Posted by Williammalecela.com on Thursday, July 02, 2015
Rais
Mugabe wa Zimbabwe amepinga hatua ya Mahakama Kuu Nchini Marekani
kuhalalisha ndoa za jinsia moja katika Majimbo yote 50 ya Taifa hilo.
-Katika kipindi chake cha Radio kila wiki, amekejeli kuwa ataenda kwenye Ikulu ya Marekani na kumposa Rais Barack Obama.
0 comments:
Post a Comment