Posted by Williammalecela.com on Wednesday, July 22, 2015
Mafahari wawili Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’.
MAFAHARI
wawili Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wamezidi
‘kusherehesha’ bifu lao baada ya kupigana vikumbo kwenye mgahawa
unaojulikana kama Snow Cream na kuchuniana kama vile hawajuani.
Wema
Sepetu.Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho kiliusoma ‘mchezo’ mwanzo
mwisho, Wema ndiye aliyekuwa wa kwanza kuingia kwenye mgahawa huo na
wapambe wake kisha baada ya muda kidogo kupita, Aunt pamoja na watu
wengine nao walifika na kukaa meza nyingine.
0 comments:
Post a Comment