Posted by Williammalecela.com on Monday, July 20, 2015
July
18 Ndio kiwanja cha Burudani Maisha Basement zamani Maisha Club
ilifunguliwa na Mgeni Rasmi alikua ni mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Poul
makonda, Hizi ni Picha za Ufunguzi wa Club hiyo ambayo iko pale
Kijitonyama nyuma ya Millennium Tour.
0 comments:
Post a Comment