Posted by Williammalecela.com on Saturday, August 15, 2015
Ali Kiba amethibitisha ujio wa collabo na Neyo na kusema ” Ni project ya coke studio, tutarekodi wimbo na video na zote zitaweza kuchezwa kwenye radio na tv baada ya kufanyia show coke studio ” .
Ali Kiba pia amefanya wimbo na Sauti Sol na Davido.
0 comments:
Post a Comment