Monday, July 20, 2015

Wanasiasa wa upinzani wamekuwa wakilaani utumiaji wa ndege ya shirika la uma kwa matumizi binafsi ya ziara  za mgombea urais wa CCM.Nape Nnauye amewajibu CCM ina fedha ya kutosha kukodi ndege hiyo na walishalipia kila kitu.

0 comments:

Post a Comment