Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mh @anthonymavunde katika ufunguzi wa mashindano ya #Dc_cup yaliyoandaliwa na Dc kijana ambaye ni mpenda michezo ambaye yeye pia alishawahi kuwa kiungo machachari sana enzi zake, Mashindano hayo yamefunguliwa rasmi leo siku ya jumapili, Pia napenda kumpongeza Dc @anthonymavunde
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment