    2

    11
  • mange ur a very good woman ,huna unafki ila nilichogundua watu hawajui waishi vipi na mtu kama wewe yani wewe ni bonge la mtu,yes u have ur wekneseses but nkikusoma kwa mbali weakness zako zinabebeka kabisa yani zinachukulika kabisaaaaaa,ila pole n kama vp ukiona watu wanakufanyia usiyoyapenda kiasi cha kuhatarisha maisha yako au kama yanakuaffect that much direct bsi we chakufanya wapigie kimya mazimaaaaaaa,hata wasipojua why umewapotezea much betta wapige bonge la unyanyapaa,kimya kina mshindo vibaya mno mange,we poteza tu fanya yako,ila yale yasiyovumilika ndo wachane live but kuna mengine we tupa kule,
    sasa c mpaka uweze anyway mana tunatofautiana jinsi ya kuhandle issues au problems yes we differ,sme issues but mapokeo ya watu zaidi ya mmija huwa ni tofauti kabisa na kuhandle same issue ni tofauti kabisaso smtimes huwa nasema ok as long as hampi shida she or he is fine with that na sio crime may be then i respect her way of doing her life,so mange if havikupi shida deep down ur heart ok but kama vinakupa shida then wapotezee usigombane nao hata chembe tupa kule,
    otherwise i lap yu minge( in chenthoz voice)
    :hakunaga:

    :mangeblog:

    13

    0
  • ila nimecheka wewe mange chizi sana hahaha ,sasa kwa mbutananga ndo nimecheka kwa nguvu eti special case hahaha kha.

    10

    0
  • Mtu kama hujamjua mange, physically au kwa u-turn kiukweli utamchukia sana. kiukweli mange ni mtu poa sana, ni muwazi na mkweli. Nakupenda sana Mange ingawa sikujui :blow:

    20

    2
  • Yan nimecheka dah! na kweli km Millen alivyosema ukianzisha tv show utapata viewers wengi sanaaa,am sure hata haters watacheck huku wamenuna km ambavyo wanasoma ili gazeti lako sahv.

    30

    0
  • Yani I was like Mange kuwa na marafiki msururu, wote wakanitoa kafara kisa mimi niikuwa single wao walikuwa na mabwana so wakawa wanaogopa eti nitawaibia so wakawa wananita mimi Malaya, nikachukulia poa maisha yakaenda, now Niko na hubby na watoto wawili ,, wao wengine wameachika wamekuwa ma single , wengine full migogoro na Waume zao
    Basi imebaki tu km hivo..nimejifunza mengi mno, nilikuwa nikionewa sana na kutetwa mno, now rafik yangu ni familia yangu sina zaidi and am so happy no stress kbs


    32

    1
  • Ugomvi mwingine kiukweli wakijingaaaa…most bou Kuwa close na mwamy….Kuwa wa mjini ni sheedaaaaaaa

    17

    1
  • muke ya mkurya.
    Reply
    Ujue kùwa kila mtu anayetaka urfk kwako lazima apate kitu kutoka kwako, hilo tambua hata aweje anajua ipo cku, atapata kitu kutoka, kwakwe alkadharika nawe pia. Ushauri samehe acha maugomvi fanya yako, mkikutana hi hi biashara imeisha, rfk zako n ndugu zako. Kila la heri :blow:

    13

    0
  • Heshima yako chief :blow: yani Mange hii analysis ni 100% correct uwiiiiii! Kwa flaviana ndio 120+ yani hakuna cha chumvi sana sana umesahau baadhi ya mambooo…yani Flaviana ni mnafkiii na snitch hatareee. Nakumbuka habari za Mange sijui hatakaa aingie Marekani kipindi kile umerudi Tz na Kenzo nadhani kama sijakosea niliziskia kwa dada zangu flani hivi ambao hao waliaambiwa na flaviana. Yani flaviana alikuwa ana habari za Mange utadhani yeye ndo US Embassy aisee. Ukimkuta anawasema hao kina Nancy utasema uwiiiii huyu demu nyoko baada ya nusu saa unaona kacoment kwenye instagram or kitu alichopost Nancy, Faraja au Mama Mengi in a positive way. Hapo ndio nachokagaaaaa kabisa nasema shkamoo kimbaumbauuu. Sauti yake tu akiongeaga mi ananichefua aisee na anavyojidai anajua kwenye hayo mambo ya humanitarian while ni fekeroooo na elimu yake ya kuunga unga ndio nachoka kabisa. Ukiwa na roho mbaya hata milango ya baraka inafungwa ndio maana dada wa endometriosis kaanza kampeni zake juzi kati tu leo BET ina mrecognise. Yeye na vi project vyake hata TEA hawamtambua pumbafuuuuuu hiyo yote ni hasara ya roho chafu. Ila kwa MbutaNanga ndio kumeniacha hoi kabisaaa; hata mimi nampendaga aisee ukichaa wake ni burudani ya wengi. Hadi mwanangu ukitaka acheke wewe tu sema Mbutanangaaaaaaaa atachekajeee na uji atakunywa bila hata kulazimishwa.
    Uishi milele Mange maana mjini bila mahabareeee amaizing kama haya lazima ufe mapema na stress za foleni, maisha magumu etc :teammange: forever babyyyy


    49

    1
  • mange bigup

    7

    1
  • Mimi nilikua NA rafiki Angu nilimpenda sana tulikua twaishi mtaa mmoja mwasele shy daaah my mam alikua hapend urafiki wetu lakin nilikua naona kama ananionea tuu akienda dukani akinunua kama ni chupi au nguo basi mi pia ntaenda nunua ka yake kama nikipka kwetu kitu kizuri nampeleka basi mi kwao sikauki lakn alitenda sana kwa watu kutoa siri zangu NA kunichukulia bwana Angu ambae nilikua Nina ujauzito wake nilichukia nkaenda utoa bwana alinichukia hatari lakn hadI leo Nina Nazi mwanajeshi ila nimemsamehe lakini simuamini tens hapendi maendeleo

    11

    1
  • Mange unajifanya umewasahau C’z mom na Baby ya Mange???

    6

    12
  • just put God first before anybody ,yeye atakuinua na kukuonyesha walio wa kweli,some people had to be in your past life sio lazima muendelee huko mbeleni

    7

    1
  • Mangeeeeee hahahahhahaa uwiiiiiii nakupenda sana daah leo umenoweza :checka: :checka:
    Nimesoma gazeti hili toka nakunywa chai mpaka usiku huu ndo namaliza daah…maana nilikuwa nasoma kidogo kidogo
    Ila daah yani umenivunja mbavu leo :checka: :checka:
    Nakupenda bure mange mi sijui mtu anakuchukiaje ww yani mm naww tungekuwa marafiki zingeiva sana maana wote tu vichaa ila umbea tu ndo sitaki yani tunge deal na ya kwetu tu :checka:

    5

    1
  • Mdau yule waziri mwenye picha ya kichupi no cs mum…sijui kapotelea wapi jamani….
    Cs mum where ar yuuuuuuuu????
    Marichui mlete cs mum we miss her jamani :crying:


    11

    2
  • Hahahahaaa sijawahi kucomment ila jinsi ulivyoichambua list hatari

    7

    0
  • Im not sure if I have time to read this your magazine. I went through all the names that was enough. I truly like the very last paragraph because it shows how strong you are. Not very many people have audacity to come up with that number of people like you. Most people are fake and backbitters. We as human being are not perfect and above all each one of us have different personalities and backgrounds, so it is very important we learn from each other’s mistake. One thing I will tell you Mange, dont ever Condemn another persone, always bless them cause in the end it is not between you and them but God.

    11

    1
  • pia usiruhusu kufanya kila kitu mashabiki wanachokwambia,shida yao umbea but yakilipuka hey are no where to be found,kama issue za kuchambwa instagram,mbona hawaji kustand by ur side,ila huku ndio ongea mange ongea mweeeeee binadamu ni kazi

    11

    0
  • Ndugu yake Koku
    Reply
    Pole arifuu!!!!! Mimi na wewe hatuna tofauti….most of my old friends mimi ndio nilikuwaga nawa introduce to each other at the end of the day mimi ndio nageukwa naoneka mbaya bila sababu. Ila sasa hivi nimejifunza rafiki yangu ni familia yangu na mume wangu thats it. Though nina best friend mmoja tu ambaye ndio aliyebaki kati ya wote nilio wa :ass-kicking: . Though we are far from each other ila tunawasiliana na tunacheka na kulia pamoja. Mange ishu niliyotaka nikutumie nimeona niipotezee tu baada ya kuona na wewe umeipotezea arifuuuu.

    4

    0
  • Daah yaani nyie so called dada zake Bismin maana ndio mtoto wa mjini pekee ninamjua asie toka pale posta, mna kazi sanaaa yaani group lots hilo kama darasa maana watu more than 20 ni wingi wa darasa kha. Hapo umbea majungu muhimu kwakeli. Mie rafiki wa hivyo hata mmoja si aaa ya urafiki wa juu juu urafiki wa hivyo nilikuwa nao shule tena secondary lkn mako nilikuwa maji ongea mambo kwani tayari ama yangu alishanifunza kitu juu ya marafiki.
    Nakumbuka siku moja nili kwenda home na rafiki yangu ndio urafiki wetu umenoga tunasoma darasa moja ila si ki hivyo huku naogopa ogopa nikienda kwao mwenzangu poaaa familia yake iko poaa mpaka kaka, dada zake walikuwa wako poa na mimi tena kaka yake mmoja alikuwa anasoma na kaka yangu. Basi siku hiyo akaja home aka mkuta mama akasalimia vizuri ila nishampa tahadhari mama yangu ni mtu wa aina gani akakaa alivyondoka tuu. Enheee mama yangu a alinipa onyo kali sana sitasahau, aliniambia sitaki marafiki na sitaki ku kuona una urafiki wa kufatana fatana na huyo shoga sitaki kumuona hapa mwisho leo. Kha nilichoka nitaanzaje kumwambia mama yangu hataki ku kuona, basi kesho shule nikajikaza nikamwambia mwaya usiwe unakuja home mama yangu mnokooo akaelewa, ila shoga yangu alikuwa mpoleee namsiri sana. Hee baada kama miezi kadhaa si shoga yule akawa akija shule ni kulalaaaa darasani Mara shule haji na mie ndio najulikana pale shule ndio rafiki yake basi nilisumbuliwa na maswali yuko wapi shoga ako, jamani mie Sijui na hapo sijui kweli. Kuja kugundua ana mimba kuuuuubwa kha! Yaani hata mie hakuniambia na sikujua hata mwenzangu ana boyfriend niliogopa hata kumwambia mama, but nili ficha Siri ile ili mama yangu asijue kuwa yule shoga shule kaacha shule kwa ujauzito mpk alivyojifungua nikawa naenda kwao kumuona, ila mpka leo ni rafik tu wa juu juu km japo hatujaonana miaka mingi. loooool ndio tangu hapo nikajua kwanini mama yangu alikata kata kata kuwa na marafiki na mpaka leo sina rafiki wa chupi na gagulo wa kujuliana ya ndani. Mia huwa nashangaa mnao waeza kuwa na msururu wa mashogaaa hongera na pole yenu maana hiyo full time job nao wengine wanafiki tu ukipata kitu kumzidi ata mind huyo. Nimejichanganya zangu na wanaume yaani ni mwendo kucheka Ma deal na maisha kwa kwenda mbele ila kuna wanaume nao wambea wambeaaaa hao hapana kabisa.
    No friends no stress, no zambi :checka: :checka:

    Mange you don’t need a friend wa kuuutwa kufatana fatana Mara hotel Mara bar hii mnakuwa hamna muda wakufikiria maendelo. Bora hivo hivo na wanao unaona haya unapata muda wakuwaza kutafuta njia za biashara za kukuingizia pesa, hivi ingekuwa na lile group si ungekuwa mnawaza leo kujirusha wapi , leo shopping wapi sidhani hata kama Keanu angezaliwa leo hehehe just kidding, maana ungekuwa busssssy kila after 3 months uko Dar kujirusha na friends. But all in all everything happen for reason ona leo hii umetulia kimya na familia yako tofauti ndogo ndogo ni ki za binaadam tu no one is perfect :blow:
    Haya wale mliotaka kumpatanisha Mange na shoga zake habari ndio hiyo anzeni mchakato sasa wapate heheheee

    12

    1
  • ZinjathropasBaboon
    Reply
    Sasa Stella Tilya maelezo ya nn? Halafu hata hujui kuandika maana hakuna tulichoelewa. Eti hunaga kinyongo na mtu nyoooooo, yale matusi uliyomtukaba Zari yalikuwa ya nn and with no apparent reason. Eti muke ya muganda, hivi unajiitaje muke ya flabi while huyo flani hajawahi kamwe na hatakaa akuclaim? Unamgwaya sana mange, na maisha ya Zaru yanakusumbua sana hahaaaaaaa, utabakia kusema u r blessed n have no gutts yo show ur blesser hahahhhaa nyambaf. Kiboko yako mangr na kay kivila. Umemkuta zari mstaarabu ila ndio anakukomesha kwa actions tu mammaamaae :ass-kicking: :ass-kicking:

    6

    13
  • Mara nyingi mtu ukigombana na rafiki yako mpenzi marafiki wanafiki ndipo wanapochomoza mikucha yao. Niligombana na rafiki yangu mmoja kwa kuchonganishwa adi tukapigana. Yule alietuchonganisha akawa katikati yetu. Mie ananambia haongei na yule na kule anasema haongei na mie. Kumbe anataka tuongee ili siku tukikosana au akikosana na yule aanike yalosemwa. Siku niliposhtukia anaongea na yule roho ilifanya Paaa..niliishiwa nguvu na speech. Nililia kwa hasira na uchungu na kumuona Ni mtu mbaya sana. Nilipomweleza akaanza kunigeuzia maneno ili wanichangie na huyo mwingine nikaamua kumuachia Mungu yote. Ila adi leo nikiwaza roho inaniuma sana. Namuogopa uyo dada ka ukoma. Na anavojifanya friendly na watu sasa mmh. Unafiki mtupu. Na wengine walivoskia tumegombana wakaanza kufurahia nao wakanigeuka na kunitukana kila kona. Ndo nkashangaa mm hawa Mbona sina mabifu nao? Kumbe Ni wale wanaokuchekea uku moyoni hawakupendi. Wanasubiri siku wapate mwanya wakuattack for NO reason..kwa chuki zao binafsi. Sasa kama mtu humpendi y upoteze muda wako kujifanya unampenda? Wanawake tuache roho mbaya..maisha mafupi. Usimchukie mtu akikuzidi kitu fulani muombe Mungu nawewe atakupa. Chuki hazijengi zinabomoa.
    Huyo Nacky nae akome unafiki khaa!! Katika wote uliowataja Mange simpendi huyu nacky na Kiki..Kiki ulikuwa ukimuona ktk blogu kutwa kanuna..ka kalazimishwa. Uyo nacky mkorogo mbovu tu unakufanya umjue kuwa ni shambenga la mji lililoshindikana. What a shame :bitch: ..


    7

    0
  • we binti ni kichaa
    Reply
    Nimeipenda hii sana mange aki ya mungu hujatulia, ila.you are blessed, am.sure tafiki yako.mwam akisoma hii atakuwa anacheka sana, ila.ukweli mange kiki sio rafiki mzuri hata kidogo, wanyakyusq wengi wanafki sana, ila.kwa tabia uliyoeleza ya kiki ni zaidi ya wanyaksi, loo hata akikuomba msamaha mama kaa nae mbali, mi kipindi anakuja dubai unamuacha ma mumeo mmh nilikiwa sikuelewi mama, ila watch friends ni wabaya sana, mi kweli sijawahi kuwa na rafiki wa kike maisha yangu yote toka nizaliwe sababu ya nafikiri uoga au uzembe? But am for that, sipendi makundi

    10

    3
  • Mange nakupenda sana mpka najishangaa…nachokupendea aufake ,jaman hamna Cku niliyoumia Kama Ilene baruta iliyowekwaga na sintah kuhusu wewe una cheat,apo ndo nilijua hauna marafik wa kweli.
    Mingus mkubwa mange Kama umeweza kuandika hivi ushawasamehe na ata usipopatanishwa endelea na mambo yko mungu atazid kukufungulia,
    Zaman watu walikuwa hawakuelewi nowadays naon watu wanakuelewa.
    Endelea na marafik zako uliokuwa nao sasa na familia yako,ata awo uliokuwa umegombana nao mkipatana uwe na mipaka nao.


    6

    0
  • WEWE UNAONEKANA UNA STRESS FLANI AU LONELINESSS. HONESTLY, MTU MWENYE HAPPY SOCIAL LIFE HAWEZI KUISHI KWA MABIFU KAMA WEWE. HONESTLY HUKO MBELE KUNA LONELINESS SANA. WE UNA DEGREE YA UMBEA WEWE. RUDI BONGO KWENYE MORE STRESS FREE LIFE NA UPATE MTU WA :hump: :hump:

    13

    47
  • jamaq c’s mum kawa Boss Lady sikuhizi ananata hahaaaaaaa :lol: ! anakuja nilichat naye anacheka Balaaaaa ……anasema Wanaoota kagombana na Mange Waugue Pole ……yeye ni Team Mange Forever ……. :yahoo: :yahoo: :yahoo: :yahoo: :yahoo: :yahoo: :yahoo:

    26

    0
  • Kaka yangu Baba B….. Balaaaaaa chezea ….
    :crying-with-laughter:

    Kawafunua funua halafu huyooo Katoka Ndukiiiiiii UK …..

    16

    0
  • This tea though? Mange ingenoga zaidi kama ungeweka picha za hao uliogombana nao kwenye kila posti. Ingenoga sana. Sema mange nakuvukia mikono ulikuwa na mashosti balaa mweh.

    2

    5
  • Nai Nai
    Mshamba
    DHW
    Ngosha
    Baby ya Mange
    Mswazi Fatma Mtanga

    Nimewamissss Big Time yaani ……Mtudeep siku Moja moja basiiiii ………
    Maudodo umekuwa Mvivu kama Unaprego vile ohooo tutagombana ! we haya we :checka:
    Tajibeba kaibuka leo ….c’s mum where are youuu my sisto , am calling you ohoooo……in “Mama Gee’ Patience Ozokwor voice ” :crying: :crying:

    16

    0
  • Rafiki # 26 sijaelewa kwa nini mpaka apate ruhusa kwa mwenzie…….kuna usalama hapo kweli …… :shocked-1341: :shocked-1341:

    11

    0
  • Mwenzenu urafiki wa magroup ulinishindaga maana unahitaji uwe na muda Kwa kweli tena muda mchafu. Nikishaingia home nikatinga kanga yangu moja na Mr. kwa pembeni habari ya kuanza kupaka makeup kukutana na mashosti sijui wapi naona Kama adhabu…

    14

    0
  • # 23 alivyofungua blog ya kumtukana Mange jamani nilipata kibarua from no where ! yaani kama Nalipwa vile …nilikuwa na kazi ya ku-google Magonjwa ya Kaswende , Gonorea, fingirisi nacopy na kupaste kwenye comment hata mara mia moja kwa siku , kuchanganya changanya watu na Mitusi yao ….jamani ilikuwa inaniuma Balaaaa kama natukanwa mimi …….! yakizidi Natukana na Mimi uwiii Mungu utusamehe tu kwa kweli ……
    Shoga yangu c’s mum yeye alikuwa anakazi moja tu ya kucopy na kupaste Wimbo wa Taifa hahahahahahah ila akiamka na mwezi Nchanga kama Miss Lyimo ohooo anachamba Balaaaa Matusi ya Hatareeee hahahahahaha Mama Watatu we eee Muke ya Muarabu …chezea …….yaani kama Wajinga ……Yalikuwa Mapito tu ingawa yalileta Urafiki between us lol !

    33

    0
  • umemsahau lady JayD. Si alikua mpambe wako wakati unatoleewa mahari. Mpaka Gardner mkavalisha nguo ya msikitini na baba kenzo mksingia wote. Now zzzz hata harusini hawakuja kama sikosei nae bifu lilikua nini? Ila bella ni mbea kwelii usoo mkavuu tena umkute live unaweza cheka ufe. Pic zinambadilisha mnoo… :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: . Hilo group lenu mange lilikua kubwa. Kugombana na unafiki ni lazima. Ashura sapi na jack nae imekuaje? najua mligombanaa na mitusi juu enzi za utamuu. :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: . Mnabalaa nyinyi. Wacha tu nibaki na umatumbi wangu. Kungatana ngatana hivyo kama njiwa kamwagiwa mpunga siwezi.
    jestina sijui anataka nini.. now kamvaa junaithar na anajua junaithar kalala na petiman. Hapo hapo jest best wake esma juzi katoka kumuona na kumpelekea zawadi ya mtoto. Hivi yule hakomi kipigo alichopigwa kwa umbea ha ha ha. Bora wema alivyojitengaa maana alimvaa haswa. Akimpa kisogo anamgonga. Duh. :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: mbutaaaaaa yesuuu na maria na joseph :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter:


    9

    0
  • Nakumbuka siku ya Uturn Valentine Kurasini Mama yako aliwatambulisha shoga zako kuwa ni ” Mange Spiritual Sister’s”
    waliotoa tabasamu bashasha ni Mwamy, Jose, Loveness, Muke ya Muzungu wa Kawe na Adeline
    jamani # 8 na 15 Walikuwa Wananyali kinaa fulani hivi ….nilikuwa Jirani na Dada Mmoja hivi hatujuani wala nini tukaanza kuwasema hapo hapo :ongea: kuwa mbona hawa kama hawafurahii !hahahah chezea umbea wewe …. sura zao zilikuwa zimewapalama !
    kwa kweli Mwamy ni Binaadamu na Rafiki wa kweli kwako , Nakumbuka tukiwa Njiani alitangulia mbele na Gari yake akasimama , akashuka na kuanza kuita Magari kama Trafiki …hahahahha very funny Woman huwezi amini …….Baada ya hapo tukacheza naye Muziki na watoto kweli kweli wale wengine wamejifunga tu Mikono yao kwenye Viti na sani glasi zao ……kiruuuu!

    22

    0
  • Wapi yule Muuza vyupi na Makoseti …naye si ulishamchamba hapa kujiunga Urafiki na Baba Kenzo IG hahahahahahahahaah …chezea Mange wewe …….

    17

    1
  • Aisee mange lol syo kwa mgazeti huu mpk nmehsi ubongo unachanganyikana kwa kusoma ila nmemaliza NMEJIFUNZA KITU..kua KATIK WANAWAKE WOTE RAFIKI WA KWELI NA WA KWANZA N MAMAKO MZAZI TU…WENGNE MZOEANE KIMAISHA YA KAZI NA SHUGRI ZA JAMII THEN kila mtu kimpango wake…yalishankuta nimekoma kuwa na marafki wa benet…na MUAMIN KWAMBA…UKIWA NA RAFKI MPENZI WA KUFA KUZIKANA…SK MKIZINGUANA HATA MKIJA PATANA hamuwezi kuwa km zamani mtabaki ju juu tu..mfano mzuri mm mwenyewe yalinkuta.. TAZAMA MAREHEM KABUMBA NA RAY….ZAID AUNTY EZEKIEL NA WEMA SEPETU..WAMEPATANA LAKIN ABADAN HAZIWEZ KUIVA BENET KM MWANZO ISHATOKA IYO..CHA MSING SALAMU IPO.

    10

    0
  • Hata hakimu huwa hahukumu kwa kusikiliza one side of story…. Ila mburulas ndo wataamini

    4

    22
  • C’s mum I really miss you so much, fanya urudiii jamaniii. Yellow kale ka picha mtu ameshika sikio ndo kalikuwa identity yako karudishe

    9

    1
  • mange huyo no.10 ni kama dada angu wa damu yani toka nitoke anapenda kukosoa huyo ila hajui kukasirika. anaweza akakukosoa siku nzima mpk kero ni bora uwe hujali lkn kama ni mtu wa kujali mbona nyongo itakupasukia tumboni lol! by the way mange nakipenda ulivyo mkweli unana pia na dada angu coz ni mtu wa kusema ukweli sana haogopi mtu wala kitu kama umemkwaza lzm akwambie hapohapo na maisha yanaendelea. sema baadhi ya sisi binadamu hatupendi kuambiwa ukweli! ukiambiwa ukweli unakasirika na haukawii kumchukia alokwambia ukweli. mwisho tupendane jamani duniani tunapita.

    11

    0
  • I Swear Najihisi nina mengi ya kuandika ila najua nitaharibu bu ila makubwa 1.Nimekupenda Mange mara 5000 ya Mwanzo 2.uko mkweli na muwazi 3.u are the best, ok ishu ya flav anamsema kila mtu huyo mtoto ni mbaya mno alimsema demu faln kuwa ashukuru kapata bwana mwenye pesa mana alishaanza kuchuja kwa kujiuza south… lol niishie hapa nisije nikaharibu. NB: mange tv show kiukweli ni muhimu reality tu unashoot huko unatafuta tv bongo ya kukurushia lazima sponsor’s wagongane kudadadeki…

    9

    0
  • :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: mange ww una nini lakini eti special case :lol: :lol: nakupenda sana Mange binti kimambi

    8

    1
  • Hahaha Mange u just made my day! How do you feel now that Mwami is tight with Kiki and Nacky? doesn’t it hurt you; Mwami is smart. She chooses her friends wisely, i am pretty sure she’s comfortable having Kiki and Nacky as her bff’s.
    One Love Africa!


    4

    49
  • Yuko wapi yule mke wa mzungu aliekuwa anatutambia anashonewa weaving na mumewe :checka: :checka:
    Na bijoux?


    10

    0
  • Yuko wapi hilda ringo?

    8

    3
  • Mange kosa lako ni ku have your other friends become friends with your other friends. Ni hivi, kama wewe ni mtu wa watu, then you need to have different groups of friends. Friends wa kazini, friends wa nyumbani(your neighbours), friends wa wazazi wa friends wa watoto wenu, friends wa mambo ya dini (misikitini na makanisani), friends wa gym and etc. You get my drift. Ukitaka ugomvi wa changanye hao friends. Yaani the only time these group of friends should meet is when you have a get together at your house. Otherwise, wajuane kwa mbali tu.

    24

    1
  • Mange wewe ni kiboko, flaviana matata ni malaya kufa Sijui kama hajaathirika huyu mwanamke. Halafu wanaume wote wanamtia ukiangalia kwa karibu ni shoga na wake zao. Mr. Sembe kashapita hapo. Halafu juzi juzi katoka kusotwa alivyokuwa china, kachonganisha watu Kule balaa. Demu huyu ni wa kumuogopa kama ukoma anakuchekea halafu anakusema. Mange wewe Ndio ulikuwa unamalizwa Na huyu flaviana. Kutwa kukusema dada wa watu Mara mange hivi Mara mange vile. Mwaka huu watu washamjua, Akiona watu wanapatana lazima awagombanishe.

    23

    1
  • Mimi nimevutiwa na ya TK tu…Neno la Mungu liko ndani yake…usiposamehe na baba wa mbinguni hatokusamehe…Na kama una kinyongo hata ukiingia kwenye deep prayers..ni bure tu…u got to be clean..Teddy Kalonga my dear…nakupenda sana..na Mungu akubariki daiama…Joshua 1:3 usome..kila mahali nyayo zako zitakapokanyaga utamiliki Teddy… :blow:

    13

    3
  • Mange huna mpinzani, ukae ukijua huna mpinzani wewe.Nimecheka miss ushuzi anahaha huko marekani, wale wadada wamempeleka mahakamani. Hilo sheshe litakuwa la kufunga mwaka Ndio case ya kwanza kama hiyo kwa watanzania Wanao ishi marekani. Sasa kichekesho waliotukanwa wote wana makaratasi ma baadhi Yao waume wao wana kazi na hela za maana. Kama kuna mmoja pale mme wake Yuko na kazi na watu wa usalama USA. Sijui alikuwa anawaza nini huyu miss temeke. Mange umemponza mwenzio, wewe hutungii watu story kuwachafua, wewe Unawapa I kweli.miss temeke yeye katungia watu story ili awachafue. Kama alikuwa anakuiga basi amgalau angefanya kama wewe lkn sio kutunga tunga tu. Na hata kama ukiwa sued una weza kulipa lawyer sasa huyu miss ushuzi Ana lawyer wake mnigeria Ndio anaemjaza ujinga. Hili movie la mahakamani mange lazima ulirushe humu ndani.

    17

    1
  • muddy washington
    Reply
    Leo ni mwezi 15 kwa waislam ni siku nzuri sana ya kuombeana mema na kutakiana kheri pia kuombana msamaha tulipokoseana ,so Inshallah Allah akupe mema zaidi na akuondolee mitihani duniani na akhera.WOTE Semeni Amina.

    41

    2
  • Hahahahahahahahahhahahahahahahahahhaha!!!Hiyo list Chief nilidhani na mimi utanitundika wacha nikurupuke na kuhaha asubuhi maana hatuna ongea siku nyingi.Caption zako mie hoi najichekeaga mwenyewe kama chizi .:checka: Ngachoka

    10

    0
  • Mange most of this peopl are of ARS eehh usijali watakula makonzi ya Mr. Sahibu soon.
    Mmarangu Ars school ni Nafue na Ikumbo tu na we we banaaaa…
    Nacky angekuwa mzuri tungemkoma Hahaha Hahaha ashukuru MUNGU weupe unafunika ili sura lake baya. She is super fake analiwa kiboga kisa hela nyambaf :bitch:

    2

    0
  • muddy washington
    Reply
    TAJIBEBA napendaga sana kusoma comment zako,sema siku hizi hutokezei sana,Uko na ma responsabilitee ya mingi pengine ndio vile unapotea sana.

    9

    1
  • Mange marafikiii woote hao wanakukosaaa wewe tu.?? :ongea: Yaani wewe ndo victim tu. Duhh..mmh. kazi ipo basi… :lol: .

    3

    18
  • mwanitakiani a.k.a maimuna
    Reply
    Abdul Kimario, kaka yangu mtoto wa bamkubwa marehemu, Muhidini kimario!! labda awe kimario tofauti. Sijauwa kama tajiri !

    5

    0
  • Yani Mange hilo group lenu linaonyesha we ndo ulikua mzizi wao na Mwamy ndo point of interest , tatizo kubwa wote mnatabia za kimbea mbea na group lilivo kubwa basi ukimwambia mmoja likifika kwa kila mtu anatia chumvi yake kama kuna mtu alikua hapendi we ndo uwe juu kuliko yeye basi angefanya chochote kuwaharibia na ndo lilivoishia. Pia inaonesha we ulimpenda kiki toka moyoni ila mwenzio alikua kimaslahi zaidi tena baada ya we kumuunganishia mtu mwenye maslahi zaidi yako akaona kwanini anapoteza muda kwako plus kukosa eleimu kwake pia kumechangia hv mlikutanaje hadi mkawa mashosti hadi akawa matron wako, ulimpa umatron mwenyewe au aliforce sorry to say unajisikiaje ukiangalia picha za harusi yako sasa halafu pcha nyingi ye yupo yani ina ruin all good memory you had with her jinsi alivokutenda. Nway ukweli group lenu lilikua kubwa sana kama mngekua nyie watatu hayo matatizo mlionayo sasa mngeshasameheana na mngekua mbali sana kimaisha hasa kiki manake ye ndo angefaidika sana bila hata kutumia nguvu nyingi manake mi huyo mtu nimemjulia humu u turn wala nlikua simjui kusema ukweli ila jeuri yake sasa hvi anapotea umjini unamcost anajaribu kujionesha nae yumo. Watu hawashop kwa ke sasa mpaka kuwe na sale na moet lol. .udada wa mjini kazi kweli kweli.

    10

    0
  • Mange umesahau bijuox aka aminah!! Remember when You used to be friends with her and Yule saada wa Scotland?? Saada hadi nguo yako ya graduation alikununulia jamani. Na Bijuox ulikuwa una post picha zake hapa kibao. Mara yuko na hubby mzungu or when she bought her new bmw! Nilimsikia siku moja pale slipway anasema anakuogopa wewe kama ebola.. basi nikajua no ushoga tena hapo kwishney :lol: :lol: what happened btw you and hao wadada.

    6

    3
  • I truly think you should say sorry to Zari kabla ya Ramadan Mange! Wewe ni muislam na kama unataka kufunga na mungu akukubalie swaumu zako you have to apologize to Zari!!! yule dada kwa kweli she has never done anything wrong to you but have called her names matusi na kashfa zote. Just know Wema amesema hamchuki Yule dada. Hata Kama u wanted kiki unaweZa kuandiaka fan fictions you wabongo watakuamini lol ok bye

    8

    20
  • Sio baby ya mange anamzungumzia c’s mum

    0

    2
  • Flaviana kweli mnafiki. Alikuja kwenye event moja ya ccm hapa ninapoishi kama few years ago. Alikuwa anamsema Rosemary kwa watu. Eti Rosemary anamuomba amuunganishie kwa Russell Simmons, flaviana akamjibu uncle rush hataki demu wazee :lol: rosemary si rafiki yake kwanini anaenda kuhadithia watu vitu vyao? Mmh she is fake

    15

    0
  • Watu mmekazana tu kuongeza list, hamjui kuwa hii ni blog na watu hutajwa humu kama news. Zari, Diamond, wauza sembe, politicians na wengineo ni NEWS au habari. Hawa hamjaambiwa kuwa ni marafiki wa Mange wanaandikwa humu kama wengine wanavyoandikwa.
    Tatizo lenu mnashindwa kutofuatisha news/habari na issue ya marafiki waliokuwa au wanaohanga na Mange.
    Na unaeongea kuhusu Zari, mbona anaandikwa sana huko kwao Uganda, ukisoma Uganda red paper online utaona kabisa Mange hamwandiki vibaya kama anavyoandikwa kwao. Juzi kati hapa alipost picha yake kavaa nguo ya blue mie niliiona kwenye hilo gazeti la kwetu Diamond kamuwekea mkono kwenye papuchi yake basi wacha waganda wamchambe Zari kwenye red paper online. Nafikiri yeye mwenyewe anapenda kuandikwa kwa sababu asipoandikwa atadisappear ndio maana anaweka picha za vituko na ajabu kama hiyo aliyoandikwa kuwa yuko fingered duh!
    Kwa hiyo tofautisheni habari za siasa, wanasiasa, wauza sembe, na hao “news” kama kina Diamond, Zari, Huddah, Alikiba na wengineo.

    19

    3
  • Mnajifanya kushadadia ya Mange lakini ni wachache tu wameweza kusema how watawapatanisha Mange na hao so called friends.
    Mange kuna marafiki wakuitwa close friends na kula nao caviar kama Mwamy na kuna marafiki wa kuwaweka at arm length na kusalimiana nao, kucheka na maybe kwenda kwenye shughuli zao wakikualika, na kuna marafiki humo hupaswi hata kusema kuwa ni marafiki zao wao ni wa kutupa kulee hawafai hawafai hawafai, wao ni kupeana high basi.
    Kama Chagga bibi kwa kweli kwa calibre yake hata Ledi Peti hafai kuwa rafiki yake ukizingatia jinsi alivyo na vile alivyofungua blogu ya kukuchafua mpaka kufika kupiga simu kwa wakwe zako na kutishia kukidnap mtoto. Hivi unafikiri Bibi na babu yake Kenzo wanaweza kusahau that incident? Nope, then wakijua kuwa Ledi Peti ambaye ni Mama wa Ubatizo wa Kenzo ni bestie wa huyo Chagga bibi utafikiri watajisikiaje au watawaona kuwa nyie wamama hamko serious. Anyway sio rahisi kumchagulia mtu marafiki wa kuhang nao lakini watu kama hao ni wa kusalimia tu.

    15

    0
  • Anonymous
    JUNE 4, 2015 AT 2:36 AM (EDIT)
    REPLY
    Mange marafikiii woote hao wanakukosaaa wewe tu.?? :ongea: Yaani wewe ndo victim tu. Duhh..mmh. kazi ipo basi… :lol: .

    MHHH, Umesoma kweli? are you sure hawa wote nimesema wao ndo walinikosea??? are you sure? na wapi nimedai mie victim labda nirudie tena.
    Hakuna alie perfect hata mimi nna problem zangu kwenye urafiki im sure kama drama, mashow off , ugomvi, sina patience mie pia nna yangu nilichofanya ni kueleza story kwa upande wangu mimi

    28

    2
  • Anon
    JUNE 4, 2015 AT 3:10 AM
    REPLY
    I truly think you should say sorry to Zari kabla ya Ramadan Mange! Wewe ni muislam na kama unataka kufunga na mungu akukubalie swaumu zako you have to apologize to Zari!!! yule dada kwa kweli she has never done anything wrong to you but have called her names matusi na kashfa zote. Just know Wema amesema hamchuki Yule dada. Hata Kama u wanted kiki unaweZa kuandiaka fan fictions you wabongo watakuamini lol ok bye

    He yamekuwa hayo!!!sasa nikianza kuomba msamaha mawastar wote niliowaandika humu kama habari nikaweka opinion zangu mwenyewe basi itabidi nifunge blog nianze kazi ya kuomba msahama watu waliowahi kuwa part of news sababu ya ufamous wao…. :ass-kicking: :ass-kicking:

    31

    8
  • Anon
    JUNE 4, 2015 AT 3:02 AM
    REPLY
    Mange umesahau bijuox aka aminah!! Remember when You used to be friends with her and Yule saada wa Scotland?? Saada hadi nguo yako ya graduation alikununulia jamani. Na Bijuox ulikuwa una post picha zake hapa kibao. Mara yuko na hubby mzungu or when she bought her new bmw! Nilimsikia siku moja pale slipway anasema anakuogopa wewe kama ebola.. basi nikajua no ushoga tena hapo kwishney :lol: :lol: what happened btw you and hao wadada.

    mmh jamani Bijoux rafiki yangu still sijawahi kosana nae. Just because mtu kapotea humu it doesnt mean tumegombana… Maisha yanabadilika labda anaishi another life … Kama mmtaka update za watu mniambie niwatafute niweke “where are they now” sio kusema nna ugomvi nao

    30

    0
  • Na nyie wengine, acheni usnitch sasa. Hivi unaanzaje kwenda kumsema pembini best yako kuwa ” ni mchafu, hanyoi mavuzi” lol. Kama unampenda kweli, kwa nini usimpe za uso!??? Yaani mi ushoga nishauvua kitambo. Tukikutana tusalimiane au tusisalimiane mi hata hainistui!!! Hivi mnavyomsema mtu mwingine, na mmoja wenu akamwambia muhusika mlichokuwa mnakiongea, hamjioni kama mnasalitiana!??? Mimi napiga kibuti nyote , aliyenisema na aliyeniletea ujumbe. Maana najua lenu ni moja!! Yaani toka niachane na mashoga, nipo na peace sanaaaa. Maana unalala usingizi kama mtoto. Sio tena ule wa kuwaza kesho nikiamka sijui nitaambiwa nani kasema umbea gani au nani kafikishiwa umbea upi!! Ila ushoga sio kitu rahisi hasa huku Ulaya!!! Watu tupo wachache ila akitokea mwenye mdomo, basi kijiji chote ni machafuko.

    14

    0
  • Jamani eeeh!!! Chagga amekanusha ile blog haikuwa ya kwake. Labda kama keshaitoa hiyo post huko insta. Ila naye ameshasamehe kasema.

    14

    0
  • :checka: :checka: :checka: :checka: mange kiboko apo kwa jide nimecheka mpaka machozi yananitoka uwiii to be honest mi mwenyewe niliijua u turn thru jide aliwekaga link na kututambulisha since then nimekuwa TEJA la u turn na nikahama kabisa kwa jide duuuh aki muombe tu msamaha jide :checka: :checka: :checka:

    11

    0
  • Mange acha kuwajibu hao Division 6 kwanza mengi na wengi unaowaongelea humu wala hawawajui kivile. Wao ni bandwagon wa team Zari tena huku kwenye social media ukute wameingia siku 2 hizi.
    Kama kweli wanampenda Zari waende kwa Sintah wakamgombeze kwanini amemuita Zari kuwa ni ZEE, sasa ni ZEE la nini, la nyeti au ZEE la wamama binti snitch yule sijapata kuona. Haya nendeni kwa page ya ZEE lenu huko mtuwachie yetu humu ndani hamujui ndewe wala sikio tangu lini Zari alikuwa friend wa Mange mfyuuuu! :ass-kicking: :ass-kicking: :ass-kicking: :ass-kicking:

    3

    0
  • k0ku
    JUNE 4, 2015 AT 4:46 AM
    REPLY
    Jamani eeeh!!! Chagga amekanusha ile blog haikuwa ya kwake. Labda kama keshaitoa hiyo post huko insta. Ila naye ameshasamehe kasema.

    JIBU
    Mwanamke muongo sijapata kuona maishani mwangu. Watu tunawajua team nzima waliyokuwa wanarun ile blogu na ring master wao wa Bongo aliyekuwa anawapelekea news mbona anajulikana wazi. Tena kilichofanya watu wamjue zaidi ni jinsi alivyokuwa anashadadia ugomvi huku anajifanya yuko poa na Mange.
    Acha niwakumbushe kitu, kwenye blogu ya Kasuku wa Mange kila siku ulikuwa unakuta post ya kuhamasisha watu waende wakamuone Mange alivyokuwa anatukanwa. Tena kila post zinawekwa zaidi ya 4 au 5. Na hata blogu kufungwa kwenye ile blogu kukawa kuna muendelezo wa matusi kutoka kwa members wenziwe na Kasuku. Tena tunamshukuru sana Cmom na Marichui kwa kuwa mstari wa mbele. Marichui alikuwa anabandikaje magonjwa ya Kaswende na kisonono huko kwa blogu zao. Cmom yeye alikuwa anaporomosha matusi tu kwa kwenda mbele. I will come up with the list of the witches one by one. Kama Mange amesahau mimi sijasahau bado lol huwa siwezi kusamehe vitu vya kuhusu wazazi kirahisi namna ile.
    Chagga bibi ndie anapaswa aombe radhi sio kujitia yeye ndio anasamehe, au amesahau msala wa FBI huko kwao walivyokwenda kupekuwa computer zao mfyuuuuu akafie mbele huko.

    9

    0
  • Mange nimeanza kusoma hii list tangu jana mchana ofisini, jioni nyumbani, nimeimaliza asubuhi hii ofisini; JAMANI NIMECHEKA HADI NAOGOPA!!! ila u are too honest with urself, nakupongeza kwa hilo. kwenye Mbutananga nimecheka neno la kwanza hadi la mwisho na machozi juu! kwa jide pia. Mange we kiboko….yaani sioni wewe kupata ulcers maana huweki maujinga moyoni kwako…unayamwagilia mbali kama hivi. kila la heri na nna ugomvi na wewe kwa kunipotezea muda hivi kusoma hii list utadhan nna mtihani nayo daaadeki. vile viteke vya kajambe kule vinakuhusu Mange hahahahahahah

    3

    0
  • Huyo rafiki wa kucomment kila saa on your negatives nimekuelewa sana, mimi mama yangu mzazi ndio yuko hivyo, yaani ukikaa naye utatamani ulie ni kukukosoa negatives au kukuhadithia story mbaya siku nzima halafu ukikasirika anasema huwezi kutake criticism Dah It really lowers self esteem especially kwa mtoto wa kike, but watu wa hivyo mara nyingi wanakuwa wana their own issues zinawasumbua so they reflect it in others. But its very hard to live or deal with them.

    13

    0
  • Sasa Mange ulivyoandika hivyo kuhusu Mwamvita huoni umemfanya target sasa, maana kila mtu atataka kuipendekeza kwake…

    4

    0
  • :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter:
    yaani mie uandishi wako tu hoii..


    0

    0
  • sasa nimemaliza kulisoma gazeti kwa upooolee kabisaa, nimeelewa!! hayo sio mambo ya ajabu kabisaa..yanatutokea almost watu wengi tu, na sijaona kipya wala sikushangai, naelewa sana tu…ila hapo my dear kama ni msamaha naomba umbembeleze mwami tu…huyo friend wako wa ukweli…na usiwe unamsema sema hadharani, kwa sababu sidhani kama atapenda mambo haya yawekwe public, anaonekana ni mtu private sana..so my dear simseme seme, haya mambo ni ya wanawake saluni na huko kwenye kitchen parties….wasamehe pia hao walokufanyia ubaya…umesema wewe sio perfect, basi wasamehe ili uweze kua happy…halafu sio lazma kua na marafiki 20…mange wewe ni pieces..mara nyingie nyie mnakua very emotional, na mnaumia sana na mambo kama haya kwa sababu mnawaamini sana watu….kua na small cycle…rafiki hata mmoja anatosha…otherwise kua na ndugu zako karibu, mbona bhoke yule kawa mschana mkubwa tu?? au sisters zako si wapo?? wale hawawezi kukuumiza makusudi mange….all in all be careful ushoga wa mjini kazi sana..wasamehe mama, uwe free.. :blow: :blow: :blow:

    4

    0
  • Every story has 2 sides huu ni upande wa Mange na hao madada aligombana nao wana side zao!! So msianze ku judge before hamjasikia both side lol maybe na wewee Chef ni mbea mbea sana hahahaha that’s why u can’t keep a friend! Jk

    7

    8
  • Daha ushoga wanmjini kazi kwelikweli. Na mlivyokuwa mmepangana sasa?? Au anadhani ukiwa na utitiri wa marafiki ndo ishu?? Hujui walimwengu wewe walivyo wabaya.. wanakugeuka sekunde dakika ni nyingi hahahaha. Kuoneana wivu kusemana sijui kusingiziana uongo ndo tabia za marafiki hasa mkiwa zaidi ya watatu ila pole maii ndo kujifunza huko.
    Halafi mbona umesahau kumuweka lemutusi na le shigongo lol au hawa umeshapatana nao??
    Ila hili gazeti kiboko haki ya Mungu, nimesoma mpaka nikajiona kama nasoma kitabu cha Mange kuja kutahamaki nshamaliza huku bado natamani kuendelea kusoma uwiiiiii kwa uandishi tuu hapana aisee kila siku mi nakuambiaga nakupa 10 ya 10.

    3

    1
  • Mimi kilichonigusa ni sehemu ya Mwam nilishawahi kuandika hapa kuwa i think she isnt loyal to you hapo nilikuwa sijui hata kama hao akina kiki walimjua kupitia wewe lakini nikawa nasema mbona Mange IG anamtag lakini sijawahi ona hata picha ya Mange page yake na kutwa yupo na post za akina kiki i felt like she was chosing sides ukanishushuaaaaa,hahaaa. Ila kiukweli if Mwam came to know all these people through you then u need to work on your relationship kiukweli and she needs to know kuwa wewe ndo rafiki yake. But Mange everything happens for a good reason.
    Yani uko rite kabisaaaa unawaza kama mimi, sijawahi kuona picha ya mange kwa mwamy hata sikumoja, na inaonyesha mwamy anampenda sana kisa kiasi kwamba me nilikuwa najua labda kisa na mwanya ndo walinaza urafiki kabla ya kuwa na mange mana yeye ni kisa tuuu hadi biashara anamtangazia na anavaa sana hizo nguo za kiki ila kwa mange hamna kitu, na kuna wakati huwa anaweka picha ya rafiki zake au anawatag sijawahi ona mange akiwa included kokote pale labda huko private ila she never acknoledge her in public NEVER sasa sijui kuwa kwenu ok ni kwa namna ipi

    7

    1
  • bi chau acha umbea! aliyekwambia mi na mange tumegombana nani???? :ass-kicking: :ass-kicking:

    34

    1
  • muddy washington
    Reply
    Wengi humu tuliletwa na jide,mimi pia.Ila kuna wakati akawa haweki post ndio nikamkimbia,hivi anaendelea kublogua?.kule nilikua muddy drogba,nilimfanya mpaka yeye nae akawa anajiita jide drogba kwa mtakaokumbuka.

    18

    0
  • my dear jana nilitingwa, mambo elf kidogo! but nipo mwaya, nawashangaa walimwengu wallahi, niligombana lini na mange, mama keanu hivi tumewahi kugombana??? hahahahahaha hebu nipite na zangu kwanza nitarejea rasmi! :blow: :blow: :blow:

    20

    0
  • Uwiiiiiiii Mange ndo naona hii post yako kweli tusipokuwa makini kibarua kitaota nyasi mweeh list ni ndefu hatari! nitaisoma nikurudi home au lunch time kidogo kidogo maana ni zaidi ya mzalendo leo. Mange ww ni ungetakiwa uwe jonalist tena talented!

    5

    0
  • Mi sidhani kama hao kina zari,diamond,wema,jocate etc wanatakiwa kuombwa msamaha. Hao sio marafiki wa mange, ni wanajamii waliojitoa muhanga na publicity. Marafiki tunazingumzia ni watu wanaokujua in and out. Siri zako na zao. Mnakaa na kushare mambo mengi. Sasa huo ushoga wa zari ni wapi na wapi hadi amuombe msamaha. Hebu msituchoshe hapa. Tunaongelea hapa ni like group la hyatti branch na sio hao wengine waliokuja mjini kwa baiskeli. Lmao. Na usiache kutuletea hao kina Zari na wengine kama kutakuwa na vichambo vinavyowahusu. Kwa sasa tunasubiri mtoto wa kaka katunzi, mwezi ujao anajifungua, ndio familia yetu inavyojua. Huyo diamond atasubiri wa kwake mwezi wa nane huko. Lol

    15

    3
  • walimwengu jamani kha! nipo jamani nipoooooooo!

    11

    0
  • nimeshindwa kuvumilia ngoja nitoe ya moyoni mkijihisi pouwa tu mana ata sitegemei kurudiana na nyie tena tupeana hi za mbali mbali tu
    Mimi ni mtu wa kujitoa sana kwa marafiki kiukweli no matter uwe unacho au hauna sasa nilikuwa na marafiki wengi kiasi na wengine ndio kama hivyo alivyosema MANAGE mnakutana kupitia mtu mwingine na nilikuwa najitoa sijisifii, sasa bwana hali ya hewa ikaend asivyo ndivyo hao marafiki walinigeukaje uwiii, kunisema juu wengine ata simu zangu hawapokeai ila bora hao waliokuwa hawapokei simu zangu kuliko wengine waliokuwa wanajifanya wapo na mimi jamani si mnajua kufulaia ama nene mtu anakuita unajua mwenyewe yes rafiki yangu kaniita ngoja akaniliwaze hapo kaishawaita rafiki zake wengine ameshawapa story zako zote ukifika anaanza kukuchoresha jamani nyie rafiki roho yako asikwambie mtu mwingine yeye alikuwaga ananiita kwake kufulia uku uankuwa kama mbwa jamani :crying: :crying: hapo anakunanga ukiondoka uyu alikuwa ananisema yani mpaka mdogo wake wa damu yani ananumia ikabidi siku aniambie ukweli yote uyu ambaye nilikuwa namuona rafiki yangu anayonifanyia nikashindwa kushangaa jamani mwingine ndio akikuita labda akakununulia ki wine na akakupa nauli uwiii ukiondoa mguu tu uku nyuma ni matangazo kama BANGO LA VODACOM hapo juu, yani uyu mwingine nilikuwa nikitoaka nae ndio sina kitu nikienda chooni ujue ananimaliza mpaka kwa ma waita yani wanione miye sio kitu, MUNGU si athumani siku weita mmoja akaniambia dada uyu rafiki yako siyo. wala ata sikumuuliza, yani wale watu niliofanya wakakutana nao kupitia miye ndio wakaungana sasa kila mtu anaongea lake. nashukuru MUNGU nilivyoamka usingizini nikasema siitaji tena rafiki yani sijanuniana nao ila labda tukutane ni habari tu kama ni sehem ya starehe tucheze ila kila mtu aondoke kivyake jamani msimuone MANGE sijui mjuaji inauma sana mtu amabye umejitoa kwake alafu yeye anakuja kukulipa mabaya tena kwa kukudhalilisha. :im_sorry: SIITAJI MARAFIKI WANAFKI MKAJAMBE MBELE :slapping: :slapping: :ass-kicking: :ass-kicking: :ass-kicking:

    9

    0
  • am soooooo in luv, nipo sana tu! mambo mengiiiiii umama wa nyumbani umechachamaa! nalea kwa bidii sasa hivi, :blow: :blow: :blow:

    20

    0
  • kwa jide shangazi yake na Bhoke mbavu sina hope atakusamehe / mtasameheana

    3

    0
  • i missed u my MARICHUI! am around luv, niliwamiss wengine zaidi, tho mimi na wewe whatsapp we chat almost everyday! JAMANI NIPOOOOO!

    22

    0
  • partner in crime! luv u more….. ! :blow: :blow: :blow: :blow: :blow:

    18

    0
  • Kama naona inbox ya watu huko:
    Flavy: Eeh jaman hivi yule Mange anantafta nini mimi lakini ona alivonipakazia kweny blog yake.
    Mrs sembe: mfyuuuu yaani mimi kanitoka yule mwanamke hajui tu ila baba Ajmal kasema atadeal nae
    Nacky :is typing. …
    :checka:
    marichui embu malizia kibarua chako hiki alaaa mimi nilikuw nakumbusha jukum lako.
    Mange nasema hivi wewe ndo kamanda wao yani hiyo list wala sio ndefu maan mimi nilitimua upupu wote nikaona marafik kutiana nuksi tu saiv kama umbea nawashwa namuhadithia mume wangu hat kama hawaelew naowaongelea ila sijui shoga am so solee. Ila hyo Mwavita sio wakumuacha ndio mtu wa muhim kwako wengine samehe afu piga kimya, :lol: na mie naomba nikutanishe na Mwammy Hahahaaaa mmh kweli nimecheka. Yaani comments zote zinazomtaja Flavy zinasema ni mtu mbaya khaa sikuwahi kumuwazia yule dada sasa leo ndio nimemfaham.


    14

    1
  • hahaha ushoga wa mjini kazi,mie mashoga zangu niliwadelete mmoja baada ya mwingine maana niliona interest zinapishana kwakweli,wakaanza kuolewa sasa,basi wanajiweka umamaaa mpaka ukiwa nao unaonekana mdogo wao,wanachukia nikaona isiwe tabu now sina permanent rafiki.
    :shakebutt:


    6

    0
  • Mange ulikuwa unampenda Kiki mpaka mwenyewe alikuwa anajua na ikawa kero yeye hakutaki lakini ww ni full kumng’ang’ania nilikuwa nakuoneaje huruma ukimuweka humu bestie yake alikuwa anatuadithia mambo kibao hata mumeo alimshtakia Malik kuhusu wewe kupenda maisha makubwa mlipokuwa dubai

    10

    3
  • Haha Ila Kweli Mdau Missy Temeke Amesahaulika Ktk List,Ila Ktk Wote Jamani Kuna Wengine Hapo Mange Ni Wa Kuwasahau Kabisa Maana Mshachafuana Sana Maana Wao Walikuprovole Na Ww Ukawaacha Uchi ,Kwahiyo Sidhani Km Mtakuja Kupendana Tena Km Mwanzo ,Labda Mkubaliane Mmalizane Kila Mtu Aangalie Maisha Yake Na Waache Kukuprovoke ,Mtu Km Sinta ,Bedui ,Nacky ,Mrs Sembe Au Kiki ,,Mimi Binafsi Kuna Watu Niligombana Nao Then Baadae Tukaja Kupatana Ni Nikaendelea Kuwapenda Km Zamani Lkn Wengine Imeshindikana Kabisaa Kuwapenda ,Halaf Mm Nn Moyo Wa Ajabu ,Mtu Nikimchukia Sana Sitaki Hata Salamu Yake,Niko Hivyo ,Yaan Nina Kinyongo Kibaya Mno,Sometimes Huwa Naomba Mungu Anitoe Hiyo Roho Ya Hivyo Maana Ntakufa Na Dhambi Za Kuwanunia Watu Lmao

    4

    1
  • loool! bora umenisaidia kuelewesha! nipo jamaniiiiii, nipo sana tu!

    9

    0
  • naomba happines asikusameh.neno ni endometriosis unadhana anapenda kuwa na huo ugonjwa unadhani its funny unamambo ya ajabu sana wenzio wanaugonjwa going through surgeries over and over and huwez pata mtoto we unamake a joke abt idiot.mxieeww

    8

    13
  • shikamoo mange.. we ni nomaar :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :freedom:

    2

    0
  • partner in crime! luv u more….. !
    wow! My Gal am fuck****g Love you Moreeeeeeeee c’s mum

    6

    0
  • c’s mum
    JUNE 4, 2015 AT 6:45 AM (EDIT)
    REPLY
    bi chau acha umbea! aliyekwambia mi na mange tumegombana nani???? :ass-kicking: :ass-kicking:
    /
    /

    C’S mom , C’s mom, C’s mom, nimekuita mara 3. hhahaha ,hii nimeiba kwenye comment moja posti ya kina Nakaaya kuna mtu alianza hivyo comment….lol..C’s mom usinitese hivi tena jamani. Omg, C’s mom why jamani. Ugomvi gani huu wa miezi yote hii ndugu yangu. Dah, ulinijua kunitesa. Niliku miss huwezi jua. Na toka wajue chamatusi wangu umenikimbia nimeonewa mimi, nimechambwa mimi C’S MUM wangu, yani kina Bedui toka wajue haupo ni daily natukanwa.Jamani usinifanyie hivi tena..PLSSSSSSS…. Kumbuka first time ulipokuja kujitambulisha kwani ilikuwa Diamond’s a re forever ukaninong’oneza mie ndo C’s mom,uwiii, unakumbuka nilivyodata, nilivyokukumbatia utadhani nimekutana na Beyonce ,ulikuwa na ticket yako ya kajamba nani ila nikakuhamisha ukaaa VIP tena next table to mine niliyokuwa nimekaa na shoga zangu, remember c’s mom. tena kama nakumbuka vizuri I think ulikaa same table na sisi…Hivi kweli ulisahau haya yote C’S mum kisa maneno madogo vile jamani. Ndugu hawagombani hivyo C’S MUM..
    Ila nisamehe, im sorry, ulikuwa umekosea kwa kumtukana Wema matusi makali vile ila na mie nilizidisha yani ile reaction ilikuwa too much……
    We baki na Zari wako ni haki yako ila usinitukanie mdogo wako matusi ya nguoni mbona mie Zari wako simtukani matusi ya nguoni jamani? namchamba kizungu tu, na wewe si umchambe Wema kizungu ila sio matusi ya nguoni…
    OOH C’S MOM, DONT EVER LEAVE ME AGAIN…..Yani wambea walishaweka comment humu eti nikuongeze kwenye listi jamani ingebidi kesho nikuongeze,jamani si aibu mpaka waziri nimegombana nae hilo shuzi sijui ningejiteteaje….. umenistiri shoga…
    this is special dedication for you. ILA usisikilize nyimbo nzima maana wewe bado unaishi so sikiliza tu pale inaposema “SORRY” basi ni mwanzo kabisa sentensi ya kwanza anasema “SORRY” Basi zima. Huko kwingine waachie wenyewe boyz II men na Mariah wao sijui walifiwa na nani…..


    36

    3
  • C’s MUM nimefurahije kukusikia tenaaa
    Missed u big time yaani :blow: :blow:
    Ulini HeartBreak sanaaaa :broken-heart:


    8

    0
  • correction
    JUNE 4, 2015 AT 7:37 AM (EDIT)
    REPLY
    naomba happines asikusameh.neno ni endometriosis unadhana anapenda kuwa na huo ugonjwa unadhani its funny unamambo ya ajabu sana wenzio wanaugonjwa going through surgeries over and over and huwez pata mtoto we unamake a joke abt idiot.mxieeww

    /
    /
    Nyau mkubwa wewe, nani kakwambia namake a joke ya ugonjwa wake. Nimmuita maana sasa hivi dunia nzima ukisema endometriosis you think of Millen. Which is a big honor. Mamam yangu Dr Mwele huko vijijini anaitwa Mama Mabusha sababu kawasaidia sana wagonjwa wa Mabusha kupasuliwa mpaka hawajui jina lake anaitwa Mama Mabusha mbona hawi offended? Ni washamba kama wewe ndo wanaweza kuwa offended..JIAMINI WEWE, ACHA KUJISTUKIA VITU VYA KIJINGA


    29

    6
  • Hee..nilijua csmum lazima arudi humu..na alivokuwa na usongo na hao x marafiki feki wa Mange asingeacha hii topic impite ivi ivi. Karibu sana Cs mum tafuta kiti uketi na ndama mnono lazima uchinjiwe leo. Haya mama ukumbi wako twendre kazi…

    10

    0
  • Mahali Ni pazuri ndugu wanapokaa wakipatana vema na wakipendana. Na mahali ni pabaya ndugu wanapokaa wakifitiniana na kuchukiana. Ni bora kuwa peke yako kuliko kuambatana na rafiki mnafiki.. :nono: :nono: :nono:

    6

    0
  • Everyone should forgive end forget. ..started New life. ..life goes on :flowers-smiley-emoticon: :blow:

    5

    0
  • :broken-heart: LOVE U MANGE WANGU NO COMMENT NAMPENDA MILLEN TU KATIKA HAO ULIOWATAJA MAANA ANAMOYO WA DHAHABU

    3

    0
  • Mange umenifurahisha sana,nmejikuta nacheka pekee yangu,ila kiukwel nimekupenda bure ngoja nami nifanye kupatana na rafik yang niliwah kosana nae,ila sasa ntaanzaje maana yy hataki kabisaaa kuongea na mm,watu walishajaribu kumwambia tupatane lkn hataki

    0

    0
  • Ukiona mtu anataka kuwa rafiki na kila mtu muogope sanaaaa..tena kimbia. Mtu wa hivo Ni mbaya sana na mfano mzuri ni huyo Nacky. Na mara nyingi pia mtu anaekuwa between enemies sio wa kumuamini..lazima ata base upande mmoja..na ndie atakaekuwa anaongeza kuni ktk moto. Hili Ni onyo wanawani be ware out there. Kwani lazima kuhang na marafiki hatihati? Mtu vuguvugu wa nini sasa..either awe wa moto au baridi ujue umu handle vipi. Otherwise :ass-kicking: :ass-kicking: :ass-kicking: :chase:

    5

    0
  • Welcome back C’s mum ake tulikumiss na watu walikuwa wanafurahia kutokuwepo kwako. Bora urudi kuja kuwadekisha bahari na nini vile? :crying-with-laughter: :crying-with-laughter: :crying-with-laughter:

    11

    0
  • C’s Mum karibu tena :blow: :blow:

    8

    0
  • Basi kama ni hivyo, mi naomba kumuulizia Bella, toka apatwe na scandal la mume shoga basi ndio kapotea kabisa. Dada nilikua nampenda yule, mzuri, mpole, nilisikitika sana niliposikia janga lile.
    But still love you Bella, you are the best

    Halafu wee Mange, nishahisi kitu kuhusu Nuru, mbona unamkwepa hivyo, khaa, watu kibao washauliza lakini naona madole mekundu tu, nini shida?

    5

    4
  • Mange I MISSED U SOOOO MUCH, i MISSED U TURN SANAAAA, NILIKUWA KILA SIKU NAKUJA KUCHUNGULIA HUKU, but no kucomment nikasema mpaka uone jinsi gani nimeumia, Mange ulinitukana siku ile khaaaaa! nikasema atakoma siku moja atachambwa ajikute na Marichui alone ndio atakipata!
    but am sooo around luv, how can I LEAVE U TURN??? love u my MAMA KEANU, luv u turners, mimi ni team ZARI damu kwa kweli ila ngoja niepushe msongamano siku ukimtusi ZARI mi nakaa pembeni! uwiiiiiiiiiiiiiii I COULDNT STAY FAR for a long time wallahi, hata hivyo I have really tried, MARICHUI jana kaniambia u have to show ur ugly pant again kwa u turn, and here I AM, LUV U MAMA KEANU!

    23

    1
  • Louis Vnitton thank u luv, back on track!

    10

    0
  • kwi kwi kwi! nishakaa na vumbi nimefuta! natafuta udi kwanza nivukize kutoa jini mbaya! loool!

    11

    1
  • uwiiiiiiiiiiiiii Mange u should thank this lady hapa! kafanyaje kazi sasa???? jana nilikuwa si breath, hebu rudi, rudi, nikamwambia Mange nampenda sanaaa coz ni mdogo kwangu na nilivyoizoea u turn, but kanichamba sanaaaa that day, yaaani uwiiiiiiiiiiiiiii i felt bad! but nishamzoea na mdomo wake na hasira zake za kigugumizi, am back mamaaa! friends forever! :blow: :blow:

    24

    1
  • neylicious
    Kama naona inbox ya watu huko:
    Flavy: Eeh jaman hivi yule Mange anantafta nini mimi lakini ona alivonipakazia kweny blog yake.
    Mrs sembe: mfyuuuu yaani mimi kanitoka yule mwanamke hajui tu ila baba Ajmal kasema atadeal nae
    Nacky :is typing. …
    :checka:
    marichui embu malizia kibarua chako hiki alaaa mimi nilikuw nakumbusha jukum lako……..
    Hahahahaha…….uwiiiii! Ok
    Part two :
    Nacky:Ila mwenzenu nimeumbuliwa kuliko nyie , yaani hadi nilivyokuwa nangangania anikutanishe na Mwammy…achilia mbali kudinywa na aliyekuwa MD wangu ….
    Flavy: achana nae anastress nataka nimfunike harusi yangu iwe kubwa kuliko yake Mpaka ashangae , si wamenisema nafunuliwa hovyo ?
    Mrs sembe: Mi mwenzenu hata Ndoa naiona chungu anavyomsingizia Baba Ajmal muuza sembe , yaani Baba Ajmal anajutraa kunioa , kila siku ananisimanga , kafanya kisingizio siguswi mimi yupo busy nje na kina Manyusi !
    Kiki: Mimi pia nimeumbuka kanitangazia hadi ile Pesa , ila niliirudisha yeye hakujua tu , Namchukia Namchukia Mfyuuuuu….
    Ade: Last seen yesterday 22:09
    status: God is Good all the time


    38

    1
  • Mange. .umesababisha mume wangu aninunie tokea jana. Nimeshika simu siiachii adi kitandani. Kataka unyumba nimenyima..akakasirika..then akaniuliza unachati na nani nkamwambia nasoma lile blog langu mambo ya kina Lowassa teh teh..alinivalia sura ya mbuzi na nahisi angekuwa anakaa karibu nawewe angekuja kurusha mawe nyumbani kwako bila kuwajali kina Keanu. Kaninunia namie nimemwacha tu anune..tutapatana mbele kwa mbele. Na if possible baada ya hii topic tuwekee ya kuokoa ndoa zetu. Hubby kanunaaa na kavimba ka apasuke vile. Twala pizza tu na mcDonalds now. Kupika labda uji..teh teh teh.. :drinkingbeer: :drinkingbeer: mange umeilaza chali blog ya naniliu kule..duh! Ukiingia wasikia mwangwi tu..kabaki anajisemesha peke yake :nana:

    18

    0
  • Mama Alaska rafiki zake walimsema Ananuka mdomo :checka: Wakaja komment huku doctor mange akaachia coment.. :crying-with-laughter:

    12

    0
  • MANGE sikuzote nakufananisha na bikira wa kisukuma, mna maono yambali namko tayari kufanya lolote kumfurahisha rafiki, ila mkimtapika ndo basi. kudos to you love. nakupendaga sana

    7

    0
  • Hajamsahau FK na Rose labda umechoka kusoma hebu rudia Novel hii na uwe na Glass ya mvinyo

    6

    0
  • Marichui wewe ni kiboka hiyo dialogue kiruuu lazima watu wakose usingizi.
    umeona post ya kiki ig?
    hahahaahaha C’mum welcome back
    kaka Muddy; i feel you kiukweli.

    9

    0
  • Humu kunahitaji SHRINK big time, wote wehu aisee wakiongozwa na Marichui…But hii post imefanikiwa kumfukunyua C’s Mum huko alikokuwa amefichwa…I am a number one fun of C’s Mum, Marichui, Muddy Washington na Muke ya Jaluo!

    9

    0
  • :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :checka: :checka: :checka: :masikio: :masikio: :masikio: :masikio: :masikio: :masikio: Marichui una minyoo walaii

    3

    0
  • C’S Mum nimepiga Woh! Waooh! kelel ofisi yote, na hivi viofis vyetu vya serikali watu wote wanashangaa. Welcome , nilikumssss my dear, usirudie tena kupotea hivyo. mwaaaaaaaa

    7

    0
  • Sakina mmakonde
    Reply
    Kuna dada mmoja pia namjua yeye nae Ni dizain ya hao wa kucomment negative kuhusu wenzake as if yeye yuko perfect kumbe ushuzi wa kande. Atakusema make up, mavazi, mwendo wako, aina ya wanaume unaochagua, elimu yako, status zako za insta na kila kitu. Hapo yeye ashajiweka ni mkamilifu hana kasoro yoyote akati elimu yenyewe alonayo haieleweki. Sasa matokeo yake akiwa ananipigia simu tukutane sehemu mie natafuta sababu ya kumkwepa..manake nikikubali nitajikuta natafuta u perfection usokuwepo na stress za kufa mtu na ufeki juu. Why? Mtu kama huyo kwangu ni kumsepisha tu. I got NO tym for dat shit..akamkosoe mmewe sio mie. Eboo! Na believe me Mange hawaishiagi hapo hizo kasoro anazokutoa anaendelea kuzitangaza mbele uko kwa wengine. Thats how much bad they are watu kama hao. Sio wa kuwachekea ohooo! :pc:

    6

    1
  • hahahhaha!!!!!!!!!!!!!!! nuru the light kaweka dongo kwa blog yk, yani anataman na yy angejatwa lakn wapppppp bibieeeee
    poyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee huna la kumshnda mange hata kdg
    mange i lap yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
    yani mange dada uko km mie sina mda wa kumuweka mtu wa moyo wangu, nakupa live tunaendelea na life, sina mda na mashoga mana weng we2 ni wanafiki sana, :hakunaga: :mangeblog: :teammange:


    9

    0
  • Ila mange hapo kwa nancy, domo, nakaaya huo sio ugomvi….wao nimaarufu kuandikwa kawaida…….
    Ukika kwa jide sioni hata ugomvi wenyewe….
    Na mwam pia mbona hakuna ugomvi????

    7

    0
  • Millen is such a sweethear but affairs of the heart jamani can cause alot of character damage. Mange wewe kiboko.
    Myview is wasamehe wote ila keep distance. Even with Mwammy….mkiwa close kutakua naa lot of conflicts of interest.
    i think your life is cool that way. you have us whom i think we love you genuinely.

    7

    1
  • Lakini kweli Mange. .Mbona wamkwepa ze laiti. Na lemutuz je? unatuacha njia panda ivoo. Mange devota diva yule mudada murembo mkoje sikuizi nae ka simuamini amini.. :shocked-1341:

0 comments:

Post a Comment