Wednesday, July 22, 2015

Waziri Mkuu Msaafu na Mbunge Wa Monduli  Mh Edward Lowassa Ameandika  Ujumbe Mzito kwa Wananchi Watanzania Usiku Huu Kupitia Ukurasa Wake wa Facebook..Lowassa Amekuwa Kwenye headlines Kwa Siku Za Karibuni Katika Harakati za
Kuomba Kuteuliwa Kupeperusha Bendera ya  Chama cha Mapinduzi  Katika Nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Nafasi iliyoenda Kwa Mh John Magufuli.  

0 comments:

Post a Comment