Tabia mpya ya Zari katika kipindi hiki cha mwisho cha ujauzito wake ilizua taharuki kwa familia ya kina Diamond, Zari alianza kupenda kunywa maziwa na mtindi kwa wingi kitu ambacho kilileta hofu kwa familia. hapo ndipo walipoamua kumtafuta
daktari ili kujua unywaji maziwa na mtindi kupita kiasi ufanywao na Zari katika kipindi hiki una madhara yoyote? Majibu ya daktari nayo yalileta utata.
daktari ili kujua unywaji maziwa na mtindi kupita kiasi ufanywao na Zari katika kipindi hiki una madhara yoyote? Majibu ya daktari nayo yalileta utata.
0 comments:
Post a Comment