Sunday, August 2, 2015


Dr Willibrord Slaa ‏@willibrordslaa 3h
3 hours ago
Sijatoweka, sijajificha, sina sababu ya kufanya hayo katika nchi huru. Niko salama na buheri wa afya. Niko katika tafakari, nitazungumza.


Dr Willibrord Slaa ‏@willibrordslaa 3h3 hours ago
Bado sijazungumza lolote kuhusu ujio wa Lowassa Chadema. Yote yanayosambazwa kwamba ni kauli yangu ni uongo mtupu. Nitazungumza.

0 comments:

Post a Comment