Hata
siku Haijaisha toka Diamond Platnumz Apate Tuzo ya MTV Mama, Mchana wa
leo Ametibua Mashabiki wake Baada ya Kupost Video ya Mpenzi wake wa
Zamani Joketi Akicheza Moja ya Nyimbo zake huku akiandika caption ya
Maneno haya 'Mbona Bado, Mtanyooka tu"
Video Hiyo inasemekana
ilirekodiwa na Bikira wa Kisukuma Aka Seth miezi sita iliyopita na leo
Diamond kaipost kama Dongo kwa Jokate ambae siku za karibuni ameonyesha
Kumsupport Ali Kiba...
0 comments:
Post a Comment