Thursday, August 6, 2015

Prof. Ibrahim LIPUMBA ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti kwenye chama chake cha CUF.

Ametangaza kuachia ngazi uenyekiti wa chama hicho mapema leo, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Peacok.


0 comments:

Post a Comment