Mbowe alishiriki katika maandamano yaliyoanzia Makao Makuu ya
CUF yaliyopo Buguruni wilayani Ilala kuelekea NEC na baada ya Lowassa
kuchukua fomu, mwenyekiti huyo aliendelea na msafara kwenda Kinondoni
yalipo makao makuu ya Chadema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment