
Dr Willibrord Slaa @willibrordslaa 3h
3 hours ago
Sijatoweka, sijajificha, sina sababu ya kufanya hayo katika nchi huru. Niko salama na buheri wa afya. Niko katika tafakari, nitazungumza.
Dr Willibrord Slaa @willibrordslaa 3h3 hours ago
Bado sijazungumza lolote kuhusu ujio wa Lowassa Chadema. Yote yanayosambazwa kwamba ni kauli yangu ni uongo mtupu. Nitazungumza.
0 comments:
Post a Comment