Posted by Williammalecela.com on Tuesday, July 07, 2015

Instagram
kumeanza kuwa tatizo nguli wa bongofleva Nassib Abdul (Diamond platnum)
baada ya mwanamke ajiitae baby_ake kwanza kupost vitu vya ajabu kwenye
akaunti ya the bossylady Zari, kufikia hatua ya kuleta ugomvi kati yake
na Kaka Diamond
ushahidi huu hapa

ushahidi wa pili huu hapa
0 comments:
Post a Comment