Thursday, July 30, 2015


 
Prof. Mwandosya amenukuliwa akisema kuwa Magufuli haifahamu na haijui CCM kwa kuwa hajawai kuwa hata mjumbe wa tawi la CCM.
Aidha ameweka wazi kutoridhishwa na mchakato uliofanywa na Kamati Kuu kuipata tano bora na hatimae Magufuli. 

0 comments:

Post a Comment