Tuesday, June 23, 2015

Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Faiza Ally. Imelda Mtema MZAZI mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Faiza Ally,
hivi karibuni katika tuzo za KTMA aliwaacha watu midomo wazi baada ya kutinga na kivazi kilichoacha sehemu kubwa ya makalio yake nje na kuzua minong’ono katika mitandao ya kijamii.

Faiza breaks the KTMA 2015 red carpet…this night. Just see


  • "SIELEWI JOSEPH AMESHINDAJE KESI- USHAHIDI WA PICHA PEKE YAKE SIONI KAMA UNATOSHA MIMI KUPOKONYA MTOTO WANGU- MTOTO WANGU NI MDOGO SANA ANANIHITAJI SANA - NA SITA RUDI HATA IKIBIDI KUUZA KILA NILICHO NACHO KWA AJILI YA KUSIMAMIA HILI- SIJAPEWA NAFASI NIMEPELEKWA MAHAKAMANI IJUMAA NA LEO JUMANNE NIMEPEWA HUKUMU/ MWANANGU ACHUKULIWE..... HAPANA ! SITARUDI NYUMA NA HAITAKUA RAHISI NINAKATA RUFAA NA KUTAFUTA WAKILI WA KUNISIMAMIA HILI- MWANANGU ANASOMA VIZURI ANAISHI VIZURI NA NAAMINI KWENYE MIKONO YANGU YUKO SALAMA ZAIDI YA KOKOTE/ YAANI KUHUSU KUKOSA KUKAA NA MWANANGU NI BORA KUFA KULIKO KUISHI NIKIMUONA SASHA ANA LELEWA NA MAMA MWINGINE IKIWA MIMI MAMA YAKE NIKO HAI NA MAKINI KATIKA MALEZI YA MTOTO WANGU- NINA NDOTO NA MWANANGU NYINGI SANA - NAHITAJI KUISHI NAE YEYE NDIO KILA KITU KWENYE MAISHA YANGU/ NAMPENDA SANA MWANANGU NA SIJASHINDWA KUMLEA- NAONA UCHUNGU SANA KUPELEKEA MAHAKANI NA KUPOKONYWA MTOTO WANGU BILA SABABU ZA MSINGI . SITAOGOPA CHEO CHAKE CHA UBUNGE KAMWE- NTASIMAMA KAMA MAMA MWENYE HAKI KWA MTOTO WAKE ...😭😭😭MUNGU NAOMBA NIELEKEZE.NISIMAMIA NA UNIHUKUMIE HUU UKATILI NINAO FANYIWA NA BABA SASHA ....."
  • Nassor Cholo Pole faiza
    Like · Reply · 1 hr
  • Reinalicous Bizimana dah pole sana mwaya mungu atakusaidia inshallah
    Like · Reply · 1 hr
  • Aristide Rubeya Mtoto agombewi wala hakataliwi Faiza,mtakuja kumtia mikosi mtoto bureee....
    Like · Reply · 3 · 1 hr
  • Vincent Uhega Not gud kupost wabaya pia ndo unawapa mbinu
  • Adrian Junior Jr. Mahakamani usirudi tena mnamkosea mtoto tena sana kaa utulie kwanza na kujitafakari then mkutane na Sugu muyamalize kinyumbani
    Like · Reply · 1 · 57 mins
  • Mimi Jay Jay Yani machozi yamenitoka. Husikubali kabisa mwanao akae na mama wakambo. Mimi nimeishi na mama wakambo nimejionea yani wewe pekee ndo mwenye mapenzi yakweli na Sasha
  • Nassor Cholo Ninacho kuomba kuwa mvumilivu mama kipindi hiki kigumu mpenzi namini mungu atakusaidia tu naumia sana naisi km ndio mimi yamenikuta hira namini mungu yupo nawe dada faiza Sasha ni wako na hataendelea kuwa wako daima amini hivo mama
  • Qamar Hussein Moo iyo yote mithan ya allah
  • Magreth Jacob Lilenga Pole mamy daaah
  • Zubeidah Dullah Saad Be wise cz wisdom is greater than silver n gold..ukiwa na hekma hli mbona jambo dogo sana la kutatua..
  • Jafrani Jafary Ngonyani Daah,so sad.pole sana
  • Massy Van Kilu mtu kama yule lazima atatengeneza mazingira ya kushinda.so usikate tamaa kila mtu anajua malezi aliyokuwa anayapata sasha ni maisha na malezi bora vitu alivyovipata hawez kuvipata huko anakoenda so kata rufaa weka wakili akusimamie ktk hili hope mungu atakusaidia
  • Nassor Cholo Baby Sasha Mdogo jamani kweli leo nimeumia sana
  • Mustafa Njovu Pole sana
  • KingBea Hodari ..ni UNFAIR kumchukulia mtoto mdogo km huyu kwa MAMA yake....kila mtoto mdogo anahitaji mama yake biological...MEN cannot relate to this sometimes....Tanganyika Law Associates..utapata lawyer...akizidi mpeleke kwenye MEDIA...#dontgiveup
    Like · Reply · 1 · 34 mins
  • Rahima A Kipozi Chukua udhu sasahivi na SWALI! Allah anakujaribu IMANI yako.Yaani sasa hivi ndo ushinde una swali tu na kuvuta uradi, unayaona mazito sasa? lakini mungu atayapindua.SWALI My girl, this is the right time to do so.Faiza Ally
    Like · Reply · 1 · 33 mins
  • Byera B Harbo Kwa nn unyanganwe mtoto?Hamna haki ya mtoto uko?Pole sana,Nitafute tuongee
  • Hussein Mushi Pole Faiza Ally tupo pamoja katika hiki kipindi kugumu na mama ndio mwenye haki na mtoto nenda Kwenye shirika la Save the children watakupa wakili ukiweza nitext inbox nikupe namba za mtu wa kuonana nae mtoto anatakiwa akae na mama mpaka akiwa na umri wa miaka18
    Like · Reply · 1 · 24 mins
  • Amina Mzava Pole sana mama sasha mtoto bado mdogo anahitaji malezi ya mama
  • Godlisten Malisa Rekebisha tabia mdada mambo mengine yatakuja yenyewe
    Like · Reply · 1 · 22 mins
  • Med Fah Shida umezaa na kafiri
  • Sungi Kipendi kata rufaaa ndio best way for now
  • Hamis Hussein Med Fah usimuhukum binadamu mwenzako u naweza kuta wewe na yeye ni bora yeye kaandikwa kwenye kitabu cha mwanga,sisi ni binadamu ,,ukijijua wewe msafi unatakiwa uwasaidie waliopotea ukiwasema inamaana hata wewe hujui,Toa ushauri kutoka kwa mungu na sio wabinadamu
  • Erica Joo Mnyakyusa Duh..kiukweli nakuaga kinyume na mambo yako yooote unayofanyaga ila kwa hili hapana aisee...nakuhurumia sana dada haki hakuna hata kidogo mtoto alelewe na mama mwingine wakati kuna ulazima huo au kwa maelewano mazuri na sio ya namna hii..huo ni uporaji...See More
  • Hamis Hussein Mwenyezi mungu ndio solution yako dada ila kumbuka shetani anakunyemelea usipokuwa makini utakukuta unajepeka kwake na anakumaliza so cha msingi be with Allah atakuokoa
  • Myricous Thadeo dah pole inauma sana
  • Mathew Ogalo Silas Makorwa Pole ila nilijua lazima itakuwa hivyo hakuna baba anayekubali mazingira unayomjengea mtoto, Sijapenda unyanganywe mtoto ila sikupenda pia alelewe na mazingira unayomjengea kwa maisha ya kitanzania maana angeweza kuwa zaidi yako kimavazi nahisi angeweza hata kutembea uchi angekulia kwako.

0 comments:

Post a Comment