Katika bunge linaloendelea waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amesema katika kipindi hiki cha 2010-15 na hasa hivi karibuni, Rais ameridhia kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya za;
Tanganyika, Katavi
Ubungo, Dar es Salaam
Kigamboni, Dar es Salaam
Songwe, Mbeya
Kibiti na Malinyi.
Halmashauri za wilaya ni 25 zikiwemo;
Buchosha,
Malinyi,
Madaba,
Manyoni Mpimbwe,
Msimbo,
Mlele,
Kakonko,
Kyerwa,
Uvinza,
Chemba,
Nyang'alwe Busega,
Itilima na Ikungi.
Halmashauri za manispaa ni pamoja na;
Chalinze,
Ifakara,
Newala,
Mbulu,
Mbinga,
Nzega
Geita
Kasulu
Ilemela na Kahama
Pia tarafa tano zimeanzishwa.

0 comments:
Post a Comment