Friday, July 10, 2015


"Chama cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu wake wa Uenezi Nape Nnauye, kimekanusha uvumi ulioenea mitaani kuwa tano bora ya wagombea Urais imepatikana.
-Kimesema vikao mfululizo vitaanza leo asubuhi saa nne"

0 comments:

Post a Comment