Tuesday, June 16, 2015


Mwadada anayefanya poa sana kwenye tasnia ya Bongo Movies, Wema Sepetu.
Makala na Saphyna Mlawa
KATIKA orodha ya wanadada wanaofanya poa sana kwenye tasnia ya Bongo Movies, hata siku moja huwezi ukaacha kutaja jina la Malkia, Wema Sepetu ambaye alijipatia umaarufu kutokana na kazi nzuri tangu pale alipofanya muvi ya kwanza ‘The Point of No Return’ aliyoshilikishwa na marehemu Steven Kanumba na nyingine nyingi.


Staa mkali wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu akiwa na aliyewahi kuwa bwana’ke (Linah), Nangari Kombo kitandani. 


BONYEZA HAPA KUSOMA YOTE===>>

0 comments:

Post a Comment