Posted by Williammalecela.com on Saturday, July 11, 2015
Kikao cha mchakato wa mgombea kutoka wa umoja wa katiba ya wananchi Ukawa bado kinaendelea.Wajumbe wametoka kupata futari na watarejea leo mpaka kieleweke vyama vyote nchini.Picha chini mwanasiasa machachari Tundu Lissu akiwa kwenye foleni.
0 comments:
Post a Comment