Thursday, July 16, 2015


Muheshimiwa Edward Lowasa ametua jimboni kwake Monduli kujiandikisha kupiga kura,Ukimya wake ni sintofahamu nzito kwa watanzania,Japo upepo wa siasa waonesha kuna uwezekano wa kufanya maamuzi magumu na kuendeleza safari ya matumaini.





 


0 comments:

Post a Comment