Posted by Williammalecela.com on Saturday, July 11, 2015
IMANI YA JANUARY YA MPONYA.
January Makamba juzi usiku aliongea kwa imani kubwa na kujiamini akiamini viongozi wa chama chake watafata taratibu na sheria.Amewashukuru wote wenye mapenzi naye toka mchakato unaanza hadi leo utakapofikia kikomo.
0 comments:
Post a Comment