Friday, July 10, 2015


Bifu kati ya msanii Diamond na mmiliki wa studio ya AM record Maneke wamelimaliza rasmi nakufanya kazi mpya.Bifu hilo lilizaliwa miaka miwili nyuma
sababu nikuvujishwa nyimbo ya ukimwona.Nyimbo hiyo mpya anamshirikisha Ney wa Mitego.Mwezi wa ramadhan na neema zake.

0 comments:

Post a Comment