![]() | ||
| Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa kwenye Utawala Bora (Good Governance) na Utawala wa Sheria (Rule of Law). ¤MAGUFULI: "Nikiwa rais, nitaanzisha mahakama ya mafisadi ili kesi zao zishughulikiwe haraka." ¤LOWASSA: "Nikiwa rais nitamtoa gerezani Babu Seya. Nikiwa rais nitawaachia huru watuhumiwa wa ugaidi wa kundi la UAMSHO la Zanzibar."
Ally Hamoud Lowasa Number One
Maria B Malongo Bora Makufuli
Rukia Gamba Magufuli no 1
Erick Mwombeki Sina uhakika kama mtoa post ni Le Mutuz Nation?
Ally Hamoud Lowasa wafungwa wengi wako ndani kiubabe tu
Ally Hamoud Inabidi watokee
George Mwanansoga John Magufuli ndio raisi wa tano.
Jesca Musiba magufuri ndo yuko sahihi
Maryam Abdallah Magufuli habari ya mujini watajua sasa
Shanti Islam Magufuriiiiiii
Laisha Mohamed Mpaka sasa anaelekea kuwasaidia Mama lishe kupika lkn 2late magufuli ni kilà kitu
|
Tuesday, August 25, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)










0 comments:
Post a Comment