Wednesday, July 8, 2015

Nape Nnauye katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi akiwa amesimama pozi la kibosi akikagua kazi ya maandalizi ukumbi wa mkutano kikao cha kamati kuu.Kila mtangaza nia kwa sasa tumbo joto wakisubiri hukumu ya kukatwa majina 39 nakubaki moja.

0 comments:

Post a Comment