Posted by Williammalecela.com on Tuesday, August 11, 2015
Hakuna maneno yanatosha kuelezea furaha yetu leo, kwa maandamano haya ya amani na ya kihistoria nchini kutusindikiza mimi pamoja na Juma Duni kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi. Mmetupa nguvu na imani kubwa kwa wingi na hamasa mliyokuwa nayo
0 comments:
Post a Comment