LISTI YA NILIOGOMBANA NAO …. YUPI NAWEZA KUELEWANA NAE??????
HILI
GAZETI NI LA KUSOMA KWA WIKI NZIMA……. SOMA TARATIBU USIJE FUKUZWA KAZI
HUKO..NIPO BUSY SI UDATE BLOG MPAKA FRIDAY AU SATURDAY SOO HII TOPIC IWA
KEEP BUSY
Haya wadau mmedai kuwa nisijifanye kupatanisha watu wakati mie mwenyewe yangu yamenishinda..hahahahhaha
Mmmedai na list ya niliogombana nao then nyie mtanipatanisha nao…
OKEEEEYYY, HERE IS THE LIST…..UWIIIIII NDEFUJE SASA…
1. Rachel
Temu – Huyu naweza kupatana nae any time na kusameheana nae anytime ila
kwa mbali as in sitaki hata kikao cha kuongea yani tusameheane as in
tusahay yaliyopita, tuheshimiane ,tukionane habari njema kila mtu
aendelee na maisha yake… She is not a bad person ila kuna fuse moja
kwenye kichwa yake imeungua so ni problem, Alafu ni yule rafiki ambae
she can kill for you as in she is loyal ikija issue ya ugomvi atapigana
ugomvi sio wake but also ni the kind of friend ambae if your husband is
rich akamtaka basi andika maumivu…… I have always felt like money comes
first to her….Dont get me wrong ukiwa rafiki na Rachel uta enjoy sana
maana anajua kula bata ila ni rafiki ambae inabidi uwe unamwangalia kwa
macho manne all the time…. Yani usimwamini. Na mie rafiki wa hivyo
ataniumizaaaaa maana mie ni jingaaa yani nikiwa close na wewe nakutrust
na kila kituuuu maisha yangu yanakuwa mikononi mwako. And I cant control
this ndo maana huwa nakaa mbali na wabongo maana najijui jinsi nilivyo
fala.
2. Julieth
Johnson – Huyu ni mtu ambae kama ningekuwa naishi TZ ni mtu ambae
ningeweza kusameheana nae. Hajawahi kunikosea kitu cha maana sanaa na
mimi sijawahi kumkosea kitu kikubwa. Ilitokeaga tu akanichukia mpaka
kesho bado kitendawili kwangu nilimfanyaga nini. Kulikuwa na bridal
shower ya Adeline ya mwanae huyu wa mdogo ilifanyika kwa Julieth, yani
mwanamke aligoma kata kata kunialika mpaka Adeline anashangaa why, mie
nijikalia kimya….hahaha….Huyu ni wale marafiki ambao ni very loyal
especially kwenye bad times, personally sijawahi kuwa nae very close ila
alikuwa kwenye lile group na nilimuona alivyo loyal kwa marafiki ambao
yuko nao close ila pia ni yule rafiki ambae inabidi umpende kwa yoote
mazuri na mabaya. Huwa anasali sana ila pia ni mtu wa chuki sana na
fitna sana….. So yes, ni mtu ambae naweza ku hang out nae tena huko
mbeleni bila mimi kuomba sorry au yeye kuomba sorry……. Yani in short ni
mtu ambae mpaka leo sijawahi kumuelewa why alinichukiaga…
3. Adeline
Mushi – This might come as shock to many ,Adeline ni mtu mzuri
mnooooooooooooo kama rafiki yupo very loyal. Kusema ukweli nilimpenda
sana Adeline and yes ni mtu ambae naweza kurudiana nae urafiki anytime
tena ukawa urafiki mzuri kama wa zamani maana kusema ukweli the only
reason sasa hivi siongei na Adeline ni vile tu anafata mkumbo ila mimi
na yeye hatuna beef. Jamani Adeline ni mtu poa sana, mcheshi sana and
very real,she is not fake. She is crazy anachekesha ukikaa nae utacheka
mpaka ukojoee sometimes huwa namiss vituko vyake…hahahaa… Ila ukiwa
rafiki na Adeline uwe na pesa zako mambo ya offer au kuomba kukopa elfu
10 ukome, huyu ni mchaga ni mbahili hujapata kuona. Kama ni mtu wa
kutegemea marafiki kipesa kwa Adeline mtashindwana siki mbili
tu…hahahahahah….. Ila I like her alot na ana roho nzuri sana ni mtu wa
kujitoa kwa marafiki ila tu usiwe mtu wa kuomba omba ovyo. Kwa kweli
sidhani kama I owe Adeline an apology au kama yeye anatakiwa kuniomba
sorry. Hata kipindi kile nilichombonda huku nna mimba haki ya nani
tulidundana sababu tu mie nilikuwa mjamzito + nna kigugumizi so hasira
zilikuwa usoni. Alikuwa anaongea sana alafu hanipi chance hata ya
kumjibu ananisuta tuuu alafu watu wamejaa, tulikuwa dukani kwa Kiki
tena. Also yeye hakuja pale kupigana, alikuja kunipa a piece of her mind
ila hakujua kuwa hasira za mimba + kushindwa kuongea hata sentensi moja
kungetufikisha pale…
4. Cynthia
Masasi – Huyu aisee nilishapatana nae tena kwa kibahati mbaya tu au
labda Ledi Peti alituchezea mchezo ila sijui ni nguvu za yesu ila ledi
peti kama alituchanganya hivi tukajikuta tunachat whatsapp… Yani we were
more than cool mpaka nimeondoka Bongo nimekuja Marekani tuko poa
kishenzi ,mara kanichunia out of nowhere, ha!! Ndo nakuja kuambiwa kawa
rafiki na kina Kiki so na yeye akajoin mkumbo, hahahahaha….. Then later
on nikaja kuambiwa kuwa sio kama alifata mkumbo ila Nacky alimwambia
Cynthia na Doreen Njuwa kuwa mimi nilikuwaga nawasema sana…. Jamani
sijakataa kuwasema ila sasa sikuwa naongea peke yangu mimi na Nacky
tulikuwa tunawateta pamoja eti kaenda kunisemea mimi yeye hajajisemea.
Na pia nilimsema kipindi cha beef im sure hata yeye alinisema. Anyways, i
didnt bother kumuuliza kwa nini kanichunia maana nilimuona ni mtu feki
tu nae kama kweli angekuwa mtu mzuri angeniuliza kwanza. So na mie
nikasema kama hakuniuliza why mie nimuulize. So huyu sina beef nae na
mtu ambae huko mbeleni naweza peana nae hie and I dont think either of
us anatakiwa kuomba sorry ila pia ni mtu wa kupeana nae hie basi maana
I think ni mtu wa kukurupuka sana.
5. Sinta –
Huyu kusema ukweli ni mtu ambae I feel like she need to apologize to me
if ever nitakaa kusameheana nae. Mimi ni mtu wa kuomba msamaha pale
napokosea. So huyu siku akijiskia yupo tayari kuomba msamaha
nitasameheana nae na tutaheshimiana. Huyo aliingia kwenye unafki wa mama
sembe na kumpampiwa akaanza kunitusi , sijui alidhani yeye ndo
angeninyoosha,hahaha. Mimi sina problem na blogging yake maana blogging
yake alikuwa anajaribu kuni copy mimi exactly. Yani alitaka awe kama
Mange kila kituuu mpaka kabila… Hahhhahahha….. Ila nilimwambia wewe hiyo
blogging kama ya Mange kwa TANZANIA itaku cost, hutoolewa ,hutokuwa na
BF na ni hayo mpaka leo hii yupo single. Hakuna mwanaume wa kibongo
anaweza kuoa mwanamke controversial , hawaweziiii. Na matokeo yake ndo
hayo anajizeekea mwenyewe kwa mambo ya kuiga tembo kunya…hahahhaa…Ila
Sinta mtu poa hana shida ni vile alidhani anamfurahisha mama sembe kwa
kuanzisha balaa na mimi….
5. Eve
Collections – Huyu dada , I think nilimkosea and I do need to apologize
to her someday. Kupewa mahela na baba yake haimfanyi yeye kuwa fisadi.
Pale nilichemka na siku moja ntamuomba msamaha. By the way sijuani na
Eve ,sidhani hata kama nishawahi muona Live so hata nisipomuomba sorry
its not like Im missing kitu ila ni ile kibinadamu , nilimkosea na
natakiwa kumuomba msamaha.
6. Sophy
Byanaku – Sophy yupo poa, last time nilivyokuwa Dar, Nov 2014
nilikutana nae Hyatt na tulipooNana tena kwa kupishana uso kwa uso
tukajikuta wote tumesimama na kuanza kusalimiana yani hakuna aliemgonja
mwenzie amuanze yani tulijikuta tu tunahamu ya kusalimiana na kuongea
kidogo. It was genuine,yani We didnt even need to discuss nini
kilichowahi kutokea , in short tulivyonana face face tulijuwa although
we might not keep in touch or follow each other on IG sisi hatujawahi
kugombana ni vile tu mambo ya magroup……
7. Chaya
Shelukindo – For some reason nilikuwa naamini kuwa Chaya ana bonge la
beef na mimi. Ila pia nilikutana nae Hyatt same day nilivyokutana na
Sophie last time nilivyokuwa TZ , uwiii alinichangamkia as if nothing
ever happened, kwanza nilikuwa in shock maana siku expect Chaya
kunichangamkia vile, mpaka tuka hug,yani nilikuwa nimesikia maneno mengi
mno kiasi kwamba siku expect Chaya kuniongelesha much less
kunichangamkia ,tena alikuja hadi kwenye meza yetu….Dah, Chaya ni
mwanamke aiseee. Maana kwa vitu Chaya alivyojazwa na Nacky Nyange
alitakiwa anichukie mpaka anakufa,ila Mungu anajua jinsi ya kuumbua
wachawi…. Basi kipindi kile tulivyogombana si mnakumbuka Blog ya
chargabarbie bado ilikuwa hewani basi kuna posti Chaya alitukanwa sana
pamoja na Nacky can you imagine Nacky alimwambia Chaya eti Mange ndo
anaandika zile comments zote. Yani Nackie nyie. Imagine kina Chaya ni
rafiki zangu mimi ndo nimemu introduce na anatuchochea hivyo ugomvi
uzidi kuwaka moto. Na sasa imagine nani aliniletea habari? ushoga
shogani.Ila Chaya nimemweshimu sana maana sikutegemea. So Chaya ni mtu
ambae sihitaji hata kupatanishwa nae tuko powaaaaaa sana tu…… Although
we dont follow each other on IG ila moyoni tunajua hatuna matatizo at
all…..
8. Kiki
Zimba – Kiki ndo alikuwa besti yangu kati ya watu wooote hawa. Problem
is urafiki wangu na Kiki ulikuwa very one sided yani mimi kama nilikuwa
nna force ule urafiki, yani kila siku watu walikuwa wananiambia Mange
mbona wewe unampenda sana Kisa ila yeye anakusema vibaya all the time?
Nimevumilia mengi mnooo kwa Kiki Mungu ndo anajua. Hakuna mtu anaejua
ups and downs za urafiki wetu kama mumewe na kama sio mumewe kuwa
anatupatanisha all the time labda tungekuwa tumeshagombana enzi
zileeee…. Kutokana na damage iliyokwisha fanyika tena publicly , i mean
both sides tulipitiliza vipimo vyoote difference is mimi nilikuwa
nafanya kama Mange yeye alikuwa anafanya kwa kujificha ficha nyuma ya
computer. So yes kibinadamu ni mtu ambae naweza kusameheana nae ila kwa
msahama toka kwake yeye. Yani lazma aniombe sorry ndo nweza kupatana na
KIKI. Yaliyotokea yoote yalitokea sababu ya yeye kuanza kunisema vibaya
kisa tu eti nimeanza kuuza nguo kama yeye uwiii ila sasa nauza nipo
marekani sikuwa hata Dar na kipindi naanza sikuwa hata nna plan ya
kufungua business Dar ni baada ya uadui na yeye ndo nikaona why not. So
huyu yes moyoni mwangu one day kama maajabu yakitokea yes naweza
kusameheani nae ila labda aniombe msamaha tena msamaha very sincere. Ila
pia namjua vizuri mnoooo ni Mnyakusya yule ,uwiii hata angewekewa
bastola kichwani hatokaaa kuniomba msamaha, so lets just say mie na Kiki
hakuna hope. So wapatanishi hapa ni mission impossible…. …
9. Nackitie
Nyange – Oh lord I HATE this woman. Sijui ntafanyaje Mungu anitoe
hii roho ya chuki juu ya huyu mwanamke…. Jamani huyu mwanamke nyie. Dah,
no wonder huyu dada hata relationship na wadogo zake ni kazi
haswaaaaa…… Jamani huyu dada ni mchonganishi nyie sijui nisemeje, yani
the day nilivyowekaga ile post on fb kuhusu kugombana na rafiki zangu
nikaona kaniblock IG, nikashangaa nikam contact kumwambia kuwa hapana
mimi na yeye tuko cool hausiki.OMG, yani na kumuelezea kote huyu ndo
alikuwa kichocheo cha moto mpaka kuwaambia kina Cynthia nilikuwa
nawasema kwake, kumwambia Chaya Mange ndo anamtukana kwenye hiyo blog
jamani hii ya Chaya iliniumaaaa nakumbuka 2 yrs ago nilikuwa naongea na
Mwamvita niko Las Vegas nilimlalamikia about hili kidogo nilie maana
nilishangaa Chaya kanikosea nini mpaka nikamtukane kwenye blog jamani….
Iliniuma sana ,unajua Nacky mpaka akamwambia mume wake yule mIHAYO eti
Mange ndo anakutukana kwenye blog mumewe akanipigia akaniuliza vibaya
nikaishia kumtukana matusi kibaooo… Kilichoniuma kati ya vyote, Nacky
was my friend, hao kina Kiki, Adeline woooote walikuwa hawamtakiii
kwenye group mimi ndo namuombea aingie, Nacky alikuwa ananililia nimu
introduce kwa dada wa sauzi kipindi hiko yuko marekani. Ananiomba
nimuombee aende New York aka hang out na huyo dada eti kampenda kwenye
picha na mie namuombea, akarudi TZ akafanyiwaga welcome home dinner na
rafiki zake jamani alinisumbua nimwalike dada wa sauzi aje, imagine
anataka mtu ambae hata kumwalika yeye mwneyewe hawezi aje kwenye dinner
yake, jamani mbona nilimake sure huyo dada kavaa kaja kwenye dinner
jinsi niliyokuwa nampenda Nacky nataka afurahi,akawa ananiomba nimuite
zile branch zetu za Hyatt jamani group zima linanuna especially Adeline,
Ade alikuwa hafichi alikuwa ananisema kabisa Nacky usimlete sio mtu
mzuri mie mbiiishi jamani hata mkitafuta picha za nyuma za branch za
Hyatta mtaona Nacky lazma akae next to me maana mie ndo shogake ,basi
akija hizo branchi atabeba zawadi ampe dada wa sauzi yani dada wa sauzi
akimsifia hiko kbanio kizuri uwii next sunday atakuja brucnh na hicho
kitu kama zawadi ampe…hahahah jamani dada ali fight kumjua dada wa
sauth utadhani ana fight kujuana na mwanaume. Na mie ndo namuita kila
mtoko awazoeee, jamani imagine siku mimi nimegombana na rafiki zangu
yeye ndo akaingia kati kuwatia utambi vizuri badala awe side yangu maana
mie ndo shogake au awe netral… DUH KWELI kutaka kujuana na watu wenye
status mjini ni shida mtu anakosa hata utu…. Huyu dada sidhani kama
nitakaa kuweza kumsamehe hata akiniomba msamaha maana ni
muongooooooooooooooooo, mchonganishiiiiii,mnafkiiiiiiiiiiiiii. In short
sijashangaa kuachwa na mume wake hakuna mwanaume anaweza kuishi na huyu
dada ni mtu mbaya sana an very fake. Kaachwa basi kajikondeshaa sasa
hivi madai yake anatafuta bwana mpya..hahahahaha…..Yani nyie nikiwawekea
chat alizokuwa anaomba nimuombee kwa dada wa sauzi aende kumeet new
york mtachokaaaaaaa…. Yani nilimshangaaa maana mimi niliamua mwenyewe
siwezi kuwa kwenye kundi la fake friends wanaonisema behind my back na
nikaamua kuwa blast on facebook. Maana niliumia sana yani just 2 days
before nilitoka kumuona mtoto wa KiKI huyu mdogo s na picha nikarusha
insta kumbe nimetoka kumuona mtoto wake na kaenda kunisema vibaya? eti
wala sikumualika kwangu kaja mwenyewe, jamani niliumia,imagine
alivyojifanya kufurahi nimeenda kumbe ndo anaeenda kunisema,mamaaa
niliumiaaaa nikasema basi acha niwe peke yangu ndo nikatapika facebook…
Ila sasa imagine mimi niliamua kutoka kwenye group sababu niliona halina
faida kwangu Nacky yeye ndo alikuwa anaweza kufa kuingia kwenye hilo
group mpaka kunigeuka mimi rafiki yake for the sake of watu ambao hata
hajawazoea ,yani that day nimeweka ile posti facebook ya kusononeka that
day ndo the first day Nacky kakutana na wale wadada bila mimi au bila
kuitwa na mimi. Ila akajiweka yeye ndo kiranja wa ugomvi.Yule mwanamke
jamani ni nyoka nyie hamuwezi kuelewa. Na kuna comment mtu aliweka about
huyu dada kuwa close na mke wa Luca and now kahamia kwa Nacky its so
true, Nacky is a snitch yeye ni about status and money basi. Alikuwaga
very close friends wa mke wa Luca na alikuwa anamchukia Nancy kufaaa kwa
kuiba mume wa shogake yani nilipokuja kumuona eti yeye ndo kawa
official mpambaaji wa mtoto wa NANCY and Luca kisa Nancy kawa na status
nilichokaaaaaaaaaa….. Yani yule dada kuna siku mtakuja kuniambia
mimi……One day tutakuja kuongea topics ya huyu Nacky humu na nitawaambia
mmeona allivyo snitch… she is by far the worst firiend I have ever had
maana she ditched me when I needed her most maana nilikuwa nimewablast
marafiki woote facebook nikijua yeye is with me ,uiii kumbe mwenzangu
keshahanihama,that means she was just using me kujuana na wale wadada
yani hakuwahi kunipenda alikuwa ananitumia tu especially kujuana na dada
wa south and thats it. Huyu mwanamke naomba muwe mnanisalia niweze
kupata nguvu ya kumsamehe ili niondokane na huu uzito rohini mwangu,
hating someone is a full time job jamani. Ni utumwaaaa asikwambie mtu… I
need to stop hating her mniombeeee. Ila kwa kusameheana nae
siweziiiiiiiiiii, dah!!!
10. Nafue
/Glam Madam – Huyu anytime akiwa ready mie niko nae poa, we dont even
need to apologize to each other, tuligombana viugomvi vya kijinga jinga.
Glam madam anavitu anaboa sana mkiwa close, she means well ila hajui
kum complement rafiki yake atakutoa kasoro morning till evening.Yani
ukishinda nae siku nzima utajikuta una stress za kufa mtu. Ila sio mtu
mbaya at all, she is an amazing person ni vile I think hana
communication skills basi. Like anawezakukwambia “we mange una viguu
vibaya jamani” like 5 times a day ila anasema kama utani but after a
fews time unaanza kuumia… Not just me marafiki zake wengi lalamiko lao
ni hili hili….Ila kwingine kote she is amazing na sio back stabber kama
dadake. Ila huyu nae mgomvi kama mimi na mbishi kama mimi so mimi na
yeye tukispend muda mwingi pamoja lazma tuvaane.Ila ukweli ni kwamba
sometimes I miss her kwa kweli, especially coz hatujawahi kukoseana
kivile yani ni vimambo vya kitoto toto tu.Nafue ni vile yupo bossy like
me but she is really harmless nachekaga wateja wake wanavyo complain
kuwa anawagombeza saloon kwake, ndo alivyo Nafue yani mwenzenu hata
besti friend anamuongelesha hivyo hivyo na hapo ndo anampenda and its
hard ndo maana mimi pia nilikuwa nashindwa tunagombana na kurudiana ,ila
ndo anavyoongea hivyo…hahahaha,na kukutoa kasoro ndo alivyo anapenda
kuhighlight vitu vyako vyooote vibaya It doesnt means she hates you ila
anapenda tu kusema vitu vya kumuuzi mtu….lol… Na mie nimesha muaccept
kama alivyo maana na mie nna matatizo yangu ambayo ilibidi Nafue
anivumilie….. No one is perfect……..
11. Ikumbo
NYANGE -Huyu aliuvaa ugomvi wa dadake bila sababu. Ofcourse I had to
understand dada ni dada tu. Ikumbo yuko protective sana na ndugu zake.
PRIMARY school mie ndo nilikuwaga bully la shule,yani nilishindikana kwa
uonevu shule nilikuwa nabutua watoto wa watu jamani. Ila ikumbo
alinikomesha, nilikuwaga nikimbully Nafue weeeeeee ananifata utadhani
ananiweza maana kalikuwa kembamba kama kijiti ila alikuwa anani
challenge na ubully wangu. So nilielewa why ikUMBO ushoga na mimi
ulikufa baada ya ugomvi na Nacky, although huyu nae nilimpigia simu
akiwa minnesotta na kujaribu ku expplain kuwa mimi sielewi why dada ake
anadhani tuna ugomvi nikajiongelesha kwenye simu eeeeh ili kuokoa
urafiki wetu wa miaka karibia miaka 20 sasa ila blood is blood . So yes
huyu sina tabu nae siku akiamua tuwe poa kama zamani yani ntamkumbatia
coz I do miss her sometimes tumeshare mambo mengi toka tuko 7yrs old…
But again dadake ni namchukiiiiiiaaaaa balaa so i guess mimi na Ikumbo
na Nafue kueleewana ni mission impossible..hahahahahha…. Kati ya the 3
sisters huyu ndo mwenye busara zaidi ya wooote, huko very grounded and
very easy to get along with. Yani huyu mtu ukigombana nae ujue wewe ndo
problem. Ila Nafue na Nacky ni problem…hahahahahhahahahah..Though Nafue
ni harmless problem ila Nacky will kill you with a smile on her face….
12.
Mwamvita Makamba – Unlike what most think me and Mwamvita are actually
good friends yani. Sio kama zamani but we are good. Nahisi hamjui ila
baada ya like balaa nilijirudi na kumuomba Mwamvita msahamaha kwa
kumblast on facebook vile and she forgave me instantly wala sio ya
kusema let me think about it, nope pale pale. Why did I apologize to
Mwamvita? Nilivyowekaga ile post fb YA kuwa blast mashoga zangu haki ya
Mungu kati ya group lote lile hakuna hata mmoja aliejali wala kuniuliza
Mange unaongelea nini maana walijua ni kweli wamesema, Yani no one
bothered to reach out to me except MWAMVITA, Yeye peke yake ndo
alinipigia simu tha whole night na nilikuwa sipokei,she emailed me
sijibu mpaka akampigia mamangu kuuliza. Only she cared about our
friendship. Na mie baadae hasira zilivyoisha na kuona kuwa haikuwa
busara kuweka ile posti pale niliona the only persona alie deserve my
apology is the Mwam. Maana niliona atleast she cared about saving the
friendship, so nikamwambia im sorry. We have been okay since then, sina
problem na Mwam at all. Ila ofcourse labda now kutakuwa na problem
sababu ya issue ya shutup law na reaction yangu kwa kaka yake, damu
nzito jamani. And that was a risk I was willing to take maana hii issue
iligusa maisha yangu na maisha ya watz wengine mno. So mkiweka issue ya
January pembeni Mwamvita na mimi tupo poa sanaaa…. Jamani I respect this
woman, Mwamvita ana roho nzuri nyinyi hamuwezi kujua. Ana roho nzuri.
Katika marafiki nilowahi kuwa nao wenye genuine good heart ni Mwamvita
Makamba na Bimdo,yes BIMDO, najua watu wanaweza kupata shock hapo pa
kumtaja bimdo , alipitiwa na jini tu ila that girl has a good heart,let
me tell you…..Ila guys Mwam is an angel, she is a good person I wish
yeye na sio kaka yake ndo angekuwa kaingia kwenye siasa sababu ana roho
nzuri sana, I think Tanzania really lacks leaders with a simple good
heart. Hivi mnajua Mwanmvita ni rafiki ambae anaweza kumpa rafiki
$10,000 kama mkopo na akakusamehe? She is not rich she is simply nice
like that. Kuna siku alikuja Dubai nikamsindikiza shopping akaninunulia
CL ya $1,500 out of nowhere…she is just like that, like hawezi kushop
peke yake anataka na wewe upendeze kama yeye,now thats a friend…,sio
kwamba ana dola milioni benki haina kazi nope ana kazi nzuri yes ila sio
tajiriiii but anatoa kushinda hata matajiri mnaowajua nyie, sasa dada
enu Nacky nilikuwa nikimpa hizi story ndo anadata na Mwamvita, uwiii ni
introduce jamani Mange uwii kakununulia CL kabisaaa uwiiii,
uiii…hahaha,watu kwa kupenda vya bure….hahahhahaha…… One time Kiki
aliiibiwa pesa few days before she travelled, sijui kama aliibiwa au
alikuwa hana pesa anajua mwenyewe ila in short alikuwa anaadhirika akawa
anahitaji $5,000 fasta aende china mie hapo nasomeshwa Masters na
mzungu Dubai sina kazi nipo home, nkamwambia hapa nimekaa kama mtoto
mdogo ,nasomeshwa kila kitu bure na mashauzi juu alafu niseme nataka
$5000 nimkope rafiki mzungu atanitimua basi nikamwambia ngoja nikuombee
kwa Mwamvita, eeh hapo yeye mwenyewe hajamzoea Mwamvita mimi ndo niko
close na Mwamvita,yani hawa wote kina Kiki ,Nacky mimi ndo nimewaweka
kwa Mwammy ,hahahaha…. Oh yeah mie nimejua Mwam through Bimdo back in
1999…Historia yetu ndefu mnooo…hahahhaa Basi nikamwambia usijali Mwammy
wangu atakupa ,nikamzukia Mwammy, nikamwambia please mpe Kiki $5,000
anajua biashara akirudi tu atakulipa, Imagine nilivyokuwa nampenda Kiki
sitaki aadhirike mjini nahangaika kutafuta hiyo dola elfu5 asafiri
asichekwe mjini maana aibu yake ni aibu yangu. Mwamvita hakuwaza hata
dakika mbili akasema sawa mwambie aje nyuombani leo ntampa. KIKI
HAKUAMINI, maana imagine unakopwa na mtu ambae wewe mwenyewe tu
hujamzoea enough kuweza kumuomba hata hizo pesa. Same day akapewa pesa
akasafiri, amerudi kauza nikamuuliza vipi ushapata pesa za mwam akasema
yeah ila kulipa zote ngumu nimpe kidogo kidogo nikamzukia Mwam
nikamwambia pls chukia kidogo kidogo ili asiue biashara, guess Mwamvita
aliniuliza nini? wewe unaona anilipe kidogo kidogo au nimwachie tu yote?
nikamwambia chief kama unaweza kumwachia yote mwachie chief plsss,
akasema mwabie nimemwachia, nikamwambia Mwam tell her yourself, akasema
no mwambie wewe sijamzoe . Imagine wao tu kucommunicate hawawezi mie ndo
middle men leo eti Kiki anajifanya bestiiiii ya Mwam,Mange ndo
mbaya,hahahaha,jamani binadamu wanajua kusahau haraka…dah… Basi
nikamzukia KIki nikamwambia Kiki mwam kakusamehe, eeeh kidogo adate ,
thank you mange, thank you mange, you a real friend, nkamwambia sio mimi
mshukuru Mwam ndo akampigia Mwam kumshurkuku.. Jamani urafiki wa Kiki
na Mwamvita ndo ulianza kuwa serious friendship siku hiyoooooooo na
chanzo ni Mange….hahahaha….Jamani Mwamvita Makamba ndo binadamu wa aina
hii. Naomba niwaulize honestly nani kati yenu anarafiki wa kumpa hata
milioni 1 tu bure, hata kama anautajiriiii gani nani??? Ila mwam is that
kind of a friend, ndo maana kina Nacky wanageuka marafiki for Mwam
ambao hata hawamjui sababu wanajua misaada pale ni anytime huwezi kufa
njaaa….hahahhahahah…… Mnajua ilifika time tunatoka out kila mtu hataki
kulipa kiingilio anasubiriwa Mwamvita alipe for everyone, nikanza kumind
na kusema jamani now kila mtu ajitegemeee this is unfair…. Huyu ni
mwanamke mwenzetu plssss…. yani ni shidaaaaaa… In short Mwam ni generous
person, na akikudai mkopo wake ujue she needs her money kwamba na yeye
kabwanwa ,hhahha … Jamani mwam sio tajiri anakazi nzuri tu so hatoi
because she is rich anatoa because ana moyo huo wakutoa yule mwanamke…..
Kudadeki mie mwenyewe labda Mwam bado ananidai kidogo though I made
sure kabla sijaondoka bongo nilimlipa every cent,hahahahah ila nahisi
kuna ambazo alisahau…hahahahahhahahah…. Jamani huyu ndo mtu ambae
sitokaa kumtusi ever coz I know who she is. hUYU mwanamke ni malaika.
she is not perfect ila ana roho ya utu huyu dada. Wish ampe kakake roho
yake aiseee……Uwiii kuna siku alini upgradia ticket nika travel business
class, bila kumuomba alinipa offer tu, hivi rafiki gani anafanya hivi
for friends??? Hakuna rafiki wa Mwamvita ambae hajasaidiwa kitu kikubwa
na Mwamvita. Alafu katika marafiki waliomtia hasara mie wa kwanza I
think. hahahhaa….Ile biashara ya nywele tulitoa wote 50% capital
nikaenda bambikiwa manywele sio hayo in China, ila still Mwanvita any
busines idea tunafanya tuna invest half half tunafanya….. Jamani hiyo ni
marafiki sadaka sasa? I think mashekhe wa Dar wamepokea misaada ya Mwam
mpaka mwisho, Anatoka sadaka huyu dada mimi mwenywe nyuma…Na kuna mtu
nilimwambia this is why Mwamvita hatokaa kushuka sababu ana roho nzuri
sana na anasaidia sana. Yani hakuna rafiki wa yake amabae hajawahi
kusaidiwa kitu kikubwa hakunaaaaaaaa….. Again no one is perfect problem
ya mwam ni moja tu sometimes she takes people for granted and she did
take me for granted na nilimwambia one time you are taking me for
granted. Because mimi urafiki kwanza everything else nyuma. Loyalty is
not one of her strengths. Na mtu akikosa loyalty amekosa kitu kikubwa
sana maisha yake…Mwam hana loyalty. sio kwamba alikuwa unloyal kwangu
tu a few people would say the same. She is nice,caring, loving but
loyalty is not her thing. And thats huge…….Mwamvita is the first friend I
have ever respected and thats because she earned my respect. Jamani
nothing moves me kama mtu mwenye utu…. Sio pesa ila utu, another friend
in my life mwenye utu ni Loveness…. jamani usiombe kupata rafiki mwenye
pesa omba rafiki wemnye roho nzuri,rafiki mwenye utu,hata akiwa hana
loyalty ila ule utu wake can easily makeup for the other weaknesses…
maana hakuna alie perfect ,najua I was a handful for her too ,watu
walikuwuaga wnaamuuliza all the time hivi wewe na Mange inakuwaje
mnaelewana , hahahha, its true we are totally different but we found
some sort of common ground….. One thing that drew us together ni kwmba
we are both driven, yani mimi na yeye most of the time tulikuwa ni tuna
project za kutengeneza pesa tuuuu, au biashara yani hiyo ilitufanya
tukaelewana sana.Kama ile project ya Diamonds are forever, tulikuwa
partners pia kwenye ile project ofcourse pamoja na bosi Ruge….hahahahaha
13.
Joseline Kamuhanda – I wouldnt say sorry to her maana i sincerely feel
like alinikosea ila pia yeye haitaji kuniomba sorry coz mimi pia
nilimkosea… Joselene pia alikuwa my friend sana. Loveness ndo alini
introduce kwa Joselene. And tukaelewa mnooooo. Ofcourse nikamu
introudece kwa Mwamvita mpaka nao wakawa marafiki then ofcourse problem
ikaja hapo. Ugomvi wangu na Joselene ulianzia hapo tuuuuu, one time
something happened kwenye ile blog ya chargabarbies aliyonifunguliaga
anichambe, tukawa tunaongea something me,Jo and Kiki, Joselene katoka
hapo kaenda kumwambia Mwamvita kitu kingine kabisaa dah nilichukiaaaa,
yani sisi watatu tumekubaliani kitu kingine kesho ntafanya hivi na vile
kudeal na problem hiyo, katoka hapo kampigia Mwamvita yani Mange wala
hajali mwenzio, she doesnt care at all. Mwamvita kanipigia analalamika
why hujali nimesikia maneno, yani wala sikumuuliza nani kamwambia,
amekata simu tu nikamrukia Joselene nikawaka kishenziiiiii,nilimind
mnoooo… I was like jamani huyu dada kasahau kuwa yeye ni rafiki yangu
mimi nimemu introduce kwa Mwanvita juzi leo ananigeuka behind my back
kumwambia Mwamvita something that will lead to us kugombana…Niliminddddd
mnooo. And whats worse she never bothered kuniomba msahama the next day
au the week after akadhani tutaendelea na maisha tu, 2 weeks later
akaja kwenye diamonds are forever show akadhani atakuta nimemuwekea
table ya mbele akae na sisi, weweee mbona alipata shock maana alipelekwa
meza ya nyuma kabisaaa hata diamond hamuoni babake tena gizani,alafu
alikuja na boyfriend wake wakajua wanakaa vip…. weeeek kumbe mpare bado
nimechukia, yani yeye alidhani yameisha, imagine hata kusema sorry
hajasema… Uwiiiii baada ya hiyo event ya diamonds are forver ndo
Joselene akawa na chuki na mimi kama katiwa ndimu… Hahahahaha…Uwiii sasa
ndo akaanza kuwajaza sumu na wengine tusipige tena picha za blog ya
Mange sijui nini tutatukanwa,one day nikamuuliza wewe Jo nani kawahi
kukutukana anywhere? nilikuwa nacheka maana mie najua exactly why
anahasira na mimi alafu anashindwa kuwaambia wengine anajifanya blog
yangu…Basi ndo ikawa isssue ,mamaaaa mwanamke alinisema huyu jamaniiii,
dah… Sasa anaonisema kwao hao kina kiki,mwam sijui nani jamani ndo
kwanza kawajua 2 months mie ndo shogake tumezoeana ila ndo hivyo labda
alikuwa anapalilia kibarua chake…Yani in short jamani wanawake
walikuwa wananitumia mimi jamani kumjua mwamvita, kha! alafu mimi mtu
aliku akinifata anataka kumjua Mwamvita namwambia poa twende,maana why
nimbanie mtu labda atapewa mchongo wa kazi. Ila sasa wakishamjua tu
kosa,mimi mwenyewe naanza chonganishwa…AISEEEEE…… Ila still Joselene ni
mtu ambae ningependa one day tu work out our issues na tuwe kama before.
ila inabidi wote tusameheane kirohoni asi expect msamaha wangu na mimi
sito expect wake… Maana Jo hatujagombana kitu cha maana ni ujinga
tuuuuu… Ila let me say this Jo is a good person and a great
friend,anajua maana ya urafiki. Huwa sielewagi really tuligombania nini
anyways,hahahaha… Hata kama tusipokuja kuelewana I wish her the best.
Huyu dada sio mmbea na hapendi umbea yani sijawahi hata kufatwa toka
tugombane nikaambiwa Joselene alikuwa anakusema ….. Yani mzungu huyu
dada na sometimes I miss her kwa kweli… Joselene kama kuna dhambi
uliowahi kutenda ni ulivyomchunia LOveness ukidhani yeye ndo aliniambia
maneno ya wewe kunisema…Dah ulimuumiza sana na ulimwonea… She never did…
One day muombe Loveness msamaha ulimkosea sana na kumuumiza sana…..
14. BEDUI –
UWIII mwanamke kanitukania babangu huyu jamaniiii na hachokiii daily
anatukana na akitoka hapo anaenda kusali mwenzenu…hahahahahhahaha..
Bedui ana undugu na Mtume hawezi kuwa ana mtania hivi…lazma
wanajuana….lol…. For some reason Bedui simchukii kivilee yani wala
hafikii hata level ya Nacky….kwa vile tumetukanana sana yes naweza
kusameheaana nae one day ile kibinadamu ila ni ile kama ya rachel temu
tusameheane ya mbaliiiiiii, not talking or whatever yani tuheshimiane,
lets not acknowledge each other’s existence, hivyo yani…… Alafu for
some reason its so easy for me kumsamehe LINDA I feel like she doesnt
know any better…. Anyways, ni hayo tu sijui kwanini nimeshindwa
kumchukiaaaaaa kivileee, maybe coz nimemdharau sana…..
15. Mama
Sembe – Jamani I hate fake people, uwiiii nachukia watu wanafki…Huyu
dada ni mnafkiiiiiiiiii… Ila kusema ukweli I dont hate her. Ni mtu ambae
naweza patana nae anytime na nilishawahi kupatanishwa nae na MH.
Catherine huko whatsapp mwaka jana na wote tulisameheana tatizo ni moja
tu hiyo kazi ya mume wake…. Yani huyu angekuwa hajaolewa na mtu wa kazi I
think tungekuwa tushamsahau humu ila sasa sisi tuna vita ya unga alafu
huyu ndo mtu tunaemjua wa mjini ambae kweli anaishi maisha hayo so hata
ile sululu ya MH. Catherine haikudumu ..Sorry Mh. wangu nakupendaga sana
dadake….. Ila jamani Mama sembe ni fake person nyie hamumjui….Mnafki
too much….
16. Mboni
Masimba – Huyu maskini nilichofanya ni kumtetea tu kwa kuibiwa Mr. Sembe
wake kumbe ndo natengeza uadui. Nikawa nimemsahau kabisa ile issue ya
mwanzo kumbe yeye bado, issue ya barbadian queen akavaa
kibwebwe…Anywyas huyu anytime nasameheana nae.Mboni ni mtu poa tu hana
tabu na mtu na hana wivu na mtu ushamba tu unamsumbuaga na hajiamini.
Yani ni mtu wa kufosi urafiki na watu sijui why maskini. Hajiamini at
all…..Pia najua hanichukii ila ndo hivyo anadhani akimshushua mange
sijui mama sembe ndo atamrudia ushoga wa zamani anajua mwenyewe…..
17. JESTINA
GEORGE – Huyu tumemalizana automatically tu imekuja, Jestina is cool
problem yake moja tu nae ni kama Mboni hajiamini anahisi lazma ajuane na
mastaa ili na yeye aonekane mtu. Kusema ukweli kajitahidi huyu dada na
maisha yake kawashinda wengi mnooooooo yani she is doing good, so sijui
why bado anahitaji kuwa validated na watu wenye majina……
18. Nancy
Sumari. – I love Nancy. One day atanielewa na sina hata haja ya
kupatanishwa nae maana hatuna ugomvi. Kama sio mtu wa mapride one day
tutakuwa poa tu.
19. Nakaaya
Sumari. -Nakaaya msela na mwelewaji hakuna issue kwanza siku nikmuona
ntampa hie akinichunia ndo ntajua tuna beef for now najua bado tuko poa…
20.
Flavianna Matata – Huyu mtoto niligombana nae kabla hata sijaondoka Dar,
kitoto kilikuwa on my case,yani nisiweke post humu hiko kishamtumia
message Mwamvita au KIKI huyo rafiki yenu huyo blah blah blah nilikuwa
nachukia alafu sasa imagine hapo ndo nilikuwa nacho close tunachat and
everything na hakiniambii mimi kina waambia rafikizi zangu. Flavianna is
a fake kama dadake mama Sembe. Very fake. Nakumbuka that time wakati
Jokate anagombana na Wema over Diamond mie nikawa namchamba Jokate
kiaina huyu Flavvy nachat nae anasupport anasema yani mchambe mpaka
yule shemzi sana sijui nini yanai anafurahi, sasa ikajaga ile event ya
vintage chartiy ya mwamvita Jokate kaingia mie nimesimama next to Flavvy
nikasema eeh Jokate huyo ataninunia na wewe flavy nakutaja tuliandika
wote yani kwa utani, weeeee alibadilika sura kama hajui naongelea nini
na Jokate akaingia waka hugiana kwa furaha, uwii toka that day sina hamu
na yule mtoto, kumbe Jokate shogake alafu hampendi, anashadadia
nimchambe humu,,,hahahhaa,,,,gosh,in sshort Flavianna bonge la snitchi,
hafai yani….Alafu ukitaka kujua ni mnafki yeye ndo alitutia sumu sisi
wooooooooote kuhusu Millen eeh mpaka mimi mwenywe mnakumbuka nilipostigi
ile tamko yake wakati yuko S.A about millen kutokumsaidia. Yani kina
Shamim ,KIki wote wakamchunia KIKI waulize kama wana ugomvi na
Millen.Muulizeni shamim kwanini hamrushi Millen hata kwa bahati mbaya
kwa blog yake millen alimfanya nini ?yoote flavianna,Kiki muulizeni
imekuwaje maana Millen alikuwaga rafiki yake why hamrushi? hana sababu
ya msingi yote flavianna.alafu sasa alivyo mshenzi watu walivyomsema
humu yeye akajirudi fastaaa kwa millen wenzake watu wazima na akili zao
waliofata mkumbo kina Kiki na Shamim wamebaki hawaongei na Millen huku
aliewatia sumu kajisafisha mbele ya jamii anaongea zake na Millen. She
is selfish…Kanajijali kenyewe tu….I think around January this year
Mwamvita alijaribu kunipatanisha na Flaviana nilimwandika haya
niliyoandika hapa kuwa ndo sababu nimempotezea na sikusoma hata her
reply yake, mpaka leo I never opened the email she answered ,maana
sikutaka kujua what she had to say coz she is fake. She cant help it ndo
alivyo… Ila Mungu anajua kulipa hapa hapa duniani ukiwa na roho mbaya
hufiki mbali ona walivyojiweka vikundi kumnyanyapaa Millen na huyo super
model wao flavvy uwiii sasa millen anaenda BET, lazma kina Flavy
wanaumwa homaaaaaaaa ya ndegue ila ndo hivyooo……..Jamani FLavy ni mmbea
huyu mtoto nyie hamjapata kuona,mtot mchonganishi huyu….Ni hatareeeeee
huyu mtoto… Siku ya kupatana na flavy inabidi nijue kuwa kweli
kabadilika tabia yake maana siwezi patana na mnafki. Yani yeye anaweza
kupatana na mimi hata dakika hii na huku hanipendiiiiiiii hata robo ndo
alivyo yani….
21. Millen
Magese- UWIII Kwanza congrats Millen kwa kushinda hiyo award you deserve
it… Uwiii millen hanipendiiiii nyie hamjui…Msione vile nilikuwaga
narusha na project zake za kujenga shule Tanzania ,uwiiiii pale ni
kwamba najikomba, haniongeleshi wala hataki kunisikia.Kaniogopa kama
Ebola. Issue iko hivi 2012 millen alikuja TZ tena hapo ndo kachuniwa na
wadada wa mujini karibia wooote hana hata wa kuhang nae maskini.
Nilimkuta pale lounge iko masaki nimeisahau jina, yuko peke yake
maskini ,akanitumia kinote through waiter jamani aliniandikia maneno
mazuriii nyie, I will never forget aliniambia stuff like i should start a
TV show coz my life is very entertaining people will pay to watch me
sponsors will pay yani imagine kaniona pale 5 minuts akachukua paper
akaanza kuniandikia kinote akampa waiter anipe…. Yani nilishangaa basi
tukawa tunaongea , najuana na Happy long time sio kiuzuri kivibaya
lakini nilipopigwa kibuti na Baba Bhoke yeye ndo alikuwa akawa Mrs.
Machozi alafu ndo katoka kuwa miss Tanzania sasa yupo hot cake, mamaaaa
nilidata nilimfataga steers nataka kupimpiga eti alivyo mrefu vile
jamani alafu najifanya nataka kuzipiga…hahahaha jamani nilikuwaga chizi
kwa babake Bhoke…hahahahah imagine mtu hakutaki ana mtu wake eti na
naenda pigana,,hahahahaha….Again that was 13 yrs ago.
hhahahhaa…….anyways long story short, that night kuna mambo niliya
observe kati ya Happy na mtu mwingine then mie nikapeleka umbea kwa
mmoja wa rafiki zangu kwenye lile kundi….Mie siku feel kama nimembetray
Happy maana she wasnt even my friend ila nilieenda kumpelekea umbea ndio
alikuwa rafiki yangu…Dah basi likawa beef kati ya happy na huyo
nilieenda kumpelekea umbea, uwiii Happy ndo hana hamu na mimi mpaka leo
babake, I think alini trust na hakudhani ntakuwa mbea mbea labda nimekaa
kizungu hakudhani nna tabia za kiswazi…Mie ni mtu mwepesi kuomba
msamaha, basi nilivyofika US nikam contact happy IG, weeee alifuta
comment yangu fastaa hakun block ila alidelete comment yangu tena
nimesema kapendeza tu, nikajua tuuu demu bado kamind,badi nikamtumia
email ya kuomba msamaha, jamani nimeomba sorry mwenzenu ila sikusamehewa
hata siku zile namsifia project zake bado hanipendiiiii…hahahhaha… Ila
bado nikawa namfagili coz najua mie ndo nilikuwa nna makosa…Anyways Mama
Endromiosis embu nisamehe we mwanamke jamani, kha! roho gani hiyo
lakini? BET award winners hawako hivyo wewe jamani. YANI kupeleka umbea
tu ndo usinikubalie sorry yangu…
22. Diamond
Platnumz – uteam Wema ndo unaoniponza ila kusema kweli ingekuwa sio
mbwe mbwe zake na kunirushia roho mdogo wangu ningekuwa promoter wake wa
marekani maana namfagilia sana…hahahahhaha….
23.Chaggabarbie
– Bestie ake Ledi peti Santa alijaribisha kunipatanisha na huyu mtu
maaana nilinunaaaaaa….. Huyu mwanamke nilikuwa nae okay sijui ikawaje
eti akajianya kununua ugomvi wa Jestina na kimbembele chake kwenye
kunifungulia blog. sasa jestina tuko okay yeye na jestina wako kichina
china… Sijui hajioni mjinga??? Anyways, huyu mtu naweza sameheana nae
anytime tena hata nikapeana nae hie maana sidhani kama ni mtu mbaya
kihivyo yani hata siku zile kama nisingekuja kujua ile blog yake bado
ningekuwa nae poa nadhani…hahahaha….Huyu sijawahi mchukia kwa kweli kama
kuna mtu aliewahi kuniumiza ni Chagga peke yake maana ile blog yake ndo
iliyonisambaratisha mimi na kina Kiki… ile blog ndo ilileta balaa
,maana alikuwa anatuweka mmoja mmoja alafu wale wanaona mie ndo nafanya
wanatukanawa pale… weeeeee,chezea marafiki wa kwenye raha and not shida
mbona walianza kuniteta mpaka habari zikanifikia….So for the fact that
huyu mwanamke ndo aliniletea balaa kubwa siwezi kuwa nae friends ila
kusamehenae kwa mbali naweza… Ila pia isingekuwa ile blog ya Chagga
nisingekaa kujua kuwa nilikuwa nna marafiki feki…Everything happens for
areason….
24. FK
Collection/FAUSTA – Huyu ugomvi wetu ulianzia kwa Baba BHOKE wala sio
mambo ya blog. ALAFU sasa whats funny yani wala hata nilikuwa simtaki
Baba Bhoke kipindi huyu dada anatoka nae. Yani hata bureee nilikuwa
simtaki ,ila nilikuwa nataka ugomvi tu, alafu sasa unadhani nilikuwa
peke yangu ,mimi na yule Bimdo ndo tunagombana na huyu ndo maana
nakwmabia hata huyo baba Bhoke nilikuwa sina time nae kipindi yupo na
huyu maana jiulize mie na Bimdo tumejiunga kuwa harrass wanawake wa baba
Bhoke for what??. Ila Bimdo nammisigi tulikuwa vichaa wasiokunya dawa…
So FK uke wenza ndo uliletaga balaa…Na baadae tukaja kupatana sababu ya
KIKI maana huyu dada yupogo rafiki na KIki kiaina… Sasa jiulize nilikuja
gombana nae nini tena? KIKIII, Niliingilia ugomvi wake na Kiki..Huyu
Aunty mwenzenu alimpa KIKI housegirl wake maana Kiki hakuwa na house
girl. Basi guess what happened baadae house girl si akafunguka kuwa Huyu
Fausta huwa anamuuliza mambo ya kiKI na mumewe humo ndani? Uwiii Kiki
alidata, yani huyu anampigia housegirl daily anamuuliza Kiki anaishije
na mumewe,,,Weeeee nikamwmabia KIKI tumkomeshee ,kiki akaenda facebook
akamtukana huyuuu mpaka akajutaaa, mie nikaja kumalizia kwenye
blog..Alikomaaa…ILA wameshapatana na Kiki , sijui hata ilikuwaje mimi na
yeye hatukupatana wakati ugomvi haukuwa wangu…Mweeeh… Ila huyu dada ni
mnafki sanaaaaaa, sana yani, hao kina KLYN, Sophie woote yani ni kaforce
kuwajua kama Nacky vile ila hakuna mtu aliepigania kuwa nae close
ikashindikana kama KIKI, na kiki ilishindaka sababu yangu … Ila huyu nae
feki mnoooooo, hafai huyu dada navyowaambia. Alikuwa very close na
Miriam Odemba now hata salam shida, wakaenda New York kwa yule Rosemary
imagime ushoga hapo umenoga, hapo ni naongelea around 2013 hivi, basi
Miriam akapata tajiri flani anakaa ATL, nimemsahau jina ila anajulikana
mnoo anahela anasumbua kweli huko ATlanta,ni mtanzania basi Miriam akawa
ana hongwa balaa na huyo jamaa ,ma dola elfu 10 anapewa kama mchezo
,wanatoka dinner miriam,jamaa na Rosemeary na huyu Fausta, sasa
kilichotokea nini? Huyu Fausta asimgeuke Miriam akambeba huyo jamaa ni
nini? Uwiii MIRIAM INAMUUMAGA MPAKA LEO. Naa sio kumpoteza huyo jamaa
mwanaume ni mwanaume tu ila rafiki kumchukulia alafu sasa huyu rafiki
kaolewa na tajiri huko Dar hana dhiki jamani ila still akaona Miriama
ana enjoy sana akamnyang’anya, tena imagine Fausta ana date na huko
jamaa behind Miriam’s back na Rosemary anajua kila kitu, nilimwambia
Miriam I doesnt matter kuwa Rosemary was the one F*** the guy herself
but she is not your friend wote lao moja maana Rosemary alitakiwa
kumkataza Fausta.Anayways, long story short yule dada sio mtu mzuri at
all. Mnakumbuka kipindi nna beef na Devota la balaa huyu akawa matron wa
Devota weeeee, me na Devota tulivyokuja kupatana Devota alitaka
kumnyonya huyu macho maana alikuja kufind out huyu kwa kujipendeza kwa
Kiki alikuwa anamwambia siri Kiki siri za Devota and ofcurse habari
zinanifikia mimi so nilivyopatana na Devota nikampa mastory yake yooote
alichokaaaaaaaa Devota, matron kumbe anamwanika hivyo.Imagine hapo ni
matron wa mtu… Huyu mtu mbaya sanaaaaa . Alimsemaga mpaka Sophy vibaya
sana sophy akamchunia ila baadae akamsamehe, Sophy is very forgiving
yule dad. Ila huwa sielewagi wale kina Klyn wamewezaje kuwa bestii na
Fausta, she is a very bad person na kafosi mnooooooo kujuana na hao
wadada wa town, na kilichomsaidia ni kuwa kaolewa na tajiri basi alikuwa
na kazi ya kuwatafuta mastaa wa mjini anawaalika kwake we ukifika pale
unadata mwenyewe unaanza kuwa ane rafiki. Nyumba yake ni balaaaa na
anajua kukununua atakukopa sijui nini mpaka uwe nae close. Yani karibia
wote ndo kawapatia hapo kwa kuwaonyesha nyumba yake….hahahhha…..Na huyu
yupo kama Mama Sembe hawataki kabisa rafiki zake wa zamani hata bure
hawataki na wanamsemaga sana sabbay fausta ni mzee sana yani watu wa age
yake hawataki kawadaka hao watoto watown basi…Anyways,,huyu mie anytime
napatana nae maana nilikuwaga namchokoza for no reason jamani….
Actually I think natakiwa kumwmabie sorry huyu maana mimi ndo nilikuwa
mgovi most of the time… Nikiwa ready ntamuomba sorry….Na ubaya wake
woote ila hajawahi kunichokoza mimi…
25. Aisha
Senkoro – Yani huyu sijui hata alikurupukaje, eti kisa nilipatana na
Cynthia Masasi basi ndo akaanza kuniwekea vijembe twitter kuniit snitch
sijui nini. Akasahu kuwa mimi ugomvi wangu na Cynthia wooote ulianziaga
kwake yeye. Anyways huyu yani anytime napataana nae but she need to
apologize alinikosea mnoooo… Alafu hakuishia hapo akaanza kunisema kwa
kina Saidi na mwanamke wake sijui nani, dah ila sijawahi kumchamba wala…
I miss her crazy ass sometimes. The day akisema sorry Im game……Maana ni
ujinga tu, sasa tuligombana kisa Cynthia, cynthis mwenywe huyo sijui
hata yuko wapi siku hizi…hahahhahahaha… Aisha is a nice person jamani, i
like her soooo much although sometimes alikuwaga too crazy even for a
crazy person like me… Ili nilimpendaga sana Aisha tena nakumbuka group
langu lile walikuwaga hawamtaki huyu ila mie nilikuwa nafind ime ya
kuhang out na Aisha then nawale…. She is a sweet person.
26. Bella
Wantong – Bella mmbea sanaaaaaaa ndo problem yake, anapenda kusema watu
Bella , I think alinisemaga kwa dada flani hivi i fogot her name then
huyo dada akaja kuniambia, duh hapo ndo nikanawa Bella…. Ila she is
acool person akiacha umbea……HUYU ANYtime akipewa ruhusa na Aisha
narudiana nae urafiki…hahaahhahahaha…..Ehh Bella mpaka apewe ruhusa na
Aisha kwanza..hahahhahha…Uwiiiii., oh lorn nimekumbula mbali sana enzi
za Edward…….Yani Bella na Aisha sina issue nao ni ujinga tu…. BELLA
alisha apologize kwa kunisema na tukayamaliza ila sasa hana ruhusu ya
Aisha ya kupatana na mimi ndo hapo kazi….hahhahahhaha
27. TEDDY
KALONGA – Teddy ugomvi ulianza kijinga tu haki ya nani, I think
aliniweka on her blog tena kwa kunisifia tu nikamtumia message inbox fb
nikamwambia anitoe fastaaa kipindi hiko blogs ndo zimeingia naziogopa
balaaa. Uwiii dada akaenda kuniweka post ingine alinichambaaaaaaa mpaka
nilijutaaaa…. Hapo ndo sheshe langu na Teddy lilipoanzia… Tumetukaniana
wazazi, familia kila kitu tulimaliza mi na TK. Alivyoanza kuokoka akawa
anapata shida mara aweke status twitter nimemsamehe Mange, then after a
week anarudi kwenye beef, I think forgiving me was one of the hardest
things she has ever done. Ila kwa vile ameokoka ilimbidi… Bedui
alitakiwa kujifunza kwa huyu, watu walioshika dini ndo wako hivi, yule
mama anaswali akimaliza tu anamwaga matusi…LOL.. Anyways, TK
tumesameheana kabisaaaaa tena ya kutoka rohoni na huwa tunachat facebook
sometimes.I think alinitumiaga message inbox akaniambia Mange
nimekusamehe for everything na mimi nikamjibu fasta na mie nimemsamehe.
And we lived happily ever after….. TK ni amepokea wokovu kweli, ugomvi
wangu na TK ulikuwa wa balaaaaaa ila alivyo okoka aliokoka kweli yani….
Na mimi nilivyoona tu kuwa TK ameokoa na hataki tena ugomvi na mimi nili
back down haraka sana maana ni dhambi kubwa kumtia mtu majaribuni maana
unaona kabisa TK anataka kuchoose another path but anashindwa coz watu
bado wanatuchochea so nilisizi mara moja nikamwacha dada wa watu
akamuimbie bwana kanisani…. I wish her all the best. TK wala hatakiwi
kuwa in this list maana tumesameheana muda mrefu sana, kabla hata
sijahamia marekani ila naona wengi mmemuulizia….
28.NARGIS
MOHAMMED – Nargis jamani nargia ugomvi wetu ulianzia kwa Adeline, baada
ya mie na Adeline kudundana tuliishia polisi basi polisi Ade anakuja na
Nargis ,Nargis nae kaninua mpaka. Kha, nilikuwa namshangaa, then later
on ikaja issue ya Bedui huyu ni ndugu na Bedui akawa kama anaingilia
ugomvi…Yani in short sina ugomvi wa maana na Nargis. Nargis iso mtu
mbaya problem ni kwamba ni mswahiliiiiiiiii basiii, yani anatabia za
wanawake wa uswaziiii,thats her problem……. Nargis naweza kusameheana nae
anytime maana sijui hata tuna ugomvi gani yani zaidi ya yeye kwua
anadandiaga issue zangu na watu wengine….. Alafu kitchen party yake
alinialika na sare akaniletea mpaka dukani kwa Kiki kwanza sis ndo
tuliipa KP yake swagga….hahahahhahaha…
29. LADY
JAY DEE : Huyu shangazi yake Bhoke sijui hata ilikuwaje maana ndo
alikuwa mwimbaji wa kwenye harusi yangu, hata first dance alituimbia
Live.
I think
kilinuka baadae maana yeye alianza kublog before me na yeye alikuwa
mmoja wa watu ambao walinipa shavu laa kutambulisha UTURN. Then after a
few months nikaanza kujifanya mie ndo” Queen of all bongo social media”
hahahahaha. Tena naandika kabisa mie blog yaangu ndo number one in all
of bongo wakati that time blog ya Jide ilikuwa hot kweli….I think
nilimboaga hapo Jide I’m not sure yani . kuna watu hawapendi tu watu wa
kujisifu sifu ovyo kujifanya number 1 mpaka waliokukaribisha mjini
unajifanya umewazidi, maana mpare nilikuwa najifanya mnoo. In short sina
hata beef na Jide ila hali haiko sawa I think. Ila yule mkuria
simchezei anabondaaaaaaa, hacheki na kima yule……Acha niwachezee kina
Bedui wenye midomo and no action , Jide haongei anatembeza kichapo tu….
Yule nahisi ntamuomba msamaha bila hata kujua kosa langu ili mradi
yaishe tukishaelewana ntamuuliza nilimkosea nini ili nisirudie….
SPECIAL CASE:
MBUTA NANGA
– Hivi mnajua mbuta hawajahi hata kuniuzi…Yani Mbuta nashindwaga hata
kukasikira kwa kweli…. Yani naonaga kumkasirikia Mbuta ni sawa na uwe
unapita barabarani wale vichaa wakutukane then ukasirike kweli.. Mbuta
ni mgonjwa serious and I FEEL Bad for her. Ndo maana namwitaga tu mtani
wangu. Unajua maisha ya Mbuta ni ya mateso sana, huwa wanateseka sana na
hayo mavoices in their heads.Sio utani Mbuta ugonjwa wake ni serious
kiasi kwamba hata piki piki haruhusiwi kuendesha huko UK. Ni that serous
so mie ndo maana namchukuliaga kama mtoto hajui asemalo… Hivi wewe
mwenyewe ukimwangalia vile anavyokatika uchi you think anafanya vile
sababu anapenda? she can’t control it asipofanya vile ndo basi atadai
kabakwa yani hawezi kukaa still. So Mbuta mie sina ugomvi nae I swear
kwanza najua soon atanisamehe maana kama aliweza kutangaza kamsamehe
Lema aliembaka basi na mie atanisamehe. Mie nishamsamehe maana naona
dhambi kutomsamehe Mbuta…
Uwiii
jamani listi hiyoooo,hahahhaha…sio mbaya jamani kati ya watanzania
milioni 40 kugombana na 29 sio mbaya…hahahahhaha… ila sasa nisiongeze
number jamani….hahahhahaah
PS: Jamani
sisemi mie ndo msafi kwenye urafiki, hapana mie pia nna problem zangu Im
sure na hao hapo juu ilibidi wanivumilie . No one is perfect. Na mie
nachukua responsibility for my part kuwa hata mie nilichangia urafiki
kufa kwa njia moja ama nyingine…..
275 Comments
-
NOMA SANA MHHH POLENI UMJINI HUU CJUI MWISHO WAKE NI WAPI WAIIII. BORA MIM NIPO MWENYEWE NDUGU ZANGU NI RAFIKI ZANGU WA KUFA AISEE
363 -
yaaani we ni mtanu kama mcharoo.nimecheka kweli. Ila waonekana ni mtu poa sana wewe ni makavu live si mnafiki ndio maana unachukiwa. Wajua watu hawapendi ambiwa ukweli haswa wakoseapo. Flaviana aonekana ni mbinafsi kweli. Na pia ku da aoneka ni mdomo tu mwingi na uswazi ila yupo poa. Jestina pia aonekana ni mtu pia na mpenda maendeleo bila chuki ila ni kujipendekeza. Nancy ni kama flaviana ila unafiki hana, ni ubinafsi. Nakaaya poaaaaa sana. Rechel mh ka snatcher ka mabuzi ya wenzake kale lkn makavu live nae.
494 -
Uwiiii nimesoma nusu narudi tena baadae Mange we ni kiboko yangu. Ngoja nifanye kazi za watu mana sio gazeti ni limgazeti
262 -
Ili gazeti ni exclusive kwa kweli.ni refu ila nimelisoma kwa mapenzi yote.
622 -
Mmmh hongera mpz kwa kutuwekea hii list na maelezo juu, Mungu akupe wepesi hao wote ambao hamko vizuri muweze kuyamaliza. Duniani tunapita na hakuna mkamilifu. All the best
631 -
You are the realest person ever. I will always be your supporter number 0.5 meaning, I am ahead of your supporter no.1.
Not easy to find on this planet earth a person of your calibre.
1052 -
mimi mbea wa magazeti ila hpa nimekoma. Gazeti ni refuuuuu mno duh. Ila nitalimliza tu. Umbea sunna. Hivi shosti huwa unatype au machine inaprint tu. Unakaa kwa mike unasemaaaa then inajitype yenyewe na print. Kama unatype hongera mweehh. Mimi vidole vingevunjika kweli hii blog unalipwa. Akahhh. Salute
970 -
Mange mbona hao wachache
Halafu urafiki na mnaojiita “wadada wa mjini” siku zote huwa feki…wanakupenda kwa sababu fulani
Pia wanawake wanafiki sana…. heri uwe na rafiki wanawake 3 na rafiki wanaume 50 kuliko marafiki wa kike 50
961 -
Umemsahau yule waziri alikuaga ana kipicha cha chupi nmemsahau jina. Ila wagombanao ndio wapatanao jamani. Pataneni na kwakua wote mshajua mapungufu yenu itakua easy kutozinguana tena.
446 -
umeandika dada kama kipaji tu unachooo…..kama unatukomesha vileeee….hehehee na mimi kipaji cha kusoma ninacho, sikupatiii picha na hicho kigugumizi chako ukiambiwa uongeee yote hayo utamaliza october after election.
bora mie niliwarest in peace mashost they were with for their benefits.
863 -
jamn mange yote tisa kumi mm nmevutiwa na stor yako ww na mwamvita she is just a beautful woman jmn even moyo wake jmn duuuh ila watu wachonganishi balaa jmn, kat ya wote hao yan i wish urafk wenu ww na mwamvita urud ka zaman jmn.
na watu wengi apo walikua wanajazana ujinga ndo wanakuchukia, ila mwsho wa cku wanazd kuaibika wao tu jmn, umekil madhaif yako n i like it loool uko soo open jmn.nmempenda sana mwamvita jmn ila cha msingi mange hata awe nan akikukosea jifunze kusamee ht usipoombwa msamaha il Mungu azd bariki biashara zako na familia zako, sometimes kua na rafk weng af uko busy nao si vzr bora kila mtu awe busy na mambo yake lkn urafk uwe palepale.
Nakupenda Mange u such a good person samehee wote walokukosea ili upate baraka zaid.
1203 -
Hahaahahhahahahahahahahahahahahahahhaha Mange Ww Network Error Ww Khaa !Yaan Nimecheka Mwanzo Wa Gazeti Had Mwisho ,Japo Kuna Sehemu Zingine Sikuzielewa ,Unasema Fulani Ni Snitch Sijui Mchonganishi Then Mwishoni Ukasema Pia Ni Good Person ,Ila Nimecheka Ulivyoenda Steers Kupigana Na Millen Heheh Ila Inawezekana Kweli Mange Una Damu Ya Kunguni Km Ulivyosema Kwenye Interview Yako Ya Bongo Celebriety ,Maana Unajitahid Kuwa Mwema Usichukiwe Na Watu Lkn Wapi ,Nimehesabu Hiyo List Tena Nahis Km Haijakamilika ,Bado List Ya Wanaume Lol,Ila Hata Mm Pia Nahisi Nina Damu Km Yako Mange, Hivyo Nimechukua Tahadhari Mapema Kutokua Na Magroup Ya Marafiki ,Nimeamua Niwe Na Urafiki Wa Juu Juu Tu Na Watu Maana Nishajiona Sina Bahati ,Iam Very Loyal And Good Friend Na Najua Kumpenda Rafiki Kuliko Anavyojipenda Mwenyewe Ila Ndo Hivyo Bahati Cnaaa. Nimefunga Account Ya Facebook Ili Kutoongeza Idadi Ya Marafiki ,Na Huko Insta Nimewafollow Mastaa Tu Nipate Kuona Updates Zao Baasi ,Ila Ktk List Ya Marafiki Zako Woote Hapo Nimempenda Mwammy Jamani Ila Mwisho Mange Nakushauri Uwe Makini Kwenye Kublog Maana Mwisho Wa Cku Utajikuta Unagombana Na Kila Unaemuandika Km Ulivyofanya Kwa Eve Collection ,Yaan Kuanzia Sasa Tuwekee Mastory Ya Maulaya Huko Tudiscuss Km Ya Bruce Janner Kuwa Transgender Ila Ujiandae Kununiwa Na Kina Kim Kardashian Lmao
724 -
Nacheka unavyotoa na vichambo vidogo vidogo. Hebu rudieni hapo kwa mboni. Hahaaaaaaa. Wanagombana ndugu sembuse marafiki!!! Urafiki wa vikundi ndio madhara yake hayo. Kila mmoja anataka aonekane yumo na anachangia. Haijalishi ni mchango wa kujenga au kubomoa. Umujini nao kazi jamani!!!! Yote hiyo kisa kuonekana tuuu. Ok. Mange ushakifunza mengi, sasa bora upumzike tuu na wanao. Ushoga kazi eeeh!??
704 -
Nimekupenda bure mange ni mtu ambae cyo mnafiki kuanzia Leo mm ni team mange ukiona nimeandika team mange sehemu ujue ni mm….nakupenda nakupenda nakupenda
494 -
nakupenda mange balaaa yaani kila siku unanipa kitu kinachonifanya nikupende zaidi.
Tatizo ukiwa mkweli lazima kila mtu akuchukielove you mama Bhokenzo
392 -
Wooooow! Mange.. you are one of a kind
. kinachokuponza ni kuwa too much real.. u dont give a shit. i somehow admire your character but try to give a bit shit before attacking friends. My advice to you is be careful with people you call your friends coz I’m afraid they might be snitching around,they might call you friend simply because they know what you are capable off . Its difficult to fall in love with a friend of your character.
just one question to you
HOW DO YOU SLEEP AT NIGHT KNOWING YOU HAVE ALL THESE PEOPLE HATING ON YOU? LIKE REAL HATE???
2644 -
Hahahaha Uwiiiiiiiiiiiiii Eti Kugombana Na Watu 23 Tu Kati Ya Milioni Sio Mbaya Lol,,Mange Unatakiwa Kupewa Tuzo Ya Guiness Mamaake Hhaah Nacheka Km Mazuri Jamani Ila Huu Ni Mtihani ,Mungu Akupe Subra Mange
415 -
Approximately hili gazeti linachukua si chini ya dak 40 kulimaliza kulisoma. Hapo bila kujigusa wala kuangalia pembeni we mwanamke unajua kuandika jamani. Mpk macho yanauma Ila chief una list kubwa duh hapo nahisi kuna wengine utakuwa umewasahau
371 -
Mange sameheana nao ila keep distance. Katika maisha shoga zako Wa ukweli ni bokhe, kenzo na keanu. Ila hata keanu na kenzo Nina mashaka sababu ya ule uzungu hawachelewi kuwa na superiority complex…. Keep this in your heard na epuka kuwa na maisha ya kiteam kama wachezaji
443 -
Uwiii Kati ya wote uliongelea mm naweza mchambua kisa na flaviana–>>kisa ni opportunist big time yaani akiwa Hana shughuli nawewe au hawezi benefit kwako sahauuuu sasa hapo kisa we mange mwenzio alikuchezea mchezo mbaya baada yakuona mwamvita yuko helpful akamake sure anakubwaga ili akae yeye mazima kwa mwamy haha kisa ni nyokaaaa!!!!nyoka mwengine flaviana asee kwanza kuacha
Unafki demu Malaya anatiwa underground huyu and watu wanamuona mstaarabu flani hivi Hana lolote huyu anaweza fanya three some asee flavy ni mshenzi Yule councellor salah na mwana FA wanamtiaga kwa pamoja! Alafu hamna kitu kibaya Kama eti mwanamke unakuwa na ushoga na rafiki wa mumeo hiki kiflaviana bila haya kinahadithia kimeenda china basi huyo mke wa salah bila kujuwa anamwalika kwake kumbe kitoweo cha mumewe pia…unajuwa kaflaviana kalivyo kalivyo huwezi mzania Lkn ni balaaa Ana mambo ya hatari saana ….
965 -
Haaa Mange we kiboko,kweli leo nimeamini wewe ni chizi fresh, the fact umeweka mazuri yako na mabaya yako naya rafikizo duhh huko waliko wajirekebisha ilhali wewe umekubali kujirekebisha,ila sioni hata mmoja wa kurudiana naye samehe n move on…Hhuyo NACKY mmh nilishapata unafki wake na hata kundi lake wanajua,wale wote wamebaki kuuma na kupuliza
480 -
Mange sikuwezi. Ndio hicho tu ninachoweza kusema hadi sasa
Vipi kuhusu Nuru the Light? Hii usibane, ya Jana naona umeichimbia
2018 -
ooh Lord have mercy…Mange leo nimechekaaaaaaaa haswa pale uliposema eti mlikuwa mnateta wote lakini hajajitaja kakutaja wewe!!!! wee ni mwehu jamani dar..
590 -
Kha!
Mange labda kwakuwa ndo madada wa mjini
but as for me, sina tatizo na mtu kasoro Mume wangu tu kulazimisha kuzijua pombe akati znamzid nguvu,
hilo ndo bifu langu amaziiiiiiiing
533 -
Mange ungekuwa unaweka list na pic za tbt kama zipo ingenogesha tor cz kunawengn hatuwajuh hapo.. Anyway mama endometriosis nampendaga bt skujua mlikuwa na issues before, yan can’t put in ur shoes unamtoto mdogo then ukala kibut, anyway that’s past wote mmekuwa skuiz n ni icons kiaina….. N skuona haja ya kumweka diamond cz sidhan kama mnabeef kiivyo only kuchambuaga music yake n that is not bad lazima apate challenges sikusifiwa tu But bibie umesahau kumweka zari miss levels
482 -
Umemsahau fausta aka fkcollection na rosemary shoga ya flaviiiiii…..ila Flavian mnafikiiiiii uwiiii huyu chembamba anakondea vingi…..ila harusi soon anaolewa….kutiwa kisiri siri kutaisha.
491 -
Hongera Mange kwa kuwa mkweli ila inabidi uelewe kuwa people come into your life for a reason na ikishatimia hiyo reason basi wengine watabaki wengine wataondoka.
Haya mmeshaona list ya ushuhuda wa Mange, na nyie leteni list yenu hapa kujazia sio kurudia rudia alichokisema Mange kwa kuongeza chumvi au sukari, we want new things
431 -
Mange kwenye ile issue ya blog Charga barbie alikuwa bestie wa Jestina, na Jestina alikuwaga na bestie wake anaitwa Maggie Hansen sijui Hanson muke ya Muzungu wa South, huyu nae aliingia mkumbo tu kwenye ugomvi kwa sababu ya Jestina. Tena huyu Maggie alikuwa pia rafiki wa Sintah, mwanzoni nilifikiri Jestina na Sintah ni Wanyakyusa.
Jestina where is your best friend Maggie jamani sioni hata blogu yake kuwa hewani what happened to her? Alikuwaga anarusha vijembe yule dada mpaka nikafikiri anamjua Mange personnally
170 -
Humu u turn sanity is questionable aisee..eti tena kuna wa kristu..Biblia inasema ukigombana na ndugu yako usilale hamja make peace.sas Nyie mnasupport kuwa Mange sio mnafiki..mna akili timamu?tatizo ya Mange ni hater and WIVU unamletea Mpaka bipolar depression..sasa unavyogombana na mtu unatukana Mpaka mama yake.y? Deal with issues as a grown woman.wht happened to diplomacy?nakuhurumia sana..na list ya wanaokuchukia itaendelea..wake na watoto wa kinje,January,Lowassa,Rostam,Mengi,And eventually LANCE.no one can keep with ur Dramas MLF..
1377 -
Huyu flaviana anaolewa na bwana ya mtu yani huyu dada fyose alikuwa anampendaje Deo wakaamia nyumba yake na deo pamoja akasaidia kulipia bili nusu nusu looh huyu dada alivyodandia basi mara been vu anaolewa…. hahahh sie tunajichekea hapa maana huyo kaka anatembea nae status tu jamaana ni balaaa let the movie continue yale machozi ya dada fyose mtoto mpole yatakurudia wewe na bwana wako tapeli… wewe flaviana wewe vaa shela kwanza tuanze cheka
361 -
At least tumejua sababu ya UGOMVI wenu ila ni vizuri kusameheana. Lile group lenu ndio lilinifanya mimi niipende hii blog zaidi. Nilikuwa nawaona Madada decent nene inshort nilikuwa nawa admire sana. Lilikuwa Group la madada wengi wasomi
, wengine wajasiliamali hicho ndio kilichokuwa kinanifanya ni wapende Zaidi.
Ila duu imenisikitisha sana group lenu kumfanya Mwammy ndio kitega uchumi chenu daah I’m so disappointed. Huo ni urafiki wa KITU too bad. Inaonesha siku Mwammy akishuka kifedha wote wata back off. Marafiki wa hivyo niwa kuwaogopa kama UKOMA.
Kingine Mange please edit hiyo comment yako ya Millen Magesa uliyesema “mama wa Endometriosis nisamehe mwananake jamani” Endometriosis it’s a serious disease na ni very painful sio kitu cha kubeza hata Kidogo.it doesn’t sound good to me sijui wadau wengine.
728 -
UWIIIIIIIII MANGE MAJINA YANAZIDI KUNIIIJIA TUELEZE PIA WHAT HAPPENED BETWEEN YOU AND MIRIAM ODEMBA PLEASEEEEE
KUNA MCHUNO FULANI HIVI KATI YENU, ALSO ELIZABETH GUPTA AMBAYE ILIKUWA MUANZE NAYE BIASHARA, CAPTAIN HILDA AKAMTIA NDIMU AKAKUGOMEA
FUNGUKA MANGEE NAKUAMINIA
203 -
Flavian ni malaya usiombe. Alikuwa anafanywa na Idd Azan. Then in the same hotel akaja kutiwa na jamaa mwingine.
290 -
Umemsahau Devota feruzi. Au mlishapatana baada ya kukusaidia kupokea mzigo dukani kwake?!
271 -
Sinpendiii nacky jamani sijapata ona mdada sorry mmama anaringa na kujiona yupo juu kama yule… Ashukuru poda zinamsaidia she looks down on people… If u aint her class which is not even of the real class basi wewe ni mavi tuu… Ajitahidi kuweka smart wanae wachafu jamani… Yeye anawaka watoto wachafu ptuuuuuu…. Acha maringo bibiweeee dunia ndo hii hii hujui nani utamuhitaji baadae
261 -
hahahaha mange hujatulia hataaa kidogo oo nimecheka na gazeti sijalimaliza nimeshia #15, halafu ulikuwa uko kikazi zaidi ilikuwa zaidi ya ushoga hahahaha well done
Mie mahoga ndio ilinishinda urafiki wangu wa juu juu tuu kama bendera ikishushwa inakunjwa mfukoni kimyaaa
100 -
Hahaaaa nimecheka hasa part ya kwenda kumpiga Millen na ya kudelete comment yako IG.lol Mange una majanga,… part ya Flavy pia nimecheka… hanenepi na mengi
Ninachokupendea your Open.. u let things out of your heart kama hivyoo
unajitahidije kuandika maana Lunch hour yote nimetumia kusoma gazeti lako.
220 -
Mange nlkua kwny lecture while reading this daaah nmecheka sana esp uliposema eti nacky hakujitaja dah..na kwa miss endromisis.. Nakupenda mange maaana huna hata chembechembe ya unafki…team mange forever banange…..above all unaonekana unajua kukumbuka fadhila..mange u r waaaaaaaaay toooo loyal….. Hapa umeandika list ila umetupa funzo kuhusu marafiki…all the best on bhokes graduation..usisahauu kigelegele hata bhoke akikkataza
320 -
Mange the only thing i can say is I LOVE YOU!!!Your the bestest..One day people will understand you!!Your such a good friend..Yani hapo uliposema when you have a friend unamwambia kila kitu thats me totally na imenicost sana,i wonder why sisi wanawake hatupendani unaweza ukampenda rafiki yako kutoka ndani ya moyo wako mube yeye anakuwazia mabaya tu yote uyasemayo yeye anaumia tu hakufurahii…Halafu watu wanajisahau huyo Flavy katoka huko kijijini leo hii anajidai anajua sanaaaa,tatizo ndio hilo mtu ukitokea kwenye umaskini roho inakua ya kimaskini tu hata kama una billions of money..Hao wengine ukiacha wachache wao ni kuwatupa kule hawana lolote zaidi ya unafiki na majungu na roho mbaya achana nao Mange hawakuongezei wala kukupunguzia kitu..Tatizo watu hawapendi ukweli lakini laiti wangejua ukweli ni kitu kizuri sana..
221 -
dah nimeipenda ya Mwamvita na jinsi alivyo na anavyopapatiwa na friends,kha mpatane sasa jamani
192 -
dah nazid kukupenda hiii nimesoma nusu nusu mana bosi akingia navuta chni..anyway i think mm nipo kwa mwamy nina moyo wa kujitoa sana kwa frends kuliko ndugu ila mwsho wake wakifanikiwa wanasepa, nw am all alone na ilinipa nguvu ile post ya nakaya na mdogo wake coz kuna sehemu ulisema ndugu ni ndugu tu hawez kukutupa bas from there on merudisha mapenz kwa dadaangu mana ananipenda ila mm nilikua naona frends fast coz sisy hatucopy sana yy mtu wa dini na mim sio kivile..nakupenda mange i learn a lots humu..be blessed
271 -
Flaviana,Mrs Sembe,Nacky, Kiki hawa wa4 ni watu wa kuogopaaa ni WACHAWI MWANZO MWISHOOO!!!!siku nilionyeshwa txt message ya kiki akimuomba mrs sembe contact kwa babu akasafishe ndumba zake mbona nililowa kama mvua,aiseeee mjini mazingaombwe
360 -
GLAM MADAM NI MNAFIKI NA ROHO MBAYAAA
. binti anaroho mbayaa mnoo hataki kuona wenzie wanaendelea
120 -
Umemsahau yule waziri alikuaga ana kipicha cha chupi nmemsahau jina. Ila wagombanao ndio wapatanao jamani. Pataneni na kwakua wote mshajua mapungufu yenu itakua easy kutozinguana tena.
Bi chau , acha uchochezi , waligombana Lini ??? tena anakuja sasa hivi hahahahah utashushuliwaje ??
180 -
aisee Mange wewe ni mwisho seriously nimekupendaje sasa uko so real.. Yaani ya Adeline na Millen na Nafue khaa umenichekesha mno, sipati picha Adeline ndo anakusuta na wewe kuongea shida kigugumizi hasira zake ni vichwa tu
ila mtu kama flaviana hata humdhanii sura za upolee jamani Unaweza jua anasingiziwa… God bless Mwamvita jamani
170 -
Ukweli wako huu Mange utasababisha Magomvi mengine Freshhh hahahahhah Umetoa siri ya Ade alivyokuwa anampiga vita Nacky uwiiii! hahahahahahah we chiboko ! Nitarudia tena baadaye …….
262 -
Yaani wewe mwanamke kweli unamapungufu yako kama tulivyo binadamu wote, lakini wewe ni bonge ya mkweli. Hauna unafiki.
180 -
duh..salute kwako Mange.kiroho safi hujajisukutua wala nini..umeeleza waziwazi naona huko waliko wengine kimoyomoyo aibu zinawashika. na kiubinadamu kama wanaakili watakusamehe mana wewe umesema huna tatizo na mtu japo umekataa u close…vingine huwa haviwezekani nnachojua hapa umetumia busara ili hata mkikutana mpeane hi ile ya kiaina, hiyo ni znuri mno. maisha yenye haya, kisa cha kukaa na kinyongo na mtu..yani wewe ni full peace! ila kuwa karibu sana na mwammy pia itakuwa ngumu mana wale wachonganishi amabo umewasamehe lakini hutaki ukaribu watafit vipi? lazima utakuwa unammiss sana mwammy…naye anakumisi am sure. dunia mapito tu,
150 -
Mange sasa baada ya huu ujumbe wa leo basi wamekusoma na watakua wamekuelewa bt step back rafiki yako wa kweli ni mumeo na watoto wako na ndugu zako basi.
230 -
Kuna siku mtu alicoment kama vile ulivyoandika juu ya Nackitia…kumbe ni ww mwenyewe….ha!ha!ha!ha! ulizidiwa..lol..unawamiss eeehhhhh?make peace with ur past soo it doesn’t affect ur future. Napita tuu….
858 -
Mange i love u so much ur very fun lady haha mie penda mwamy ana roho nzuri sana na mie niunganishie sada wa sauzi ..mwamy keep it up..mange nimekunyooshea mikono..forever love
101 -
hakuna ushoga/urafiki wa group la watu kariba 20 au hata wa 5 tu haiwezekani urafiki mzuri ni ule wa wawili au watatu basi, na ndicho kilichowaharibia nyinyi manake mkishakuwa hivyo basi hapo ni MAJUNGU tu hakuna kingine, manake inakuwa mkikutana watano basi the rest lazima wachambuliwe au mkikutana wawili au watatu ambao mpo close zaidi lazma mchambue wenzenu, inshort ni kwamba msingi wenu ulikuwa wa majungu ndo mana mmebomoka, laiti urafiki wenu ungekuwa wewe, mwamy na kiki pekee kama ulivyokuaga unapost humu kwamba the three of you are blood sisters nazani mngedumu ila makundi ndo yamewaharibu.
390 -
sio siri flaviana anaonekana tu ni mnafiki ana wivu na ni snitch hatari.kumbe anamchukia JOKATE lol!
231 -
HA HA HA HA HA HA DAH! WE MANGE UNASEMA MBUTA CHIZI ILA WEWE NI NAMBARI ONE NIMECHEKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA…..DIAMONDI MTOE….HALAFU HAPO WENYE UGOMVI WA SABAB YA BLOG KAMA SINTA POTEZEA SIO UGOMVI….. AMBAO MNA UGOMVI WAKUITA UGOMVI NI HAO KINA FLAVIAN N.K….NA MWAMVITA PIA HUNA UGOMVI NAE KWAHIYO NI KAMA WATU 21 UKIMTOA NA DIAMOND HATA NANCY NA NAKAAYA HUNA UGOMVI NAO KWAHIYO NI KAMA WATU 19……AISEE POLE SANA ILA MWAMVITA MIE NAMPENDA PIA HATA ULPOMRIPUA KIPINDI KILE NA WALE MASHOGA BADO NILIKUWA NAMPENDA……KUHUSU JANAURY NA SHERIA YAKE MSEME KISIASA USIWE UNAMPONDA SANA YULE NI KAKA YAKO TAYARI…..
303 -
Wallah mange you’re one of the realist person i know, i wish ningekua your age ningeforce friendship with you, am only 22 but i adore you…i swear pipo like you are hard to find and are born once in a lifetime..
:broken-heart
172 -
JAMANI MANGE HANA UGOMVI NA C’MUM NA MSHAAMBIWA YUKO BUZY ….INA MAANA HAMJUI MAANA YA UGOMVI…..LOL…..CMUM NA MAGE WALIPISHANA MANENO TU
131 -
MIE KILA SIKU NASEMA MTU AKIKUJUA WEWE ATAKUPENDA TU….WEWE SI MNAFIKI NA HUOGOPI WALA KUJALI PINDI KIKIKUCHARUKA…..MANA HAPO UNAWATAJA HUKU UNAWAPA KICHAMBA KIAINA SASA UWONI WAMWAGILIA TENA VIJIHASIRA JUU YAO NA WACHANGIAJI WAKIJA WANAWEKA YAO….KAMA HAPO FLAVIAN KISHAPIGWA ZA USO HA HA HA HA HA HA AISE WEWE SICHOKI KUKUPENDA NDO MANA KIKINUKA HATA HUKU MITAANII SIACHI KUKUTETEA.
190 -
wap huddah, miss levels, makamba, kinje, kingunge en lowasa. love u Mange! u write in black en white. kudos!
722 -
Mange, when i will be a billionaire, i will make sure unakuwa rafiki yangu afu na sisi tunawaonyesha.. yeeeaaaahhhh!!
194 -
ILA MANGE DAMU YA KUNGUNI PIA UNAYO NAHISI VILE WATU HAWAKUJUI NDO WANAKUCHUKULIA HIVYO…..NA HAPA U-TURN JAMANI NI KAMA KIJIWE FLANI YANI NI KAMA KAJISEHEMU KATIKA MAISHA YETU CHA KUPUNGUZA STRESS LOL……MANGE DAMU YA KUNGUNI UNAYO MANA MIE NINA MTU WANGU WA KARIB HAPA OFISINI HATA HAKUJUI LAKIN UNAMUHISI HAYUKO HAPPY NINAPOONGELEA ISSUE ZAKO…..MANA NIKITOA STORY ZAKO UTASIKIA UNAMUHISI ANAPONDA KUNA SIKU AKAJIKAZA AKAFUNGUA BLOG YAKO AKAJAKUTANA NA PICHA ZAKO….ATI ANANIAMBIA MBONA MANGE MWENYEWE SI MZURI KIHIVYOOOOO….NIKAMSHUSHUA NILIKWAMBIA YEAH NA UBAYA HANA NA PIA HA HA HA HA DUH!! WATU WANA CHUKI HATA AKIJIULIZA ANAMCHUKIA NINI YULE HAJUI…
338 -
Mage nimezidi kukupenda kwa kuwa muwazi, u made my day pia nimejifunza kitu
, Keep being real, beings like you are scarce
110 -
Ila kinachoningaza, unasema wewe na mwamy mpo poa and i biliv its true, ila tatizo mwamy ni best friend wa kiki ambae ni adui yako namba moja, imekaaje hiyo?
155 -
Sasa Wadau hapa hakuna comment za kuwakandia watu au kuongeze mabaya yao..
Kazi yetu ni kusema sawa yalio pita yamepita Sasa ni kusamehana yani kusafisha roho ata kama hamtakuwa Mashoga kama zamani.
Ramadan inakuja ni mwezi wa toba.
Mange kashatoa yake ya Rohoni kwa aliokoseana nao. Na wao uko walipo watamsamhee alipo wakosea.
160 -
mange kuna watu umewaanika mmmh! nadhani watazidi kuku mind. kama huyo fau na odemba..si wana waume zao hao? sasa wanafanya huo uhuni bila hata kufikiria siri zinaweza kufichuka jamani!! kweli ukimwi hauwezi kuisha kama maisha yenyewe ndio hayo wanayoyaishi wadada wa mujini!!
441 -
Kama kuna mtu hapo juu walio tajwa umpendi, Usimwage mambo yake hapa nenda ktk social page yake ukamalizane nae. Hapa ni PEACE!
161 -
damn woman you could full up a classroom just you and your friends that was too much of them hahaa my opinion only one or two damn friends are enough fuck the rest
Friend namba3 nimecheka sanaa too funny
Nahuyo friend anarudia more than 5times kuhusu miguu kuwa mibaya hahaaa I will never keep such a friend for along time I will need to hear it once twice but not thrice otherwise tell me something which I don’t know rather than repeating something which I already know and besides you said it more than you shouldn’t have once is enough
About hiyo ya Mwanvita Makamanamwona Sintah yulee anapeleka application ya ufriendship lol hao ndio watanzania I must confess I have enjoyed reading that list keep a few…… too much of everything is harmful
270 -
hahaha I enjoyed reading this but you are sincere umekubali pia na matatizo yako sio mbaya sana vikundi vina mengi sana, ndugu wenyewe wanagombana mpaka kutoleana visu itakuwa mashoga, mie mwanangu wa kwanza ameshakuwa mkubwa and we can hang out on Saturdays and I thoroughly enjoy it, mashoga pia ni Fridays nikiwa nataka kutoka and we are cool , naona mume amenibadilisha nimekuwa kidogo ila ndio nilikuwa na msururu mpaka akija home hanikuti umbea tu napiga angalau ninafanya viconsultancy vyangu vingi tu na hii full time job kwakweli na hang out kwa afya tu when I miss the crowd, na tukikutana story zetu ni kusaka hela tu, ila kwakweli wengi za mashoga zangu nimewasaidia ajira kwao au ndugu zao labda na kipesa kidogo maana kwakweli nakumbukaga how they used to look out for me tukiwa chuo
190 -
wewe ni mkweli ndiyo maana unachukiwa.
Leo katika hii list kuna watu pia umewafungua kujua watu fulani zaidi.
Wewe sijui ni mtu wa ngapi unamsema flavy ni mnafiki. na mama sembe ndo anajiact manager wake sijui inakuwaje wakikutana lol!!!
duuh mtoto kaishi maisha ya shida huyo i wish angekuwa akikumbuka hayo yote.
tusubiri harusi siye.
ila pole sana, wewe kama mimi siku hizi rafiki yangu ni mume wangu na ndugu zangu. urafiki nimeacha kabisa na watu. maana kila siku unateswa tu why na unaweza kuishi kwa amani ukiwa mwenyewe?
i wish you all the best.
130 -
Mange bado Diana wa American Nails umemsahau hebj tuelezee na yeye ilikuaje?
119 -
Whaoo!!! yaani very interesting…nilichojifunza hapo ww nae ulikua na msururu wa marafiki alafu wooote ulikua umewakumbatia which is bad…kwa sisi wadada unatakiwa uwe na rafki wa kushbana mmoja wakzd wa2 wengne uwe nao kawaida tu,,naona now umejifunza
Wadada wa mujini n shida jamani wanafki mnooo kutwa kuzungukana wao kwa wao
I WISH U all the best katika safari hii ya matumaini uliyoianzisha ya kupata na mashosti zako which s gud kwakweli Kwani tuliagizwa KUPENDANA NA KUSAMEHEANA NA KUCHUKULINA KAMA TULIVYO…..NB:Hatakama wanakukoseaga usiwage unawachamba kwa maneno makali hiyo nayo inaongeza chukiii na ww kuonekana mgomvi,una wivu.
141 -
Nimefurahi kusikia hivyo nami ba list yangu siku nitaitapika tu sitaki fake thing
60 -
Mange nimekupenda bureee. Your so real. Nimetamani tungekuwa friends. Hapo nimeona you had a bunch of fake people. Mwamvita is a sister not just a friend. Hao wengine tupa kule . I don’t believe in having a bunch of female friends coz they use to be sooo fake. Mimi huwa nawachenga kabisa.unakuta mtu kakugandaaa but unaona kabisa ni fake. Wa nini? Nakushauri undelee na maisha yako. Ur good.
100 -
NAKUPENDA MANGE WANGU SANA HONGERA KWA KUWA MKWELI MAMA SIO WENGINE TUNAO MNACHEKEANA KINAFIKI NAKUPENDA SANA SANA DA SIPENDI UNAFIKI MM JAMANI MAMA B NTAKUTAFUTA SIKU MOJA
71 -
yani wewe uko kama mm, mm friends ni family..ukinionesha sign yeyote ikapelekea sikuamini..nakukimbia mbio nyiingiiiii mnoooooooo
60 -
Nimecheka jamani Yani we dada duh na bora ubaki mwenyewe watanzania sisi tuna unafki sanaa utajikuta unazidi kuongeza idadi ya maadui lol ki flaviana
140 -
Mimi kilichonigusa ni sehemu ya Mwam nilishawahi kuandika hapa kuwa i think she isnt loyal to you hapo nilikuwa sijui hata kama hao akina kiki walimjua kupitia wewe lakini nikawa nasema mbona Mange IG anamtag lakini sijawahi ona hata picha ya Mange page yake na kutwa yupo na post za akina kiki i felt like she was chosing sides ukanishushuaaaaa,hahaaa. Ila kiukweli if Mwam came to know all these people through you then u need to work on your relationship kiukweli and she needs to know kuwa wewe ndo rafiki yake. But Mange everything happens for a good reason
350 -
Woooooote uliowataja hapo juu isipokuwa mwamvita sameheana nao ila urafiki si lazima!! Ila mwamvita is a good sister to u,so patan a nae na muwe close as before huyo pekee ndo Ana upeo zaidi na ni strong woman!!
130 -
mange ww kweli unajua sikiliz kilip cha fans wako.nmeon umeuluzwa list ya ulioosana nao na imediately umewek n producd a very entertainin story..yani u turn ni unique blog hakuna mfano…tunapat kukujua muandish ka tupo na ww vile…kweli ka usemavyo ths blog is abt u n ur life wasiotak waende jamii
umemsahau tedy kalonga tho ine time ulisem mmesameheana…na shigongo lol…..mange urca comedian eti mtu anakuogop ka ebola…
anyways nawaombea urafiki wenu udumu kati ya lovenes.ledi peti.mke wa mzungu mweny dimpo na yule mke wa mzungu wa dar
153 -
Mange i just like you kwakweli. You are real and you just leave life. Naelewa kwanini list yako kidogo inashtua you are just this kinda person who wants kila mtu ashine through you na kisa unacho bac unataka kila mtu apate na ndo maana imekua rahisi watu kukuzunguka coz you are so much concentrating in upgrading others which is your pride but still has costed you.
jamani i wish hata ningekua na wadada 3 ambao nawaita marafiki. uwiiii nmimi nikiolewa nahisi kitchen party itajaa wa mama as friends of my mum. mimi ushoga wa hivi sina kabisa na siwezi. i hate to be put in competition kwakweli.
Mange most of this peopl are of ARS eehh usijali watakula makonzi ya Mr. Sahibu soon.
ila kweli mungu akupe amani but sidhani kama wote wanakukosesha usingizi esp hao ulikua unakula nao brunch.
by the way nimesoma gazeti lote bila hata kupepesa macho ningeweza kusoma na Biblia hivi ningekua mbali sana.
love you Mangenita. But learn to forgive more.
250 -
kwenye hiyo list mi nadhani mwamvita tuu ndio anakufaa.. hao wengine hamto wezana na tayari wameshaanikwa humu siri zao zote baada ya maugomvi. hivyo urafiki hauwezi kuwa wa kweli kama ilivyokuwa huko nyuma. hivyo kama kweli unampenda mwam na yeye bado anakupenda,basi malizaneni hata tuwaone mmetembeleana,maana anakuja sana huko kwa sporah, na picha japo moja uturushie nasi tuchekelee.japo anaogopa kutundikwa humu nasikia kwa sababu za kikazi zaid.
235 -
MANGE nimekuelewa sana ila mimi kidogo nina vitabia kama vyako sema tu kusamehe mimi ni issue kwangu, kusema ukweli ata mimi i ussed to have group ila sitaki kulitaja jina mana kuna mtu umemzungumzia ndio alikuwa kati ya hilo group letu ila kutokana na unafki na kusengenyana mtu akikupa mia mbili yele uwiiii unatangazika wewe mpaka mipaka ya malawi, kiukweli mimi sidhani kama nitakuja tena kuwa na urafiki namtu eti wa kupeana umbeya sijui siri
rafiki yangu roho yangu kwakweli ingawa sisi wanawake mara nyingi kukaa na kitu mwenyewe huwezi ila nimeshaacha mambo ya urafiki nina ka story kidogo ila nikikaandika wahusika watajua mana kama nilivyosema wengine wapo kwenye listi uliyoitakja MANGE..
130 -
duu! ngoja nikakojoe kwanza, leo ngoma inogile wapenda umbea full burudani
71 -
Bila kumsahau TK nae upatanenae na ukizngatia cku hzi kaokoka… mtasameheana kwa moyo m1
45 -
Umemsahau le mutuz ze mtindizz mbebs mkarez kuliko wote na bella aliyecheza growing up abroad sijui
510 -
Mange hujagombana na Irene Kiwia kweli? Sijamuona kwa list na juzi kapata tuzo ya africa hata pongezi hujampa. Lakini huyu dada haonekani mjini kabisa.. Hasomeki kabisaa!! Kumuona kwa nadra mpaka umsome daily news, au hamjawahi kuwa mashosti?
513 -
Mange dear, I love you go read ROMANS 12 verse 17-19. And do the needful hata huyo Nacky msamehe toka moyoni leave it to God he will surely deal with her.
141 -
nimechekaaaa.. uwii Mange wewe chizi,.. unafaa kwenye comedy.. eti… Hivi mnajua mbuta hawajahi hata kuniuzi…Yani Mbuta nashindwaga hata kukasikira kwa kweli….
130 -
Chief nimesomaje kwa kituo nimezidije kukupenda nahisi me and you we can cope
maanaa ninavyojua kujishushaga kwa mashoga ila walikujaga kunitenda mpka nikachukia nakutomuamini shoga yoyote teeena yaani nimebaki kivyangu vyangu. Kweli umdhaniaye siyo kumbe ndiyo yaani ya Happy ness magese ndiyo imeniacha hoi..Ila mange
Shikamooo we Mwanamke nimwishoooooooooo
160 -
Hiyo yako na Millen umenivunja mbavu
Ila Mpare ukitoka kutype nahis uwa unaloweka vidole kwenye barafu,maana sio kwa gazeti hilo loo!! Vitakua vinawaka moto kucheza na kibod
170 -
Nacky ni mnafiki she can do anything for money. Akiwa Stanbic alitiwa na MD na wateja kibao wenye hela ni mchafu wa tabia mnoooo na kanapenda ushirikina bora Kama kaachwa.
220 -
Mange we ni noma hiyo ya kuandika riwaya ni kipaji
sio siri umenipa raha
80 -
ndo habari ya mujini Mange lol nilikuwa sijui mengi leo ndo nimejua hadi mambo ya Flaviana kah….
110 -
Mange una kipaji cha uandishi hebu kifanyie kazi napenda sana uandishi wako hata umbea jinsi unavyoandika unasoma hadi unasikia raha…big up
90 -
List tamu sana hongera kwa kipaji cha kuandika… your problem is only one na ndio huwa inakucost kwa marafiki zako.. uko too real and too open with then and too trusting.. thats the biggest problem but huwezi kuacha because that is you and star yako iko hivyo… another problem ni you hate snitchers because you are real sasa wakiku snitch unaruka utazani unataka kumeza mawingu ..watu wanabaki wanakushangaa na hawakuelewi but in reallity unaumia sana cz all along you have been playing real kume they have been playing you its very bad… solution kwa watu wenye character yako be distant have one max 2 friends tell then everything bcs you cant help it origin yako ni kuwa close na watu thats make you happy cz you are social.. but those 2 people give them biti kali kwamba you hear anything out you strungle them that way utaishi vizuri .. blog inakusaidia sana otherwise ungecommit mirder case hahahaha…all in all i like umemuongea Mwamvita vizuri cz i so like that lady jamani sijuagi tu why namuadmire kthanks for airing it out now nimepata reason kamili.. daa make peace with her nataka muwe kama zamani.. i also pity her cz i can tell the friends hse has right now ni material friends i kifall aisee ndio atajua binadamu na colors zao.. but i know for sure Mange wewe hutaweza mtupa Mwammy as long as you are in peace with her..Nacky uwiii thanks for letting it out aisee ulichokiongea is 100% truth.. tatizo la udada wa mujini tabia zao ni open book yani i heard about her she is a cronical disease mungu amsaidie you have said it right Mange hujawa mnafiki hata chembe i hope she read this in a positive way ili abadilike aisee.. wengine by seeing their faces you can determine their characters hahaha
145 -
huyo tajiri wa ATL mnayemzungumzia ni Abdul Kimario, wala siyo tajiri sema anapenda wadada wenye majina na yuko radhi ku-spend, wadada na wamama wa hapa ATL wanapigana kwa ajili yake. na yuko generous sana na hela yake. ukikaa naye karibu tu ujue utafaidi pesa zake ila nasikia kwa bed ni mvivu sasa sijui ni ya kweli haya!
232 -
Leo foleni imekuwa fupiiiiii, ghafla niko home.Mange uko funny, unamsifia mtu then unampa cha kwake . Nobody was safe.
150 -
Jestina ni kweli anapenda watu wa majina toka tuko wadogo. yule hata ukiwa kiongozi wa kwaya kanisani atakushadadia na kujiweka close ili na yeye a-shine
370 -
CEO shenzyyy zako hili gazeti la mzalendo lahitaji maeditor watatu!!!! kunisomesha wakati wa kazi ndio nini?? bwahahaahah! Halafu hili gazeti huezi soma nusu uje kumalizia baadae walahi nimeweka kazi pembeni ntamalizia baadae!
mi hua nahisi niko abnormal maana i have 3 friends i consider kama mabeste zangu wawili niko nao hapa Dar mmoja hayupo ila sasa hao wawili ambao tuko wote hapa inaeza pita 6months hata hatujaonana! hahahaa! na hata tukionana we only talk about our general issues only kama kazi, maendeleo na mahusiano kijuu juu tu ila sio vile vitu too personal, hapana I think we all keep our personal issues to ourselves, yaani hua siwaelewi wale watu wanaochukulia urafiki too serious kama Mange et al,…msinichambe mwee! I think we all have trust issues, hua simuamini mtu sana kwa kweli na inanisaidia kutokua disappointed.
siaamini mtu sanaa not even my mother mfano nikihisi nikimuambia jambo fulani mama atamsimulia shosti yake walahi simuambii at all, same applies mtu akiniambia kitu akaniambia nisiseme jambo kama ni umbea sitosema kweli. Yaani hua najiuliza if I cant keep my secrets binafsi….who will???
262 -
Mange unanifurahishaga sana mama watatu. ila aisee Mwamvita hata bila kupewa story yake anaonekana mtu mzuri, ni mtu ambaye simfahamu lakini na huu unobody wangu natamani ningekuwa close naye, sembuse hao waliopata chance ya kujikonektisha kwake! Muhimu samehe hata kama hujaombwa msamaha, hata kati yao ninaimani kuna walio samehe tayari, kurudia urafiki wa group kama zamani siyo issue, ili mradi tu muwe poa.
91 -
jamani hiyo ya fausta imenishtua yani money doesnt buy you hapiness, ukiona mjeng wake na matrip yake ya Nyu Yoku utafikiri mtu yuko very happy kumbe analiwa na jamaa mwingine tena wakumuibia rafiki yake? daaaah hatari……sasa ngoja watoto wa mumewe wasome hizi habari huku wampelekee baba yao habari,,…..asije akarudishwa kishumundu tu
221 -
Mange mama Alaska mayai/mchele umewahi gombana naye nini na yeye jamani?
77 -
tunajifunza vingi sana kupitia wewe binafsi nimejifunza mengi sana kupitia hii posti ya maugomvi na mashosti. Ubarikiwe Mange mie naomba niwe rafiki yako tu wa kawaida i swear im loyal sana utanipenda mpaka wewe ndo utaniganda
131 -
Dada mange nr 27. Itakuwa Nuru Magram aka Nuru the light na dada Joyce Kiria. Hawa watu naona kama pia hamshirikiani as blogger. Je. Lemutuz? Au list ya wanaume inakuja???
314 -
Baba Bhoke alikuwa jembe lakufyeka wanawake wa mjini sana ….nikianza na list hapa ya hao wachache niwajuao aisee amshukuru Mungu sana kwa kumuepusha na magonjwa, ni kwa neema tu ya mwenyezi. Hivi wewe na Bimdo nani ndo alimuiba baba Bhoke kwa mwenzie??
212 -
Mange you are very right about jestina she seem to be using so much energy to make kila mtu awe rafiki yake, the girl has done really well for herself so I don’t understand kwa nini anapenda sana kulazimisha apendwe na wenye majina? Come on jestina we umekaa diaspora bwana have some self confidence.
Ila mange una vituko sana kwa kweli Leo umenichekesha sanatorium kwa ku admit kuwa ulisengenya watu!
On a serious note I think mtu uliyemkosea sana tena sana ni Zari, umemchafua sana for no reason whatsoever! Huyo ndio unatakiwa umuombe radhi. Diamond kuachana name Wema is not a good enough reason for you to abuse the poor woman!
When she met Diamond he was single and free. Tena ulituandikia humu kuwa tusimtusi Diamond sababu ni Wema ndie aliyemuacha.
Zari was just a single woman on a plane to TZ minding her own business when she met him. After coming from an abusive marriage/parterneship and a succession of wrong relationships which she entered into out of frastruation then all of a sudden this young man shows interest in her! Makes her feel valuable and special! So she fell for him sasa wewe na wema kawakosea nini?
You could have justified your behaviour towards her if she was Wemas friend like Penny and took Diamond from wema when he was still with her. Lakini hapa uko very wrong my dear. We we night mama tena una mtoto wa kike the same as zari ni mtoto wa mtu pia na mama yake ana uchungu kama wewe ulio nao kwa bhoke, hakuna mwanamke anayependa ndoa yake ivunjike hata zari hakupenda kuachana na baba watoto wake ila mateso yalizidi ikabidi atoke. Hakupenda mu dear! So unavyomzomea hivyo sio vizuri kabisa! Unaweza kuwa mjanja sasa hivi ukamcheka na kum humiliate ila mungu akaja kumfanya bhoke a go through what zari has gone through na watu wawe wanam judge na mungu akuweke ili ushuhudie cos they say what don’t fall on you will fall on your children. Take note.
5442 -
Mange napenda ulivyoandikaa but ume paint picha Kama wewe ni rafiki mzuri kuliko hao uliogombana nao!! What about teddy kalonga ? You didn’t wanna be friends with her sababu alikataa kuitwa muke wa mzungu?
733 -
Hahahahaha mange shikamoo nimecheka kwenye folen hizi za dar kha.ila nimejifunza kitu ugomvi wa mashoga zako wengi ni umbea na unafiki karibu wote ni sampuli hizo.na pia nimekusifu hapo kwa Eva collection na dada wa south.
All n all i love u
172 -
mange samahan naomba u update hii post kwa kuweka na picha za zaman au baadhi ya matukio muhimu ya enzi zenu. itapendeza sanaaaa
please mange natumai ombi langu litazingatiwa
412 -
Pia Kuna Dada anaitwa mylar yaani mpaka walichuniana ila sasa hivi wa naongea kisa unafiki tu. Jokate a nampenda ga na kumpost insta ila unafiki bado anampa duh huyu Dada hafai jamani
100 -
Kaflav kanafikii kwanza kingereza kajua siku hz? Maana nakumbuka 2006 kulikuaga na audition ya tangazo la sigara basi nikakutana nae shooting under creative eye. .kitoto kilikua kinaongea pyeeee.
Ila on that other hand she made it. .alikua anasemaga anataka kuwa international model. Kwa hilo kafanikiwa. Ila she has no class..
183 -
I’m glad umeona Kua you owe Eve collection an apology. Uliniboa sana that day because technically she didn’t do anything wrong, baba Kumpa pesa binti yake isn’t a crime. Ungemjua ungejua kua shes genuinly a good person. Asante kwa kukiri Kua u need to apologise to her. It takes courage kukubali pale ulipokosea.
412 -
I know you said KiKi was your best friend and I would love the two of you to still be friends. It’s my opinion tho
261 -
mange nimesoma gazeti lako mpka macho yanauma ila umejua kunifurahisha.
Wote pale wanauma na kupuliza tu hlf design wanaogopana wale ila unafki umewajaa…mange fanya uandike kitabu aiseeeee cha maisha yako, hata hao kina mbuta wakisoma gazeti lako itabd tu wacheke sema wanajitia uwendawazimu Kama vile dozi haijawaingia
190 -
Mange kwa hiyo kama una update news Friday au Saturday ndio hata comments huachii umenikeraje… Comments za SAA 7 nilizoziacha hadi sasa ndio hizo hizo.
Speaking of the devil hapo kwa Sinta blog jaman mbona kumedodaa kumedodaaa…. Siku hizi akiweka post utakuta comments 2 Mara 5, kumechuja kukachujika. Nowadays.
Mid kuna rafiki yangu huyuuu sijui ka nitamsamehe alini embarrass mbele ya kadamnasi na kunisemea vitu vya uongo kibao… Nimemchunia tulii kaweka status whatsup hajaona sijamasemesha, sijamjibu akichungulia kwangu anaona status available akaamua kuacha, ile nimempanga nitakuja kumu embarass Mara NNE yalivyonifanyia mimi so she will see how hurt it is… Nasubiri siku tu… Otherwise marafiki zangu wooote Niko cool nae kasoro huyo bedui
116 -
Hahahahahaaaaa, Mange uko vizuri… Asante kwa Thorough Clarifications ya hali ya uhusiano wako na walokuwa friends zako. Urafiki wa watu wengi ni mtamu sana na pia ni mchungu sana sana, Hasa ndani yake kukiwa na watu wenye nja na wasio jali utu wao, hao ndo nuksi kwenye urafiki… Wenye njaa wanakuwa wapo kikazi zaidi so kazi yao inakuwa ni kutafuta shibe kwa njia yoyote whether itabomoa, ita ua they do not care at all mradi wamepata wanachotaka. So, Ukiwa huna njaa, una utu, unajithamini,hauko fake utakuwa unabeba msalaba mkubwa sana kukaa kwenye urafiki wa watu wengi ulio na watu wenye njaa, wasiojithamini, wasio na utu na zaidi wasio na future yoyote ya maisha.
Kwa experience yangu, rafiki mwenye njaa hafai kukumbatiwa hata siku moja, lazima akusaliti tu coz shibe yake ni chokochoko tena chokochoko kweli zitazoweza kushawishi upande wa pili umuelewe na kumpa fursa. Pamoja na kuhitaji rafiki alio chini yako kimaisha at times but mara nyingi ni risk kubwa na lazima ujute mbele ya safari. In that case kuepuka urafiki wa karibu sana na watu wenye njaa ya maisha ni jambo jema sema. Mara nyingi mtu mwenye maisha yake mazuri ubaya wake unakuaga sio mkubwa kama mwenye njaa na mara nyingi yanakuwa ni mapungufu tu ya hapa na pale na mambo ya bahati mbaya zaidi tofauti na mwenye njaa anakuwa anapanga kabisa mikakati ya kufanya lolote linalowezekana ili atoke…
151 -
hhehehe jamani,urafiki wa magroup ni shida yaani ni shida ,kwanza ni vigumu kwa wote kupendana yaan msijidanganye hakunaga true love kwenye urafiki wa magroup,maana huyu hatampenda yule wakati mwingine hamfeel kivile mwisho wa siku kuchukiana,sasa ukatane na mwenye roho mbaya katika group weeeeeee utafurahia show maana atang”ata pote pote
alafu mange hawezi kuongea sababu ya kigugumuzi ndio maana anaishiaga kuandika ,yaani kama mimi uwiii kubishana utanionea huruma ila kuandika aaaaa hunipati lakini me huwa naacha mwisho wa siku na kusahau lakini baada ya kutapika yote
huwa hata sikukumbuki na sitaki kukukumbuka ,ila the truth is urafiki wa vikundi ni sumuuuuuuuuuuu pia na urafiki wa ukubwani ndio kabisaaaa hakuna rafiki ukubwani
81 -
mmh mange umenifrahisha sana BT m nilichogundua source ni mwamy woooote walitaka kukupindua kwa mwamy
312 -
Hahaha,, mange umenisahau Na mimi kidogo upoteze msomaji mahindi wa boy yako,, maana nilivyoona unagombana Na kila mtu sio siri chuki Fulani ikaniingia,,, nikawa nakuona hufai Kabisa ,,, ila for some reason nimesoma hii post,, nimekupenda ghafla,,,,,,, jamani mange hivi ilikuaje ukagombana na kale kadada kapole tena kameokoka teddy kalonga
199 -
Yani Mange nikiboko nimecheka, nimelia.nimesikitika Na mimi siyo Rafiki yako ila nimetamani ni kupigia simu tucheke wote, yani umejaliwa kuandika
Mungu awabariki wote m same heave. ..BIG up to Dada wa Mwamvita jamani Mnaonaje CCM wakimsimamiaha Mwamvita Kuwa Mgombea Urais atasaidia Masikini kitu jeneba Mashule na hospital kila mgonjwa atakuwa na kitanda na dawa zitatolewa Bure..na wazazi wasiyo na uwezo wakusomesha watoto watasoma Bure
201 -
mange ur a very good woman ,huna unafki ila nilichogundua watu hawajui waishi vipi na mtu kama wewe yani wewe ni bonge la mtu,yes u have ur wekneseses but nkikusoma kwa mbali weakness zako zinabebeka kabisa yani zinachukulika kabisaaaaaa,ila pole n kama vp ukiona watu wanakufanyia usiyoyapenda kiasi cha kuhatarisha maisha yako au kama yanakuaffect that much direct bsi we chakufanya wapigie kimya mazimaaaaaaa,hata wasipojua why umewapotezea much betta wapige bonge la unyanyapaa,kimya kina mshindo vibaya mno mange,we poteza tu fanya yako,ila yale yasiyovumilika ndo wachane live but kuna mengine we tupa kule,
sasa c mpaka uweze anyway mana tunatofautiana jinsi ya kuhandle issues au problems yes we differ,sme issues but mapokeo ya watu zaidi ya mmija huwa ni tofauti kabisa na kuhandle same issue ni tofauti kabisaso smtimes huwa nasema ok as long as hampi shida she or he is fine with that na sio crime may be then i respect her way of doing her life,so mange if havikupi shida deep down ur heart ok but kama vinakupa shida then wapotezee usigombane nao hata chembe tupa kule,
otherwise i lap yu minge( in chenthoz voice)
130 -
ila nimecheka wewe mange chizi sana hahaha ,sasa kwa mbutananga ndo nimecheka kwa nguvu eti special case hahaha kha.
100 -
Mtu kama hujamjua mange, physically au kwa u-turn kiukweli utamchukia sana. kiukweli mange ni mtu poa sana, ni muwazi na mkweli. Nakupenda sana Mange ingawa sikujui
202 -
Yan nimecheka dah! na kweli km Millen alivyosema ukianzisha tv show utapata viewers wengi sanaaa,am sure hata haters watacheck huku wamenuna km ambavyo wanasoma ili gazeti lako sahv.
300 -
Yani I was like Mange kuwa na marafiki msururu, wote wakanitoa kafara kisa mimi niikuwa single wao walikuwa na mabwana so wakawa wanaogopa eti nitawaibia so wakawa wananita mimi Malaya, nikachukulia poa maisha yakaenda, now Niko na hubby na watoto wawili ,, wao wengine wameachika wamekuwa ma single , wengine full migogoro na Waume zao
Basi imebaki tu km hivo..nimejifunza mengi mno, nilikuwa nikionewa sana na kutetwa mno, now rafik yangu ni familia yangu sina zaidi and am so happy no stress kbs
321 -
Ugomvi mwingine kiukweli wakijingaaaa…most bou Kuwa close na mwamy….Kuwa wa mjini ni sheedaaaaaaa
171 -
Ujue kùwa kila mtu anayetaka urfk kwako lazima apate kitu kutoka kwako, hilo tambua hata aweje anajua ipo cku, atapata kitu kutoka, kwakwe alkadharika nawe pia. Ushauri samehe acha maugomvi fanya yako, mkikutana hi hi biashara imeisha, rfk zako n ndugu zako. Kila la heri
130 -
Heshima yako chief
yani Mange hii analysis ni 100% correct uwiiiiii! Kwa flaviana ndio 120+ yani hakuna cha chumvi sana sana umesahau baadhi ya mambooo…yani Flaviana ni mnafkiii na snitch hatareee. Nakumbuka habari za Mange sijui hatakaa aingie Marekani kipindi kile umerudi Tz na Kenzo nadhani kama sijakosea niliziskia kwa dada zangu flani hivi ambao hao waliaambiwa na flaviana. Yani flaviana alikuwa ana habari za Mange utadhani yeye ndo US Embassy aisee. Ukimkuta anawasema hao kina Nancy utasema uwiiiii huyu demu nyoko baada ya nusu saa unaona kacoment kwenye instagram or kitu alichopost Nancy, Faraja au Mama Mengi in a positive way. Hapo ndio nachokagaaaaa kabisa nasema shkamoo kimbaumbauuu. Sauti yake tu akiongeaga mi ananichefua aisee na anavyojidai anajua kwenye hayo mambo ya humanitarian while ni fekeroooo na elimu yake ya kuunga unga ndio nachoka kabisa. Ukiwa na roho mbaya hata milango ya baraka inafungwa ndio maana dada wa endometriosis kaanza kampeni zake juzi kati tu leo BET ina mrecognise. Yeye na vi project vyake hata TEA hawamtambua pumbafuuuuuu hiyo yote ni hasara ya roho chafu. Ila kwa MbutaNanga ndio kumeniacha hoi kabisaaa; hata mimi nampendaga aisee ukichaa wake ni burudani ya wengi. Hadi mwanangu ukitaka acheke wewe tu sema Mbutanangaaaaaaaa atachekajeee na uji atakunywa bila hata kulazimishwa.
Uishi milele Mange maana mjini bila mahabareeee amaizing kama haya lazima ufe mapema na stress za foleni, maisha magumu etcforever babyyyy
491 -
Mimi nilikua NA rafiki Angu nilimpenda sana tulikua twaishi mtaa mmoja mwasele shy daaah my mam alikua hapend urafiki wetu lakin nilikua naona kama ananionea tuu akienda dukani akinunua kama ni chupi au nguo basi mi pia ntaenda nunua ka yake kama nikipka kwetu kitu kizuri nampeleka basi mi kwao sikauki lakn alitenda sana kwa watu kutoa siri zangu NA kunichukulia bwana Angu ambae nilikua Nina ujauzito wake nilichukia nkaenda utoa bwana alinichukia hatari lakn hadI leo Nina Nazi mwanajeshi ila nimemsamehe lakini simuamini tens hapendi maendeleo
111 -
just put God first before anybody ,yeye atakuinua na kukuonyesha walio wa kweli,some people had to be in your past life sio lazima muendelee huko mbeleni
71 -
Mangeeeeee hahahahhahaa uwiiiiiii nakupenda sana daah leo umenoweza
Nimesoma gazeti hili toka nakunywa chai mpaka usiku huu ndo namaliza daah…maana nilikuwa nasoma kidogo kidogo
Ila daah yani umenivunja mbavu leo
Nakupenda bure mange mi sijui mtu anakuchukiaje ww yani mm naww tungekuwa marafiki zingeiva sana maana wote tu vichaa ila umbea tu ndo sitaki yani tunge deal na ya kwetu tu
51 -
Mdau yule waziri mwenye picha ya kichupi no cs mum…sijui kapotelea wapi jamani….
Cs mum where ar yuuuuuuuu????
Marichui mlete cs mum we miss her jamani
112 -
Im not sure if I have time to read this your magazine. I went through all the names that was enough. I truly like the very last paragraph because it shows how strong you are. Not very many people have audacity to come up with that number of people like you. Most people are fake and backbitters. We as human being are not perfect and above all each one of us have different personalities and backgrounds, so it is very important we learn from each other’s mistake. One thing I will tell you Mange, dont ever Condemn another persone, always bless them cause in the end it is not between you and them but God.
111 -
pia usiruhusu kufanya kila kitu mashabiki wanachokwambia,shida yao umbea but yakilipuka hey are no where to be found,kama issue za kuchambwa instagram,mbona hawaji kustand by ur side,ila huku ndio ongea mange ongea mweeeeee binadamu ni kazi
110 -
Pole arifuu!!!!! Mimi na wewe hatuna tofauti….most of my old friends mimi ndio nilikuwaga nawa introduce to each other at the end of the day mimi ndio nageukwa naoneka mbaya bila sababu. Ila sasa hivi nimejifunza rafiki yangu ni familia yangu na mume wangu thats it. Though nina best friend mmoja tu ambaye ndio aliyebaki kati ya wote nilio wa
. Though we are far from each other ila tunawasiliana na tunacheka na kulia pamoja. Mange ishu niliyotaka nikutumie nimeona niipotezee tu baada ya kuona na wewe umeipotezea arifuuuu.
40 -
Daah yaani nyie so called dada zake Bismin maana ndio mtoto wa mjini pekee ninamjua asie toka pale posta, mna kazi sanaaa yaani group lots hilo kama darasa maana watu more than 20 ni wingi wa darasa kha. Hapo umbea majungu muhimu kwakeli. Mie rafiki wa hivyo hata mmoja si aaa ya urafiki wa juu juu urafiki wa hivyo nilikuwa nao shule tena secondary lkn mako nilikuwa maji ongea mambo kwani tayari ama yangu alishanifunza kitu juu ya marafiki.
Nakumbuka siku moja nili kwenda home na rafiki yangu ndio urafiki wetu umenoga tunasoma darasa moja ila si ki hivyo huku naogopa ogopa nikienda kwao mwenzangu poaaa familia yake iko poaa mpaka kaka, dada zake walikuwa wako poa na mimi tena kaka yake mmoja alikuwa anasoma na kaka yangu. Basi siku hiyo akaja home aka mkuta mama akasalimia vizuri ila nishampa tahadhari mama yangu ni mtu wa aina gani akakaa alivyondoka tuu. Enheee mama yangu a alinipa onyo kali sana sitasahau, aliniambia sitaki marafiki na sitaki ku kuona una urafiki wa kufatana fatana na huyo shoga sitaki kumuona hapa mwisho leo. Kha nilichoka nitaanzaje kumwambia mama yangu hataki ku kuona, basi kesho shule nikajikaza nikamwambia mwaya usiwe unakuja home mama yangu mnokooo akaelewa, ila shoga yangu alikuwa mpoleee namsiri sana. Hee baada kama miezi kadhaa si shoga yule akawa akija shule ni kulalaaaa darasani Mara shule haji na mie ndio najulikana pale shule ndio rafiki yake basi nilisumbuliwa na maswali yuko wapi shoga ako, jamani mie Sijui na hapo sijui kweli. Kuja kugundua ana mimba kuuuuubwa kha! Yaani hata mie hakuniambia na sikujua hata mwenzangu ana boyfriend niliogopa hata kumwambia mama, but nili ficha Siri ile ili mama yangu asijue kuwa yule shoga shule kaacha shule kwa ujauzito mpk alivyojifungua nikawa naenda kwao kumuona, ila mpka leo ni rafik tu wa juu juu km japo hatujaonana miaka mingi. loooool ndio tangu hapo nikajua kwanini mama yangu alikata kata kata kuwa na marafiki na mpaka leo sina rafiki wa chupi na gagulo wa kujuliana ya ndani. Mia huwa nashangaa mnao waeza kuwa na msururu wa mashogaaa hongera na pole yenu maana hiyo full time job nao wengine wanafiki tu ukipata kitu kumzidi ata mind huyo. Nimejichanganya zangu na wanaume yaani ni mwendo kucheka Ma deal na maisha kwa kwenda mbele ila kuna wanaume nao wambea wambeaaaa hao hapana kabisa.
No friends no stress, no zambi
Mange you don’t need a friend wa kuuutwa kufatana fatana Mara hotel Mara bar hii mnakuwa hamna muda wakufikiria maendelo. Bora hivo hivo na wanao unaona haya unapata muda wakuwaza kutafuta njia za biashara za kukuingizia pesa, hivi ingekuwa na lile group si ungekuwa mnawaza leo kujirusha wapi , leo shopping wapi sidhani hata kama Keanu angezaliwa leo hehehe just kidding, maana ungekuwa busssssy kila after 3 months uko Dar kujirusha na friends. But all in all everything happen for reason ona leo hii umetulia kimya na familia yako tofauti ndogo ndogo ni ki za binaadam tu no one is perfect
Haya wale mliotaka kumpatanisha Mange na shoga zake habari ndio hiyo anzeni mchakato sasa wapate heheheee
121 -
Sasa Stella Tilya maelezo ya nn? Halafu hata hujui kuandika maana hakuna tulichoelewa. Eti hunaga kinyongo na mtu nyoooooo, yale matusi uliyomtukaba Zari yalikuwa ya nn and with no apparent reason. Eti muke ya muganda, hivi unajiitaje muke ya flabi while huyo flani hajawahi kamwe na hatakaa akuclaim? Unamgwaya sana mange, na maisha ya Zaru yanakusumbua sana hahaaaaaaa, utabakia kusema u r blessed n have no gutts yo show ur blesser hahahhhaa nyambaf. Kiboko yako mangr na kay kivila. Umemkuta zari mstaarabu ila ndio anakukomesha kwa actions tu mammaamaae
613 -
Mara nyingi mtu ukigombana na rafiki yako mpenzi marafiki wanafiki ndipo wanapochomoza mikucha yao. Niligombana na rafiki yangu mmoja kwa kuchonganishwa adi tukapigana. Yule alietuchonganisha akawa katikati yetu. Mie ananambia haongei na yule na kule anasema haongei na mie. Kumbe anataka tuongee ili siku tukikosana au akikosana na yule aanike yalosemwa. Siku niliposhtukia anaongea na yule roho ilifanya Paaa..niliishiwa nguvu na speech. Nililia kwa hasira na uchungu na kumuona Ni mtu mbaya sana. Nilipomweleza akaanza kunigeuzia maneno ili wanichangie na huyo mwingine nikaamua kumuachia Mungu yote. Ila adi leo nikiwaza roho inaniuma sana. Namuogopa uyo dada ka ukoma. Na anavojifanya friendly na watu sasa mmh. Unafiki mtupu. Na wengine walivoskia tumegombana wakaanza kufurahia nao wakanigeuka na kunitukana kila kona. Ndo nkashangaa mm hawa Mbona sina mabifu nao? Kumbe Ni wale wanaokuchekea uku moyoni hawakupendi. Wanasubiri siku wapate mwanya wakuattack for NO reason..kwa chuki zao binafsi. Sasa kama mtu humpendi y upoteze muda wako kujifanya unampenda? Wanawake tuache roho mbaya..maisha mafupi. Usimchukie mtu akikuzidi kitu fulani muombe Mungu nawewe atakupa. Chuki hazijengi zinabomoa.
Huyo Nacky nae akome unafiki khaa!! Katika wote uliowataja Mange simpendi huyu nacky na Kiki..Kiki ulikuwa ukimuona ktk blogu kutwa kanuna..ka kalazimishwa. Uyo nacky mkorogo mbovu tu unakufanya umjue kuwa ni shambenga la mji lililoshindikana. What a shame..
70 -
Nimeipenda hii sana mange aki ya mungu hujatulia, ila.you are blessed, am.sure tafiki yako.mwam akisoma hii atakuwa anacheka sana, ila.ukweli mange kiki sio rafiki mzuri hata kidogo, wanyakyusq wengi wanafki sana, ila.kwa tabia uliyoeleza ya kiki ni zaidi ya wanyaksi, loo hata akikuomba msamaha mama kaa nae mbali, mi kipindi anakuja dubai unamuacha ma mumeo mmh nilikiwa sikuelewi mama, ila watch friends ni wabaya sana, mi kweli sijawahi kuwa na rafiki wa kike maisha yangu yote toka nizaliwe sababu ya nafikiri uoga au uzembe? But am for that, sipendi makundi
103 -
Mange nakupenda sana mpka najishangaa…nachokupendea aufake ,jaman hamna Cku niliyoumia Kama Ilene baruta iliyowekwaga na sintah kuhusu wewe una cheat,apo ndo nilijua hauna marafik wa kweli.
Mingus mkubwa mange Kama umeweza kuandika hivi ushawasamehe na ata usipopatanishwa endelea na mambo yko mungu atazid kukufungulia,
Zaman watu walikuwa hawakuelewi nowadays naon watu wanakuelewa.
Endelea na marafik zako uliokuwa nao sasa na familia yako,ata awo uliokuwa umegombana nao mkipatana uwe na mipaka nao.
60 -
WEWE UNAONEKANA UNA STRESS FLANI AU LONELINESSS. HONESTLY, MTU MWENYE HAPPY SOCIAL LIFE HAWEZI KUISHI KWA MABIFU KAMA WEWE. HONESTLY HUKO MBELE KUNA LONELINESS SANA. WE UNA DEGREE YA UMBEA WEWE. RUDI BONGO KWENYE MORE STRESS FREE LIFE NA UPATE MTU WA
1347 -
jamaq c’s mum kawa Boss Lady sikuhizi ananata hahaaaaaaa
! anakuja nilichat naye anacheka Balaaaaa ……anasema Wanaoota kagombana na Mange Waugue Pole ……yeye ni Team Mange Forever …….
260 -
Kaka yangu Baba B….. Balaaaaaa chezea ….
Kawafunua funua halafu huyooo Katoka Ndukiiiiiii UK …..
160 -
This tea though? Mange ingenoga zaidi kama ungeweka picha za hao uliogombana nao kwenye kila posti. Ingenoga sana. Sema mange nakuvukia mikono ulikuwa na mashosti balaa mweh.
25 -
Nai Nai
Mshamba
DHW
Ngosha
Baby ya Mange
Mswazi Fatma Mtanga
Nimewamissss Big Time yaani ……Mtudeep siku Moja moja basiiiii ………
Maudodo umekuwa Mvivu kama Unaprego vile ohooo tutagombana ! we haya we
Tajibeba kaibuka leo ….c’s mum where are youuu my sisto , am calling you ohoooo……in “Mama Gee’ Patience Ozokwor voice ”
160 -
Rafiki # 26 sijaelewa kwa nini mpaka apate ruhusa kwa mwenzie…….kuna usalama hapo kweli ……
110 -
Mwenzenu urafiki wa magroup ulinishindaga maana unahitaji uwe na muda Kwa kweli tena muda mchafu. Nikishaingia home nikatinga kanga yangu moja na Mr. kwa pembeni habari ya kuanza kupaka makeup kukutana na mashosti sijui wapi naona Kama adhabu…
140 -
# 23 alivyofungua blog ya kumtukana Mange jamani nilipata kibarua from no where ! yaani kama Nalipwa vile …nilikuwa na kazi ya ku-google Magonjwa ya Kaswende , Gonorea, fingirisi nacopy na kupaste kwenye comment hata mara mia moja kwa siku , kuchanganya changanya watu na Mitusi yao ….jamani ilikuwa inaniuma Balaaaa kama natukanwa mimi …….! yakizidi Natukana na Mimi uwiii Mungu utusamehe tu kwa kweli ……
Shoga yangu c’s mum yeye alikuwa anakazi moja tu ya kucopy na kupaste Wimbo wa Taifa hahahahahahah ila akiamka na mwezi Nchanga kama Miss Lyimo ohooo anachamba Balaaaa Matusi ya Hatareeee hahahahahaha Mama Watatu we eee Muke ya Muarabu …chezea …….yaani kama Wajinga ……Yalikuwa Mapito tu ingawa yalileta Urafiki between us lol !
330 -
umemsahau lady JayD. Si alikua mpambe wako wakati unatoleewa mahari. Mpaka Gardner mkavalisha nguo ya msikitini na baba kenzo mksingia wote. Now zzzz hata harusini hawakuja kama sikosei nae bifu lilikua nini? Ila bella ni mbea kwelii usoo mkavuu tena umkute live unaweza cheka ufe. Pic zinambadilisha mnoo…
. Hilo group lenu mange lilikua kubwa. Kugombana na unafiki ni lazima. Ashura sapi na jack nae imekuaje? najua mligombanaa na mitusi juu enzi za utamuu.
. Mnabalaa nyinyi. Wacha tu nibaki na umatumbi wangu. Kungatana ngatana hivyo kama njiwa kamwagiwa mpunga siwezi.
jestina sijui anataka nini.. now kamvaa junaithar na anajua junaithar kalala na petiman. Hapo hapo jest best wake esma juzi katoka kumuona na kumpelekea zawadi ya mtoto. Hivi yule hakomi kipigo alichopigwa kwa umbea ha ha ha. Bora wema alivyojitengaa maana alimvaa haswa. Akimpa kisogo anamgonga. Duh.mbutaaaaaa yesuuu na maria na joseph
90 -
Nakumbuka siku ya Uturn Valentine Kurasini Mama yako aliwatambulisha shoga zako kuwa ni ” Mange Spiritual Sister’s”
waliotoa tabasamu bashasha ni Mwamy, Jose, Loveness, Muke ya Muzungu wa Kawe na Adeline
jamani # 8 na 15 Walikuwa Wananyali kinaa fulani hivi ….nilikuwa Jirani na Dada Mmoja hivi hatujuani wala nini tukaanza kuwasema hapo hapokuwa mbona hawa kama hawafurahii !hahahah chezea umbea wewe …. sura zao zilikuwa zimewapalama !
kwa kweli Mwamy ni Binaadamu na Rafiki wa kweli kwako , Nakumbuka tukiwa Njiani alitangulia mbele na Gari yake akasimama , akashuka na kuanza kuita Magari kama Trafiki …hahahahha very funny Woman huwezi amini …….Baada ya hapo tukacheza naye Muziki na watoto kweli kweli wale wengine wamejifunga tu Mikono yao kwenye Viti na sani glasi zao ……kiruuuu!
220 -
Wapi yule Muuza vyupi na Makoseti …naye si ulishamchamba hapa kujiunga Urafiki na Baba Kenzo IG hahahahahahahahaah …chezea Mange wewe …….
171 -
Aisee mange lol syo kwa mgazeti huu mpk nmehsi ubongo unachanganyikana kwa kusoma ila nmemaliza NMEJIFUNZA KITU..kua KATIK WANAWAKE WOTE RAFIKI WA KWELI NA WA KWANZA N MAMAKO MZAZI TU…WENGNE MZOEANE KIMAISHA YA KAZI NA SHUGRI ZA JAMII THEN kila mtu kimpango wake…yalishankuta nimekoma kuwa na marafki wa benet…na MUAMIN KWAMBA…UKIWA NA RAFKI MPENZI WA KUFA KUZIKANA…SK MKIZINGUANA HATA MKIJA PATANA hamuwezi kuwa km zamani mtabaki ju juu tu..mfano mzuri mm mwenyewe yalinkuta.. TAZAMA MAREHEM KABUMBA NA RAY….ZAID AUNTY EZEKIEL NA WEMA SEPETU..WAMEPATANA LAKIN ABADAN HAZIWEZ KUIVA BENET KM MWANZO ISHATOKA IYO..CHA MSING SALAMU IPO.
100 -
Hata hakimu huwa hahukumu kwa kusikiliza one side of story…. Ila mburulas ndo wataamini
422 -
C’s mum I really miss you so much, fanya urudiii jamaniii. Yellow kale ka picha mtu ameshika sikio ndo kalikuwa identity yako karudishe
91 -
mange huyo no.10 ni kama dada angu wa damu yani toka nitoke anapenda kukosoa huyo ila hajui kukasirika. anaweza akakukosoa siku nzima mpk kero ni bora uwe hujali lkn kama ni mtu wa kujali mbona nyongo itakupasukia tumboni lol! by the way mange nakipenda ulivyo mkweli unana pia na dada angu coz ni mtu wa kusema ukweli sana haogopi mtu wala kitu kama umemkwaza lzm akwambie hapohapo na maisha yanaendelea. sema baadhi ya sisi binadamu hatupendi kuambiwa ukweli! ukiambiwa ukweli unakasirika na haukawii kumchukia alokwambia ukweli. mwisho tupendane jamani duniani tunapita.
110 -
I Swear Najihisi nina mengi ya kuandika ila najua nitaharibu bu ila makubwa 1.Nimekupenda Mange mara 5000 ya Mwanzo 2.uko mkweli na muwazi 3.u are the best, ok ishu ya flav anamsema kila mtu huyo mtoto ni mbaya mno alimsema demu faln kuwa ashukuru kapata bwana mwenye pesa mana alishaanza kuchuja kwa kujiuza south… lol niishie hapa nisije nikaharibu. NB: mange tv show kiukweli ni muhimu reality tu unashoot huko unatafuta tv bongo ya kukurushia lazima sponsor’s wagongane kudadadeki…
90 -
mange ww una nini lakini eti special case
nakupenda sana Mange binti kimambi
81 -
Hahaha Mange u just made my day! How do you feel now that Mwami is tight with Kiki and Nacky? doesn’t it hurt you; Mwami is smart. She chooses her friends wisely, i am pretty sure she’s comfortable having Kiki and Nacky as her bff’s.
One Love Africa!
449 -
Yuko wapi yule mke wa mzungu aliekuwa anatutambia anashonewa weaving na mumewe
Na bijoux?
100 -
Mange kosa lako ni ku have your other friends become friends with your other friends. Ni hivi, kama wewe ni mtu wa watu, then you need to have different groups of friends. Friends wa kazini, friends wa nyumbani(your neighbours), friends wa wazazi wa friends wa watoto wenu, friends wa mambo ya dini (misikitini na makanisani), friends wa gym and etc. You get my drift. Ukitaka ugomvi wa changanye hao friends. Yaani the only time these group of friends should meet is when you have a get together at your house. Otherwise, wajuane kwa mbali tu.
241 -
Mange wewe ni kiboko, flaviana matata ni malaya kufa Sijui kama hajaathirika huyu mwanamke. Halafu wanaume wote wanamtia ukiangalia kwa karibu ni shoga na wake zao. Mr. Sembe kashapita hapo. Halafu juzi juzi katoka kusotwa alivyokuwa china, kachonganisha watu Kule balaa. Demu huyu ni wa kumuogopa kama ukoma anakuchekea halafu anakusema. Mange wewe Ndio ulikuwa unamalizwa Na huyu flaviana. Kutwa kukusema dada wa watu Mara mange hivi Mara mange vile. Mwaka huu watu washamjua, Akiona watu wanapatana lazima awagombanishe.
231 -
Mimi nimevutiwa na ya TK tu…Neno la Mungu liko ndani yake…usiposamehe na baba wa mbinguni hatokusamehe…Na kama una kinyongo hata ukiingia kwenye deep prayers..ni bure tu…u got to be clean..Teddy Kalonga my dear…nakupenda sana..na Mungu akubariki daiama…Joshua 1:3 usome..kila mahali nyayo zako zitakapokanyaga utamiliki Teddy…
133 -
Mange huna mpinzani, ukae ukijua huna mpinzani wewe.Nimecheka miss ushuzi anahaha huko marekani, wale wadada wamempeleka mahakamani. Hilo sheshe litakuwa la kufunga mwaka Ndio case ya kwanza kama hiyo kwa watanzania Wanao ishi marekani. Sasa kichekesho waliotukanwa wote wana makaratasi ma baadhi Yao waume wao wana kazi na hela za maana. Kama kuna mmoja pale mme wake Yuko na kazi na watu wa usalama USA. Sijui alikuwa anawaza nini huyu miss temeke. Mange umemponza mwenzio, wewe hutungii watu story kuwachafua, wewe Unawapa I kweli.miss temeke yeye katungia watu story ili awachafue. Kama alikuwa anakuiga basi amgalau angefanya kama wewe lkn sio kutunga tunga tu. Na hata kama ukiwa sued una weza kulipa lawyer sasa huyu miss ushuzi Ana lawyer wake mnigeria Ndio anaemjaza ujinga. Hili movie la mahakamani mange lazima ulirushe humu ndani.
171 -
Leo ni mwezi 15 kwa waislam ni siku nzuri sana ya kuombeana mema na kutakiana kheri pia kuombana msamaha tulipokoseana ,so Inshallah Allah akupe mema zaidi na akuondolee mitihani duniani na akhera.WOTE Semeni Amina.
412 -
Hahahahahahahahahhahahahahahahahahhaha!!!Hiyo list Chief nilidhani na mimi utanitundika wacha nikurupuke na kuhaha asubuhi maana hatuna ongea siku nyingi.Caption zako mie hoi najichekeaga mwenyewe kama chizi .:checka: Ngachoka
100 -
Mange most of this peopl are of ARS eehh usijali watakula makonzi ya Mr. Sahibu soon.
Mmarangu Ars school ni Nafue na Ikumbo tu na we we banaaaa…
Nacky angekuwa mzuri tungemkoma Hahaha Hahaha ashukuru MUNGU weupe unafunika ili sura lake baya. She is super fake analiwa kiboga kisa hela nyambaf
20 -
TAJIBEBA napendaga sana kusoma comment zako,sema siku hizi hutokezei sana,Uko na ma responsabilitee ya mingi pengine ndio vile unapotea sana.
91 -
Mange marafikiii woote hao wanakukosaaa wewe tu.??
Yaani wewe ndo victim tu. Duhh..mmh. kazi ipo basi…
.
318 -
Abdul Kimario, kaka yangu mtoto wa bamkubwa marehemu, Muhidini kimario!! labda awe kimario tofauti. Sijauwa kama tajiri !
50 -
Yani Mange hilo group lenu linaonyesha we ndo ulikua mzizi wao na Mwamy ndo point of interest , tatizo kubwa wote mnatabia za kimbea mbea na group lilivo kubwa basi ukimwambia mmoja likifika kwa kila mtu anatia chumvi yake kama kuna mtu alikua hapendi we ndo uwe juu kuliko yeye basi angefanya chochote kuwaharibia na ndo lilivoishia. Pia inaonesha we ulimpenda kiki toka moyoni ila mwenzio alikua kimaslahi zaidi tena baada ya we kumuunganishia mtu mwenye maslahi zaidi yako akaona kwanini anapoteza muda kwako plus kukosa eleimu kwake pia kumechangia hv mlikutanaje hadi mkawa mashosti hadi akawa matron wako, ulimpa umatron mwenyewe au aliforce sorry to say unajisikiaje ukiangalia picha za harusi yako sasa halafu pcha nyingi ye yupo yani ina ruin all good memory you had with her jinsi alivokutenda. Nway ukweli group lenu lilikua kubwa sana kama mngekua nyie watatu hayo matatizo mlionayo sasa mngeshasameheana na mngekua mbali sana kimaisha hasa kiki manake ye ndo angefaidika sana bila hata kutumia nguvu nyingi manake mi huyo mtu nimemjulia humu u turn wala nlikua simjui kusema ukweli ila jeuri yake sasa hvi anapotea umjini unamcost anajaribu kujionesha nae yumo. Watu hawashop kwa ke sasa mpaka kuwe na sale na moet lol. .udada wa mjini kazi kweli kweli.
100 -
Mange umesahau bijuox aka aminah!! Remember when You used to be friends with her and Yule saada wa Scotland?? Saada hadi nguo yako ya graduation alikununulia jamani. Na Bijuox ulikuwa una post picha zake hapa kibao. Mara yuko na hubby mzungu or when she bought her new bmw! Nilimsikia siku moja pale slipway anasema anakuogopa wewe kama ebola.. basi nikajua no ushoga tena hapo kwishney
what happened btw you and hao wadada.
63 -
I truly think you should say sorry to Zari kabla ya Ramadan Mange! Wewe ni muislam na kama unataka kufunga na mungu akukubalie swaumu zako you have to apologize to Zari!!! yule dada kwa kweli she has never done anything wrong to you but have called her names matusi na kashfa zote. Just know Wema amesema hamchuki Yule dada. Hata Kama u wanted kiki unaweZa kuandiaka fan fictions you wabongo watakuamini lol ok bye
820 -
Flaviana kweli mnafiki. Alikuja kwenye event moja ya ccm hapa ninapoishi kama few years ago. Alikuwa anamsema Rosemary kwa watu. Eti Rosemary anamuomba amuunganishie kwa Russell Simmons, flaviana akamjibu uncle rush hataki demu wazee
rosemary si rafiki yake kwanini anaenda kuhadithia watu vitu vyao? Mmh she is fake
150 -
Watu mmekazana tu kuongeza list, hamjui kuwa hii ni blog na watu hutajwa humu kama news. Zari, Diamond, wauza sembe, politicians na wengineo ni NEWS au habari. Hawa hamjaambiwa kuwa ni marafiki wa Mange wanaandikwa humu kama wengine wanavyoandikwa.
Tatizo lenu mnashindwa kutofuatisha news/habari na issue ya marafiki waliokuwa au wanaohanga na Mange.
Na unaeongea kuhusu Zari, mbona anaandikwa sana huko kwao Uganda, ukisoma Uganda red paper online utaona kabisa Mange hamwandiki vibaya kama anavyoandikwa kwao. Juzi kati hapa alipost picha yake kavaa nguo ya blue mie niliiona kwenye hilo gazeti la kwetu Diamond kamuwekea mkono kwenye papuchi yake basi wacha waganda wamchambe Zari kwenye red paper online. Nafikiri yeye mwenyewe anapenda kuandikwa kwa sababu asipoandikwa atadisappear ndio maana anaweka picha za vituko na ajabu kama hiyo aliyoandikwa kuwa yuko fingered duh!
Kwa hiyo tofautisheni habari za siasa, wanasiasa, wauza sembe, na hao “news” kama kina Diamond, Zari, Huddah, Alikiba na wengineo.
193 -
Mnajifanya kushadadia ya Mange lakini ni wachache tu wameweza kusema how watawapatanisha Mange na hao so called friends.
Mange kuna marafiki wakuitwa close friends na kula nao caviar kama Mwamy na kuna marafiki wa kuwaweka at arm length na kusalimiana nao, kucheka na maybe kwenda kwenye shughuli zao wakikualika, na kuna marafiki humo hupaswi hata kusema kuwa ni marafiki zao wao ni wa kutupa kulee hawafai hawafai hawafai, wao ni kupeana high basi.
Kama Chagga bibi kwa kweli kwa calibre yake hata Ledi Peti hafai kuwa rafiki yake ukizingatia jinsi alivyo na vile alivyofungua blogu ya kukuchafua mpaka kufika kupiga simu kwa wakwe zako na kutishia kukidnap mtoto. Hivi unafikiri Bibi na babu yake Kenzo wanaweza kusahau that incident? Nope, then wakijua kuwa Ledi Peti ambaye ni Mama wa Ubatizo wa Kenzo ni bestie wa huyo Chagga bibi utafikiri watajisikiaje au watawaona kuwa nyie wamama hamko serious. Anyway sio rahisi kumchagulia mtu marafiki wa kuhang nao lakini watu kama hao ni wa kusalimia tu.
150 -
Anonymous
JUNE 4, 2015 AT 2:36 AM (EDIT)
REPLY
Mange marafikiii woote hao wanakukosaaa wewe tu.??Yaani wewe ndo victim tu. Duhh..mmh. kazi ipo basi…
.
MHHH, Umesoma kweli? are you sure hawa wote nimesema wao ndo walinikosea??? are you sure? na wapi nimedai mie victim labda nirudie tena.
Hakuna alie perfect hata mimi nna problem zangu kwenye urafiki im sure kama drama, mashow off , ugomvi, sina patience mie pia nna yangu nilichofanya ni kueleza story kwa upande wangu mimi
282 -
Anon
JUNE 4, 2015 AT 3:10 AM
REPLY
I truly think you should say sorry to Zari kabla ya Ramadan Mange! Wewe ni muislam na kama unataka kufunga na mungu akukubalie swaumu zako you have to apologize to Zari!!! yule dada kwa kweli she has never done anything wrong to you but have called her names matusi na kashfa zote. Just know Wema amesema hamchuki Yule dada. Hata Kama u wanted kiki unaweZa kuandiaka fan fictions you wabongo watakuamini lol ok bye
He yamekuwa hayo!!!sasa nikianza kuomba msamaha mawastar wote niliowaandika humu kama habari nikaweka opinion zangu mwenyewe basi itabidi nifunge blog nianze kazi ya kuomba msahama watu waliowahi kuwa part of news sababu ya ufamous wao….
318 -
Anon
JUNE 4, 2015 AT 3:02 AM
REPLY
Mange umesahau bijuox aka aminah!! Remember when You used to be friends with her and Yule saada wa Scotland?? Saada hadi nguo yako ya graduation alikununulia jamani. Na Bijuox ulikuwa una post picha zake hapa kibao. Mara yuko na hubby mzungu or when she bought her new bmw! Nilimsikia siku moja pale slipway anasema anakuogopa wewe kama ebola.. basi nikajua no ushoga tena hapo kwishneywhat happened btw you and hao wadada.
mmh jamani Bijoux rafiki yangu still sijawahi kosana nae. Just because mtu kapotea humu it doesnt mean tumegombana… Maisha yanabadilika labda anaishi another life … Kama mmtaka update za watu mniambie niwatafute niweke “where are they now” sio kusema nna ugomvi nao
300 -
Na nyie wengine, acheni usnitch sasa. Hivi unaanzaje kwenda kumsema pembini best yako kuwa ” ni mchafu, hanyoi mavuzi” lol. Kama unampenda kweli, kwa nini usimpe za uso!??? Yaani mi ushoga nishauvua kitambo. Tukikutana tusalimiane au tusisalimiane mi hata hainistui!!! Hivi mnavyomsema mtu mwingine, na mmoja wenu akamwambia muhusika mlichokuwa mnakiongea, hamjioni kama mnasalitiana!??? Mimi napiga kibuti nyote , aliyenisema na aliyeniletea ujumbe. Maana najua lenu ni moja!! Yaani toka niachane na mashoga, nipo na peace sanaaaa. Maana unalala usingizi kama mtoto. Sio tena ule wa kuwaza kesho nikiamka sijui nitaambiwa nani kasema umbea gani au nani kafikishiwa umbea upi!! Ila ushoga sio kitu rahisi hasa huku Ulaya!!! Watu tupo wachache ila akitokea mwenye mdomo, basi kijiji chote ni machafuko.
140 -
Jamani eeeh!!! Chagga amekanusha ile blog haikuwa ya kwake. Labda kama keshaitoa hiyo post huko insta. Ila naye ameshasamehe kasema.
140 -
mange kiboko apo kwa jide nimecheka mpaka machozi yananitoka uwiii to be honest mi mwenyewe niliijua u turn thru jide aliwekaga link na kututambulisha since then nimekuwa TEJA la u turn na nikahama kabisa kwa jide duuuh aki muombe tu msamaha jide
110 -
Mange acha kuwajibu hao Division 6 kwanza mengi na wengi unaowaongelea humu wala hawawajui kivile. Wao ni bandwagon wa team Zari tena huku kwenye social media ukute wameingia siku 2 hizi.
Kama kweli wanampenda Zari waende kwa Sintah wakamgombeze kwanini amemuita Zari kuwa ni ZEE, sasa ni ZEE la nini, la nyeti au ZEE la wamama binti snitch yule sijapata kuona. Haya nendeni kwa page ya ZEE lenu huko mtuwachie yetu humu ndani hamujui ndewe wala sikio tangu lini Zari alikuwa friend wa Mange mfyuuuu!
30 -
k0ku
JUNE 4, 2015 AT 4:46 AM
REPLY
Jamani eeeh!!! Chagga amekanusha ile blog haikuwa ya kwake. Labda kama keshaitoa hiyo post huko insta. Ila naye ameshasamehe kasema.
JIBU
Mwanamke muongo sijapata kuona maishani mwangu. Watu tunawajua team nzima waliyokuwa wanarun ile blogu na ring master wao wa Bongo aliyekuwa anawapelekea news mbona anajulikana wazi. Tena kilichofanya watu wamjue zaidi ni jinsi alivyokuwa anashadadia ugomvi huku anajifanya yuko poa na Mange.
Acha niwakumbushe kitu, kwenye blogu ya Kasuku wa Mange kila siku ulikuwa unakuta post ya kuhamasisha watu waende wakamuone Mange alivyokuwa anatukanwa. Tena kila post zinawekwa zaidi ya 4 au 5. Na hata blogu kufungwa kwenye ile blogu kukawa kuna muendelezo wa matusi kutoka kwa members wenziwe na Kasuku. Tena tunamshukuru sana Cmom na Marichui kwa kuwa mstari wa mbele. Marichui alikuwa anabandikaje magonjwa ya Kaswende na kisonono huko kwa blogu zao. Cmom yeye alikuwa anaporomosha matusi tu kwa kwenda mbele. I will come up with the list of the witches one by one. Kama Mange amesahau mimi sijasahau bado lol huwa siwezi kusamehe vitu vya kuhusu wazazi kirahisi namna ile.
Chagga bibi ndie anapaswa aombe radhi sio kujitia yeye ndio anasamehe, au amesahau msala wa FBI huko kwao walivyokwenda kupekuwa computer zao mfyuuuuu akafie mbele huko.
90 -
Mange nimeanza kusoma hii list tangu jana mchana ofisini, jioni nyumbani, nimeimaliza asubuhi hii ofisini; JAMANI NIMECHEKA HADI NAOGOPA!!! ila u are too honest with urself, nakupongeza kwa hilo. kwenye Mbutananga nimecheka neno la kwanza hadi la mwisho na machozi juu! kwa jide pia. Mange we kiboko….yaani sioni wewe kupata ulcers maana huweki maujinga moyoni kwako…unayamwagilia mbali kama hivi. kila la heri na nna ugomvi na wewe kwa kunipotezea muda hivi kusoma hii list utadhan nna mtihani nayo daaadeki. vile viteke vya kajambe kule vinakuhusu Mange hahahahahahah
30 -
Huyo rafiki wa kucomment kila saa on your negatives nimekuelewa sana, mimi mama yangu mzazi ndio yuko hivyo, yaani ukikaa naye utatamani ulie ni kukukosoa negatives au kukuhadithia story mbaya siku nzima halafu ukikasirika anasema huwezi kutake criticism Dah It really lowers self esteem especially kwa mtoto wa kike, but watu wa hivyo mara nyingi wanakuwa wana their own issues zinawasumbua so they reflect it in others. But its very hard to live or deal with them.
130 -
Sasa Mange ulivyoandika hivyo kuhusu Mwamvita huoni umemfanya target sasa, maana kila mtu atataka kuipendekeza kwake…
40 -
sasa nimemaliza kulisoma gazeti kwa upooolee kabisaa, nimeelewa!! hayo sio mambo ya ajabu kabisaa..yanatutokea almost watu wengi tu, na sijaona kipya wala sikushangai, naelewa sana tu…ila hapo my dear kama ni msamaha naomba umbembeleze mwami tu…huyo friend wako wa ukweli…na usiwe unamsema sema hadharani, kwa sababu sidhani kama atapenda mambo haya yawekwe public, anaonekana ni mtu private sana..so my dear simseme seme, haya mambo ni ya wanawake saluni na huko kwenye kitchen parties….wasamehe pia hao walokufanyia ubaya…umesema wewe sio perfect, basi wasamehe ili uweze kua happy…halafu sio lazma kua na marafiki 20…mange wewe ni pieces..mara nyingie nyie mnakua very emotional, na mnaumia sana na mambo kama haya kwa sababu mnawaamini sana watu….kua na small cycle…rafiki hata mmoja anatosha…otherwise kua na ndugu zako karibu, mbona bhoke yule kawa mschana mkubwa tu?? au sisters zako si wapo?? wale hawawezi kukuumiza makusudi mange….all in all be careful ushoga wa mjini kazi sana..wasamehe mama, uwe free..
40 -
Every story has 2 sides huu ni upande wa Mange na hao madada aligombana nao wana side zao!! So msianze ku judge before hamjasikia both side lol maybe na wewee Chef ni mbea mbea sana hahahaha that’s why u can’t keep a friend! Jk
78 -
Daha ushoga wanmjini kazi kwelikweli. Na mlivyokuwa mmepangana sasa?? Au anadhani ukiwa na utitiri wa marafiki ndo ishu?? Hujui walimwengu wewe walivyo wabaya.. wanakugeuka sekunde dakika ni nyingi hahahaha. Kuoneana wivu kusemana sijui kusingiziana uongo ndo tabia za marafiki hasa mkiwa zaidi ya watatu ila pole maii ndo kujifunza huko.
Halafi mbona umesahau kumuweka lemutusi na le shigongo lol au hawa umeshapatana nao??
Ila hili gazeti kiboko haki ya Mungu, nimesoma mpaka nikajiona kama nasoma kitabu cha Mange kuja kutahamaki nshamaliza huku bado natamani kuendelea kusoma uwiiiiii kwa uandishi tuu hapana aisee kila siku mi nakuambiaga nakupa 10 ya 10.
31 -
Mimi kilichonigusa ni sehemu ya Mwam nilishawahi kuandika hapa kuwa i think she isnt loyal to you hapo nilikuwa sijui hata kama hao akina kiki walimjua kupitia wewe lakini nikawa nasema mbona Mange IG anamtag lakini sijawahi ona hata picha ya Mange page yake na kutwa yupo na post za akina kiki i felt like she was chosing sides ukanishushuaaaaa,hahaaa. Ila kiukweli if Mwam came to know all these people through you then u need to work on your relationship kiukweli and she needs to know kuwa wewe ndo rafiki yake. But Mange everything happens for a good reason.
Yani uko rite kabisaaaa unawaza kama mimi, sijawahi kuona picha ya mange kwa mwamy hata sikumoja, na inaonyesha mwamy anampenda sana kisa kiasi kwamba me nilikuwa najua labda kisa na mwanya ndo walinaza urafiki kabla ya kuwa na mange mana yeye ni kisa tuuu hadi biashara anamtangazia na anavaa sana hizo nguo za kiki ila kwa mange hamna kitu, na kuna wakati huwa anaweka picha ya rafiki zake au anawatag sijawahi ona mange akiwa included kokote pale labda huko private ila she never acknoledge her in public NEVER sasa sijui kuwa kwenu ok ni kwa namna ipi
71 -
Wengi humu tuliletwa na jide,mimi pia.Ila kuna wakati akawa haweki post ndio nikamkimbia,hivi anaendelea kublogua?.kule nilikua muddy drogba,nilimfanya mpaka yeye nae akawa anajiita jide drogba kwa mtakaokumbuka.
180 -
my dear jana nilitingwa, mambo elf kidogo! but nipo mwaya, nawashangaa walimwengu wallahi, niligombana lini na mange, mama keanu hivi tumewahi kugombana??? hahahahahaha hebu nipite na zangu kwanza nitarejea rasmi!
200 -
Uwiiiiiiii Mange ndo naona hii post yako kweli tusipokuwa makini kibarua kitaota nyasi mweeh list ni ndefu hatari! nitaisoma nikurudi home au lunch time kidogo kidogo maana ni zaidi ya mzalendo leo. Mange ww ni ungetakiwa uwe jonalist tena talented!
50 -
Mi sidhani kama hao kina zari,diamond,wema,jocate etc wanatakiwa kuombwa msamaha. Hao sio marafiki wa mange, ni wanajamii waliojitoa muhanga na publicity. Marafiki tunazingumzia ni watu wanaokujua in and out. Siri zako na zao. Mnakaa na kushare mambo mengi. Sasa huo ushoga wa zari ni wapi na wapi hadi amuombe msamaha. Hebu msituchoshe hapa. Tunaongelea hapa ni like group la hyatti branch na sio hao wengine waliokuja mjini kwa baiskeli. Lmao. Na usiache kutuletea hao kina Zari na wengine kama kutakuwa na vichambo vinavyowahusu. Kwa sasa tunasubiri mtoto wa kaka katunzi, mwezi ujao anajifungua, ndio familia yetu inavyojua. Huyo diamond atasubiri wa kwake mwezi wa nane huko. Lol
153 -
nimeshindwa kuvumilia ngoja nitoe ya moyoni mkijihisi pouwa tu mana ata sitegemei kurudiana na nyie tena tupeana hi za mbali mbali tu
Mimi ni mtu wa kujitoa sana kwa marafiki kiukweli no matter uwe unacho au hauna sasa nilikuwa na marafiki wengi kiasi na wengine ndio kama hivyo alivyosema MANAGE mnakutana kupitia mtu mwingine na nilikuwa najitoa sijisifii, sasa bwana hali ya hewa ikaend asivyo ndivyo hao marafiki walinigeukaje uwiii, kunisema juu wengine ata simu zangu hawapokeai ila bora hao waliokuwa hawapokei simu zangu kuliko wengine waliokuwa wanajifanya wapo na mimi jamani si mnajua kufulaia ama nene mtu anakuita unajua mwenyewe yes rafiki yangu kaniita ngoja akaniliwaze hapo kaishawaita rafiki zake wengine ameshawapa story zako zote ukifika anaanza kukuchoresha jamani nyie rafiki roho yako asikwambie mtu mwingine yeye alikuwaga ananiita kwake kufulia uku uankuwa kama mbwa jamanihapo anakunanga ukiondoka uyu alikuwa ananisema yani mpaka mdogo wake wa damu yani ananumia ikabidi siku aniambie ukweli yote uyu ambaye nilikuwa namuona rafiki yangu anayonifanyia nikashindwa kushangaa jamani mwingine ndio akikuita labda akakununulia ki wine na akakupa nauli uwiii ukiondoa mguu tu uku nyuma ni matangazo kama BANGO LA VODACOM hapo juu, yani uyu mwingine nilikuwa nikitoaka nae ndio sina kitu nikienda chooni ujue ananimaliza mpaka kwa ma waita yani wanione miye sio kitu, MUNGU si athumani siku weita mmoja akaniambia dada uyu rafiki yako siyo. wala ata sikumuuliza, yani wale watu niliofanya wakakutana nao kupitia miye ndio wakaungana sasa kila mtu anaongea lake. nashukuru MUNGU nilivyoamka usingizini nikasema siitaji tena rafiki yani sijanuniana nao ila labda tukutane ni habari tu kama ni sehem ya starehe tucheze ila kila mtu aondoke kivyake jamani msimuone MANGE sijui mjuaji inauma sana mtu amabye umejitoa kwake alafu yeye anakuja kukulipa mabaya tena kwa kukudhalilisha.
SIITAJI MARAFIKI WANAFKI MKAJAMBE MBELE
90 -
am soooooo in luv, nipo sana tu! mambo mengiiiiii umama wa nyumbani umechachamaa! nalea kwa bidii sasa hivi,
200 -
kwa jide shangazi yake na Bhoke mbavu sina hope atakusamehe / mtasameheana
30 -
i missed u my MARICHUI! am around luv, niliwamiss wengine zaidi, tho mimi na wewe whatsapp we chat almost everyday! JAMANI NIPOOOOO!
220 -
Kama naona inbox ya watu huko:
Flavy: Eeh jaman hivi yule Mange anantafta nini mimi lakini ona alivonipakazia kweny blog yake.
Mrs sembe: mfyuuuu yaani mimi kanitoka yule mwanamke hajui tu ila baba Ajmal kasema atadeal nae
Nacky :is typing. …marichui embu malizia kibarua chako hiki alaaa mimi nilikuw nakumbusha jukum lako.
Mange nasema hivi wewe ndo kamanda wao yani hiyo list wala sio ndefu maan mimi nilitimua upupu wote nikaona marafik kutiana nuksi tu saiv kama umbea nawashwa namuhadithia mume wangu hat kama hawaelew naowaongelea ila sijui shoga am so solee. Ila hyo Mwavita sio wakumuacha ndio mtu wa muhim kwako wengine samehe afu piga kimya,na mie naomba nikutanishe na Mwammy Hahahaaaa mmh kweli nimecheka. Yaani comments zote zinazomtaja Flavy zinasema ni mtu mbaya khaa sikuwahi kumuwazia yule dada sasa leo ndio nimemfaham.
141 -
hahaha ushoga wa mjini kazi,mie mashoga zangu niliwadelete mmoja baada ya mwingine maana niliona interest zinapishana kwakweli,wakaanza kuolewa sasa,basi wanajiweka umamaaa mpaka ukiwa nao unaonekana mdogo wao,wanachukia nikaona isiwe tabu now sina permanent rafiki.
60 -
Mange ulikuwa unampenda Kiki mpaka mwenyewe alikuwa anajua na ikawa kero yeye hakutaki lakini ww ni full kumng’ang’ania nilikuwa nakuoneaje huruma ukimuweka humu bestie yake alikuwa anatuadithia mambo kibao hata mumeo alimshtakia Malik kuhusu wewe kupenda maisha makubwa mlipokuwa dubai
103 -
Haha Ila Kweli Mdau Missy Temeke Amesahaulika Ktk List,Ila Ktk Wote Jamani Kuna Wengine Hapo Mange Ni Wa Kuwasahau Kabisa Maana Mshachafuana Sana Maana Wao Walikuprovole Na Ww Ukawaacha Uchi ,Kwahiyo Sidhani Km Mtakuja Kupendana Tena Km Mwanzo ,Labda Mkubaliane Mmalizane Kila Mtu Aangalie Maisha Yake Na Waache Kukuprovoke ,Mtu Km Sinta ,Bedui ,Nacky ,Mrs Sembe Au Kiki ,,Mimi Binafsi Kuna Watu Niligombana Nao Then Baadae Tukaja Kupatana Ni Nikaendelea Kuwapenda Km Zamani Lkn Wengine Imeshindikana Kabisaa Kuwapenda ,Halaf Mm Nn Moyo Wa Ajabu ,Mtu Nikimchukia Sana Sitaki Hata Salamu Yake,Niko Hivyo ,Yaan Nina Kinyongo Kibaya Mno,Sometimes Huwa Naomba Mungu Anitoe Hiyo Roho Ya Hivyo Maana Ntakufa Na Dhambi Za Kuwanunia Watu Lmao
41 -
naomba happines asikusameh.neno ni endometriosis unadhana anapenda kuwa na huo ugonjwa unadhani its funny unamambo ya ajabu sana wenzio wanaugonjwa going through surgeries over and over and huwez pata mtoto we unamake a joke abt idiot.mxieeww
813 -
partner in crime! luv u more….. !
wow! My Gal am fuck****g Love you Moreeeeeeeee c’s mum
60 -
c’s mum
JUNE 4, 2015 AT 6:45 AM (EDIT)
REPLY
bi chau acha umbea! aliyekwambia mi na mange tumegombana nani????:ass-kicking:
/
/
C’S mom , C’s mom, C’s mom, nimekuita mara 3. hhahaha ,hii nimeiba kwenye comment moja posti ya kina Nakaaya kuna mtu alianza hivyo comment….lol..C’s mom usinitese hivi tena jamani. Omg, C’s mom why jamani. Ugomvi gani huu wa miezi yote hii ndugu yangu. Dah, ulinijua kunitesa. Niliku miss huwezi jua. Na toka wajue chamatusi wangu umenikimbia nimeonewa mimi, nimechambwa mimi C’S MUM wangu, yani kina Bedui toka wajue haupo ni daily natukanwa.Jamani usinifanyie hivi tena..PLSSSSSSS…. Kumbuka first time ulipokuja kujitambulisha kwani ilikuwa Diamond’s a re forever ukaninong’oneza mie ndo C’s mom,uwiii, unakumbuka nilivyodata, nilivyokukumbatia utadhani nimekutana na Beyonce ,ulikuwa na ticket yako ya kajamba nani ila nikakuhamisha ukaaa VIP tena next table to mine niliyokuwa nimekaa na shoga zangu, remember c’s mom. tena kama nakumbuka vizuri I think ulikaa same table na sisi…Hivi kweli ulisahau haya yote C’S mum kisa maneno madogo vile jamani. Ndugu hawagombani hivyo C’S MUM..
Ila nisamehe, im sorry, ulikuwa umekosea kwa kumtukana Wema matusi makali vile ila na mie nilizidisha yani ile reaction ilikuwa too much……
We baki na Zari wako ni haki yako ila usinitukanie mdogo wako matusi ya nguoni mbona mie Zari wako simtukani matusi ya nguoni jamani? namchamba kizungu tu, na wewe si umchambe Wema kizungu ila sio matusi ya nguoni…
OOH C’S MOM, DONT EVER LEAVE ME AGAIN…..Yani wambea walishaweka comment humu eti nikuongeze kwenye listi jamani ingebidi kesho nikuongeze,jamani si aibu mpaka waziri nimegombana nae hilo shuzi sijui ningejiteteaje….. umenistiri shoga…
this is special dedication for you. ILA usisikilize nyimbo nzima maana wewe bado unaishi so sikiliza tu pale inaposema “SORRY” basi ni mwanzo kabisa sentensi ya kwanza anasema “SORRY” Basi zima. Huko kwingine waachie wenyewe boyz II men na Mariah wao sijui walifiwa na nani…..
363 -
C’s MUM nimefurahije kukusikia tenaaa
Missed u big time yaani
Ulini HeartBreak sanaaaa
80 -
correction
JUNE 4, 2015 AT 7:37 AM (EDIT)
REPLY
naomba happines asikusameh.neno ni endometriosis unadhana anapenda kuwa na huo ugonjwa unadhani its funny unamambo ya ajabu sana wenzio wanaugonjwa going through surgeries over and over and huwez pata mtoto we unamake a joke abt idiot.mxieeww
/
/
Nyau mkubwa wewe, nani kakwambia namake a joke ya ugonjwa wake. Nimmuita maana sasa hivi dunia nzima ukisema endometriosis you think of Millen. Which is a big honor. Mamam yangu Dr Mwele huko vijijini anaitwa Mama Mabusha sababu kawasaidia sana wagonjwa wa Mabusha kupasuliwa mpaka hawajui jina lake anaitwa Mama Mabusha mbona hawi offended? Ni washamba kama wewe ndo wanaweza kuwa offended..JIAMINI WEWE, ACHA KUJISTUKIA VITU VYA KIJINGA
296 -
Hee..nilijua csmum lazima arudi humu..na alivokuwa na usongo na hao x marafiki feki wa Mange asingeacha hii topic impite ivi ivi. Karibu sana Cs mum tafuta kiti uketi na ndama mnono lazima uchinjiwe leo. Haya mama ukumbi wako twendre kazi…
100 -
Mahali Ni pazuri ndugu wanapokaa wakipatana vema na wakipendana. Na mahali ni pabaya ndugu wanapokaa wakifitiniana na kuchukiana. Ni bora kuwa peke yako kuliko kuambatana na rafiki mnafiki..
60 -
LOVE U MANGE WANGU NO COMMENT NAMPENDA MILLEN TU KATIKA HAO ULIOWATAJA MAANA ANAMOYO WA DHAHABU
30 -
Mange umenifurahisha sana,nmejikuta nacheka pekee yangu,ila kiukwel nimekupenda bure ngoja nami nifanye kupatana na rafik yang niliwah kosana nae,ila sasa ntaanzaje maana yy hataki kabisaaa kuongea na mm,watu walishajaribu kumwambia tupatane lkn hataki
00 -
Ukiona mtu anataka kuwa rafiki na kila mtu muogope sanaaaa..tena kimbia. Mtu wa hivo Ni mbaya sana na mfano mzuri ni huyo Nacky. Na mara nyingi pia mtu anaekuwa between enemies sio wa kumuamini..lazima ata base upande mmoja..na ndie atakaekuwa anaongeza kuni ktk moto. Hili Ni onyo wanawani be ware out there. Kwani lazima kuhang na marafiki hatihati? Mtu vuguvugu wa nini sasa..either awe wa moto au baridi ujue umu handle vipi. Otherwise
50 -
Welcome back C’s mum ake tulikumiss na watu walikuwa wanafurahia kutokuwepo kwako. Bora urudi kuja kuwadekisha bahari na nini vile?
110 -
Basi kama ni hivyo, mi naomba kumuulizia Bella, toka apatwe na scandal la mume shoga basi ndio kapotea kabisa. Dada nilikua nampenda yule, mzuri, mpole, nilisikitika sana niliposikia janga lile.
But still love you Bella, you are the best
Halafu wee Mange, nishahisi kitu kuhusu Nuru, mbona unamkwepa hivyo, khaa, watu kibao washauliza lakini naona madole mekundu tu, nini shida?
54 -
Mange I MISSED U SOOOO MUCH, i MISSED U TURN SANAAAA, NILIKUWA KILA SIKU NAKUJA KUCHUNGULIA HUKU, but no kucomment nikasema mpaka uone jinsi gani nimeumia, Mange ulinitukana siku ile khaaaaa! nikasema atakoma siku moja atachambwa ajikute na Marichui alone ndio atakipata!
but am sooo around luv, how can I LEAVE U TURN??? love u my MAMA KEANU, luv u turners, mimi ni team ZARI damu kwa kweli ila ngoja niepushe msongamano siku ukimtusi ZARI mi nakaa pembeni! uwiiiiiiiiiiiiiii I COULDNT STAY FAR for a long time wallahi, hata hivyo I have really tried, MARICHUI jana kaniambia u have to show ur ugly pant again kwa u turn, and here I AM, LUV U MAMA KEANU!
231 -
kwi kwi kwi! nishakaa na vumbi nimefuta! natafuta udi kwanza nivukize kutoa jini mbaya! loool!
111 -
uwiiiiiiiiiiiiii Mange u should thank this lady hapa! kafanyaje kazi sasa???? jana nilikuwa si breath, hebu rudi, rudi, nikamwambia Mange nampenda sanaaa coz ni mdogo kwangu na nilivyoizoea u turn, but kanichamba sanaaaa that day, yaaani uwiiiiiiiiiiiiiii i felt bad! but nishamzoea na mdomo wake na hasira zake za kigugumizi, am back mamaaa! friends forever!
241 -
neylicious
Kama naona inbox ya watu huko:
Flavy: Eeh jaman hivi yule Mange anantafta nini mimi lakini ona alivonipakazia kweny blog yake.
Mrs sembe: mfyuuuu yaani mimi kanitoka yule mwanamke hajui tu ila baba Ajmal kasema atadeal nae
Nacky :is typing. …marichui embu malizia kibarua chako hiki alaaa mimi nilikuw nakumbusha jukum lako……..
Hahahahaha…….uwiiiii! Ok
Part two :
Nacky:Ila mwenzenu nimeumbuliwa kuliko nyie , yaani hadi nilivyokuwa nangangania anikutanishe na Mwammy…achilia mbali kudinywa na aliyekuwa MD wangu ….
Flavy: achana nae anastress nataka nimfunike harusi yangu iwe kubwa kuliko yake Mpaka ashangae , si wamenisema nafunuliwa hovyo ?
Mrs sembe: Mi mwenzenu hata Ndoa naiona chungu anavyomsingizia Baba Ajmal muuza sembe , yaani Baba Ajmal anajutraa kunioa , kila siku ananisimanga , kafanya kisingizio siguswi mimi yupo busy nje na kina Manyusi !
Kiki: Mimi pia nimeumbuka kanitangazia hadi ile Pesa , ila niliirudisha yeye hakujua tu , Namchukia Namchukia Mfyuuuuu….
Ade: Last seen yesterday 22:09
status: God is Good all the time
381 -
Mange. .umesababisha mume wangu aninunie tokea jana. Nimeshika simu siiachii adi kitandani. Kataka unyumba nimenyima..akakasirika..then akaniuliza unachati na nani nkamwambia nasoma lile blog langu mambo ya kina Lowassa teh teh..alinivalia sura ya mbuzi na nahisi angekuwa anakaa karibu nawewe angekuja kurusha mawe nyumbani kwako bila kuwajali kina Keanu. Kaninunia namie nimemwacha tu anune..tutapatana mbele kwa mbele. Na if possible baada ya hii topic tuwekee ya kuokoa ndoa zetu. Hubby kanunaaa na kavimba ka apasuke vile. Twala pizza tu na mcDonalds now. Kupika labda uji..teh teh teh..
mange umeilaza chali blog ya naniliu kule..duh! Ukiingia wasikia mwangwi tu..kabaki anajisemesha peke yake
180 -
Mama Alaska rafiki zake walimsema Ananuka mdomo
Wakaja komment huku doctor mange akaachia coment..
120 -
MANGE sikuzote nakufananisha na bikira wa kisukuma, mna maono yambali namko tayari kufanya lolote kumfurahisha rafiki, ila mkimtapika ndo basi. kudos to you love. nakupendaga sana
70 -
Hajamsahau FK na Rose labda umechoka kusoma hebu rudia Novel hii na uwe na Glass ya mvinyo
60 -
Marichui wewe ni kiboka hiyo dialogue kiruuu lazima watu wakose usingizi.
umeona post ya kiki ig?
hahahaahaha C’mum welcome back
kaka Muddy; i feel you kiukweli.
90 -
Humu kunahitaji SHRINK big time, wote wehu aisee wakiongozwa na Marichui…But hii post imefanikiwa kumfukunyua C’s Mum huko alikokuwa amefichwa…I am a number one fun of C’s Mum, Marichui, Muddy Washington na Muke ya Jaluo!
90 -
C’S Mum nimepiga Woh! Waooh! kelel ofisi yote, na hivi viofis vyetu vya serikali watu wote wanashangaa. Welcome , nilikumssss my dear, usirudie tena kupotea hivyo. mwaaaaaaaa
70 -
Kuna dada mmoja pia namjua yeye nae Ni dizain ya hao wa kucomment negative kuhusu wenzake as if yeye yuko perfect kumbe ushuzi wa kande. Atakusema make up, mavazi, mwendo wako, aina ya wanaume unaochagua, elimu yako, status zako za insta na kila kitu. Hapo yeye ashajiweka ni mkamilifu hana kasoro yoyote akati elimu yenyewe alonayo haieleweki. Sasa matokeo yake akiwa ananipigia simu tukutane sehemu mie natafuta sababu ya kumkwepa..manake nikikubali nitajikuta natafuta u perfection usokuwepo na stress za kufa mtu na ufeki juu. Why? Mtu kama huyo kwangu ni kumsepisha tu. I got NO tym for dat shit..akamkosoe mmewe sio mie. Eboo! Na believe me Mange hawaishiagi hapo hizo kasoro anazokutoa anaendelea kuzitangaza mbele uko kwa wengine. Thats how much bad they are watu kama hao. Sio wa kuwachekea ohooo!
61 -
hahahhaha!!!!!!!!!!!!!!! nuru the light kaweka dongo kwa blog yk, yani anataman na yy angejatwa lakn wapppppp bibieeeee
poyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee huna la kumshnda mange hata kdg
mange i lap yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
yani mange dada uko km mie sina mda wa kumuweka mtu wa moyo wangu, nakupa live tunaendelea na life, sina mda na mashoga mana weng we2 ni wanafiki sana,
90 -
Ila mange hapo kwa nancy, domo, nakaaya huo sio ugomvi….wao nimaarufu kuandikwa kawaida…….
Ukika kwa jide sioni hata ugomvi wenyewe….
Na mwam pia mbona hakuna ugomvi????
70 -
Millen is such a sweethear but affairs of the heart jamani can cause alot of character damage. Mange wewe kiboko.
Myview is wasamehe wote ila keep distance. Even with Mwammy….mkiwa close kutakua naa lot of conflicts of interest.
i think your life is cool that way. you have us whom i think we love you genuinely.
71 -
Lakini kweli Mange. .Mbona wamkwepa ze laiti. Na lemutuz je? unatuacha njia panda ivoo. Mange devota diva yule mudada murembo mkoje sikuizi nae ka simuamini amini..