"Bunge linavunjwa leo
Leo asubuhi Nimekamilisha kazi yangu ya ubunge 2010-2015 kwa kumkabidhi gari kwa ajili ya timu ya majimaji makamu mwenyekiti wa Majimaji John John Nchimbi. Namshukuru rafiki Yangu Paul Hinks kwa kufanikisha kupatikana kwa gari hili."
Leo asubuhi Nimekamilisha kazi yangu ya ubunge 2010-2015 kwa kumkabidhi gari kwa ajili ya timu ya majimaji makamu mwenyekiti wa Majimaji John John Nchimbi. Namshukuru rafiki Yangu Paul Hinks kwa kufanikisha kupatikana kwa gari hili."


0 comments:
Post a Comment