Posted by Williammalecela.com on Friday, July 10, 2015
Bifu
kati ya msanii Diamond na mmiliki wa studio ya AM record Maneke
wamelimaliza rasmi nakufanya kazi mpya.Bifu hilo lilizaliwa miaka miwili
nyuma
sababu nikuvujishwa nyimbo ya ukimwona.Nyimbo hiyo mpya
anamshirikisha Ney wa Mitego.Mwezi wa ramadhan na neema zake.
0 comments:
Post a Comment