LEMUTUZ

Tuesday, July 14, 2015

ALIYEKUWA MANAGER WA LOWASA USO KWA USO NA MAGUFULI UKUMBINI ONA HAPA LIVE!!

Posted by Williammalecela.com on Tuesday, July 14, 2015



John Magufuri akiwa na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Geita anayeitwa Joseph Kasheku ‘Msukuma’ aliyekuwa manager wa Lowasa ndani ya ukumbi wa Mkutano Mkuu wa CCM.


Wafanyakazi wa Usalama wa Taifa wakimzunguka Magufuli kabla ya kutangazwa kuwa mshindi wa kura za kugombea Urais.


Picha inayoonyesha baadhi ya wenyeviti wa CCM wa mikoa mbali mbali walioambatana na Lowassa kwenda Makao Makuu ya CCM-Dodoma kurudisha fomu zake za ugombea Urais wa Tanzania. Mwenyekiti Joseph Kasheku 'Msukuma' (Geita) Mwenyekiti Bwarafia Silima (Unguja) Mwenyekiti Jesca Msambatavangu (Iringa) Mwenyekiti Madabida Madabida (Dar es Salaam), Mwenyekiti Hamisi Mgeja (Shinyanga), Mwenyekiti Msindai (Singida), Mwenyekiti Odo (Ruvuma), Mwenyekiti Sinani (Mtwara), Mwenyekiti Sanya (Mara), Mwenyekiti Mlao (Pwani), Mwenyekiti Kabouru (Kigoma) na Wenyeviti 3 (Pemba na Unguja).
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT