Staa
wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake
aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama
yeye.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.
0 comments:
Post a Comment