Sunday, August 9, 2015

Habari nilizopta muda huu na zimethibitishwa. nikwamba mwenyekiti wa ccm mkoa wa arusha Mh Onesmo Nangole na katibu mwenezi wa CCM mkoa
wa arusha wamejiuzulu nafasi zao zote na kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA. 

BOFYA KUONA VIDEO VIGOGO HAO WA CCM WALIVYOTANGAZA KUHAMA

0 comments:

Post a Comment