Tukio hili la kusikitisha, limetokea Mabibo-Loyola, jijini hapa Dar es
Salaam, baada ya baba wa mtoto huyu, kumfumania mkewe na mwanaume
mwingine…Baada ya fumanizi, mke akamtamkia mumewe kuwa huyu mtoto siyo wake,
kwa hiyo hana sababu yoyote ya kuanzisha ugomvi…
kwa hiyo hana sababu yoyote ya kuanzisha ugomvi…
Baada ya baba kusikia ya kwamba kiumbe huyu si mtoto wake, basi akaamua kumchinja ili wote wamkose… Inasikitisha sana!..
0 comments:
Post a Comment