Sunday, July 12, 2015

       Balozi Amina alidumu kwa muda mrefu kama waziri kwenye serikali ya Rais mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour Juma, aliwahi kutupa karata yake kuwania urais wa Zanzibar, kabla ya kujitoa.
              Huyu anakuwa mwana mama wa kwanza kwenye historia ya chama cha Mapinduzi CCM, kutangaza kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hali kadhalika, Balozi Amina rekodi yake ya kwanza ni kuwa mwanamke wa kwanza kuwa balozi wa kudumu wa AU huko Marekani.
                       Mbali na kuwahi kuwa waziri, Balozi Amina ndiyo muasisi wa taasisi ya Zanzibar Women Welfare Trust, inayojishughulisha na kupambana na afya ya akina mama na watoto hususan kwenye eneo la maambukizi ya VVU.

Kitaaluma Amina anayo shahada ya uchumi.


0 comments:

Post a Comment