Mabadiliko ya gemu la muziki yamefanya baadhi ya wasanii kubadili fani ili waweze kuishi,Mmoja wa wasanii aliyefulia kwenye mziki nakubadili fani ni huyu H baba ambaye amejiunga timu ya Toto Afrika ya jijini Mwanza kuchezea ligi kuu msimu huu.Hakika mziki unalipa kwa wachache nakufanya baadhi kukimbia tasnia hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment